SNAKE BOY | ep 17 | SEASON TWO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 тра 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 1,8 тис.

  • @ashurahamiss
    @ashurahamiss 21 день тому +548

    Nikisema me wa kwanza Kuna wat watabisha 😂😂😂akat nko online mda ote kwanzia saa6 nipen ka like bhc naishiag kupata like 3 2 bhc 😢😢😢hata kwaajil ya team snake boy😢😢❤❤

    • @jumaiddyyusuph
      @jumaiddyyusuph 20 днів тому +21

      Umeomba sana acha tukupe😂

    • @ashurahamiss
      @ashurahamiss 20 днів тому +16

      @@jumaiddyyusuph 😂😂😂luuuh imagine nmeandka mesej Kwa kupiga magot mrad UJUMBE ufke Kwa Wana himaya 😂😂😕acha kbsa

    • @user-qm5fz7ee2g
      @user-qm5fz7ee2g 20 днів тому +9

      M toka saa tatu asubuh nko online

    • @user-jl5zh6qi2w
      @user-jl5zh6qi2w 20 днів тому +6

      Izo like zinawatomba au?

    • @ashurahamiss
      @ashurahamiss 20 днів тому

      @@user-jl5zh6qi2w pka tunamwaga ubongoo😏😏

  • @NajmaHassan792
    @NajmaHassan792 21 день тому +99

    Jamen kwan wtu wanalala youtube😂😂😂😂Aya nipeni like hta 10 bac

  • @user-ju7si5up3i
    @user-ju7si5up3i 20 днів тому +43

    Nimefurahi sana kipara leo kula kipigo maana alizidi umbea

  • @marryjames-wl7be
    @marryjames-wl7be 20 днів тому +39

    Naiona vita kati ya nzinga na huyu chief wa himaya ya nyoka baada ya kumchukua mshangazi wake 😂😂hakika ndo kumekucha🔥🔥

    • @benclever
      @benclever 20 днів тому

      Ata mi nimeliona ilo, zinga hawez kubali mshangaz wake aende kizembe,, wanasanaa tumelitabiri ilo

    • @MafundiMkojera
      @MafundiMkojera 20 днів тому +1

      Na akijua yule binti alombaka ana mimba yake cjw imaya ya nzoya itakuwaj 😂😂you

    • @thetrends9973
      @thetrends9973 14 днів тому

      ​@@benclevermshangazi wa zinga😅😅😅

    • @ShakilaSaidy-xx7ye
      @ShakilaSaidy-xx7ye 8 днів тому

      mh km alipoofikiy aludi kwa tanz sikwamikof hiyooo 😂😂😂

  • @ibrahimissaya3398
    @ibrahimissaya3398 20 днів тому +96

    Kama unamkubali clam na hana baya gonga like za kutosha vevo komasave kaka

  • @oppahoppzo3876
    @oppahoppzo3876 20 днів тому +191

    Kazi ipo poa sana kama mnaliona hilo bac 2juane kwa like hpa ❤❤❤❤❤❤

  • @johannesnyabara2527
    @johannesnyabara2527 20 днів тому +42

    Huyu mganga ni fundi sana, amekuja kuongeza ushindani dhidi ya mganga wa taifa Mwakatobe, pongezi Clam VEVO TZ na kundi lako aki mnanibariki sana Kwa kazi zenu nzuri

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 19 днів тому +1

      Upo saii chili yupo vzr mno🔥

  • @farajapatison9129
    @farajapatison9129 20 днів тому +8

    Wote mliowahi tumeni salamu kwa watu watano kwa mb zangu

  • @dinismitau639
    @dinismitau639 21 день тому +80

    Wakwaza Mimi naomba like zenu by mozambike

  • @basheerunurdeen5113
    @basheerunurdeen5113 20 днів тому +34

    Mbona kila comments ni naomb like au mm wa kwanza kwnn tusicomment kuuc ubora na mapungufu ya Series yetu pendwa , nawasilisha🙌🙌❤️

