Makongoro ni mwanamuziki aliyefundishwa muziki na magwiji wataalamu wa mzuki akina Mmari na Mgandu. Alikuwa akipiga bass guitar pale Tabora School miaka ya sabini.
makongoro chawa wa ccm bora madaraka anamisimamo aupendi uchawa kwa viongozi wezi makongoro angekua kiongozi lingekua jizi limehongwa ukuu wa mkoa limepagawa
Makongoro ni mwanamuziki aliyefundishwa muziki na magwiji wataalamu wa mzuki akina Mmari na Mgandu. Alikuwa akipiga bass guitar pale Tabora School miaka ya sabini.
Huyu mkuu yuko social sana no stress ndio life inataka hivyo
Nakuelewaga sana Makongoro. Huna shida na mtu. Stress free sana. Chapa kazi
Hongera Mama Maria na Familia yako yote Mungu awazidishie afya, upendo na Umri wenye furaha. Asanteni Mgeni Rasmi na mlioandaa tuzo hiyo.
Mashallah nakupenda sana brother ❤🥰🥰🇴🇲🌹
😂😂😂nampendaga sana nyerere mdogo
MAKONGORO= DEFINITION OF SELF LOVE...NO MAKASIRIKO NO BEEFS... LIVE LOOOONG MAKONGOROOOOO.....
hahahhaa jamaa hapendagi stress kabisaaa
Uyu jamaa ataishi miaka mingi sana mana hana stress
When you have money … no stress
Ila kama baba anaonekana ukifanya ujinga ni kiboko tuu
Like father like son 😅😅😅😅😅
Akili nying Sana huyu
Makongoro has humor and humbleness.
Yes thats the definition of self love...
Kwakeli minashindwa kuficha hisia zangu natamani huyu jamaa angekua raisi wangu
Anatoa shule huku comedy zikiendelea
🙌🏿🔥🙌🏿
makongoro chawa wa ccm bora madaraka anamisimamo aupendi uchawa kwa viongozi wezi makongoro angekua kiongozi lingekua jizi limehongwa ukuu wa mkoa limepagawa
😁😁
Inatakiwa kuwa mchekeshaji mzee makongoro
Hana shida huyoo hao wan pesa maisha huakika
Kipindi kile Makongoro anapewa ukuu wa mkoa wa Mwanza nilifrahi cn muda ci mrefu akabadlishwa jamaa yko pouw cn
Hana ubaya
😂😂😂
❤❤😂😂
Africa ni hatari jamen that’s why tukonyuma ya wezetu ambao tunawaita mabeberu but wanatupatia misaada guy’s
Wht do you suppose to mean?
Ujisomi
Bado upo usingizini,
Ngoja Putin aiamshe Africa uone kama utaomba msaada kwa mabeberu wako hao
Meaning?
Nnahitaji anachotumia huyu mkuu wa mkoa
Kubeli