Tabia 4 Zinazopoteza Fedha Zako

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 590

  • @maricelajohn942
    @maricelajohn942 6 років тому +2

    Ahsante sana kakaangu Mungu akubariki kwa somo zuri nimejifunza mengi.

  • @suzanmbele5538
    @suzanmbele5538 4 роки тому

    Asante kwa maarifa ambayo naona kadiri nafuatilia napata kanuni zaidi za kunijenga,,mungu akubariki uzidi kutupa maarifa zaidi

  • @oswardndilahomba739
    @oswardndilahomba739 6 років тому +2

    You are very teacher. Thanks my brother Joeli nauka

  • @athumaniferuzi5887
    @athumaniferuzi5887 5 років тому

    kiukweli video zako zinanifanya nihisi kuwa nimerudi shule.moja katika vitu vinavyonisumbua ni matumizi ya pesa yasio kwenye ratiba.thnx 4 dat

  • @sulleneytv3625
    @sulleneytv3625 6 років тому +1

    Tabia namba 1 inanitesa sana brother joel nisaidie

  • @ausiswalehe6273
    @ausiswalehe6273 5 років тому +1

    Asante Sana Bro Ubarikiwe.

  • @ndimamsuya9887
    @ndimamsuya9887 6 років тому

    Uuh.. Zoooteee zinanitia umaskini. Nabadilika sasa. Asante sanaa

  • @RashidRashid-ny6pj
    @RashidRashid-ny6pj 6 років тому +1

    my problem is spending virtual money and impromptu purchases, this is big challenges but according to you i hope everything will be right soon. thanks so much my brother may God grateful forever for what you are deciding to educate your around society pull up.

  • @andersongasper3930
    @andersongasper3930 3 роки тому

    Asante bro kwa somo zuri mi no. 4 inanisumbua sana na hata sasa imeniweka kweny mahusiono mabaya sana na watu. Nisaidie niweze kutoka huko na kuwa financial independent person

  • @kalindatech1591
    @kalindatech1591 4 роки тому

    Nabadirisha maisha yangu kupitia kila unachokitoa bro... Thanx so much bt ninaomba kuwasikiana nawew moja kwa moja kama hutojali

  • @mlayaleni5163
    @mlayaleni5163 5 років тому

    Jaman na namba 3 inanihusu kabisa ngoja nianze kuifanyia kazi alafu pia naona kama zote zinategemeana kiac Fulani . ahsante Kaka Joel naanza rasmi nitakupa mrejesho naamini his utakua mwaka wa mwisho kuteseka

  • @kuruthumsaid8988
    @kuruthumsaid8988 6 років тому

    Kaka habari..Hili somo lako limenigusa sana kwa maana hivyo vyote ulivyovitaja Mimi navipitia..hivyo ningeomba ushauri zaidi.Asante

  • @abrahamanangisye6832
    @abrahamanangisye6832 5 років тому +1

    Thanks nakukubali sana

  • @sirleemmalik2225
    @sirleemmalik2225 5 років тому

    Ahsante kwa somo, lako kaka umetufumbua macho mda mwingne unaeza semaa nmerogwaa kumbe mwenyewee wajiroga na pesa zakoo tabia hzo kweli watu tunazo yaaan kati ya hzo tatu n zanguuu apoo ila kwanzia leo aaaah bhana wacha niwe mbahiliii

  • @jorumzacharia352
    @jorumzacharia352 5 років тому

    hongera kaka tupo sawa na mm

  • @asyamaulidi7857
    @asyamaulidi7857 6 років тому +4

    Mimi shida yangu pesa yangu haikai kabisaa
    Kila nikipata mshahara najikuta familia yangu Kuna tatizo muhimu lazima litatuliwe na hii inatokana na kutegemewa peke yangu katka familia yangu
    Nashindwa kutimiza malengo yangu kwa mfumo huo
    Hadi inafika pahala nakopa ili niweze kutimiza mahitaji hayo
    Sasa nikija kupokea mwezi mwingine lazima kwanza nilipe Deni na kiasi kinachobaki Ni kidogo Sana
    Nishaur Nini nifanye
    Mana mswala yote ninayo tumia hizi pesa Ni muhimu