    • @user-jv7kr2vf5y
      @user-jv7kr2vf5y 19 днів тому +2

      Kweli bro

    • @Lovekidoti32
      @Lovekidoti32 18 днів тому

      Upo sahihi kabisa watu wanakera sana utasema like ni chakula

  • @OfficialJarden
    @OfficialJarden 20 днів тому +50

    Leo nimekuwa wa mwisho kutoka canada but tunaendelea kusupport weka like tuendee sawa

    • @assmamohd2876
      @assmamohd2876 17 днів тому

      Canada which,Canada where,Canada what😂😂😂😂

  • @JeremiahCharles-vi5so
    @JeremiahCharles-vi5so 20 днів тому +53

    Nikisema mm nimewah uongo nimechelew lakin naomba like zangu mnifungie sili Tz nitakula South Africa naipenda sana snake boy naikitokea South Africa Johnsburg 🇿🇦

  • @naymgavino1157
    @naymgavino1157 20 днів тому +82

    Mi wakwanza Congo goma Nord-Kivu abelpatisserie9 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @CharlotteMutambala
    @CharlotteMutambala 21 день тому +173

    Namimi leo nime wahi nimekuwa wakwanza mnipe like zangu 🎉🎉

  • @Harmontwo255
    @Harmontwo255 20 днів тому +27

    Yani mimi sipataki ata like moja depuis niaze commenti izi vidéo za brother Clam leo mimi wakwanza naomba like ata tatu tu

  • @LillianKaijunga-cp1jv
    @LillianKaijunga-cp1jv 20 днів тому +21

    Kusema ukweli kazi ni nzuri sana mwenyezi MUNGU awaongoze muendelee kutuburudisha 🎉🎉❤❤❤

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 21 день тому +105

    Leo me wakwanza jaman nipen like zang tafadhal

  • @FidelAugustomachalamalaMachala
    @FidelAugustomachalamalaMachala 21 день тому +58

    Leo mimi wakwaza nipeni like mzangu from Mozambique

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 20 днів тому +16

    Snake boy is the best movie in Africa.. yaani ata bila kuwepo kwa clam na Zinga.. movie inaenda vizurii.. congratulations clam vevo gang.. huyo dada wa mlevi anawezaaa.. sign her

  • @JescaPhares
    @JescaPhares 20 днів тому +21

    Am in love with that witch doctor ☺️☺️(zinga’s teacher)

  • @OmariMiraji
    @OmariMiraji 21 день тому +62

    Namm leo nimekuwa wakwanza naomben walau like 20 tu

  • @BarakaHanjari
    @BarakaHanjari 20 днів тому +38

    Waķwanza n mm imebidi niwaache mcomment kwanza ili bdae niombe likes zangu....baraka from mombasa Kenya

  • @alyjunbaun6515
    @alyjunbaun6515 19 днів тому +5

    Semanini Mwakatibe usifanye Ivo man utanifanya nishindwe Kula Kuku kak🤣🤣🤣🤲

  • @user-cu4ik3lb6x
    @user-cu4ik3lb6x 20 днів тому +6

    Alfu we clamu una hakili sana kumleta chili kwenye sneaky boy nkubalii sana 🙏🙏 naombeni like zenu hapaa ndugu zangu 💪💪

  • @CalivinNjau
    @CalivinNjau 20 днів тому +98

    Ngonga like kwa clam vevo from 🎉🎉🎉

  • @tomke5953
    @tomke5953 21 день тому +43

    Wakwanza banaa clam wapy like angu❤❤ from kenya

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 20 днів тому +13

    Wa mwisho ila nakubali clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤❤

  • @josephinebrown7951
    @josephinebrown7951 19 днів тому +3

    YAANI HUMu sio ku comment kupongeza kazi ya clam bali ni watu kung'ang'ani kupewa like😅😅😅😅 this is Tz

  • @hassankalu540
    @hassankalu540 20 днів тому +43

    This banger is bigger than anything within 2 mins 1.2k views guys si leo mnipe izo likes jamani am watching from Mombasa

  • @AmirRashid-dw2sb
    @AmirRashid-dw2sb 20 днів тому +26

    Leo angalau nimewahi from +254💪💪💪💪

  • @Spagles
    @Spagles 20 днів тому +13

    MOVIE FROM TANZANIA🇹🇿 TO THE WORLD...BIG UP MY BROTHER CLAM.

