Shujaa usihofu, Bwana wa Majeshi yu Nawe. Pamoja nawe Mteule wa Mungu. Siku ingine Songa mbali kiasi na kipasa Sauti. Umezingirwa na Majeshi ya Mbinguni. Hata Herode alikuwa na Maelefu, Bali Yesu Kristo alikuwa na Kumi na wawili, Lakini aliitingiza Dunia. Twakuombea sana kutoka kenya.
Daaah had raha Mungu aendelee kukutumia jasusi la mbinguni....yaan had mwenye kiti analazimisha abadilishiwe maiki inamaan kua aliyoikuta ilikua sawa ila angetaka kubadlishiwa ndo ilikua ina tatzo ndo mana Mwenyekt analazmsha aseee... Mungu ni mlinzi wako hatalala wala hatasinzia amen!
Nawaambia msifikirie gwajima ni chizi anajuwa anachokifanya na kinachoendeleya nakupitiya gwajima mtakuja juwa siri nzito iliojificha nyuma ya kifo ya JPM. Wekeni hii comment
Mtumishi ws Mungu aliye hai...Mungu ni mwema na anakupgania..wala usiogope kwa maana maandiko yanasema maadui wakuzungukao alfu nami 10 alfu watakua upande wako...Usiogope...×10000.
Waone waonavyo, waseme wasemavyo,. Gwajimagu oyeeeeeeeeee, jamaa Hana kopy yake, pambabana mtu wa Mungu , songa mbele usiogope sema kweli tuko nyuma yako jeshi Kama lote
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Waafrica badala ya kuwatunukia watu wenye Critical mind kwa manufaa ya Taifa munapoteza mda na pesa za walipa kodi kumuhoji Go Go Askofu Gwajima 🔥🔥🔥💪
Mathayo 10:16-20 [16]Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua. [17]Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka mabarazani, na katika masinagogi yao watawapiga; [18]nanyi mtachukuliwa mbele ya maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao na kwa mataifa. [19]Lakini hapo watakapowapeleka, msifikiri-fikiri jinsi mtakavyosema; maana mtapewa saa ile mtakayosema. [20]Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.
Nakuomba kwa Rehema za mungu mtumishi wa mungu usikie kusamehe wa ndugu ni kipindi cha maisha lazima kipite umuachie mungu atafanya njia ya muhumu tuendelea kuomba muhumba wetu,natoka Rdc
Hii kamati inapigana vita vya kiroho kupitia damu na nyama... Tayari Gwajima amechukua nafasi yake, kwanza amewachanganya na kuwatawala wote kwa kuamua kuojiwa akiwa amesimama.. Heko mtumishi. Canal man can not understand the things of the spirit,.. Every weapon formed by your enemies to destroy you shall not prevail and you shall condemn every tongue that is ready to condemn you.
Hapo ni akili kumkichwa, jana alikikwepa kiti alichowekewa maana awakutambua kama angekikataa, Leo kaacha viti vyote . Ila kwa mic 🎤 distance ya alipo aiwez kumpa tatizo ha ha 😂 😆 😄 🤣 this guy is a genius
Watanzania wenzengu tuwe makini kwenye uchuguzi waviongozi wanchi 2025 kwakuwa miaka hii mitano baada yakifo chamagufuli tumeona mengi sana kama maigizo ila nalo nifunzo tunajifunza kwawakati ujao
Kamati... Kamati... Hapo mnakula Kodi za nchi yetu ki ulaini. vita ya kunguru naona Ni neema kwenu... au vipi wa heshimiwa.,.... Ndugai ... Ndugai... Hurumia Kodi za watz... Rais naye no Mwanadamu... Watu watofautiana nae kwa mawazo.. mitazamo.. fikra.. na misimamo.... Kuwa chama kimoja hakumaanishi tunakubaliana wote kwa yote.. hata kwa Dini sivyo... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Usipotumia maujanja unaweza kupotea kirahisi Kwa hayo yote anayoyafanya utashangaa anachukiwa bure baba wa watu😊 Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.....
