VIDEO INAYO TREND IKISEMA "KAMA HUTAKI KUNUNUA GLOVES KAJIFUNGULIE NYUMBANI" RC CHALAMILA AFAFANUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 31

  • @davidmahende6871
    @davidmahende6871 8 днів тому +1

    Mshukuru Mungu wewe una fedha kwa sababu una kazi.Kuna wengine hata kula yao wao na watoto wao ni mtihani itakua hiyo hela ya matibabu!

  • @michaelpetershoo1885
    @michaelpetershoo1885 8 днів тому +1

    Daaah.kiongozi panga maneno ya kuongea.umeharibu 😮

  • @benedictomabula7577
    @benedictomabula7577 9 днів тому +3

    Huyu ni kiongozi wa hovyo sana na anadhalilisha wananchi na wapiga kura wetu. Anakuwa mtu wa hovyo na amejaa kiburi. Sisi kama wananchi hatumtaki

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 9 днів тому +2

    Yaani kweli mtetezi wa wanyonge ameshakufa
    Tulimchukia magufuli lakini maji na mafuta ndio yanajitenga sasaivi mh ikifika mwisho tutakufa tu

  • @SiliveryBuromagi
    @SiliveryBuromagi 9 днів тому +2

    Mimi nikuelewa mweye macho haambiwi tazama wanaichi tufate utarati kupa nikuchagua

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 9 днів тому +1

    Hii ndiyo tabu ya kula kwa shika moo dawa siyo za kodi zetu tena ni za samia makubwa !!!"

  • @hafidhazizmohamed5291
    @hafidhazizmohamed5291 9 днів тому +1

    Mh wewe ni kioo cha Jamii so kauli yako ambayo angeitoa mtu wakawaida inakua ni kawaida but not a leader sasa si umeona huyo kajibiwa hivyo so mkuu kubali umeyumba kidogo mkuu kauli yako inaweza kufanywa sababu ya watu kupata shida na kuzitumia km sababu kwa kuwa wewe umewapa jurisdiction ya kufanya uovu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 9 днів тому

    Huyu jamaaa bendera fwata upepo simuerewagi kabsa kajisahau sana cheo zamana ipo sku

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 9 днів тому

    Ahaaaa

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 8 днів тому

    Huyu hafai kuwa hata kiongozi wa nyumba (10)

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 9 днів тому

    Jieleze vzr

  • @johnsonsamwel7207
    @johnsonsamwel7207 9 днів тому +1

    Hivi hawa viongozi wanatambua kuwa hspo walipo wapo kwa ajiili ya wananchi?Tanganyika yangu

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 9 днів тому

    Nimekuelewa

  • @benignusgavile6394
    @benignusgavile6394 9 днів тому

    Nimekuelewa vizuri

  • @Africa_Yetu
    @Africa_Yetu 7 днів тому

    Ukweli unabaki palepale... ! Ni unyama kuwaambia wakina mama, wakazalie manyumbani mwao. Kwani, hizo gloves za Samia ulizosema, huwa anatumia pesa ya kutoka kwa família yake? Sio za kodi za watanzania?!

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 9 днів тому

    Ila chalamila unazingua sana huna utu kwa wananchi wako uko harsh sana

  • @HasanKisome
    @HasanKisome 8 днів тому

    Kwahiyo Wakaazi Wa Temeke Wote Hucheza Vigodoro Kila Siku 🙄🙄

  • @OmaryAlly-x1j
    @OmaryAlly-x1j 9 днів тому

    Mkuu unatukosea xna na serekali yenu,inatakiwa watu watibiwe bure,mambo ya vigodoro hayakuhusu

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 9 днів тому

    Swala la huduma za mtoto na mama wakati wa kufungua ni bue nchi ya Tanzania kuna kodi nyingi na imejaliwa rasilimali nyingi sana kwani mama mtoze hela wakati wa kujifunguwa ? Viongozi watumia magari ya garama kubwa kwa kodi za wazawa alafu mjinga mmoja tena mkuu wa mkoa anaongea kama bata shem on you

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej 9 днів тому

    Duuu Yani hii nchi mlipa Kodi hasaminiki kabisa hivi hizo dawa huyo rais Samia kanunua kwa pesa yake au Kodi zetu ? Hawa viongozi wa aina hii wanawataga wapi ?

  • @Dcreature-b4m
    @Dcreature-b4m 9 днів тому

    Huyu jamaa atenguliwe ukuu wa mkoa amekuwa na Jeuri na ubunifu hana kuongea tu atolewe

  • @MussaWilliam-e4d
    @MussaWilliam-e4d 9 днів тому

    Mbona mwenzako makonda kwenye mkoa wake alipiga marufuku kuzuia maiti wewe unaongea vyako Kila mkuu wa mkoa anatamko

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 9 днів тому

    Tumsikilize utetezi hiki kipindi cha uchaguzi baadhi ya waandishi wanaongeza chumvi. Tuwe makini

  • @EvaMwashambwa-m9l
    @EvaMwashambwa-m9l 9 днів тому

    Mhhhh

  • @AlexFanuel-i1p
    @AlexFanuel-i1p 9 днів тому

    Kama ni mkuu wa mkoa basi ni zaidi ya waziri huyu ni wa hovyo kabisa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 9 днів тому

    Huyu mkuu wa mkoa wengine je

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula7088 9 днів тому

    Mh. Charamila wewe msukuma? Mbona kingereza unaongea kama msukuma? Au hukijui unalazimisha , mbna kiswahili kimenyoka?

  • @ernestkomba5403
    @ernestkomba5403 9 днів тому

    Sijaelewa chochote.

  • @WaryubaThomas
    @WaryubaThomas 9 днів тому

    Hakuna kila kitu hapo

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 9 днів тому

    Huyu aniye RUHALA.WAHEHE NA WABENA MTAELEWA.

  • @BernadethaAlfred-h4v
    @BernadethaAlfred-h4v 9 днів тому

    nimekuelewa mkuu uko sawa.piga spana