  • @professor1992
    @professor1992 20 днів тому +4

    Kutoka Kenya am ohangla gospel rhumba nipewe likes mukinifuata kazi safi 🎉🎉🎉🎉

  • @user-xy6yf4kz2i
    @user-xy6yf4kz2i 21 день тому +32

    Wakwanza leo kubababake😊😊

  • @cretrinomz
    @cretrinomz 21 день тому +31

    leo noma sana, naipenda sana hi filamu

  • @AngelSilas-yi3sd
    @AngelSilas-yi3sd 20 днів тому +8

    Kanzi nzuri clam mungu akupe nguvu uendelee kutuletea mambo mazuli❤❤

  • @IreneSambala-xj8oq
    @IreneSambala-xj8oq 18 днів тому +2

    Alooooh kipigo Cha kibara Leo kimenifrahisha Sanaa akome

  • @ramadhanichiputa3195
    @ramadhanichiputa3195 21 день тому +58

    Wonderful ..namba Moja apa like zangu nadai

  • @ramadhanmbai648
    @ramadhanmbai648 21 день тому +24

    Wa kwanza kutoka Kenya. Napenda movie za clam sana❤

  • @user-ru9rk5he8u
    @user-ru9rk5he8u 20 днів тому +9

    Wa mwisho jmn eee Kila mtu wakwanza tuu nipen like wamwisho

  • @chiefmkuu1131
    @chiefmkuu1131 20 днів тому +8

    Huyu kaka wa bint aliepata ujauzito wa mwakatobe muna uhakika sio Fredy michael coblan wa simba kwel 😅

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 21 день тому +24

    Nadhan unanifanya sinanga tabia za umbea io sio michongo yangu nishaanga 😂Wa kwanza team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪 km wapenda snake boy like apa please nawapenda nyote ❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦♥️♥️

  • @maratochacha5308
    @maratochacha5308 20 днів тому +24

    Mpeni maua yake Clamo kwa filamu nzuri... 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 20 днів тому +8

    Love you butua for defending your sister ❤, wakitaka kumua dadako wakuue na ww thumb 👍 #butua umefanya vizuri kumbutua huyo kipara😂😂

  • @user-jv7kr2vf5y
    @user-jv7kr2vf5y 19 днів тому +3

    Mbona kila mtu anaomba like tu kwann tusicomment kuhusu mapungufu na uzuri wa series yetu pendwa

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ 20 днів тому +22

    dah nimewahiwahi naombeni like zangu from Tz

  • @BrianMakongo-kw7sb
    @BrianMakongo-kw7sb 20 днів тому +48

    Clam fundi sanah

  • @user-fh1fi1wl2x
    @user-fh1fi1wl2x 20 днів тому +5

    Yani hatulali kabsaa jisaa moja comments kama zote...hongeara Sana team clamo vevo

  • @user-xi8ll6ub4j
    @user-xi8ll6ub4j 20 днів тому +4

    Malikia Leo umependez kulik ckuzot😅nakuog umeog

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 20 днів тому +30

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @user-yg7dy8ls9e
      @user-yg7dy8ls9e 20 днів тому +1

      Mbona unatufokea ashen ashoyo ndo ñn 😊

    • @ViolethAmos
      @ViolethAmos 20 днів тому

      😅😅😅😅😅😅 yaan ww​@@user-yg7dy8ls9e

  • @rj_tr._ref._cfcfan.
    @rj_tr._ref._cfcfan. 20 днів тому +34

    Representing all Kenyans. The Kenyan snake 🐍 boy❤❤❤.. much love.

  • @richardharuna2118
    @richardharuna2118 20 днів тому +3

    Bakwanza mm ama buclam bafafanya kazi nzuri sana uku kwet penda sana iyo dogo🎉

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 20 днів тому +3

    Dakika ziko Poa alhamdulillah nimeshiba kiasi Asante mr director kakoso na clam na wanahimaya nyote mlioshiriki

  • @user-gt8wb4it1d
    @user-gt8wb4it1d 20 днів тому +17

    Wewe kipari wewe noma saana, nazani banakufahamu haunaga tabia zaumbea umbea😂😂😂 kipala bwana coût de chapeau

