Kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti!! Kwa UZOEFU gani! Kwa historia gani ya uongozi hata wa timu ya mtaa? Kuongea bila kuwa na majukumu is easy! Uongozi sio kitu rahisi!
@@B.M-ix4rz ni sawa lkn miraji huwa anaficha ukweli ana dili na ushabiki wa timu, lkn mzee side ni mkweli mtupu tena anasema potelea pote tunazaliwa mara moja na tunakufa mara moja na kww kuwa wamezoea kuteka na kutuweka ndan watatuweka ndani mno
Amechoka tumejivua mzigo mkubwa kabisa chama alikuwa ashachoka hawezi ata kukimbia huku nahuku timu inacheza kumzunguka yeye mbona mwanzo alikuwa anazunguka Kila sehemu kiungo kiungo et ndio tatizo kubwa Simba kwanini wakati chama yupo kwani hakuwaga namba nane mwanzo amechoka atafia yanga huko
Miraji miraji chama ameisha usifananishe na kibu Denis mwenyewe huamini kama anaweza cheza dakika 90 apo TU umekiri mwenyewe Sasa wanini na mshahara wake unaujua pia chama mpira ukimshinda anachochea migomo kwa wachezaji wengine kamuharibu phiri na miqsoni kaizoea timu vibaya adi viongozi anawadharau aende apisha wachezaji wa kisasa ww Kaa utulie
Cc tunaumia zaidi tukifungwa na mtani na kwenye gem zetu na mtani chama was nothing alikua anatuhujumu kwenye gem izo lkn c kwamba chama kashuka kiwango hapana. Tunampenda sana, katufurahisha sana lkn mechi za mtani kutuhujumu bora aende tu.
Kwani uwanjani alikuwa anacheza Chama peke yake?Iweje awe anaihujumu Simba?Ni mara ngapi Simba wamepata matokeo wakati Chama yupo benchi?Kwa misimu miwili ya nyuma kabla huu wa 2024,umeangalia namba za Chama akiwa Simba?Unatambau kwanini namba za Chama mwaka 2023/2024 kwanini zinaonekana zimeshuka?Mambo mengi na muda mchache, subiri matendo kwenye uwanja kwa tripple C,hapo utajifunza kitu
Miraji huo ndio udunduka mlio nao unamwacha mtu mwenye magoli 10 unampa mkataba mtu mwenye goli moja kibu hohohoh,chama hamjamwacha chama ndiye kawaacha hohoho ndio mana bado wanamtaka uwongozi wa simba haujielewi na hawajui nn wanataka
Hekima ya Neno hili limenijenga zaidi "Kunawakati lazima upoteze unachokipenda ili kikujenge kuwa imara zaidi, lakini kama haujajitambua kinaweza kikakupoteza au kukuharibu zaidi🎉🎉
Miraj always namuelewa ila leo naona kuna sehemu tumetofautiana kimawazo na kiuelewa! Binafsi ishu ya chama kuondok lazima ingeleta tuu mgawanyiko kwa mashabik na hili wala sio ttzo la viongozi coz huwez control hisia za watu. Lkn pia Chama amekuwa legend wa simba soo kitendo cha yeye kwenda kusign kwa wapinzani wakubwa wa simba lazima wangetokea watu kum-crush. Mfano ikitokea leo mchezaj kipenzi wa Al-ahli akaenda zamalek jua kuna mashabik wengi watam-crush kwa sabb hyo. Soo nafikir issue ya chama wala viongozi hawajatugombanisha bali ni hisia tuu za baadhi ya mashabiki baada ya yy kuhamia kwa wapinzani.
Hapo Miraji unazingua, kwahiyo mchezaji haiangaliwi kwenye Namba zake tu. Na huwezi kumpa Chama heshima kubwa hivyo kuliko Club, bro haipo hiyo kwanza utambue mchezaji wako alishakuwa na mahusiano na maadui kitambo na alishaonesha utovu wa nidhamu kitambo. Kuhusu THANK YOU haikubaki yake tu zipo nyingi zinakuja
Miraj hapo unafel cham hadharauliw ila watu wanataka kumwondoa mioyon mwao tunapaxwa kuwafikilia wanao kuja kuitumikia ximba xio chama tena tumwache aende alafu unalazimixha thank you y cham ilitakiwa mapema kixhelia ulitak ximba wamlipe kw xabab mkatab wake ulikuwa hauja ixha n ndio maan hata yanga wamexbir mbak amalize mkatab wak ndio wamtangaze
miraji acha jaziba hakuna anae ubeza ukubwa wa chama au uwezo wa chama miraji tukubali mabadiliko tunaitaji kzazi kpya Tim ilisha poteza muelekeo tunaitaji kuijenga Simba mpya bila chama
Huyu nae ni mnafiki sana. Juzi tu yeye ndie aliyekuwa anaongoza kutaka Chama aachwe kisa tu alishiriki kuhujumu mechi ya goli 5 Simba ilipo fungwa na utopolo.
