VITUKO VYA TID NA QCHIEF, DIAMOND ANILIPE MILIONI 500 / ALIKIBA HAWEZI KULA NAZI 25

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

КОМЕНТАРІ • 32

  • @maroajames2580
    @maroajames2580 4 місяці тому +1

    Im from Kenya We love this guys🤣🤣Their Ego is on the top notch

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 4 місяці тому +1

    Omg give this two radio section like wakiwa watangazaji itakuwa lit sana

  • @mohamedsudi6032
    @mohamedsudi6032 5 місяців тому +2

    Mombasa here we go

  • @mwakirenjeomary1486
    @mwakirenjeomary1486 4 місяці тому +1

    Kenga 🇰🇪 tunawajali sana😊😊 hatubagui

  • @mahadabuu2647
    @mahadabuu2647 4 місяці тому +1

    Family nakubali kazi zenu

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m 5 місяців тому +1

    mung anawasaidia wazeee vigogooo nawakubali sana nawapenda sana sana sana

  • @joyk3075
    @joyk3075 4 місяці тому +1

    Tid EA Chris Tucker very hilarious

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 4 місяці тому +1

    Mnajisifu sana mpka mnaboa

  • @barakaekuro
    @barakaekuro 5 місяців тому +3

    Uncle grandpa 😅😅😅😂🙌🏼

  • @ndevuemcee3000
    @ndevuemcee3000 4 місяці тому +1

    Hii ndio tafsiri halisi nilio sikia kwenye wimbo ulio kua kwenye album ya Macho ni Ngumu Kuona ilio fanya na Dambwe La Hip Hop mwaka 2016 kuna wimbo unaitwa Baraka za wakongwe ukipata muda sikiliza utaelewa nini Q chief anasema.

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 5 місяців тому

    😈😈😁💯💯💯🔥🔥🚀🚀🚀Real talk-show

  • @sapatdiary1238
    @sapatdiary1238 4 місяці тому

    Halloi how can i send music to eastafrica radio?salimia hao wasanii wakali

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 4 місяці тому

    💥🐘❤️❤️❤️

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 5 місяців тому +1

    Kumbe mnajua game inataka nini halafu mnaleta madharau

  • @giztony2009
    @giztony2009 5 місяців тому

    Mm nadhani wangekubali waandikiwe nyimbo kwanza maana style yao ni ya zamani

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 4 місяці тому

      Hao bila hata kuandikiwa wakiamua kufanya mziki rahisi kama Amapiano wanafanya, sasa ngoma kama Tshwala Bami kuna ufundi gani, pale producer tu atoe dundo kali na dancers wabunifu, promo kali baas.Wanaweza bana

  • @zuberijuma8543
    @zuberijuma8543 5 місяців тому

    Nimejikuta narudia pale kwenye toa T & C ibaki N😂😂😂

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 5 місяців тому

    Kama umeangalia hii alafu haukucheka basi we ni yule

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 5 місяців тому

    Malindi all the way

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 5 місяців тому

    Kwani chila sio muislam

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m 5 місяців тому

    harmo fanya kitu nahawa mabroo

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 4 місяці тому

      Aachane nao maana alishafanya kwa chilah lakini akaja kuleta madharau na maneno kibao.

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380 5 місяців тому +4

    Hawana akili unga mwingi kichwani mlipata pesa mka shindwa kufanya maendeleo ss leo Diamond maendeleo yake mnaya chukia tajiri ni tajiri tu kueni na akili

    • @jaybroza8684
      @jaybroza8684 5 місяців тому +1

      Wacha chuki brother ushawai waona wakila unga

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 5 місяців тому

      Mbona ww unakula mchele na watu hawasemi

    • @DonDesdery
      @DonDesdery 4 місяці тому +1

      Kipind kile mziki wa tz ulikua burudan na sio biashara,hvyo hawakuwa wanapata pesa km sasa,maana hata platform hazikuwa km hz walikua wakiuza kwa kusambaza maeneo yote lkn leo mtu akiwa geto anasambaza worldwide

    • @Dekingalba
      @Dekingalba 4 місяці тому +1

      Unakosea bro

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 4 місяці тому

      Unajua wamedhulumiwa kiasi gani?Usiskilize watu wanavyopakwa matope. Wana makosa yao,lakini waliibiwa sana

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 5 місяців тому

    Inahitajika pesa na muda ili nyie wazee mrudi mjini tena

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta 5 місяців тому

    😂😂😂

  • @mahadabuu2647
    @mahadabuu2647 4 місяці тому

    Family nakubali kazi zenu