  • @BenaVictor_254
    @BenaVictor_254 20 днів тому +12

    Kazi nzuri 🎉
    Kipara naye anaskia Kila kitu 😂 lakini tunamfahamu, Hana tabia za umbea umbea 😂😂

  • @shwalysaid3315
    @shwalysaid3315 20 днів тому +3

    Oya cram uyo kipala ebu mtafutien sen Moja ya kufa kwanza afe atoke kwenye hii movie 🤕🤕🤕😡😁😁 daah😇😇

  • @benjaminmahenge2086
    @benjaminmahenge2086 20 днів тому +3

    Hii inaboa sanaaaa
    Huwez kuweka vidakikaaa vichache hvyo ….
    Ukiangaliaa kidogo tu imeishaaa
    Mnakoseaaa sanaaa

  • @evansoburchy5000
    @evansoburchy5000 20 днів тому +24

    Vila kazi nzuri nakupenda sana akiingiza kama mganga😘#bravo

  • @mariamkhalid9713
    @mariamkhalid9713 21 день тому +26

    Wa kwanza jameni kutoka kenya mob love

  • @Benaty-dreadlocks
    @Benaty-dreadlocks 20 днів тому +2

    Wakwanza❤wapo bwana😢😢

  • @estevaojacintomuome5253
    @estevaojacintomuome5253 19 днів тому +1

    Mi sijijui wangapi please naomba like from mozambique Mueda distrito

  • @lecrajohnson-yf1de
    @lecrajohnson-yf1de 20 днів тому +23

    Courage vous êtes les braves je vous écrivez depuis kolwezi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @saidihamisi315
    @saidihamisi315 21 день тому +31

    wangapi leo

  • @bakariwambua4371
    @bakariwambua4371 20 днів тому +6

    Kila mtu wa kwanza basi Mimi wa mwisho Toka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪gonga like twende pamoja👍👍👍🤏🤏🤏

  • @festomathiasy1823
    @festomathiasy1823 16 днів тому +2

    @clamvevo achia chuma mzee tunakisubiri kwa moyo mmoja 🇹🇿

  • @marickchangwa5113
    @marickchangwa5113 21 день тому +112

    Nipeni like zangu kabisa wa kwannza leo

  • @SalimMtakama
    @SalimMtakama 21 день тому +34

    Wakwanzaaa clam vevo 🔥🔥🔥🔥

  • @SamwelMarada-ef3uo
    @SamwelMarada-ef3uo 20 днів тому +3

    Clam unajitahidi xana na nampenda xana kaz zako hasa hapa ilipo fikia do penyewe hasa hongera xan clam endelea kufanya mambo mazur

  • @yastone5266
    @yastone5266 20 днів тому +3

    Bubuuuu kasemaaa kumaaaa maeeeeeeee waloo isikiaa iyoo ya bubuu nimpeni like hapaaa

  • @AMINAABDUL-tq6sg
    @AMINAABDUL-tq6sg 21 день тому +34

    Kwa wanza kulike❤

  • @icker_elly
    @icker_elly 20 днів тому +26

    Clam vivo ebu fanya uoneshe nguvu zako basi unatia huruma sana

  • @user-lh4jb2ts3d
    @user-lh4jb2ts3d 20 днів тому +2

    Japo nimechelewa ila najua watu wangu wa nguvu hamuezi nitenga, hata likes kadhaa tu zanitosha kutamba nazo,,,,,

