SHUHUDIA DIVA THE BAWSE ASHINDWA KUJIZUIA NA KUAMUA KUMTONGOZA DULLY SYKES

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ •

  • @arababs
    @arababs 3 роки тому +12

    Diva kama conditions zako ni hizo basi utabaki single maisha yako yote mpaka utajutia ukiwa kibibi bila familia. Wanawake wazuri wengi sana

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 3 роки тому +15

    Honestly speaking diva n mbovu na ana mdomo snaa ....

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому +4

    Hongera sana dully ume mupa jibu lake mibwege kama iko ikuowe

  • @prinsecmerryprinsec3059
    @prinsecmerryprinsec3059 3 роки тому +12

    Bilioni 10 diva jamni🤣🤣🤣 hatutaki mawifi wachonganishiii.. Diva wew 😂

  • @vascokagombora7165
    @vascokagombora7165 3 роки тому +16

    Ipo siku diva utatafuta ilimradi Mume Naye atakuwa utatamani kuzalishwa na yeyote Naye atakosa kaa na bilioni zako,nafikiri unataka kumaliza umaskini wa ukoo wenu wote.No man can respect and need to be wife material like you aisee

  • @fatmaahamad633
    @fatmaahamad633 3 роки тому +12

    Asante diva kwa kuchangamsha mazungumnzo najua hujaamaanisha 👌🏻

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 роки тому +1

      How far are you sure that she didn't mean it!!open you mind dear😎

    • @fatmaahamad633
      @fatmaahamad633 3 роки тому +2

      @@editrudesmbonde9051 l mean hajamaanisha kutoka rohoni,kwa sababu hata sababu alizozitaja kwa nwaafrica haiwezekani,eti umpangie mume jinsi ya ndugu zake kufika kwake haiwezekani amini hivyo hajaamanisha kachangamsha kipindi

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 роки тому +1

      @@fatmaahamad633 You don't know her,other womens are like that,they are approaching indirect dear.😊

    • @fatmaahamad633
      @fatmaahamad633 3 роки тому

      @@editrudesmbonde9051 really.then okay

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 роки тому +1

      @@fatmaahamad633 🙏🙏

  • @AngelAfrica-w5x
    @AngelAfrica-w5x 3 роки тому +3

    Eti hajui kupika hata wanawake wa kizungu hawako hivyo ungejua unajiaibisha tu utaishia kutumika na kuwa dampled. Chakula cha nyumbani kwako kama mwanamke mwenye kazi nyingi sometimes natamani nipike mwenyewe na huwa nafanya hivyo ili nile chakula changu safi chamkono wangu, jidai unaendekeza wafanyazi sometimes utapikiwa kichafu

  • @الرعدالصغير-ت1ش
    @الرعدالصغير-ت1ش 3 роки тому +1

    Hiyo niliijaribu nikavunja ndoa😂😂Hawakubali Ndugu Wasikae.Ila Kwakweli kuishi ma ma wifi mama mkwe na ma shemeji ni mtihani sana

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 3 роки тому +4

    Atafute Mzungu au Mwind..amwoe..hao wanayaweza Sana hayo masharti...kwa Ngozi nyeusi ataishia kupiga kelele tuu.

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 роки тому

      Hao Wazungu na Wahindi ndo wanapenda vibovu??kakudanganya nani??hayo ni mawazo finyu!!!😃

    • @constanciapeter2497
      @constanciapeter2497 3 роки тому

      @@editrudesmbonde9051 Kama yako

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 роки тому

      @@constanciapeter2497 Hahaaahaa😀
      Angekuwa na tabia kama yangu angekuwa na BAHATI kama mimi.
      😎🙏

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 3 роки тому +10

    I.love Diva

  • @buyoyasubira9444
    @buyoyasubira9444 3 роки тому +6

    Jitu lizima umezeheka nani atakuoa looo ata aibu hauna we niwakuchezewa tu😁😁😁😁

  • @kizimkazi3443
    @kizimkazi3443 3 роки тому +11

    The only prince I know

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 роки тому +19

    Si mwanamke kazi yake kubwa kununuuwa uzuri wa dukani hana tafauti na shetani

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 роки тому +9

    😂😂😂😂😂😂😂diva baada ya kuambiwa kutwa kavaa miwani kama chura kaamua kupiga picha bila miwani😂😂😂😂😂jamani 😂😂😂😂naona ilimgusa😂😂😂ila usijali diva,we maintain brand yako usijali maneno😂😂😂😂😂

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya8858 3 роки тому +6

    Diva mzuri sauti ila ukimuona alivyo khaaa!!!

