Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss
Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!
Tunampango wakumwachia miaka 50 Mpaka itakapo Patikana Katiba Mpya ya Wananchi Tanzania ndo tutafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti mpya, maana tukimtoa saizi Atakae badili atanunulika kirahis na Ccm Kwa Ubovu wa Katiba yetu ya Taifa na Uzuri wake hua anachaguliwa na wanachama wenyewe
Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.
Safi Mungu Ni Mwema Wakati Wote
we ni mtu wa mana sana hongela baba
Mwamba mwambigija nakupenda bule my brother alikula hela za wanaume fala huyu
Weee ni Mwamba mi nakukubali Acha kabisa
Fisiyemu mnanunua watu wa chadema hamtaweza chadema ni baba lao
Namkubali mwambigija
Joni nakuelewaga sana kamanda
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Yes
Mwambigija umenifurahisha sana
😂😂😂😂 kweli mchungaji mpigadili
Mnaumia sana
😂😂😂😂 bigger up CHADEMA big brain
Atazunguka nchi nzima ipi?aje mbeya aone
Huyo afike salama huko alikokwenda . Msaliti mkubwa. Azunguke dunia nzima.
Tundulissu aliona atoboe siri kabla maasi hayajatokea.
Tafuta kauli Ile yamsukuma. Mwaka mmoja uliopita. Anajuwa kilichokuwa kinaendelea
Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss
HAYO MAOVU NI BAADA YA KUONDOKA TU, ETI KUWENI FREE
Na huyo alieondoka je....si pia atoa maovu baada ya kitumikia chama miaka 20...au? 🐍
Acha uboya wewe.
Mbona wana CCM wakihamia kwenu hakuna anayelalamika? Ktk siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu
MBONA UNAMSEMA SANA ROHO INAKUUMA HATA WEWE TOKA HUKO HIYO NI SACCOS YA MBOWE CHAMA GANI MIAKA 20 MWENYEKITI MMOJA CHAMA CHA FAMILIA
Hata miaka 30 haikuhusu. Uchawa wako peleka huko.
Kinakuuma ninikuwa miaka 20 uchaguzi unafanyika wanamchagua tena shida yako nini
Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!
Wembona huion ccm miaka sitin mbona hujawashauli waachie wengine mkundu wewe
Tunampango wakumwachia miaka 50 Mpaka itakapo Patikana Katiba Mpya ya Wananchi Tanzania ndo tutafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti mpya, maana tukimtoa saizi Atakae badili atanunulika kirahis na Ccm Kwa Ubovu wa Katiba yetu ya Taifa na Uzuri wake hua anachaguliwa na wanachama wenyewe