VILIO vya FURAHA NYUMBANI kwa MTOTO ALIYETEKWA - MAJIRANI WAFANYA SALA NZITO WAKIMWAGA MACHOZI...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 952

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 днів тому +12

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @MonicaNderitu-z5u
      @MonicaNderitu-z5u 10 днів тому +1

      Wow that's awesome

    • @agneskariuki3365
      @agneskariuki3365 9 днів тому +1

      I thanks uu God to return our pray...glory to u Jehovah no one like uu.

    • @Betha-su3fi
      @Betha-su3fi 9 днів тому +1

      Sina chakusema Mimi nasema Wewe Ni Mungu Mkuuuuuuu.

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 10 днів тому +393

    Kama ulitamka chochote kumwomba Mungu kwa ajili ya mtoto huyu! Gonga like tushirikiel na familia Kumshukuru Mungu! Hakika Mungu ni Ebeneza! mpk na feel chozi!!jamani!! 😢😢

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 10 днів тому +144

    Ndugu zangu wapendwa, msisahau kumtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa kuwatendea.miujiza hii mikuu na ya ajabu sana!

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 10 днів тому +3

      Sanaaa. Na fungu la kumi pia.

    • @ivyroses9019
      @ivyroses9019 10 днів тому +5

      🙏 🙏 🙏 ninaamini watafanya sio jambo la kumsahau Mungu,na ikiwa wanamshukuru Mungu kwa Machozi na Maombi.
      Basi watakumbuka Inshaalah, Amen🙏

    • @EmilyTembo-k7e
      @EmilyTembo-k7e 9 днів тому

      ​@@valenakomba7686waniletee nyumbani 😂

    • @ScolaKitule
      @ScolaKitule 9 днів тому

      Ni kweli wakatoe shukrani kanisani kwa ajili yao na mtoto

    • @LucyNgowi-r2o
      @LucyNgowi-r2o 9 днів тому

      Kweli kabisa

  • @happinesfesto9171
    @happinesfesto9171 10 днів тому +94

    Yaani nimejikuta nalia tu machozi ya furaha hakika Yesu wetu ni mkuu hashindwi chochote Amen.

    • @hemedmbondejr
      @hemedmbondejr 9 днів тому +1

      Yesu ni mungu au mtoto wa mungu???

    • @Mohammedyasia
      @Mohammedyasia 9 днів тому

      😂😂😂😂😅😅😅😅Hebu nisaidie kumuelewesha

    • @BettyMangu
      @BettyMangu 9 днів тому +2

      Ameen,Yesu Bwana

    • @Faraja-k1e
      @Faraja-k1e 9 днів тому

      ​@@hemedmbondejrjamani jamani wakristo mnakosea!! Yesu c mungu

    • @BelinaAlex-j6c
      @BelinaAlex-j6c 9 днів тому

      ​@@hemedmbondejrAmini unachoamini na usilazimishe kila mtu aamini uaminivyo sio kwa ubaya lakin

  • @happinessmchome9101
    @happinessmchome9101 10 днів тому +48

    Mungu wetu halali wala hasinzii. Nimefurahi sana sana. Asante sana Baba wa mbinguni.

  • @samiramahmud406
    @samiramahmud406 9 днів тому +56

    Alhamdullillah 🤲 😢
    Alhamdullillah 🤲
    Alhamdullillah 🤲
    Mungu kamlinda mtoto Tumshukuru🤲 na Azidi kuwalinda Siku zote.
    Ya Rabbi 🤲

  • @Shaniatwain06
    @Shaniatwain06 9 днів тому +35

    Mbona nimelia kwa furaha Alhamdulillah 🙏

  • @kidotanne429
    @kidotanne429 7 днів тому +5

    Nami nasema Ahsante Mungu,hakika huyu mtoto Mungu ana kazi na yeye tunaomwamini Mungu tuzidi kumwamini hakika Mungu ni mwema sana tuungane na hii familia kumshukuru Mungu

  • @diraspatialsolutions3032
    @diraspatialsolutions3032 9 днів тому +7

    Kweli kila taaluma ina mchango wake katika kugusa maisha ya watu. Nimeona namna Dada mtangazaji alivosikia watu wakimshukuru kwa kazi aliyofanya. A priceless feeling that one

  • @AnnamaliaAmani
    @AnnamaliaAmani 9 днів тому +13

    Mungu ni mwaminifu sana na amekuwa mwema. Kwa familia , kwa kweli, hongera kwa jeshi la polisi na vyombo vyote. Vya usalama, Mungu azidi kuwaapigania katika kazi yenu nzito na iliyo na chanmgamoto nyingi .