    • @birih8801
      @birih8801 2 роки тому +2

      Maomabi dear ikishashika mshahara ombea sema pesa zangu haziendi Kwa mangonjwa,shida Bali ninachotaka kufanya toa sadaka pia hope will happinesses in your 🙂

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 2 роки тому +2

    Tabia 4 zinazopoteza fedha
    1. impropt purchasing -manunuzi holela
    solution - kuwa na bajeti
    2.Spending more than u earn - matumizi makubwa kuliko unachoingiza
    solution - namna ya kupanga bajeti , limit kiwango cha matumizi
    3. Spending virtual money- kutegemea pesa pesa ambayo bado huna bado haijawa halisi
    4. excessive borrow - madeni yaliyopitilza
    solution usikope pasipo ulazima
    see u at the top

    • @361NEWS
      @361NEWS 2 роки тому

      Umesummarize vzr mkuu

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 6 років тому

    Asante sana Mr Nanauka. Somo hili ni muhimu sana kwa kweli kwa kila anaependa maendeleo

  • @jumabisale9974
    @jumabisale9974 5 років тому +3

    Daah kweli nilikuwa nyuma ya pazia Good 👍job BRO

  • @bernardmsengi6029
    @bernardmsengi6029 3 роки тому

    Somo zuri sanaa kaka.
    Tabia inayo sumbua ni kutumia pesa zaidi ya kipato pamoja na kununua vitu ambavyo haviko kwa bidget. Hili ni tatizo sanaa Kiongozi.
    Asante kwa mafunzo mazuri!

  • @nuruyohana7557
    @nuruyohana7557 5 років тому

    Nashukuru sana kwa somo mi tabia yangu ni kutumia pesa kabla cjaipata na nikipata inapitiliza tyu kwa madeni

  • @ziy1067
    @ziy1067 6 років тому +4

    Dr Joel,my problem it No 3.this time i will try to change it. Nice video n thank am humble.

    • @dastanmorice1254
      @dastanmorice1254 5 років тому

      nakushkuru sana kaka nimejifunza kitu ila iyo no 2 inanirudisha nyuma sana

  • @jacobzawadi735
    @jacobzawadi735 6 років тому

    Shukran sana, ya pili huo unaozungumzia Kutumia kiasi kikubwa ni yale ninaoogopa pia mimi. Ahsante kwa yote hayo

  • @teddytonny2182
    @teddytonny2182 6 років тому +1

    hiyo n tabia yangu Sana but umenifumbua macho nabadilika kuanzia sasa thanks Bro

  • @irenempogole35
    @irenempogole35 5 років тому

    Najifunza kuliko .....nakufuatiria sana boss

  • @hendryprosper9950
    @hendryprosper9950 4 роки тому

    Amina kaka ubarikiwe ntajitahid uku namtanguliza mungu maan nashindwaa

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 6 років тому

    Ni somo zuri sana , nimejifunza na ninaamini nitabadilika sana na kwenda sawa

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 4 роки тому

    Asante sana Brother Joel, Nina changamoto kubwa sana, nimekufatilia sana bro lakin sijui na kwama wapi, mm n Mjasiria Mali mdogo, Mungu ni mwema napata kiasi ila tatizo langu kubwa hvi sasa ni mwaka wa pili nafanya biashara na faida naiona kabisa lakni mtaji wangu haujawahi kuongezeka hata kidogo zaidi ya kupungua kila mwezi unapo fika katkat, nabaki kujipa moyo kuwa mwezi unakaribia nitapata nyingne na ninapo zipata mambo uendelea kuwa vile vile mpaka leo, .......2020 hii naomba nitumie furusa hii kshea na wewe mawazo yangu labda naweza toka kwenye hii khari.....

