VITUKO VYA TID NA QCHIEF, DIAMOND ANILIPE MILIONI 500 / ALIKIBA HAWEZI KULA NAZI 25

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 32

  • @maroajames254
    @maroajames254 9 місяців тому +1

    Im from Kenya We love this guys🤣🤣Their Ego is on the top notch

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 10 місяців тому +1

    Omg give this two radio section like wakiwa watangazaji itakuwa lit sana

  • @mohamedsudi6032
    @mohamedsudi6032 10 місяців тому +2

    Mombasa here we go

  • @mwakirenjeomary1486
    @mwakirenjeomary1486 10 місяців тому +1

    Kenga 🇰🇪 tunawajali sana😊😊 hatubagui

  • @joyk3075
    @joyk3075 10 місяців тому +1

    Tid EA Chris Tucker very hilarious

  • @mahadabuu2647
    @mahadabuu2647 10 місяців тому

    Family nakubali kazi zenu

  • @elisifaedsoni
    @elisifaedsoni 10 місяців тому +1

    mung anawasaidia wazeee vigogooo nawakubali sana nawapenda sana sana sana

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 10 місяців тому +1

    Mnajisifu sana mpka mnaboa

  • @ndevuemcee3000
    @ndevuemcee3000 9 місяців тому +1

    Hii ndio tafsiri halisi nilio sikia kwenye wimbo ulio kua kwenye album ya Macho ni Ngumu Kuona ilio fanya na Dambwe La Hip Hop mwaka 2016 kuna wimbo unaitwa Baraka za wakongwe ukipata muda sikiliza utaelewa nini Q chief anasema.

  • @barakaekuro
    @barakaekuro 10 місяців тому +3

    Uncle grandpa 😅😅😅😂🙌🏼

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 10 місяців тому

    😈😈😁💯💯💯🔥🔥🚀🚀🚀Real talk-show

  • @sapatdiary1238
    @sapatdiary1238 10 місяців тому

    Halloi how can i send music to eastafrica radio?salimia hao wasanii wakali

  • @giztony2009
    @giztony2009 10 місяців тому

    Mm nadhani wangekubali waandikiwe nyimbo kwanza maana style yao ni ya zamani

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 10 місяців тому

      Hao bila hata kuandikiwa wakiamua kufanya mziki rahisi kama Amapiano wanafanya, sasa ngoma kama Tshwala Bami kuna ufundi gani, pale producer tu atoe dundo kali na dancers wabunifu, promo kali baas.Wanaweza bana

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe8169 10 місяців тому

    💥🐘❤️❤️❤️

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 10 місяців тому +1

    Kumbe mnajua game inataka nini halafu mnaleta madharau

  • @zuberijuma8543
    @zuberijuma8543 10 місяців тому

    Nimejikuta narudia pale kwenye toa T & C ibaki N😂😂😂

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 10 місяців тому

    Kama umeangalia hii alafu haukucheka basi we ni yule

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 10 місяців тому

    Kwani chila sio muislam

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 10 місяців тому

    Malindi all the way

  • @elisifaedsoni
    @elisifaedsoni 10 місяців тому

    harmo fanya kitu nahawa mabroo

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 10 місяців тому

      Aachane nao maana alishafanya kwa chilah lakini akaja kuleta madharau na maneno kibao.

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380 10 місяців тому +4

    Hawana akili unga mwingi kichwani mlipata pesa mka shindwa kufanya maendeleo ss leo Diamond maendeleo yake mnaya chukia tajiri ni tajiri tu kueni na akili

    • @jaybroza8684
      @jaybroza8684 10 місяців тому +1

      Wacha chuki brother ushawai waona wakila unga

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 10 місяців тому

      Mbona ww unakula mchele na watu hawasemi

    • @DonDesdery
      @DonDesdery 10 місяців тому +1

      Kipind kile mziki wa tz ulikua burudan na sio biashara,hvyo hawakuwa wanapata pesa km sasa,maana hata platform hazikuwa km hz walikua wakiuza kwa kusambaza maeneo yote lkn leo mtu akiwa geto anasambaza worldwide

    • @Dekingalba
      @Dekingalba 10 місяців тому +1

      Unakosea bro

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 10 місяців тому

      Unajua wamedhulumiwa kiasi gani?Usiskilize watu wanavyopakwa matope. Wana makosa yao,lakini waliibiwa sana

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 10 місяців тому

    Inahitajika pesa na muda ili nyie wazee mrudi mjini tena

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta 10 місяців тому

    😂😂😂

  • @mahadabuu2647
    @mahadabuu2647 10 місяців тому +1

    Family nakubali kazi zenu