    • @BettyMangu
      @BettyMangu 8 днів тому

      @@AnnamaliaAmani amina

  • @witmartha1059
    @witmartha1059 10 днів тому +42

    Mungu awakumbuke hata wale watoto wao waliopotea kwenye mazingira tatanishi Ee Mungu mkono wako ni hodari sana na ni mkuu sana.

  • @estherritte591
    @estherritte591 10 днів тому +12

    Ahsante sana Mungu ,pokea sifa ,heshima na Utukufu kwa Matendo yako makuu,hujawahi kushindwa.Mlinde Mtoto Merciana pamoja na Wazazi wake.Mungu wabariki Rais wa Tanzania Mama Samia,Jeshi la Polisi na Watangazaji pamoja na Wote walioomba kipindi cha nyakati ngumu.

  • @NeemaOmary-y2g
    @NeemaOmary-y2g 10 днів тому +17

    Ooh Mungu ni mwema nimefurahi sana mtoto mdogo hana hatia malaika wa Mungu

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 10 днів тому +27

    Alihamdulilah usiseme eti watanzaniya tu hata sisi wakenya mna uzazi ni mumoja uchunqu niuleule WA leba🇰🇪

    • @abishaikibona-dk4rg
      @abishaikibona-dk4rg 10 днів тому +5

      Tunashukuru ndugu zetu wa kenya Kwa kua pamoja Kwa Ili,

    • @elizalaya7887
      @elizalaya7887 9 днів тому +2

      Tunawashuķuru wakenya na .mataifa mengine yote waliokuwa pamoja nasi katika kipindi hiki

    • @CikeTanzania
      @CikeTanzania 9 днів тому +1

      Kabisaaa Alhamdulillah

    • @EwaldAnthony
      @EwaldAnthony 9 днів тому

      Umenena vyema

    • @julieteumuhoza
      @julieteumuhoza 9 днів тому +1

      Hata sisi wa Rwanda tunamushukuru mungu kwakutenda miujiza asante baba

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 9 днів тому +8

    Nimelia machozi ya furaha hakika MUNGU wewe ni mkuu sana kwetu Asante hata sasa umetusaidia

  • @neemaminja286
    @neemaminja286 10 днів тому +12

    Mungu wetu atukuzwe saana,,,,haleluyaaaaaaaaaaaa,utukufu kwa Mungu wetu.hongereni wamama wenzangu kwa maombi,nafurahi pamoja na familia ya melkizedek kutoka Arusha

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 8 днів тому +2

    Huyo mtt Atakuwa mtu Mwenye bahati sn katika maisha yake insha Allah lkm unaamini go ga like

  • @agneswilson908
    @agneswilson908 9 днів тому +9

    Dada kuna watu wengi pia wameomba sana kwa ajili yenu na mtoto hakikia huu ni ushindi na sifa kwa Yesu

  • @evalinemalole6709
    @evalinemalole6709 9 днів тому +1

    😢
    Nguvu ya Mungu haijawahi kushindwa na chchte 🙌🙌
    Mungu ni mwema🙏

  • @MaryJasely
    @MaryJasely 10 днів тому +32

    Mungu wetu ni mwaminifu hajawahi kumuacha mwenye haki wake aangamie🙏🙏

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 10 днів тому +30

    Mungu alinde Jeshi letu la Tz na umlinde mtoto na wazazi wake Asante mungu 🤲🤲🙏🏽

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 9 днів тому +9

    Hata hvy, nikumshukuru Mungu kwa yule mama aliye mtunza mtoto kwa muda wote aliyekuwa naye.