  • @usatoenglandvegas4046
    @usatoenglandvegas4046 3 роки тому +1

    Nice couple

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi3980 3 роки тому +4

    Wew kuolewa usahau

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому +7

    Wewe diva hufai kuwa mke wa mtu kama hupendi familia ya mume inajua huyo utakae muita mume kalelewaje shiiii

  • @mankamukure2992
    @mankamukure2992 3 роки тому +1

    10 billion alafu anajakaa ndan hana mtoto diva are you serious? mydear itafika time utafute mwanaume yeyote ukose but syo ombi langu badilika acha mashauzi ya kipuuzi

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 3 роки тому +2

    Kwahiy dada wakazi siwatu au siwanawakee acheni zarau wao wanojiona wataenda kumjibu mung walikuwa anafanyaje duniyani

  • @waziriramadhani2198
    @waziriramadhani2198 3 роки тому +6

    Diva unacheka vizur

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 роки тому +1

    We utabaki na kusaga tu mnanyanduana kimyakimya lakini ndoa utaisikia kwenye magazeti mashauzi kibao labda awe bwege au fala Kama alivyokwambia dully

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 3 роки тому

    Hakika wazaz wako wanaaibu kubwa sana diva wew umeumbw tyy ipo siku tutaondok ktk hii dunia fikiria nn unafanya na je impact yake n ipi unaharib mabint wengi kwa tamaa za pesa sijui kama mama yako alliolew na boss mana seems like umshamba wa pesa

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 3 роки тому

    Mnakosa cha kufanya studio kbs

  • @alitante4279
    @alitante4279 2 роки тому

    Vua hio miwani kwnza km churawa amazon😃

  • @sebastianhamis481
    @sebastianhamis481 3 роки тому +2

    mwanamke gn ambaye hawezi kumpikia mumewe ni mke ama danga la kupita

  • @lisahhans295
    @lisahhans295 3 роки тому +1

    Hajawahi kujielewa Diva

  • @AngelAfrica-w5x
    @AngelAfrica-w5x 3 роки тому

    Uwezo wa kujua kupika unao ila hujataka kujua na una ulimbukeni kichwani mwako ambao unakutesa mwenyewe na umeufuga huo ulimbukeni kwa jeuli.pole

  • @bashiribrahimhaji6086
    @bashiribrahimhaji6086 3 роки тому

    Hatavkwa daws hutapata mwanaume jichunge mama utazeeka kabla badae utakuja kuowa mmachinga ama mlinzi

  • @hamidbhos8297
    @hamidbhos8297 3 роки тому +1

    Jinga kweli diva.kabisa mwanamke wa jisifu hujui kupika.we mtanga gani hujui kupika.kwenda huko watanga hatupo ivo.siye wa tanga twapenda kupika una haya wewe eti sijui kupika loooo.

  • @pilotkhelfin4711
    @pilotkhelfin4711 3 роки тому +2

    Billion 10 na nywele za kamba izo.

  • @sas7728
    @sas7728 3 роки тому +1

    Haaaaaa😀😀😀eti nini bamia

  • @aminahjuma6577
    @aminahjuma6577 3 роки тому +6

    Atar 😂😂😂😂 jmn kinyamwez

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 3 роки тому +3

    Diva mwenyewe ss hv kavimba chini ya mashavu sijui anameza nini

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 3 роки тому +2

    Ww usiwadharau walinzi wengine wanakuzidi elimu wamekosa ajira halafu huyo diva abavuga kucha kwa imani ya dhehebu gn

