"Wee Ni MCHUNGAJI FEKI" MWAMBIGIJA AMWAGA MAOVU YA MCHUNGAJI MSIGWA CHADEMA // CCM WAMEKUPA HELA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 30

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 3 місяці тому +1

    Asante mzee wa Upako Mwambigija kwa maelezo yako mazuri kuhusu huyo mchungaji Feki aliyeolewa huko ccm! Kwa vile mnajua mbinu kubwa ya ccm kwa sasa kuharibu na kuungua nguvu ya upinzani ni kuwanunua viongozi wa chadema! Msikubali kununuliwa na ccm! Hata wewe mzee wetu tunaekuamini sana usije kukengeuka kufanya usaliti kama hao wengine wnao olewa kwenda ccm! Asante tuendelee kusonga mbele na harakati za kuikomboa Nchi yetu Tanganyika kutoka mikono ya hawa manyang'au mafisadi ya ccm! Uchaguzi huu2024/2025 tuikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi.

  • @davidchiduo219
    @davidchiduo219 3 місяці тому +2

    Safi Mungu Ni Mwema Wakati Wote

  • @rucaserasto8154
    @rucaserasto8154 3 місяці тому +1

    we ni mtu wa mana sana hongela baba

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 23 дні тому

    Mwamba mwambigija nakupenda bule my brother alikula hela za wanaume fala huyu

  • @TegemeaFutemakatifu
    @TegemeaFutemakatifu 2 місяці тому +1

    Weee ni Mwamba mi nakukubali Acha kabisa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 місяці тому +3

    Fisiyemu mnanunua watu wa chadema hamtaweza chadema ni baba lao

  • @nuhumwaisanila2217
    @nuhumwaisanila2217 2 місяці тому

    Namkubali mwambigija

  • @ELIASMWAKIBETE
    @ELIASMWAKIBETE 2 місяці тому

    Joni nakuelewaga sana kamanda

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 3 місяці тому

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @AmosChoroga
    @AmosChoroga 3 місяці тому

    Yes

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 3 місяці тому +2

    Mwambigija umenifurahisha sana

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 3 місяці тому

    😂😂😂😂 kweli mchungaji mpigadili

  • @MwitaChacha-l9t
    @MwitaChacha-l9t 3 місяці тому

    Mnaumia sana

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 3 місяці тому

    😂😂😂😂 bigger up CHADEMA big brain

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 3 місяці тому

    Atazunguka nchi nzima ipi?aje mbeya aone

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 3 місяці тому

    Huyo afike salama huko alikokwenda . Msaliti mkubwa. Azunguke dunia nzima.

  • @EmmanuelKuzenza
    @EmmanuelKuzenza 3 місяці тому

    Tundulissu aliona atoboe siri kabla maasi hayajatokea.

  • @YassinAbdiMassawe
    @YassinAbdiMassawe 3 місяці тому

    Tafuta kauli Ile yamsukuma. Mwaka mmoja uliopita. Anajuwa kilichokuwa kinaendelea

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d 3 місяці тому

    Kwa maelezo ya mpuuuumbavuuuu msgwa hana hoja hata maneno yake ni yakuunga unga2 Yani AYANA njia makamanda tukaze safari bado ni ndefu siyo kwamba mafara kama msigwa wameisha wapo Cha maana nikuamini misingi na farisafa ya chama makamanda piiiiiiiiiii pooooooooosssss

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 3 місяці тому +1

    HAYO MAOVU NI BAADA YA KUONDOKA TU, ETI KUWENI FREE

    • @knight6757
      @knight6757 3 місяці тому

      Na huyo alieondoka je....si pia atoa maovu baada ya kitumikia chama miaka 20...au? 🐍

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 3 місяці тому

      Acha uboya wewe.

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 3 місяці тому

    Mbona wana CCM wakihamia kwenu hakuna anayelalamika? Ktk siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 місяці тому +1

    MBONA UNAMSEMA SANA ROHO INAKUUMA HATA WEWE TOKA HUKO HIYO NI SACCOS YA MBOWE CHAMA GANI MIAKA 20 MWENYEKITI MMOJA CHAMA CHA FAMILIA

    • @adeltuszakumuha9618
      @adeltuszakumuha9618 3 місяці тому +1

      Hata miaka 30 haikuhusu. Uchawa wako peleka huko.

    • @melinamkenge8790
      @melinamkenge8790 3 місяці тому +1

      Kinakuuma ninikuwa miaka 20 uchaguzi unafanyika wanamchagua tena shida yako nini

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 3 місяці тому

      Mbowe Hata akikaa miaka 50 kwenye uenyekiti wa chama ni sawa kwa sababu uchaguzi ukifika wanachama wanamchagua wenyewe, wewe unawashwawashwa nini! Hovyoooo kabisa huna hoja ya maana kwa hilo! Ulitaka wamchague nani sasa wewe au mmko!

    • @willsonFarasa
      @willsonFarasa 3 місяці тому

      Wembona huion ccm miaka sitin mbona hujawashauli waachie wengine mkundu wewe

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 2 місяці тому

      Tunampango wakumwachia miaka 50 Mpaka itakapo Patikana Katiba Mpya ya Wananchi Tanzania ndo tutafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti mpya, maana tukimtoa saizi Atakae badili atanunulika kirahis na Ccm Kwa Ubovu wa Katiba yetu ya Taifa na Uzuri wake hua anachaguliwa na wanachama wenyewe