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 9 днів тому

      Angekuwa mwema asingemtesa mwanamke mwenzie siku zote hizo angemsalimisha mtoto police.hadi akamatwe na polisi ndio wale wale tuu hana lolote.

  • @masmas1219
    @masmas1219 10 днів тому +7

    Alhamdulillah i'm so happy to hear this good news
    May the almighty guide you to the straight path

  • @AbigailGlory-p4k
    @AbigailGlory-p4k 10 днів тому +4

    Atukuzwe sana Mungu kwa kumpigania mtoto huyo pamoja na familia nzima, pia namshukuru huyo mama wa Global tv kwa kazi kubwa alio ifanya kuanzia mwanzo watukio hadi mwisho, Mungu ambariki saana

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 9 днів тому +15

    Nimeamini jamani police hawalali ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤from Capetown South Africa Asante yesu ❤❤❤❤❤

  • @ReginaMsoka-pj4jc
    @ReginaMsoka-pj4jc 9 днів тому +5

    Asante Gehova, hakika wewe ni Mungu usiyefananishwa na jambo lolote, unastahili sifa na utukufu, baba wa mbinguni unastahili kuabudiwa na kutukuzwa milele na milele🙏🙏🙏

  • @rosejohn8494
    @rosejohn8494 10 днів тому +20

    Hata mm najisikia kulia nimesema mungu asant

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 10 днів тому +7

    Mungu wetu ni mwema..asnte Mungu kwa hili 🙏🙏

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko 9 днів тому +2

    Asante sana mungu, awatunze awaongoze vema ktka maisha yenu yote ,tunashukuru pia jeshi la polisi kwa jitihada zenu mpaka mtoto amepatikana Asante.

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 10 днів тому +9

    MM KAMA MKENYA NIMESKIA FURAHA SANAAA ALLAHMDHULILAH

  • @flaviacharles1348
    @flaviacharles1348 9 днів тому +2

    Da!!! Nimelia sana! Itoshe tu kusema Asante Yesu kwa kuwa umetenda. Hakika Yesu ni Bwana. Sifa, heshima na utukufu ni kwa Mungu juu mbinguni.

  • @AsiaPaulo-o2x
    @AsiaPaulo-o2x 9 днів тому +10

    Asante YESU mtoto kupatikana akiwa salama nimelia kwa furaha,hakika ashukuriwe MUNGU wetu aliye juu

  • @Zainab-b3w3n
    @Zainab-b3w3n 10 днів тому +7

    Asante bwana Yesu hakika wewe ni Bwana wa majeshi

  • @MethodiaStephano
    @MethodiaStephano 9 днів тому +4

    Mungu ni mwema kila wakati ❤

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi 5 днів тому

    Aminaaaaaaa,utukufu kwako mwokozi Yesuuuuuu,asanteee sanaaaaa .

  • @kaznakazn3495
    @kaznakazn3495 10 днів тому +10

    Alihamdulilah hakika mungu ni WA pekee Sana ashukuriwe Kwa neema zake

  • @BahatJ-o9b
    @BahatJ-o9b 9 днів тому +1

    Asante yehova kwa kumlinda huyu mtoto na kumrudisha mikonon mwa wazazi wake salama,naamin Kila mwanamke alieingia labour ametoa machoz baada ya kupata taarifa hii mungu wabariki wamama wote dunian AMEN.