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 3 роки тому

      Anadin uyu😂😂

    • @chichimloli5926
      @chichimloli5926 3 роки тому

      Kwan kawazarau mna akili mzito xn kuelew katolea mfano lmekuwa kubwa

  • @gabrielayubu3417
    @gabrielayubu3417 3 роки тому

    Leo diva kamuita mond boss has maisha

  • @Barbenation
    @Barbenation 2 роки тому

    NJOO kwa mie

  • @alphoncedaud7976
    @alphoncedaud7976 3 роки тому +9

    Na huyo mwanaume wa kumchukua yupo wapi

  • @hawababuu4350
    @hawababuu4350 3 роки тому +4

    😂😂Nimecheka kifala ati mabwege na mafala wapo utawapata wa ivo😂komesha

  • @mariahkivuyo5521
    @mariahkivuyo5521 3 роки тому +1

    Dull Leo anaongoza kipindi

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 роки тому +1

    Wapo wadada yaaah pumbavu kuulewa utakuskia hukoooo

  • @silvernayzer4107
    @silvernayzer4107 3 роки тому +1

    Safiii Sana dully kama anatakaivyo aoe

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 3 роки тому +1

    😂🤣😂mke wa ivyo mi hapanaaaa Kwanza wapite mbali kabisa

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 3 роки тому

    Duh!

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 роки тому

    Huyu nae kwa uzuri gani eti bilioni 10 shubabekii utaishia kuonjwa tu ma mabosi wako ndio maana unahangaika kutaka mtoto wakati mahari eti hio

  • @nkzenest4748
    @nkzenest4748 3 роки тому

    Kazi ipo

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 3 роки тому

    Hawawatuwamenichekesha sana

  • @pascalanthony2542
    @pascalanthony2542 3 роки тому +1

    Huyo aje kwangu anilipe hiyo hela mtt anapata ubila kwenya huko kupandikiza

  • @الرعدالصغير-ت1ش
    @الرعدالصغير-ت1ش 3 роки тому +5

    Diva😂😂😂

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 3 роки тому +3

    Kumbe duli yupo chale hivi hahahaha

  • @philipocharles8854
    @philipocharles8854 3 роки тому +6

    🤣🤣🤣 bongo nyoso ety billion 10 kwan ina roll royes ndan au

  • @RamadhaniFilikichi
    @RamadhaniFilikichi 2 місяці тому

    Mke aolewi ili kuwa mpishi au mfua ngguo za mme wake pia kutokuolewa hakuleti majuto kama umeamua hutaki kuolewa

  • @agnesmartine2712
    @agnesmartine2712 3 роки тому

    Msenge uyu dada anajikuta nani kwani mtu mwenyewe mmbovu alafu aolewe kwa b10 kuma kweli

  • @innocentayubu9304
    @innocentayubu9304 3 роки тому

    Bilio 10 ya kuchora ciyoo

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 3 роки тому

    Duli kachokq😂😂😂😂😂😂loooooooo anaona haya mapya

  • @sujimakaveli8621
    @sujimakaveli8621 3 роки тому +3

    Tanzania mbwana,hadi jokes wao huchukulia ni serious

  • @Chrisslinenikweranaigizasauti
    @Chrisslinenikweranaigizasauti 3 роки тому

    Oya mzee vipi una vidonga vya mdomoni?

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 3 роки тому +3

    wauze nyumba ili akuoe wewe utakutana na watoto wa tandale wakuchape bulee 🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelngussa3241
    @emmanuelngussa3241 3 роки тому

    Huna kiwango

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 3 роки тому +1

    Mwanamke mahiri hajitongozeshi na wala hanunui penzi,ukiona hivyo unakasoro.
    Mwanaume ndiye anapaswa kutongoza,hayo ni mambo ya aibu.
    Inaonesha jinsi mwanamke ulivyo dhaifu.

    • @aminially4456
      @aminially4456 3 роки тому

      Ni maongezi tu ayo hawezi kuongealea suala ilo hapo

    • @musakhamis6906
      @musakhamis6906 3 роки тому

      Kwan mwanamke hisia hana

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 роки тому

      @@musakhamis6906 Hisia zozote ni controllable,sasa unaposhindwa kuji-control ndio hapo unakuwa kituko,utamtongoza mwanaume,utajipendekeza kwake, utajipitishapitisha kwake n.k.
      Hizo mambo afanye mwanaume aliyepewa kupenda na si mwanamke.
      Mwanamke kapewa kuheshimu tu.