Kiti cheupe kwa ajili ya kuangamiza mtu mmoja hatari sana namkumbuka katibu wa ccm alihojiwa kwa kutumia utalatibu huohuo akakalibishwa hivohivo akapewa maiki baba wawatu hakunusulika alikufa gafula gwjima mungu akuongoze mpendwa wetu
Hivi mbona baadhi ya watu hawana hofu ya Mungu? Baada ya maisha yenye Taabu nyingi hivi tutaenda kumjibu nini Mungu aliyetupa dhamana ya kuongoza watu wake kwa haki ambayo tumeipotosha?
Lakn mie mwenyewe huwa najiuliza kwanini kit chake kinakuwa hakifanani na vit vinginee?? Hata ingekuwa mimi khaa!! Kit kinarangi moja tuu ndio mikalie mimi ,???
Jeshi la mtu mmoja lilifanya jeshi lawatuwengi kuchanganyikiwa Emungu baba mwenyezi muubambingu nanchi kubuka agano lako na watuwako apiganae na gwajima anapigana nawewe
Mwenyekiti :unatatizo lolote la kiafya Mbunge : kama itakupende 😀😀😀😀😀😀😀 Ila niseme watu kama Gwajima ni ngumu sana kuwapata Wengine hapo wangeangalia kundi lawatu ambao wa mekaa na kuogopa mpaka kusahau msimamo wake.ila Gwajima hana hata hofu au aibu Kweli jembe ni jembe na ukivijuwa havisumbuwi
Shujaa usihofu, Bwana wa Majeshi yu Nawe. Pamoja nawe Mteule wa Mungu.
Siku ingine Songa mbali kiasi na kipasa Sauti.
Umezingirwa na Majeshi ya Mbinguni.
Hata Herode alikuwa na Maelefu, Bali Yesu Kristo alikuwa na Kumi na wawili, Lakini aliitingiza Dunia. Twakuombea sana kutoka kenya.
Jasusi la Mbinguni ,Tunao enda mbinguni hatuendi na chanjo.Mungu azidi kukulinda💪 Askofu Josephat Gwajima
Daaah had raha Mungu aendelee kukutumia jasusi la mbinguni....yaan had mwenye kiti analazimisha abadilishiwe maiki inamaan kua aliyoikuta ilikua sawa ila angetaka kubadlishiwa ndo ilikua ina tatzo ndo mana Mwenyekt analazmsha aseee... Mungu ni mlinzi wako hatalala wala hatasinzia amen!
Mamv
Hongera sana mwanajeshi anaejiamini husimama kuonesha uimara na ubora wa kazi yake muda wote
Nawaambia msifikirie gwajima ni chizi anajuwa anachokifanya na kinachoendeleya nakupitiya gwajima mtakuja juwa siri nzito iliojificha nyuma ya kifo ya JPM. Wekeni hii comment
Jamani tuendelee kuiombea nchi yetu🙏🙏🙏Mwenyezi Mungu atuepushie mabalaa na aimarishe amani na utulive ..Ameen🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
MAPISHI
Mtumishi ws Mungu aliye hai...Mungu ni mwema na anakupgania..wala usiogope kwa maana maandiko yanasema maadui wakuzungukao alfu nami 10 alfu watakua upande wako...Usiogope...×10000.
Mungu akutangulie mchungaji wetu .....shetan hapend watu walio wema bali hutaka waangamie na badala ake ataangamia yy mwenyew
Kama Mungu aishivyo wewe ni Mtu wa Mungu tunauhakika na wewe na Mungu alikupeleka Mgungeni kwa kusudi maalumu
Mungu wa Mbingun akulinde Baba Etu.
Waone waonavyo, waseme wasemavyo,. Gwajimagu oyeeeeeeeeee, jamaa Hana kopy yake, pambabana mtu wa Mungu , songa mbele usiogope sema kweli tuko nyuma yako jeshi Kama lote
Kabisaaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Waafrica badala ya kuwatunukia watu wenye Critical mind kwa manufaa ya Taifa munapoteza mda na pesa za walipa kodi kumuhoji Go Go Askofu Gwajima 🔥🔥🔥💪
Gwajima ww pambana sisi tuko pamoja naww usizani labda uko pekeyako hapana uko na kikosi cha kufa mtu
Mathayo 10:16-20
[16]Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.
