Big up for clam vevo. Maaan wengi tumeijua hii ngoma baad ya kuangalia movie ya clam vevo Best friend🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. Hila Benny shizzo nawe umejitahd endelea kupambana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aisé yaani wimbo muzuri n'a mutamu kama huu ume kosa ma billioni ya ma likes jamani,, mashabiki wana sapoti ujinga kuliko ku sapoti vitu vyenye ujumbe muzuri kama ivi apa.. congratulation m'y super star
Namushukuru sana Clam Vevo kwa kutumiya iyi Song kwenye filamu yake Best Friend Adi n'a Mimi nika fikiya kujuwa mwenye Song iyi ni Song nzuru saaaaaaaaaaaaaana ❤❤❤
Wenye tumetafuta hii song kwanini ya clam munipe like zangu hapa🥰
😂😂banaeee ndo kufika
daaah clam @@rehemaruwa
maze tuko hapa kwa sababu ya clam
@@mwakabeja77 UJAKOSEA
Tuko hapa juu ya clam
Wangapi tume kuja kuiisikia hii ngoma baada yakufata BEST FRIEND ya Clam vevo
☝️
👋
Hahahaha moja wapo
Mimi apa
☝️nipo hapa my friend😂😂😂😂
Anaeamin kuwa clam VEVO amesaidia kuifikisha hii nyimbo vizur baada ya kuangalia best friend❤❤❤
Ngoma kali mwana
Kwel kabisa clam ameenua hii nyimbo
Mimi mwenyewe nipo hapaa baada ya kuangalia best friend
Kabisa mana ata mm baada ya kuisikia kule ndo nikaja kutafuta
Akili ndo bahati naomba jina la uyo msani ya best friend ❤️
Best friend ya clam imenifanya nikujue kaka wewe ni myama❤❤❤❤ gongs like hapa kama umemjua kupitia clam
Niwe tu mkweli clam ndio kanifanya niutafe huu wimbo asantee sanaa❤
Tupo pamoja 😂
Same here
Clama ndo kanileta hapa , duuh! Kumbe kuna watu wanajua kuimba hiv aisee😢😢❤
Na mimi clam ndo kanileta
Pia mm ni clam vevo amefanya nikajua hii song
Kama uko hapa baada ya kuiskia toka kwa clam vevo best friend...nipe likes❤❤the song is a heat
Tulio skia hii song kweny movie ya clam vevo tujuane best friend 😂😂😂
Watu tulio toka ktk best friend na kuipenda nyimbo hii tujulikane kwa like 😂
Daaah wengi tu tumecheki baada ya kucheki best friend
Big up for clam vevo. Maaan wengi tumeijua hii ngoma baad ya kuangalia movie ya clam vevo Best friend🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. Hila Benny shizzo nawe umejitahd endelea kupambana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
kabisa 😊
Walai pia mm ndo nmeona
clam umemtoa jamaa aise , bonge la nyimbo
Mimi ni nzuri sana aki nimeisikiza hadi kulia wakati CLAM alipokea akiimba
Kama umekuja humu baada ya kumuona clam akiimba kwenye show ya best friend
Kiss my comment 😮
Yaaan clam kafanya niirudie bara saba
One day tutafika trending number moja ya kwetu inakuja ipo tu✊
Ameen 🙏🙏🙏
Niko juu clan VEVO one love from Kenya
Nngoma imekaa mwake.. Clam vevo kwenye Best friend umemuinua mwana..✊
Tulioletwa na CLAM VEVO gonga likes hapa
From clam VEVO nimefika hapa.....good music bro keep it 💕💕💕
Thank you
Wangapi wametumwa hapa na best friend ya clam vevo🎉🎉🎉