    • @musakhamis6906
      @musakhamis6906 3 роки тому +1

      Hahahaha Mimi mwanamke nilkuna naye mapaka Leo kanitongoza tuna mwaka sasa ni ww mwenyew jins utakovyo mchukulia sio kila mwanaume anayemuona barabarani basi anamtamani sio kweli na yy ana wake wakuchagua heri ya huyo anayekuona na kukutamani akakwambia mana kama kakupenda atayavumlia mapungufu yako kulko yule umtongozae akakuona una mapungufu akakukimbia mapenz hisia hasa mwanamke awe na hsia na ww

  • @laurinfred2931
    @laurinfred2931 3 роки тому +1

    Utolewe bikra kwa chips kavu ya buku jero afu uje uolewe kwa bilion kumi labda laki 😅😅

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 3 роки тому +1

    Sasa kwa kucha hizo muulize anachambaje huyooo au ndio anatoka na kinyesi maana hizo kucha kama jini kabula ataishia kuvuliwa chupi ndoa ataisikia kwenye wasafi media

    • @peragiaisdor6315
      @peragiaisdor6315 3 роки тому

      Nilibandika kucha kwaajili ya sherehe yangu nilipata shida mimi kushika cm siwezi kuchamba siwezi yani najiuliza kama mimi siku moja ilinishinda je wasioweza kuishi bila mikucha wao wanafanyaje

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 3 роки тому

      Aiseee kati ya vitu siwezi kuja kufanya ni kubandika kuchaaa

  • @ramadhansaid5472
    @ramadhansaid5472 3 роки тому +9

    So sad modern women don’t know how to do house chores.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 роки тому +2

    Mmmmh hiyo familia ya bila wageni ni familia kweli? Hivi yuko series huyu Dada kweli ama ni maongezi tu?

    • @saromemaneno355
      @saromemaneno355 3 роки тому +2

      Namshangaaa ujueeee au akili inaruka akiwa kwenye studio

    • @elizabethmwandu6937
      @elizabethmwandu6937 3 роки тому +1

      @@saromemaneno355 huyu akili itakuwa imemruka.

    • @saromemaneno355
      @saromemaneno355 3 роки тому

      @@elizabethmwandu6937 hana kweli kabsaaa anawengeeee sanaaaa

    • @elizabethmwandu6937
      @elizabethmwandu6937 3 роки тому

      @@saromemaneno355 hahahaha halooooo ni kupatwa kwa wenge na wenge hilo litamuua kabla ya ck zake.

    • @saromemaneno355
      @saromemaneno355 3 роки тому

      @@elizabethmwandu6937 unakuwa mwanamke kichwani hamnazooo aiseee diva katuabishaaa kabsaa

  • @abdallahhussein5997
    @abdallahhussein5997 3 роки тому

    Dully unatetea uwovu

  • @salummuhamedkhan3730
    @salummuhamedkhan3730 3 роки тому +6

    Eti mabwege au mafala wahivo wapo mjini

  • @ramadhanabadallah9605
    @ramadhanabadallah9605 3 роки тому

    Diva mm nakutaka ww

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 3 роки тому +1

    Janamke mgongo kama Meza ya kamari eti halijui kupika na linajisifia nyokooooooooo

  • @ballomaster8066
    @ballomaster8066 3 роки тому +1

    Hatali sana

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 роки тому +1

    Wewe Mwanamke kweli chizi wanawake wa Kitanga wanajua kupiga sana ila wewe itakuwa ulikuwa ruka ruka Danga girly

    • @anneafrica939
      @anneafrica939 3 роки тому

      Ndugu ila watanga wanaotokea usambaani wanawake wa kisambaa hawajuwi kupika kabisa wanavyopika utachoka Bora wadigo wabondei wazigua Hao ndio wanaojuwa kupika.