[17]Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka mabarazani, na katika masinagogi yao watawapiga;
[18]nanyi mtachukuliwa mbele ya maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao na kwa mataifa.
[19]Lakini hapo watakapowapeleka, msifikiri-fikiri jinsi mtakavyosema; maana mtapewa saa ile mtakayosema.
[20]Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.
Grajima azidi kusimama Powa sana kwa neno nzuri
Amina
Amen 🙏 lazma kieleweke
Yaani gwajima ungekuwa karibu ningekubeba, unanifurahisha sana
Mungu ni mwema
Mungu hatamficha mtumish wake Jambo lolote Amos 3:7, inaonekana ameshuhudiwa moyon kuwa Leo asikae kwenye kiti
NI KWELI
Mungu wa shedrack meshaki, abednego endelea kumlinda mtumishi wako gwajima, na endelea kumpa hekima jinsi ya kujibu mbele ya baraza
Hapa ni Ufunuo juu ya ufunuoo😂😂,Jitu la mbingunii💪💪
Yupo sawa kabisa kuongea amasimama Mana amezoea ivyo ikiwa bugeni kanisani ndio kabisa kusimama ni mwanzo mwisho
nakuelewa sana Geajima live long and God protect you💪💪💪👏👏🙏🙏
Nakuomba kwa Rehema za mungu mtumishi wa mungu usikie kusamehe wa ndugu ni kipindi cha maisha lazima kipite umuachie mungu atafanya njia ya muhumu tuendelea kuomba muhumba wetu,natoka Rdc
Ahimidiwe mungu wa mbinguni, semeni ameen
Ameen
Mungu akulinde Gwajima
Gwajima
Gwajimaaa
Gwajimaaaaaaaa
Nimekuita mara3
Endelea kusimama imara Gwaji boy
Gwaji nakukubali baba songa mbele shedraki wetu uliekata kuisujudu sanam
Mungu akusimamie mtumishi wa Mungu
Gwajima,wewe ndo Raisi wetu.
Raisi wetu ni mama Samia
Sijawahi kuwa na Raisi malaya
@@rejankihanza6074 🥰🥰👍
Gwajima!!!! Kiboko ya viongozi wazembe. Bunge gani hili sasa?
Hahahaha hahahaha hahahaha
Mungu akutangulie mtumishi wa Mungu
Mungu akipanga hakuna wakupangua
Unanipa raha sanaaa yn jaman MUNGU mwenye nguvu usimpungukie nakupenda shujaa wa Mbinguni
Live long Gwajima
Mungu akutangulie mtumishi
Macho ya Mungu yako juu yako somo la majasusi wa mbinguni
😂🤣🤣gwajima hoyeee gwajima juu 🔥🙏🙏🙏
Juu zaidi
Yesu wa gwajima Yuko yuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hongera gwanjima
Huyu jamaa ni pasua kichwa kweli🤣🤣
Sio pasua kichwa,anajuwa hasa kinachoweza kumtokea
Jambo usilolijua nikamausikuwa giza
Sio pasua kichwa hii serikali haieleweki wanaweza kumuwekea hata virusi vya corona au hata sumu kwenye kiti ili wamuondoe maana anagusa maslahi yao.
Wapumbav tu wanachezea Kodi zetu
Mwenyezi Mungu anamuonesha macho ya rohoni
Saf jembe Gwajima mungu atakushindia nautashinda kwa kishindo tuko nyuma yako
Huyu jamaa ana mbinu za kivita😂😂
Kweli
Hatariii Sana wape injili...
Mungu yupamoja nawe mh josephat gwajima
Hii kamati inapigana vita vya kiroho kupitia damu na nyama... Tayari Gwajima amechukua nafasi yake, kwanza amewachanganya na kuwatawala wote kwa kuamua kuojiwa akiwa amesimama.. Heko mtumishi. Canal man can not understand the things of the spirit,.. Every weapon formed by your enemies to destroy you shall not prevail and you shall condemn every tongue that is ready to condemn you.