  • @barakamollel3475
    @barakamollel3475 5 років тому

    Safi sana brother mafundisho mazuri ni kuifanyia kaz tu!!! Yote yananiuzu mm!!!

  • @munisiaikande198
    @munisiaikande198 2 роки тому

    good teachings,,,

  • @jimmynduwayezu9357
    @jimmynduwayezu9357 5 років тому

    Bro good work.i am burundian .vipindi vyako binasayidiya sana.aksanti.

  • @neophitalukiringi8260
    @neophitalukiringi8260 2 роки тому

    Tabia ambayo inanisumbua ni kununua bila mpangilio na kutoa pesa kupatia watu wengine nikiwa nazo mfukoni. Leo nimejifunza nitakuwa sitembei na hela ili kujiepusha na mnunuzi yasiyo ya lazima na kugawa pesa bila mpangilio. Nikiweza kufanya hivyo nitakuwa na uwezo wa kutunza pesa zangu. Asante sana kwa somo hili na mengine.

  • @kasmirisambala6206
    @kasmirisambala6206 4 роки тому

    Ni kweli madeni yanaumiza na kurudisha nyuma maendeleo. Nimejifunza kitu katika somo lako nina imani nitafanikiwa kwani nimekuwa na changamoto hyo ambayo imekuwa ikitokana na baadhi ya sababu ulizoainisha katika somo lako. Ahsante

  • @edwardmsanjala3253
    @edwardmsanjala3253 5 років тому

    Asante kaka changamoto ulizoongea zote sahihi ila ya mkopo inanikomesha sana na kuzingatia na familia ninayo sasa sijui KUPANGILIA bajeti
    Mke mtumishi na mimi mtumishi pia lakini hatuendelei

  • @AlfaMbisa
    @AlfaMbisa 4 місяці тому

    Respect to you author nanauka

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 6 років тому

    aaaaa hii kila kitu nnachoona nataka tabia hii nnayo. Mungu nijaalie ukinaifu nijue bajeti namimi

  • @bizlucasbiz2304
    @bizlucasbiz2304 6 років тому

    Gooder sana mwanauchumi wangu sana me ni ya kwanza mkuu

  • @sadikisichilya5491
    @sadikisichilya5491 3 роки тому

    Ahsante Sana kaka Joel umekua msaada na Coach Wang ,mm changamoto yang ni imprompt purchasing

  • @gershonerasto7824
    @gershonerasto7824 5 років тому

    Ahsante sana mwalimu kwa somo nzuri

  • @derickkatunzi1679
    @derickkatunzi1679 5 років тому

    Ubarikiwe sana na Mungu kwa masomo mazuri. Tangu Jana nilipoanza kupata vipindi vyako nimejifunza mambo mengi

  • @oculilema6140
    @oculilema6140 6 років тому

    hapo ni changamoto kubwa katika maisha yangu napenda vitu vizuri kwahiyo kikipita mbele yangu lazima ni buy

  • @babaharunakipindula3895
    @babaharunakipindula3895 6 років тому +2

    Nakukubali sana brother...big up

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 5 років тому

    Ahsante Kaka nami pia tajitahidi

  • @getrudamussa334
    @getrudamussa334 5 років тому

    Asante,nishachukua hatua toka nianze kukusikiliza nimepiga hatua.