  • @JoslineKavugho
    @JoslineKavugho 20 днів тому +1

    Wa kwanza leo naomba like zenu by congo

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r 20 днів тому +23

    Nakubali sana master movie nzuri sana 🎉🎉

  • @alibeka9952
    @alibeka9952 21 день тому +48

    Wakwanza naomba like

  • @user-yx2hn3kt8t
    @user-yx2hn3kt8t 15 днів тому +1

    Kazi nzuri sana, siikosi kila inapotoka

  • @JovanySantosh-yt8ts
    @JovanySantosh-yt8ts 20 днів тому

    Uyu bubu kamalizia na neno gani eti😂😂😂

  • @MaryKijo
    @MaryKijo 21 день тому +37

    Wakwaza kenya 🇰🇪🇮🇶🇰🇪 naomba like pls

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 20 днів тому +22

    Leo nmewahi shida hatupewi like ss wakenya big up broo

  • @Nathanael1Kambale
    @Nathanael1Kambale 19 днів тому +1

    Mimi wa mwisho na omba lake 🇨🇩🇨🇩

  • @user-oe4eq6xo9d
    @user-oe4eq6xo9d 20 днів тому +1

    Leo hii clam vevo ako sawa

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 20 днів тому +16

    Snake boy 🐍 inazidi kupamba moto sana 🔥🔥🔥💪

  • @user-dz4vl7wm5n
    @user-dz4vl7wm5n 20 днів тому +8

    Wa mwisho leo kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿mauwa yangu jaman

  • @manwalimshali2986
    @manwalimshali2986 18 днів тому +1

    Sema Mshangazi Nae Miyeyusho Saana Saana Anajirahisi Saana Kamkimbia Nzinga Kaenda Himaya Jirani Nzinga Akishajua Kutakuwa n Vita Kali Saana 😂😂😂

  • @abachajazary9564
    @abachajazary9564 20 днів тому +22

    Kama unamkubali mwakatobe mzee wamswambwanda gonga like 👍

  • @Hirammbindyo
    @Hirammbindyo 20 днів тому +18

    Kali kali kali,,,,,maweee 🔥 🔥

  • @rajabjuma1450
    @rajabjuma1450 18 днів тому

    ❤❤🎉🎉🎉 najiskia laha kila nikiangaria KAZI zako sichok hujawahi kosea

  • @HancyCymon
    @HancyCymon 20 днів тому +1

    Siyo michongo yangu nmexha achaga😅

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l 20 днів тому +22

    Nani anampenda kipara mmbea snake boy bana ni mzuri

  • @Keshcomedian
    @Keshcomedian 20 днів тому +17

    Hi guys munipe like za clam vevo kesh comedian from 🇰🇪 🇰🇪

  • @akrammahonga6089
    @akrammahonga6089 20 днів тому +1

    Hahaha uyo chifuu mikazo ziro

  • @ReginaJosephat
    @ReginaJosephat 20 днів тому +1

    Zinga karibu anaitwa baba 😅😅😅 utam kunoga🎉🎉

  • @gabrielnjuguna8172
    @gabrielnjuguna8172 21 день тому +34

    Team strong nmeongoza hapa ❤❤❤ kazi safi sana kwa clam kiboko chao kwa filamu

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 20 днів тому +11

    Huyu jamaa mganga hv kiuhalisia sio mganga jmn😂😂😂kulu kutanta mantetele

  • @RolandKechegwa
    @RolandKechegwa 18 днів тому

    Great vevo ni mbadala wa kanumbaaa kwa movie za siriasi

  • @museven91
    @museven91 20 днів тому +1

    Ngoja chief asuuze rungu kwanza utavaaa2🤣🤣🤣

  • @IssaMangala
    @IssaMangala 20 днів тому +17

    Nime check commented za Mbali Mbali Toka mwanzo Mpaka mwisho akuna commented ya maana Watu wote Wana taka Ku pewa like Sasa kwa Iyo Mimi ni towe kwanza hongera kwa team Nzima kwa Kazi nzuri Wana tu fanyiya ili muradi tupate Ku burudika si tupo Apa tuna kubali saana Kazi zenu 😘 🇨🇩 from Dubaï 🇦🇪☝️

  • @AlineIradukunda-bs6mt
    @AlineIradukunda-bs6mt 21 день тому +48

    Na mim jaman sijawai pat at lk at moj 😅😅❤

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 19 днів тому +1

    Sjui Mwakatobe atarudi kwenye Ep, ya ngapi nina shauku ya kumuona Mwakatobe maana ndiye fundi pekee anaenogesha hii movie.

  • @EliamanAmos
    @EliamanAmos 3 дні тому

    Alio msikio huy bubu kasema kuma mayo ashushe like zake 😂😂😂😂😂 ma bub wanatukan hatr

  • @lwandacerealsandgreensfarm2564
    @lwandacerealsandgreensfarm2564 21 день тому +21

    Kenya well represented..🇰🇪