Hapo ni akili kumkichwa, jana alikikwepa kiti alichowekewa maana awakutambua kama angekikataa, Leo kaacha viti vyote . Ila kwa mic 🎤 distance ya alipo aiwez kumpa tatizo ha ha 😂 😆 😄 🤣 this guy is a genius
Gwajima yaani sikumalizi!!!
Uko tofauti sana na fikra za watu
Nakupenda gwajima boy
KAMA ITAKUPENDEZA 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
🙏🙏🙏🙏mungu akuongoze gwajima
Afrika Ukiwa na Akili kubwa Zaki pekeako una Kuwa Adui wa watu weusi wenzio....😁😁
Ni kweli kabisa wanamtafutia Kila mbinu Ila Kwa uwezo wa mungu hawataweza
@@husnahabibu1767 MUNGU amlinde mtu Huyu @Gwajima
Maboya ktk mkutano wa mitume alisema Gwajima Ana Roho ya kitume.Sasa hivi tunaiona Hy Roho.Mungu awe nawe.
Nakumbuka hakika inaonekana
NSHAZOEA KUSIMAMA NAAAM MWENYE KITI
KAMA ITAKUPENDEZA🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Gwajima sauti ya wengi 👏👏👏
Shujaaa wa mbinguni na duniani pia baba nakuamin
Anaogopa ndumba huyo siakae
Barikiwa Sana Bishop
Mungu azidi kukutia guvu ili uendelee kujiamini hata mim nko upade wako siwezi kumsalit magufuli mpka nakufa kwagu. Achana na hao wanafiki
Poleni wa wana ccm ukiona hivo jua mnaogopana... Poleh Sana
Watanzania wenzengu tuwe makini kwenye uchuguzi waviongozi wanchi 2025 kwakuwa miaka hii mitano baada yakifo chamagufuli tumeona mengi sana kama maigizo ila nalo nifunzo tunajifunza kwawakati ujao
Kweli
Mungu azidi kukupigania Gwajima
Good gwajima kweli Kama itampebdeza.
TANZANIA MPYA INAKUJA AMEEEEEEN
Kamati... Kamati...
Hapo mnakula Kodi za nchi yetu ki ulaini. vita ya kunguru naona Ni neema kwenu... au vipi wa heshimiwa.,.... Ndugai ... Ndugai...
Hurumia Kodi za watz... Rais naye no Mwanadamu... Watu watofautiana nae kwa mawazo.. mitazamo.. fikra.. na misimamo.... Kuwa chama kimoja hakumaanishi tunakubaliana wote kwa yote.. hata kwa Dini sivyo... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Pitieni na kwangu huku jamani Mimi sijachagua upande bado😂😂😂😂kuchoma au la
Chagua la
Ee Mungu wa Ibrahimu tenda muujiza kwa ndugu yetu Gwajima , kwani anafanya yote kwa ajili ya utukufu wako
Gwajima mrithi wa Imani ya Magufuli,
Usipotumia maujanja unaweza kupotea kirahisi Kwa hayo yote anayoyafanya utashangaa anachukiwa bure baba wa watu😊 Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.....
Kiti cheupe kwa ajili ya kuangamiza mtu mmoja hatari sana namkumbuka katibu wa ccm alihojiwa kwa kutumia utalatibu huohuo akakalibishwa hivohivo akapewa maiki baba wawatu hakunusulika alikufa gafula gwjima mungu akuongoze mpendwa wetu
Hivi kwani tatizo la huyu jamaa liko wapi Ndugu zanguni?!Tanzania hii ina mambo mengi sana ya Ajabu.
Kabisa
Hayana budi kuja ndo maandiko yanatimia hivyo..Mungu atusaidie sana tusijetukaiacha Imani yetu
bado mdogo sana bro
hii ni nchi siyo kibanda
We kinda sana
Timu ngwajima. Kama itakupendexa
Kweli Tukue Tuyaone Hili Sio Bunge Linatia Aibu
Hahaaaaaaaa et anatia aibu gwajuma, chanjeni nafamilia zenu
Gwajuma kasema hachanji Mimi nimechangnyikiwa wapi
@@am2323Diaspora unajitia wewe aibu kufuatlia yasiyokuhusu
Mtumish wa.mungu mwenye maono.ya.mbali mbeba maono hafi..lazima yatimie anayoyaongea
Hivi mbona baadhi ya watu hawana hofu ya Mungu?