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 роки тому

    Mtumzima ovyo kama sio hayo mawigi na kujichubua ungetisha zaidia Jinii😳🙏🤣

  • @raymondrenatus6122
    @raymondrenatus6122 3 роки тому +1

    The bwasiii 👸❤

  • @kulwamussa3612
    @kulwamussa3612 3 роки тому

    Mmmmmmmh wasanii wahunisana unajilamba kilamda diva tapeli wanawake kamahawa hawafai kabisa ukikutana nawaivi ingia mitini mapema sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 3 роки тому +1

    Hayo makucha marefu akienda chooni anatumia maji ama Karatasi

  • @maimujosephat148
    @maimujosephat148 3 роки тому

    Ila duly ushakua mkubwa, unalamba lamba lips kama choko na wew

  • @hilalidismas9490
    @hilalidismas9490 3 роки тому +1

    Kuolewa sahau ustegemee

  • @ibrahimziwanda830
    @ibrahimziwanda830 3 роки тому

    Duri kaka ukiwa nahuyo anakufa vampaya hiro

  • @belinajames3840
    @belinajames3840 2 роки тому

    Stoli ya kaka aliyeomba talaka

  • @harrizonken6662
    @harrizonken6662 3 роки тому

    Lit

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 3 роки тому +5

    Diva mtu mzima ila kama huwa hajielewi muda mwingine

  • @bamsnames149
    @bamsnames149 3 роки тому

    PRICE KAZ KWAKO

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 3 роки тому

    Hivi dully mpaka unafikia umri huo ulionao bado unajilambalamba tu midomo km dem!!?

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 3 роки тому

    Roho mbaya utampata wapi uyo mwanaume mjinga

  • @mosakaraideniiraidenii9069
    @mosakaraideniiraidenii9069 3 роки тому

    Mmmmmmhu kwa uchi upi mpaka upewa bilioni kumi ww

  • @Mikeys-m9w
    @Mikeys-m9w 3 роки тому +6

    🤣😂🤣 We love you DIVA ❤🤗🔥

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 3 роки тому

    Dooh eti hajui kupka mama yangu hakuna mke hapo

  • @morogorodoll397
    @morogorodoll397 3 роки тому +3

    Weweeee usitutanie wazalamo tusije kwa Kaka yetu kufanya ukaguzi Kama ushamlisha limbwata tumtemeshe haiwezekani Yani wazalamo na Kaka zetu usitutanie kabisa aiseee

    • @sarahomary3615
      @sarahomary3615 3 роки тому

      Awajui wazalamo wakiamuaga nyumba ya kaka ndiyo yao🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidmohamed1130
    @saidmohamed1130 3 роки тому

    Jamani huyu bibi Kizee Diva anasura mbaya kama cura loo

  • @Yi-05
    @Yi-05 3 роки тому

    hujui kupika umri huo sasa huyu mwanamke au watakuja wakwe wapikiwe na dada nonsense .....mwanamke kweli huyu eeeehhh..?

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 роки тому

    SAUTI YA DIVA TU INATISHA.

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 3 роки тому

    🤣🤣🤣eti 10 bilion ivi anaijua vzur inafanana vp

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 роки тому

    Nyambiza hilo

  • @jonesjoshua5850
    @jonesjoshua5850 3 роки тому +1

    watoto wap sasa

  • @الرعدالصغير-ت1ش
    @الرعدالصغير-ت1ش 3 роки тому

    Dully Kiboko😂😂😂

  • @najatsevans8864
    @najatsevans8864 3 роки тому +2

    Wewe hata mm na penda hivyo

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 3 роки тому +1

    diva kuolewa ni ndoto, endelea na huo upuuzi wa movie kama utazeekea nyumbani kwenu

    • @laurinfred2931
      @laurinfred2931 3 роки тому

      Azeeke Mara ngap

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 3 роки тому +1

      @@laurinfred2931 halijielewi liko kama lina akili ila halijitambui.

  • @elianzenge9500
    @elianzenge9500 3 роки тому +1

    Eti mabwege kama hao utawapata

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 3 роки тому

    Dully ulimi nyoka

  • @ben.breaker
    @ben.breaker 3 роки тому +1

    ua-cam.com/video/cTi4vOt4Wys/v-deo.html
    FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🔥🐉

  • @habbyhalawa5266
    @habbyhalawa5266 3 роки тому

    Diva uyu loooh🤔😏