Miraji unakuwaga na mihemko sana .. siyo siku ile tumepigwa tano ulisema kuna wachezaji wametupigisha shoti? Siku ile Chama wamegomabana fitness coach hukusema Chama ni tatizo? Leo unalalamika nn Chama kuachwa?
Huyu ansema mtego maana yake nini Wewe haufamu chama gari model ya zamani lifetime yake ni Mwaka moja tuu na chama alikuwa anataka dola milloni moja mkataba mpya hata mo alikuwa full stop
Miraji Mimi nakuombea siku moja uje kuwa moja ya viongozi pale Simba, akili kubwa sana mwana unayo 🎉
Kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti!! Kwa UZOEFU gani! Kwa historia gani ya uongozi hata wa timu ya mtaa? Kuongea bila kuwa na majukumu is easy! Uongozi sio kitu rahisi!
Hatimae na miraji huyu hapo sasa hapa moyo wangu burudanii mzee saidi nishamsikiliza ❤❤
Miraji kuna muda nakuelewa kuna muda sikuelewi lakini all n all❤❤❤uu
Milaji taratibu mabega ya chagamba tunamtegea usije kumtengua
😅😅😅😅😅😅
Tunamtegemea hasa hasa kwa ajili ya mazungumzo na mzee wetu saidi, bhana
Tofauti ya miraji na mzee said ni :
Chagamba akimuhoji mzee said anapata faraja na kucheka
Miraji xaxa ni kipigo tuuu
@@B.M-ix4rz ni sawa lkn miraji huwa anaficha ukweli ana dili na ushabiki wa timu, lkn mzee side ni mkweli mtupu tena anasema potelea pote tunazaliwa mara moja na tunakufa mara moja na kww kuwa wamezoea kuteka na kutuweka ndan watatuweka ndani mno
@@B.M-ix4rz dah namuonea huruma sana chagamba si kwa mikofi hiyo ila mwambieni miraji anamuumiza sana chagamba
KIBU DANIS is Fantastic PLAYER
MAKOCHA wote wakubwa waliopita SIMBA, wamemkubali SIMBA
kibu Denis sio fantastic goal moja Kwa msimu assist moja huo ufantastic upo wapi?
Vp kuhusu Chama
@@drallan6879 MPIRA NI ZAID YA GOLI NA ASSIST.
GOLI NI MCHAKATO, NA ASSIST NI MCHAKATO.
Watoto wajuZi hawajui MPIRA
@@drallan6879 NGOLO KANTE Ana GOLI ngapi na assist ngapi???
Na ilikuwa mnampiga mawe vbaya mnooo
Akili kubwa miraji, hongera broo
Hakuna asiyempenda chama ila ndugu kunawakati usiwe mtumwa wa mapenzi utajikuta kubaki hapohapo bila maendeleo
What he has said is its ok for him to leave but simber fc must recognize his contribution to simba…respect kwa chagamba
Kwahiyo Bora umchukie mtu bila 7bu
shida ni baadhi ya mashabiki huwa hatujielewi unakuta unamtukana mchezaji mpira haupo hivo
Jamaaa anajua sana soka👏👏
Hapo miraji ndiyo napokukubali ukweli wako tu
CR7
MIRAJI kwakwel wewe unaujuwa mpira pamoja na management yeyote ya mpira wa miguu..! upo vizuri sana nakukubali.....!
Tunapiga kweny mshono 7:01 🔜🤲🏻🤲🏻🏆💚💚 yanga bingwa 🏆🏆😊😊😊
Miraji ulisema unasubiri thenk you ya chama.leo unalaimu uongozi na unajua ni duka ,inonga na manura yote ni maduka
Uwe unaskiliza kwa makini..anachokikataa milaji n zarau anazoletewa chamq n viongozi..