  • @dianavincent-d5e
    @dianavincent-d5e 10 днів тому +4

    Mungu ni mkuu hufananishwi na kitu chochote Baba

  • @ZenaAmri
    @ZenaAmri 4 дні тому

    Amina wapendwa wangu nimekuwa nanyi katika kila hatua Mungu ni mwema mtoto huyu kupatikana akiwa hai amen

  • @namungolubala1788
    @namungolubala1788 9 днів тому +4

    HAKIKA MUNGU NI MWEMA SANA MAJANGIRI HAWO WALOPATWA NA HOFU YA MUNGU KWAJUU YA HUYU MTOTO GONGA LIKE 💋💋💋💋💋

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 10 днів тому +2

    Asante MUNGU wetu mtukufu uliye mkuu Sana, watu kama hawajawahi kupata experience ya kuibiwa mtoto wanaweza kuona ni igizo lakin wacheni MUNGU aitwe MUNGU mkuu ❤❤

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 10 днів тому +7

    Dah asante Mungu ww hujawah kushindwa,akutefemeae ww hawez aibika🤲🤲🙏🙏😭

  • @YuriSongoro
    @YuriSongoro 10 днів тому +5

    Aisee asante kwa jeshi la polisi maana tuliwaza mengi sana aisee👏👏👏

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 7 днів тому

    Hongera police Asante mtangazaji kweli tunafuraha sana MUNGU atukuzwe

  • @EvaNyoni-x8s
    @EvaNyoni-x8s 10 днів тому +3

    Asante sana Mungu hakika ukuu wako umeonekana Asante sana dada Imelda Mungu akutunze wewe ni muandishi wa kuigwa Mungu akubariki sana 🙏

  • @AdelaMwampamba
    @AdelaMwampamba 7 днів тому

    Mungu asifiweee. Mtoto Mungu amlindee

  • @mariamshibanda3358
    @mariamshibanda3358 10 днів тому +8

    Mungu ujawai shindwa

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877 7 днів тому

    Niseme wewe ni Mungu🙏🏼🙏🏼

  • @UpendoLema-bx9ji
    @UpendoLema-bx9ji 10 днів тому +5

    Asante sana Mungu wetu,,hujawahi kushindwa🙏😍🙏💃💃💃💃

  • @suzanalupaga3912
    @suzanalupaga3912 7 днів тому

    Asante Mungu mkuu ,tunaomba uendelee kiwalinda watoto wetu tunaowaacha nyumbani na mabint.

  • @beatricemburu6095
    @beatricemburu6095 10 днів тому +3

    Am greatful to God almighty for his mercy and protection upon that child am a Kenyan my heart was touch and played glory to God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yunhonct5971
    @yunhonct5971 8 днів тому

    Ubarikiwe Dada wa Global TV kwa kazi njema neema ya MUNGU ibaki juu yako na kanzi nzuri ya Mama samia sulyhu asani

  • @Samiry-w8w
    @Samiry-w8w 10 днів тому +5

    Amina Mungu ni kila kitu.❤❤

  • @flowebenezeth
    @flowebenezeth 6 днів тому

    Wewe ni Mkuu Mungu wetu🙏🙏🙏🙏

  • @neemamsalege6325
    @neemamsalege6325 10 днів тому +7

    Utukufu kwa Mungu aliye juuu😭😭😭😭😭😭😭

  • @angelmbuya9236
    @angelmbuya9236 8 днів тому

    Hakuna kitu Mungu anashindwa 🙌🙏

  • @ceciliamsanga
    @ceciliamsanga 10 днів тому +3

    Nmelia kwa furaha eeeh Mwenyezi Mungu tulindie familia zetu zidi ya hatari mbaya

  • @hamisa_mahimbo
    @hamisa_mahimbo 3 дні тому

    Mungu hana mpinzani. Alhamdulillah Amepokea maombi.

  • @SarahNambela-m1v
    @SarahNambela-m1v 10 днів тому +5

    Mungu wetu hufanya njia ata pasipo njia🙏

  • @jenfridahaule5727
    @jenfridahaule5727 7 днів тому

    Hakika Mungu atabaki kuwa Mungu, binafsi nimefurahi mno. Mungu awabariki wote ambao kwa namna moja au nyingine mmeshiriki kwa kupatikana huyu mtoto.

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 10 днів тому +12

    Nimefurahi kama nimemzaa huyo mtoto wallah nataman hata kuja kuwatembelea dar mm nipo zanzibar ila nilikuwa namuwaza huyo mtoto kila wangu wakitaka nyonyo usiku jmn😭😭😭😭😭 nimachoz ya furaha na uchungu ndani yake jmn sasa hao washenz wafanywe kama wa kule kongo 😢

    • @GeorgeKasembe
      @GeorgeKasembe 9 днів тому

      Nilitamani kusikia watekaji wameuawa Kwa rlisasi wakati wanawakimbia na Askari wetu kuliki kuwatunza na Kula Kodi zetu!