  • @yasirykasanga7164
    @yasirykasanga7164 2 роки тому

    Nakuelewa sana mwalimu
    Napata mengi nahanza kubalika kwa sasa

  • @mercywanjiku3740
    @mercywanjiku3740 6 років тому +4

    Asante Sana . Changamoto ninazo Joel unapata watu kadhaa wanaomba usaidizi wa kifetha. Na kulingana na mapato yangu ni kidogo sana na unapata mtu anakulilia Sana ili umsaidie sa kwa ile roho ya utu unajikuta katika ile hali ya usaidizi sasa mara nyingi huwa najikuta Sina hella kabisa na huku Mimi mwenyewe nataka kujihudumu kimaisha . Kupitia hayo yote ninapo kuwa nataka mpangilio fulani ili niweze kijiendelesha najikuta am emty what will I do

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      mercy wanjiku kitabu cha The richest man in babylon anasema ukiwa unasaidia watu kwa namna ambayo wewe unazidi kuwa maskini zaidi,wote wawili mtaishia kuwa maskini

  • @Almisbahy9551
    @Almisbahy9551 6 років тому

    No 1 Bro Ni Shida Pesa Zikiwa Mfukon Tu Nkipita Mjin Kila Kitu Nataman Najikuta Narud Nyumban Cjui Hat Nmebak Na Kias Gan Nanunua Tu Bila Hat Kujua Imebak Ngapi

  • @godfreynyansira8227
    @godfreynyansira8227 4 роки тому

    Asante sana, ,ñakuelewa vzuri

  • @pilotjohn7304
    @pilotjohn7304 3 роки тому

    I real enjoy your speech

  • @Bighotstory
    @Bighotstory 7 місяців тому

    Mungu azidi kukuinua Mwalimu bola katka maisha yangu

  • @amranimbiliko5156
    @amranimbiliko5156 3 роки тому

    Kaka nakushkuru sana nimejifunza hapo sehem ya tatu pameniumiza muda mrefusa

  • @georgesuigerson4317
    @georgesuigerson4317 5 років тому +3

    Hiyo namba 1 hiyo mm ni mzigo miaka sasa nikikosea tu nipitepite hela namalizia huko

  • @lowassamollel6263
    @lowassamollel6263 5 років тому +1

    mh uko vxuriii kimeeeleweka na message sent and delivery sasa nakuomba somo moja uachiee mda ama siku yeyote jinci ya kuweka Akibaaa yenye mafanikio.. Ur jinius,,, GOD blesss u

  • @ikajirama1210
    @ikajirama1210 6 років тому +2

    Ni kweli uyasemayo. Mi nna mawili yanayonikabili ambayo ni excessive borrowing and spending more than aern

  • @justawinston8232
    @justawinston8232 5 років тому

    ASANTE SANA mwl.Joel. Umenisaidia kuhusu kutumia fedha Bila bajeti. Pia kutumia kwa vitu visivyo vya Lazima

  • @bitemwita6809
    @bitemwita6809 5 років тому

    mm namshukuru Mungu kwa elimu unayotupatia mm changamoto yangu ni tofauti nategemewa na watu wengi kuliko uwezo wangu nifanyeje,nimezaliwa familia ya kimaskini wakulima wa kipato cha chini nimebahatika kusoma peke yangu nimemaliz chuo mwaka huu najishughulisha ili niishi ndoto yangu tatizo kubwa ni familia nzima inaniangalia mimi na wazazi ni wazee na wadogo zangu bado hawajaweza kujitegemea nifanyeje kaka joel

  • @patrickmussa6
    @patrickmussa6 5 років тому +2

    kweli kabisa kwanzia leo nitabadilika nimependa somo lako brother

  • @faizaismailismailabdulrasu9203
    @faizaismailismailabdulrasu9203 6 років тому +1

    Asante sana bro

  • @vincentronoh94
    @vincentronoh94 3 роки тому

    Mimi natoka Kenya lakini nakufutilia Sana mafunzo yako Joel umenitoa mbali Sana nashkuru Sana mungu akuongesee maharifa kwa mafunzo...