Wewe chiz subili sasa c ndo msimu imefka toa unayoamin maduka afu tuone kama hata utachukua hata kikombe Cha chai ndo maana munaitwa madunduka 😂
Appreciate you ankor l@miraj
Chama kaenda sawa ❤tunaomba mtuletee wazur zaid maana mtatuuwa
😂😂😂😂😂hamtakufa bn ila chamoto mtakiona
Mimi niyanga rakini milaji unakuwaga mkwer xan tatizo mpira we2 unaendeshwa kisiasa
Siwezi kumzarau chama juu ameyafanya mengi kwa ajili ya Simba nitamuweka moyoni ijapokuwa amehenda utopolo nitamshabikia lakini mm Niko Simba 100%
Kolo tulia acha uboya makolo ni mafala
Mimi nakubali maneno Yako miraji napenda ukweli Bado usajili Mimi sielewi kabisaaaa
Miraji bigap
Kocha aliyepo haitaji kutengeneza mifumo kumzunguka Chama swali ni kwanini siku za hivi karibun makocha wengi walioingia Simba hawakuwa wakimuelewa
Amechoka tumejivua mzigo mkubwa kabisa chama alikuwa ashachoka hawezi ata kukimbia huku nahuku timu inacheza kumzunguka yeye mbona mwanzo alikuwa anazunguka Kila sehemu kiungo kiungo et ndio tatizo kubwa Simba kwanini wakati chama yupo kwani hakuwaga namba nane mwanzo amechoka atafia yanga huko
Miraji miraji chama ameisha usifananishe na kibu Denis mwenyewe huamini kama anaweza cheza dakika 90 apo TU umekiri mwenyewe Sasa wanini na mshahara wake unaujua pia chama mpira ukimshinda anachochea migomo kwa wachezaji wengine kamuharibu phiri na miqsoni kaizoea timu vibaya adi viongozi anawadharau aende apisha wachezaji wa kisasa ww Kaa utulie
Nakubali sana wanaa 😂😂ila chama tumesha mubeba imeisha iyooo 💛💚💛💚😂😂
Yes,akitoa MZEE SAID anafuata MIRAJI Mahojiano bora sana this moment CHAGAMBA
Yupo kwa ulaya alikuwa Michael Owen alikuwa Manchester United kaenda Liverpool na akarud ten Manchester United babaaa
Owen hakuwahi rudi Liverpool
😂😂😂chagamba ilo bango la BIMA miraji atalitoboa😅😅😅
Miraji akilii yko ni level nyengine lkini wengine ni mavuvuzelaa
Viongozi wawe watulivu kiakili kumudu mambo kukaa kwenye mstali mnyoofu🎉
Mabega hyo miraji utatuulia ch@gamba wetu
Maneno ya maana kama haya ya Miraji huwezi kuyapata kwa Kisugu CHAWA, mzaramo TUMBO wala yule KOFIA la JOKERI...!...Big up Miraji
Hahahaaaa kofia la joker😂😂😂 kinaitwa pass million
😂😅😂😅 Eti Kofia La Jokeli "
Chama hakimbiii ,hauwezi kuwa na mchezaji ambaye amekuwa mkubwa kuliko timu
Cc tunaumia zaidi tukifungwa na mtani na kwenye gem zetu na mtani chama was nothing alikua anatuhujumu kwenye gem izo lkn c kwamba chama kashuka kiwango hapana. Tunampenda sana, katufurahisha sana lkn mechi za mtani kutuhujumu bora aende tu.
Una uhakika?
