Hamed Ali hekma nyingi busara anajuwa kuongeya.bila matusi ana maneno mazuri ya kuliwaza mashabiki na kuwapoza wanakapo kuwa wapo kwenye maumivu Hamed Ali akifungwa anakubali hana ubishi.
Wewe sema tu ni matopolo wakiongozwa na bosi wao. Hvi na sisi hatuwezi tukatembea nao? Wana Simba tafadhalini tulale nao hao titi fo tati, wasitunyanyase ki hivyo! Hapa Power Dynamos utopolo walicheza sana.
ally kamwe yupo vizuri kuliko hai wote huliowataja mi kiukweli napenda nimsikilize huyo ally kamwe sbb ni mtu anazungumza fact sana kuliko Hamed ally ni muongo2
Skuizi miraji unapotea unapoteza mashabik zako na nnawasiwasi cjuwi kama huchukui bahasha mana fakty zako ckuiz zipo chini ya kiwango kama Cha onano na Hafiz cocon amini miraji unazinguwa tokea kupijwa 5g?
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa 🇹🇿
Hamed Ali hekma nyingi busara anajuwa kuongeya.bila matusi ana maneno mazuri ya kuliwaza mashabiki na kuwapoza wanakapo kuwa wapo kwenye maumivu Hamed Ali akifungwa anakubali hana ubishi.
Hamedy ni komedian ana ubora wowote kazi kubwa anayo ifanya ni kuwa fix makoro
Bravo miraji kwakutusanua akili wanamsimbazi kuusu unafiki wa utopolo
dada kua mvumilivu na miraji atakipiga mabegani mpaka mwisho wa intavyu 😂😂😂😂
Wewe sema tu ni matopolo wakiongozwa na bosi wao.
Hvi na sisi hatuwezi tukatembea nao?
Wana Simba tafadhalini tulale nao hao titi fo tati, wasitunyanyase ki hivyo! Hapa Power Dynamos utopolo walicheza sana.
Kumbe Kuna asec hapa bongo😅😅😅😅
Ahmed Ally hana siyo msemaji ni muimba taarabu
Ahamed Ally muongo sana kawazi wote kwa uongo
ally kamwe yupo vizuri kuliko hai wote huliowataja mi kiukweli napenda nimsikilize huyo ally kamwe sbb ni mtu anazungumza fact sana kuliko Hamed ally ni muongo2
Manara ni Bora kuliko wote
Skuizi miraji unapotea unapoteza mashabik zako na nnawasiwasi cjuwi kama huchukui bahasha mana fakty zako ckuiz zipo chini ya kiwango kama Cha onano na Hafiz cocon amini miraji unazinguwa tokea kupijwa 5g?
Chawa la ahmd ally🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uto wanaroho mbaya sana
Bado hujasema