  • @Gaudensiamuganga
    @Gaudensiamuganga 9 днів тому +1

    Asante Mungu kwa kusikia maombi Yesu😢😢 Utukufu wako atusitaili kugusa ata kidg Wear YESU ni Baba unaejua kupenda na kurejesha vilivyoibiwa mikononi mwetu hakika wewe uwahi wala uchelewi tunakuinulia Utukufuu 🙏🙏🙏🙏nimelia machochi ya frahaaa

  • @MagrethWilson-r3m
    @MagrethWilson-r3m 10 днів тому +4

    Asante Mungu kwa Rehema na Neema yako 🇦🇪🇦🇪😭Mungu wewe ni Ebenezer 🙏🙏🙏♥️💡

  • @ImaShoka-o8y
    @ImaShoka-o8y 9 днів тому

    Nimejikuta nalia kwa furaaha jmn Asantee MUNGU

  • @neemangowi8006
    @neemangowi8006 10 днів тому +4

    Hakika wewe ni MUNGU uyatendae magumu tusiyoyaweza ninakutukuza BABA yangu ASANTE ASANTE❤❤

  • @DjumaAsha
    @DjumaAsha 10 днів тому +5

    Mungu mbele sisi nyuma Hakuna kama Mungu
    😢😢😭😭😂😂😂😂😭😭😂😂😂Vilio vya Furaha Mungu Ni Mkubwaaaaa😂😂😢😢😢😢😢😂😂😂Watangazaji Mungu azidi kuwabariki Awape maitaji ya Roho zenu Asanteni Nyooote mliotia nguvu Kwenye tukio hili
    Asante Mungu 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @JessicaShilinde
    @JessicaShilinde 9 днів тому

    Hakika wewe ni Mungu asante Yesu asante Yesu wewe ni bwana ameen,,nmelia jamn

  • @AtifaIslam-t6g
    @AtifaIslam-t6g 10 днів тому +7

    Haki mungu ampe umri sana na mama mtoto ana subra wallah mana mm nasema kama uyu anae sema sijui mm kama ningemaliza siku mbili wallah mana tumbo la uzazi lilinicheza sana

    • @KhadijaMwenda
      @KhadijaMwenda 9 днів тому

      Yaan huyu dada ana Mungu asee siyo rahis

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 8 днів тому

    Asante Yesu! hakika wewe ni mkuu sana

  • @aminaluoga4578
    @aminaluoga4578 10 днів тому +16

    Asante sana Mungu kwa kusikia maombi ya watoto wako

  • @srconjestakimario3211
    @srconjestakimario3211 8 днів тому

    Mungu Asante sana wewe ni Mungu unatenda miujiza umemrudisha mtoto merensiana salama utukufu my wako utukuzwe daima

  • @kokusimabuberwa259
    @kokusimabuberwa259 10 днів тому +3

    Mungu katenda asante Mungu

  • @Siasia209
    @Siasia209 9 днів тому +2

    Alhamdulilah tumefurah sana Allah azidi kuwalinda na mtoto wenu kipenzi

  • @ValaryWanjala-q7z
    @ValaryWanjala-q7z 10 днів тому +4

    Glory to God.Hallelujah

  • @mariamichael2796
    @mariamichael2796 8 днів тому

    Asante Sana Mwenyezi Mungu kwa muujiza huu

  • @MemoryChiluka-j2n
    @MemoryChiluka-j2n 10 днів тому +2

    Asante mungu wa ajibu sana jina lako litukuze milele na milele Niko Zambia lakin niliposikia habari hiii niliumia sana mungu in mwema amejibu maombi yetu❤

  • @tumwagileyona1214
    @tumwagileyona1214 8 днів тому

    Asante. Mungu kwa kumfunika mtoto wetu, jina lako litukuzwe.