  • @michaelyona9573
    @michaelyona9573 5 років тому

    thanks brother umesomeka

  • @stevensimbakila5018
    @stevensimbakila5018 6 років тому +1

    Jaman mm ugojwa wangu ni namba 2

  • @husseinsmash2416
    @husseinsmash2416 6 років тому

    Asante sana brother kwa taaluma yako nzr ubarikiwe sana. Mm njia ya 3 na 4 ndio changamoto yng kw xx ktk maisha. Je! ni2mie njia gn kujikwamua?

  • @lawrenceleonard1369
    @lawrenceleonard1369 5 років тому +1

    wewe jamaa unaakili kweli mhhh,Mungu akubariki coz unatutoa kwenye darkness situation

  • @happyprecious5755
    @happyprecious5755 4 роки тому +1

    Asante Sana najifunza mengi kwako kila siku

  • @danielmwasongwe2150
    @danielmwasongwe2150 4 роки тому

    Asante kaka..mim nlikuaga hapo matumizi bila mpangilio

  • @ashelyabel3008
    @ashelyabel3008 5 років тому

    Ahsante mwalimu haya nichangamoto ya watanzania walio wengi endelea kutufundisha usikate tamaa

  • @mashibatoursafari4670
    @mashibatoursafari4670 6 років тому

    Your speark truth bro,i am from Arusha

  • @worlddestinations6507
    @worlddestinations6507 6 років тому

    Asante.....Nimesaidika sana

  • @meshackmkaka4456
    @meshackmkaka4456 5 років тому

    broo mi nikipata ela haikai sjajua shida

  • @farajaerasto7044
    @farajaerasto7044 5 років тому

    Yaani vipindi vyako vinanibadilisha kweli.....Sante sana sana

  • @tigiranyohana3030
    @tigiranyohana3030 5 років тому

    true mr Njoelnanauka

  • @anchortechnicx5014
    @anchortechnicx5014 6 років тому

    Yaah mkali upo vizur na umeeleweka saf sana unatuelimisha

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 років тому +1

    I’m horrable with money nikipata tu naspend I’m learning a lot asante kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      salma luhombero sawa salma,hongera sana kwa kutambua hili na naamini utafanya marekebisho haraka

  • @mariaraphael809
    @mariaraphael809 5 років тому +2

    Ninamengi sana ya kuvurikiwa mipangilio na ninamshahara mkubwa lakini siishi vizuri kabisa

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 6 років тому +7

    Bwana mkubwa Joel Elimu yako ni nzuri sana ila jitaidi kuandika izo title kwa kiswaili Asante

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 5 років тому

    Nimeipenda sana lecture yako na mimi kweli nna madeni mengi benki na za watu binafsi. Zinanipa dhiki na maradhi na sijui vipi ntazilipa. Naomba msaada wako unipe njia ya kutatua hili tatizo

  • @michaelmichael7758
    @michaelmichael7758 6 років тому

    Brother masomo yako very strong sana. Umenitoa sehemu moja kwenda nyingine. Mimi nakopa sana nisaidie mawazo.

  • @kellysaimon6763
    @kellysaimon6763 6 років тому

    baba nimekuelewa vizuri sana ila namba moja inaniusu kabisa ujakosea

  • @chikurashidi5303
    @chikurashidi5303 5 років тому +1

    Duh we jamaa ni kiboko anaekufatilia halafu asibadili maisha basi akutafute akueleze tatizo lake huenda analo tatizo la siri nakukubali bro

  • @dullahshaaban9050
    @dullahshaaban9050 3 роки тому

    Mbona ukiwa bahiri Sana ili mipango yako ya maisha ikamilike watu wanakukasirikia wanasema una roho mbaya halafu wanakutenga

  • @albertmuro2703
    @albertmuro2703 6 років тому

    bro nimejifunza meng izo njia nne zote nitatizo kwangu ila njia ya tatu inanitesa Sana para kabla sijaipata Inakuwa ishaisha name inanipelekea Kwenye njia ya nne maden makubwa.be blessed

  • @lilianmiguma6656
    @lilianmiguma6656 4 роки тому +1

    Nalipenda somo lako kwani lina mwongozo mzuri

  • @al-jabirsaadan7999
    @al-jabirsaadan7999 6 років тому +1

    all you talk it fact big up Mr.