@@mohdkhatib223bado dawa haijawaingia ngoja ligi ianze tuwape ingine
Kwani uwanjani alikuwa anacheza Chama peke yake?Iweje awe anaihujumu Simba?Ni mara ngapi Simba wamepata matokeo wakati Chama yupo benchi?Kwa misimu miwili ya nyuma kabla huu wa 2024,umeangalia namba za Chama akiwa Simba?Unatambau kwanini namba za Chama mwaka 2023/2024 kwanini zinaonekana zimeshuka?Mambo mengi na muda mchache, subiri matendo kwenye uwanja kwa tripple C,hapo utajifunza kitu
MIRAJI ni mtu wa football na anajua sana 🫡🫡
Ahmed ally ni msenge sana abaporojo nying mno wanamtumia vby mno
Simba
miraji umeongea vema kabisa na chama alistahili thank you mapema mno ili kutuliza mioyo yetu hapa wanatugawa na kutusambalatisha vilivyo viongozi wetu
Sasa milaji Chama angepewa thank you mapema wakati mkataba wake ulikuwa unaishia mwezi wa Sita mwishoni
Labda angemlipa yeye kuvunja mkataba 😂
Sawa miraji Mimi mpenzi clip zako zote kwa hili😮😢😢unakosra Acha Aende
😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii nilikuwa namsubili miraji na chagamba wangu 😂😂😂CHAGAMBA LEO BEGA HUNA 😂😂😂😂😂
😊
😂😂😂😂😂
Gambaaa chagambaaaaaa 🎉🎉gambaaa baba
Yebhagamwe
Kweli kaka miraji pale msemaji Mimi Kila siku namwambia msemaji asipende kumsifia wachezaji wanarogwa kabra hata awaingia uwanjani,mfani ukuta wa yeriko onana Fredi fungafunga babakari Sali tuliambiwa alimkaba ronado sasa yakowapi niwengi mno
Miraji nakuelewa sana, tutakuja kuaibika halaf tutatafuta majib ya nn kimetokea
mabega hayo unapo kuwa unamuhoji milaji unatakiwa uwe nagad yatakuja kung'oka ❤❤
Miraji huo ndio udunduka mlio nao unamwacha mtu mwenye magoli 10 unampa mkataba mtu mwenye goli moja kibu hohohoh,chama hamjamwacha chama ndiye kawaacha hohoho ndio mana bado wanamtaka uwongozi wa simba haujielewi na hawajui nn wanataka
Nakukubali kabisa
Kaka miraji umengea vibaya sana asante
Hatuwezi kuathirika kila jambo lina muda wake. Hakuna mtego hapo Hata Kibu mm simkubali angeondoka tuu nae
Uko vizuri miraji
Miraji kaumia chama kuondoka bn Hana lolote😂😂😂😂
Chama hakupewa thank u mapema kwa sababu mkataba wake ulikuwa unaisha trh 30 Juni
Kwani mpaka leo wameshampa thank you?
Hekima ya Neno hili limenijenga zaidi "Kunawakati lazima upoteze unachokipenda ili kikujenge kuwa imara zaidi, lakini kama haujajitambua kinaweza kikakupoteza au kukuharibu zaidi🎉🎉
Nimekusoma mzee baba
Miraji kama kuna mtu imemuuma sana chama kwenda huko utopoloni amfuate huko aliko Atuachie simba yetu
Lazima chama awapige bao nyie makolo kwinyo
Miraj always namuelewa ila leo naona kuna sehemu tumetofautiana kimawazo na kiuelewa!
Binafsi ishu ya chama kuondok lazima ingeleta tuu mgawanyiko kwa mashabik na hili wala sio ttzo la viongozi coz huwez control hisia za watu.
Lkn pia Chama amekuwa legend wa simba soo kitendo cha yeye kwenda kusign kwa wapinzani wakubwa wa simba lazima wangetokea watu kum-crush.
Mfano ikitokea leo mchezaj kipenzi wa Al-ahli akaenda zamalek jua kuna mashabik wengi watam-crush kwa sabb hyo.
Soo nafikir issue ya chama wala viongozi hawajatugombanisha bali ni hisia tuu za baadhi ya mashabiki baada ya yy kuhamia kwa wapinzani.
Milaji uko sahihi viongozi hatuna aseee
Wewe ndo una matatizo ya kumganda mchezaji mmoja😊
Hivi chagamba unawezaje kuhimili makofi makubwamakubwa hvo kutoka kwa miraji 😂😂😂
Hapo Miraji unazingua, kwahiyo mchezaji haiangaliwi kwenye Namba zake tu. Na huwezi kumpa Chama heshima kubwa hivyo kuliko Club, bro haipo hiyo kwanza utambue mchezaji wako alishakuwa na mahusiano na maadui kitambo na alishaonesha utovu wa nidhamu kitambo.