Baada ya maisha yenye Taabu nyingi hivi tutaenda kumjibu nini Mungu aliyetupa dhamana ya kuongoza watu wake kwa haki ambayo tumeipotosha?
Lakn mie mwenyewe huwa najiuliza kwanini kit chake kinakuwa hakifanani na vit vinginee?? Hata ingekuwa mimi khaa!! Kit kinarangi moja tuu ndio mikalie mimi ,???
Mungu akupiganie gwaj boy
Gwajim oyeeeeeeeeee 2025 ndio Rais wetu
Oyeeeee
Kwanzia Leo huyu ndo Rais
UNAFIKIRI KILA MTU ANAONA KAMA UONAVYO WEWE😂😂🤸🤸
Kabisa
Kweli viti vyote havipo sawa kastuka
Mungu wetu alishashinda kifo msalaba
Unatatizo la kiafya ,😜😜kama itakupendeza🙏🙏🙏🙏🙏🌌
Hahahahahhahahahahhhahhah!!!!!!! Mbavu zangu,,,, hahahha ASKOFU HAPA AMENICHEKESHA SANA
Unatatizo lolote la kiafya ?.. .. kama "itakupendeza ." Utajua hujui unachouliza .. 🤣😀😀😀 gwajima👍👍
Safiii maadui macho chenga
Gwajima anafaa kuwa msemaji wa simba kwa vurugu hzi
🤣🤣🤣🤣🤣
🤪🤪🤪
🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha dharau nyie
Hahahaha
Sijui
Hongera bishop Gwajima unatuwakilisha ipasavyo sisi wa mrengo mwingine
Yani waki mtenda vibaya gwajima ndio watajua watanzania wakoje
Utafanyaje ndug yangu 😅😅
Mpaka wakunye Safi sana Mtumishi
Nampenda Mara tatu pasta gwajima nyota ya tanzania
Safi gwajimaaaa hoyeeeeeee
Gwajima safi sana
Lazima a-rise doubts mbele za jamii ili waliopanga kumtenda mabaya warudi nyuma
Raise not rise
mungu akulinde Ngwajima
Askofu wa Buza ana kazi kwelikweli
Anafata nyayo za jpm
kama umemuona mweshimiwa SIMBA toka zanzibar gonga like hapa
Namtarajia kitenge asubuhi kwa kurasa za magazeti 🤣🤣
Jeshi la mtu mmoja lilifanya jeshi lawatuwengi kuchanganyikiwa Emungu baba mwenyezi muubambingu nanchi kubuka agano lako na watuwako apiganae na gwajima anapigana nawewe
Nileteen Gwajima
Yupo sawa ni haki yake
Ila kwel
Walimua magufuli wamezoea
Gwajmagu oyeeeeeeeee
Kila mtu anajua Gwajima yuko sahihi ila ni kujitoa fahamu tu
Mwenyekiti :unatatizo lolote la kiafya
Mbunge : kama itakupende
😀😀😀😀😀😀😀
Ila niseme watu kama Gwajima ni ngumu sana kuwapata
Wengine hapo wangeangalia kundi lawatu ambao wa mekaa na kuogopa mpaka kusahau msimamo wake.ila Gwajima hana hata hofu au aibu
Kweli jembe ni jembe na ukivijuwa havisumbuwi
Bado opo siku tuyajuwa tu,lakini gwajima hamumuwezi kabisa mbinu zote zenu anajuwa,mungu ni mwema tu
Gwajima aliwaambia sitaki ubunge kwa kuwa ni cheo kidogo hamukumuelewa sasa anawasumbua kwa hicho sio cheo chake wenye njaa ndio mnapata shida Sana..
Ngwajima oyeeeeeeeeeeeeee
Mungu katuletea maguful mwingine ambae ni gwajima mungu akuondolee hao mashetan mbele yako amen