Mm pia nipata hii ngoma kwa best friend ya calm vevo ipoh juu sana I love it ❤❤❤🎉
clam ndo kanifanya niitafute hii nyimbo aise kari sana, kumbe jamaa anajua kuimba , unyama mwingi
Yaan clam vevo kafanya nifike hapa nimetafuta nyimbo kwa har na Mari na nimeinasaa gud guda gutast
Tuliokuja baada ya kuiona EP ya CLAM VEVO like zako hapa 😁😁😁😁
Kweli kabsa Vevo kaku tangaza
Baada ya kuangalia best friend ya clam vevo ndo nimekuja kuatfuta nyimbo yenyew😊😊😊
Kama si hio part clam alitumia singemjua huyu star big up just subscribed from Kenya🇰🇪
Thank you so much
Nyimbo yangu pendwa baada ya IMETOSHA 🎶🔊
Asante sana kaka
Yan Tanzania yetu wasanii mnaoimba vizur hamuonekani lakin kuna siku zinakuja .. Hongera mno
Asante sana 😢
Kwa kweli umeongea kabisa @reganshao
Atapia mm nimeiskia Kwa best friend bt I Ngoma kali🔥🔥🔥
Kama ikitokea dude langu pendwa kabisa 🔥🔥🔥🔥🎼 good music lives 🎉
My brother masy tz
Ngoma hii iko inavuka mipaka sababu ya Best friend ❤nakusikia kutoka Burundi
Ebanaae sy mbaya leo clam kanileta huku kumtafuta benny shizzol❤❤❤❤
Mimi no 1 na nilikua sjui kaimba nani nikaistall "shazam" kwaajili ya kuitafuta tu hii ngoma
Asante sana
Tangu nilisikiya hi musique kwenye BEST FRIENDS ya clam vevo nashinda nikiusikiliza juma mzima nakufata kutoka congo ❤
Aisé yaani wimbo muzuri n'a mutamu kama huu ume kosa ma billioni ya ma likes jamani,, mashabiki wana sapoti ujinga kuliko ku sapoti vitu vyenye ujumbe muzuri kama ivi apa.. congratulation m'y super star
Courage mwamba.
Congratulations Benny and much big hands to clam Vevo for introducing it on my best friend
Nikweli jamaa kaisapot kwa kutumia best friend clam apewe maua yake
Hata mm nimefatilia hii ngoma baada ya kumuona Clam Vevo ndani ya best friend
Mwenyezimung hakuongoze katika harakati zako kaka .... good music..... good performance 🔥🔥🔥
Asante sana😊
Chukua maua yako umenikosha
Ulipo Toka na Sasa Kuna mabadiliko makubwa ishaallah mungu akipenda. #ita wezekana
AMEEN
Kuna ngoma ukisikiliza TU inavoanza unajua kabisaaa hii itakua Kali..🔥🔥🔥 Piga kazi na mpe Hi John B nimemeona humo..💥💥
ASANTE SANA BOSS
Because of CLAM VEVo nimeijua hii Ngoma 👊👊.......nice song benny 🔥
Am one of them kuja kutafuta hii wimbo after kuwatch "BEST FRIEND.
Daaah...clam ndio umenifanya niujue huu wimbo ...kweli unajua ila tatizo nyota
Clam hana kinyongo na mtu yeyote ndipo mungu akamfikisha alipo hivi sasa...🎉
Namushukuru sana Clam Vevo kwa kutumiya iyi Song kwenye filamu yake Best Friend Adi n'a Mimi nika fikiya kujuwa mwenye Song iyi ni Song nzuru saaaaaaaaaaaaaana ❤❤❤
Kazi nzury Ben,wimbo mzuri,video kali sana...lets keep moving
Asante sana kaka 👏
Nipo
Tzd...mwajua kuigiza....DirectorDIDY🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗🤗🤗🤗🤗🤗🍌🍌🍌🍌
Best Friend🎉..amefanya clam tukujue broo❤
Ntakufatilia daima.Mana nimeguduwa kuwa CLAM VEVO ANAKUKUBALI WEWE.