Kuhusu THANK YOU haikubaki yake tu zipo nyingi zinakuja
unausibitisho...???
chagamba we mvumilivu sana Kwa hayo makofi ya miraji
Hata boss wetu ni msenge mtu hana maamuzi ya haraka
Miraji upo sahihi kabisa, chama sio tatizo la Simba kushuka
Chagamba Huna mpango wowote basi nenda yanga ujinga tu nenda kwa mzee mwenzako
Chagamba miraji big up
❤❤namkubalisana milaji bigap
Ahamed Ali muambieni aache kuwasifia wachezaji sana anawapaka mafta mno hiz nisimba na yanga babu
Kaka Miraji yupo sahihi kabisa
Miraj hapo unafel cham hadharauliw ila watu wanataka kumwondoa mioyon mwao tunapaxwa kuwafikilia wanao kuja kuitumikia ximba xio chama tena tumwache aende alafu unalazimixha thank you y cham ilitakiwa mapema kixhelia ulitak ximba wamlipe kw xabab mkatab wake ulikuwa hauja ixha n ndio maan hata yanga wamexbir mbak amalize mkatab wak ndio wamtangaze
miraji acha jaziba hakuna anae ubeza ukubwa wa chama au uwezo wa chama miraji tukubali mabadiliko tunaitaji kzazi kpya Tim ilisha poteza muelekeo tunaitaji kuijenga Simba mpya bila chama
Acha ushamba Broo chama ninani achaufala aendetu nimaamuzi yake
Mwamba Maramoja nlikua nakungoja sana
Begaaa baba begaaa Baba miraji wee😂😂😂😂
Ronald kwend Madrid kurud United au sio dabi
Acha na wewe hapo Umefeli ulitaka abaki hadi lini, tuambie
Bega la chagamba baadaa ya interview lazima ukandwe😂😂😂
Wwwww kaka milaji mbna uyo jamaaa atamaliza kukuoji asha umia ety
Watu atujachukia chama kuondoka watu wanamchukia chama kwenda yanga labda ujaelewa
Huyu nae ni mnafiki sana. Juzi tu yeye ndie aliyekuwa anaongoza kutaka Chama aachwe kisa tu alishiriki kuhujumu mechi ya goli 5 Simba ilipo fungwa na utopolo.
Mwanangu miraji aka benchika
Miraji unakuwaga na mihemko sana .. siyo siku ile tumepigwa tano ulisema kuna wachezaji wametupigisha shoti? Siku ile Chama wamegomabana fitness coach hukusema Chama ni tatizo? Leo unalalamika nn Chama kuachwa?
Mambo bado san simba inatisha sijuwi itawaje
we miraji ni mpumbavu sijwahi kuona ata siku moja, uizungumzie simba vizuri kila siku nikuitoa kasoro hakuna ata siku moja ukaiongelea kwa uzuri.
Alafu acha uongo wana ximba tumempokea mutale labda ww tu ndio hujampokea mbon unamzungumzia xana chama kuliko ximba leo umefel
Panadol umekunywa chagamba😅😅😅
Miraji cku atakuja kumuwamba makofi chagamba bila kutaraji 😂😂😂 au kumvunja mabega kabsa😂😂😂
Ukimpa thank you mapema unakuwa umevunja mkatab viongoz walikuw xahh kuxubil mkatab uixhe
Na mbona mkataba umeisha hawajatoa official Thank you?? Lini umeona Simba imepost kuwa imeachana na chama hata badala ya mkataba kuisha?
Huyu ansema mtego maana yake nini
Wewe haufamu chama gari model ya zamani lifetime yake ni Mwaka moja tuu na chama alikuwa anataka dola milloni moja mkataba mpya hata mo alikuwa full stop
Mwamba uko vizr sana
Kila kitu kinamwisho wake wacheni mambo yenu hayo aachwe waje wengine, unamkumbuka madaraka sleiman , Nteze John , Suleiman Matola
Milaji uko pw sana🎉🎉🎉🎉🎉
Miraji angalia mabega ya Chagamba😂😂
Miraji utamumiza huyo chagamba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nice
Rivaldo borba Ferreira mtu na chenchi 😂😂😂
Kaka akuna dharau alizo fachiwa chama. Kaachwa kwann tusikubali mi naamini atuuingii shimoni
MIRAJ mabega ya chagamba Mzee utaua😂😂
Yani miraji bwnaa
Miraji utatengua bega la chagamba
Miraji waambie ukweli awo makolo awajielewi😂😂
Miraji utamuuwa chagamba sio Kwa mikof iyo ya bega
Eeh miraji taratibu vidole na macho ta chagamba 😂😂😂 tunamtegemea bado
Wewe acha kuchochea ujinga waache viongozi watengeneze timu huwo ni ujinga au nawewe ni utopolo