  • @mtumishimathayomollel2802
    @mtumishimathayomollel2802 5 років тому

    Mungu akubariki sana brother, hizi tabia zote nimekuwa nazo , lakini namshukuru Mungu nitaanza kubadilika

  • @kakapascal5090
    @kakapascal5090 6 років тому +4

    "Usitumie pesa ambayo bado hujaipata" huu ni waraka kwa nafsi yangu. asante ndugu.

  • @sanaisamson4026
    @sanaisamson4026 6 років тому +2

    Da bhana nimekukubr sana iyo tabia yakwanza yan inanitesa sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      sanai samson pole ila uzuri umeshajua namna ya kushughulika nayo

  • @Marcongoi376
    @Marcongoi376 6 років тому +2

    Nashukuru sana kaka ila mm shida yangu ipo kwenye kutopanga bajeti naomba unisaidie

  • @amourhemed4343
    @amourhemed4343 5 років тому +6

    Ah kiupande wangu changamoto kubwa inayonikabili ni kwamba mimi binafsi kila fation inayoingia naitaka sikubali kabiswa kupitwa natumia pesa nyingi sana kwenye mavazi

  • @mariammasatu4785
    @mariammasatu4785 6 років тому +5

    Asante sana bro kwa somo zuri, mm hyo imprompt purchesing inanisumbua sna

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      mariam Masatu pole mariam,Pambana nayo uishinde

    • @abdulqudra8758
      @abdulqudra8758 4 роки тому

      @@joelnanauka hi kka yng

  • @andrewkatte2656
    @andrewkatte2656 6 років тому +1

    God job nataman nipate mawasiliano ili tushauriane kwa mengi zaidi plz brother

  • @issackkatabizi7757
    @issackkatabizi7757 6 років тому

    Nimekuelewa Joel umenifundisha kitu. Aksante

  • @albertobernard4370
    @albertobernard4370 6 років тому

    Ziko vzur sana ,zimenigusa sana

  • @moyolameck555
    @moyolameck555 6 років тому +1

    Brother somo zuri sana ila simu nazo huwa zinawasha ukiziweka fedha

  • @jidammkude186
    @jidammkude186 6 років тому

    Ahdante saana kaka

  • @mwaikambofrank6143
    @mwaikambofrank6143 6 років тому +3

    Hongera kaka mimi nakufuatilia sana ninapenda sana kazi yako. Ila mimi ninaombi moja unweza kupata nafasi ya kuelezea jinsi ya kuweka akiba inayozaa yaani investiment. Ninahitaji sana hiyo elimu kaka umeeielezea ktk video ya namna gani ya kupanga bajeti 50/30/20.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Mwaikambo Frank hongera kwa kufuatilia Mwaikambo,nitaifanyia kazi

  • @zablonsamson3535
    @zablonsamson3535 6 років тому

    kwakweli ni somo zuri kwa watu wote linalo washauri watu wawe makini ktk mapato na matumizi.ushauri endelea uwezavyo kutoa ushauri kwani wapo wengi wanasaidika kupitia mafundisho haya,mungu akubariki sana!

  • @lindamutasa5752
    @lindamutasa5752 4 роки тому

    Asante sana Joel n.a. 1 inanihisu

  • @patrickjeremiah8905
    @patrickjeremiah8905 5 років тому +1

    Uko saw brother bless

  • @nicksonernest9649
    @nicksonernest9649 2 роки тому

    Umenierimishasana mungu akubariki

  • @mathewkabulwa4273
    @mathewkabulwa4273 5 років тому +1

    Braza tabia ya kukopa ndio imerudisha nyuma sana wafanya kazi tena ni advance salary.......