IM FROM MOZAMBIQUE ❤
NO FORGET LIKE
NGOMA KALI SANA PIGA LIKE
Asante sana
Daaah ilaaa subiraaa.... daa mwamba fundi sna mungu amuongoze❤❤❤😊
Asante sana kaka
@@Benny-Shizzol p1 kaka
Huyu clam vevo kichaaaa kweli kumbe kunachimbo langoma safiihivi hukuuu, kivumbi kweli kweli
Hit song Ben mzee umeua kinyama🎶
Asante sana kaka
Wangapi waliona clip ya hii nyimbo Na video ya clam vevo mpak kuifata Uku gongA like km umeipenda❤❤❤❤❤
Best friend ndo nimemufaham huu wimbo nikatafuta mtandaoni tupo wangap
Du jamaa unajua mpka unakela ebu nitumie namba nikutumie hata ya pepsi you kill it❤❤❤
Asante sans
Clam vevo brought me here😂
Daaah kazi kama hizi nzuri wabongo wanapita tuu,, ngoma kali kila kitu na inachukua feelings be blessed bro
Asante sana 😢
Tumetoka kwa vevo wote best friend
Kwali kabisa maana wengi tumeusikia Kwa cram
Hitsong ila jitahidi kwenye kui promo one day yes blood
🙏🙏🙏🙏🙏
lovely song,,much love from capital city of Africa Kenya 🇰🇪
❤❤clam VEVO ndio kafanya niijuwe na kuipenda sana Kila siku naisikiliza
Kalibu kweny tumekpokea skuanzia sasa we ni kama dayoo au marioo au jay melody.... karib sana
Hii ni nympho nzuri ukimuimbia demu au mke wako akikuacha😭😭😎😎.
Best friend ni kipindi zaidi ya kipindi, kimefanya nimjue uyu msanii mkali ivi
Weng sana tumeifata hii ngoma baada ya kuangalia best freand sio sil ni nul sana🎉❤😂
Kaka nyimbo yko imeniliza baada ya kuachwa daaah😢😢
Pole sana
Yuko wengi sana jamaa anajua uyu
Oyaaaaa eeee huyu jamaaa anajuaa kisela ni basii tu bado kutoka💥💣💯🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma kali sana broo
Asante sana
Big up to clam vevo nimepata kujua hii wmbo
Nilihitafuta sana, nilihisikiyaka kwenye Best friend
Haki ya hii ngoma n trend number moja 👌👌👌👌👌👌
Asante sana kaka 👏
Jamani naomba jina la msani,best friend ❤️ akili ndo bahati
Pia mimi ni mmoja mwenye nimekuja after kuwatch best friend
Quality yake balaaaaaaaa
Pamoja sana
Duh clam kanileta kwa goma safi ,keep it up bro ben
Asante sana
Saf sana ongera DIDI nimeona
Ukiskia wasanii twategemeana ndo hii sasa....jitie kiburi
Nani yupo hapa 2024?
Mwamba unajuwa kaka mda utaongea2 kaka
Amini my gee
Iyo Ngoma gawana maokoto na clam VEVO mana kakusapot kinoma kwenye suala la viewers
Kama unetafuta wimbo huu baada ya kuwatch Best friend then hakikisha umesubscribe huyu jamaa can go far bonge la ngoma
Asante sana kaka
Natamani siku 1 tukae pale number one on trending na inawezekana kbs 💥💥💥
Inshaaalah itakuwa kaka ni swara la muda tuuu🙏🙏
Hapa anaetuchelewesha n mganga TU broonh...niamini kaka...Ukipata tu mganga mzur.....marioo atafute pa kwenda walai
😂😂😂😂
Yaan baada ya kuangalia BEST FRIEND nime itafuta sana hii ngoma
Clam vevo amejua kutuvuta kuiangalia hii ngoma
Nyimbo nzur jaman... Nilikua naitafuta sana from best friend ❤
Wasengeee nyee. Dada zenu wavae ileni nanyi mjvaee. Sasa nani atongozwee
Kuna watu wanaimba❤
Nyimbo ni kali❤❤❤like zangu tukisonga
Congratulations sijawai ichoka hii nyimbo naipenda🔥🔥🔥❤❤
Nimeikubali 100%
Hii nyimbo clam ameipromote sana
Nimeitafuta sana baada ya kuona best friend 🎉
Mi nlijua wanaojua kuimba wameshaisha bongo kumbe Bado aseee
Best friend ✌️
TUNAWAZE TUKUAMUA KUMBE✊🏿✊🏿
Whaou baada yakuona filama ya clam nikatokea kupenda iyi song 🥰🥰🥰🥰