  • @maresianantibakazi-yh4qd
    @maresianantibakazi-yh4qd 10 днів тому +2

    Duuuuuu wajina wangu jamani Mungu akupe maisha marefu

  • @ChrisitopherMlomo
    @ChrisitopherMlomo 9 днів тому +1

    Asante mungu kwa kuwasiliza maombi yao, kwakweli utabaki kua mungu tu

  • @McNdenza
    @McNdenza 10 днів тому +3

    Sifa,utukufu,heshima pokea Mungu wetu

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 9 днів тому

    Muwe mnatuonesha sura jaman tufurahie wote❤❤

  • @mungupamojanasi938
    @mungupamojanasi938 10 днів тому +7

    Asante Yesu, hakika watu wako wakijinyenyekeza kamwe hautawaacha, Tunakushukuru kwa kurejesha furaha na amani katika familia hii!Sifa na Utukufu ni kwako milele!

  • @MatswelopeleMphela
    @MatswelopeleMphela 9 днів тому

    mungu wewe ni ebeneza sifa na utukufu kwako hallelujah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EvaristDidas-z4v
    @EvaristDidas-z4v 10 днів тому +1

    OOOH!! Nimefurahi sana Mimi na familia yangu kusikia mtoto hiyo kupatikana akiwa hai JINA LA BWANA LIBARIKIWE SANA, tunamuombea azifi kuwa na agya njema

  • @AsmaAliHaji
    @AsmaAliHaji 8 днів тому

    Alhamdulillah mungu azidi kumhifadhi mtoto wetu

  • @violethbagila905
    @violethbagila905 10 днів тому +2

    Asante Yesu

  • @tumainimdindile
    @tumainimdindile 9 днів тому

    Asante sana

  • @DjumaAsha
    @DjumaAsha 10 днів тому +13

    Hata sisi pia tuko Burundi 🇧🇮 ila tunatokwa na Machozi ya Furaha Mungu Awazidishie nguvu na Afya na huruma mzidi kuwaokoa Watanzania Mam samiya Mungu Akuweke Jeshi la Police Na Watangazaji Mungu Awabarikini na awalinde Mmefanya Kazi Kubwa Mnooooo😂😂😢😢😢😢😂Asante Mungu 🙏 🙏

  • @fideliakira
    @fideliakira 9 днів тому

    Asante MUNGU uliye hai

  • @janejonathan9846
    @janejonathan9846 10 днів тому +3

    Asante Mungu wetu wa Mbinguni kwakuwa umetenda kumrudisha mtoto akiwa hai,jina lako lihimidiwe ,wewe nimkuuu sana,matendo yako yanatisha

  • @ShamimuAbdi-v8w
    @ShamimuAbdi-v8w 8 днів тому

    Asante Mungu usiyeonekana ,had nmejikuta natokwa na machozi kwa furaha ama kwel aombae kwa imani hujibiwa asante sana Mungu

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 10 днів тому +4

    ALHAMDULILLAH 🤲🤲🤲🤲😭

  • @ShangweKikoti
    @ShangweKikoti 9 днів тому

    Mungu ni mkuu sana.Ahimidiwe milele na milele

  • @GraceNjau-t9e
    @GraceNjau-t9e 10 днів тому +4

    Mungu mwema

  • @EvelynMmasi
    @EvelynMmasi 9 днів тому

    Asante yesu maana nilikuwa namuwazia mtoto acha mungu aitwe mungu amejibu maombi

  • @moyowayesu8095
    @moyowayesu8095 10 днів тому +1

    Asante Mungu

  • @otarurosie
    @otarurosie 8 днів тому

    Utukufu kwa Mungu❤❤

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 10 днів тому +3

    Alihamdulilah 🇰🇪🇰🇪

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 7 днів тому

    Asante YESU na Asante Watanzania wote kwa Maombi najua wengi waliingia katka maombi

  • @peninaemanuel9206
    @peninaemanuel9206 10 днів тому +2

    😭😭😭😭Asante Mungu kwa hili