MBUNGE WA CHADEMA AMLILIA RAIS SAMIA HADHARANI, AWACHONGEA VIONGOZI, "HATUTAKI MACHAFUKO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 84

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k Місяць тому +3

    Bigger up sna mbunge wetu kwa kazi na Hoja,nzuri ya kujenga

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Місяць тому +6

    Mheshimiwa mbunge unaakili sana .Hongera sana

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 16 днів тому

    Safi sanaaaaa Mh Mbunge kutoka chama kubwa CHADEMA.
    Chama chenye watu wenye akili inayowaza sawasawa.

  • @masoudsalum
    @masoudsalum Місяць тому +3

    Hongera Aida vry bright

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Місяць тому +2

    Huyu dada anaakili nyingi, wananchi walipata mali🎉🎉

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Місяць тому +4

    Hongera aida

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Місяць тому +2

    Samia ni mwizi wa ccm utaenda zanzibar kwa ujumla ccm wezi

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 Місяць тому +1

    Very bright!!!

  • @vincentmpupua5839
    @vincentmpupua5839 Місяць тому +3

    Aida mitano tena

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Місяць тому +2

    Uraisi ni nafasi isio kuwa na chama aida kaongea vizuri,,izo ndio siasa,,,ccm wamuone alie tokana na ccm na chadema wamuone alie tokana na chadema,,

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Місяць тому +2

    Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Місяць тому +3

    Mwenyezi mungu yupo nasi

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 Місяць тому +1

    Well said madam

  • @damasngottea1730
    @damasngottea1730 Місяць тому +2

    Hapo kuanza kwa kumsifia tu Mama ndo umenikwaza kwingine exllent

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 19 днів тому

    Usije kushangaa Mbowe na Lissu watamkasirikia huyo mbunge.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Місяць тому +2

    Kunasehemu wanapata wabunge jamani siyo wagonga meza

  • @JohnMhogo-hd3fs
    @JohnMhogo-hd3fs Місяць тому +2

    Sf umeongea pointi zakutosha

  • @kennethmanangwa8189
    @kennethmanangwa8189 Місяць тому

    Safi sana mbunge. Ukiona raisi katikisa kichwa basi ujue amekukubali. Endelea kukipigania chama chako.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Місяць тому +1

    Aida anajua wanachofanya safi Aida

  • @imakitori399
    @imakitori399 27 днів тому

    Mbona kwa samia hawakat saut

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Місяць тому +2

    Madam aida kenan namuamini hata nikiwa usingizini ujue

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 Місяць тому +1

    Umeongea vema , ila kwenye kupandisha bei ya chakula sio sawa, u ungeshauri pembejeo ziwe bei chini zaidi

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Місяць тому +2

    2025 aida atasimama hapo kwa ticket ya ccm😂😂anaongea kabisa kama mwana kijani

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Місяць тому

    Saf sana mbunge wetu 5 tena mbunge wetu

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Місяць тому +1

    Wamekata sauti safi sana Mbunge

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Місяць тому +2

    Umerudia neno mheshimiwa rais mno

  • @salmamsuya1043
    @salmamsuya1043 28 днів тому

    Yuko vizuri

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Місяць тому +2

    Hapo ndo unapokosea sasa unamfosi mtu aseme ccm oyeee ndo Chama chake?acha aseme kile alichonacho moyoni sio kumfosi aseme unachotaka wewe

  • @Frolian-j9o
    @Frolian-j9o Місяць тому +1

    Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 Місяць тому +1

    Aida kiboko sana

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k Місяць тому +1

    Hallo mambo vip?

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Місяць тому

    Haida upewe hata uenyekiti❤❤

  • @MazibaOnesimo-my8gu
    @MazibaOnesimo-my8gu Місяць тому +1

    mubunge anayejitambua kweli;

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Місяць тому +4

    Huyu anajua anachokifanya asifananishwe na Msigwa. Msifikiri kutukana ndiyo upinzani.

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Місяць тому

    Umeonja tunda tayari kwishinee. Mungu atutetee sie hatuna mtetezi duniani

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b Місяць тому +1

    Samia offered the state house to Harmonize and Mwijaku to abuse Diamond Platnumz with Uchawi...Aibu Tanzania😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @LusunguLupenza-lf7fk
    @LusunguLupenza-lf7fk Місяць тому +1

    Huu ndio uzalendo

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x 29 днів тому

    P1

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Місяць тому +1

    UKO VIZURI SANA MBUNGE KENANI

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Місяць тому

    Unga juhudi na wewe ni walewale kwedaaa

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Місяць тому

    Mambo ya kupotezeana muda tu, hakuna jipya

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 Місяць тому

    Saiz ziara za nje zimepungua

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Місяць тому

      Watanzania mambumbumbu kama ww wataishia kugeuza maneno hivo hivo tu mpaka wanazeeka.

  • @BeatusNgereza
    @BeatusNgereza Місяць тому

    Hao walisha onja tunda

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 Місяць тому

    Tunashida miaka mitano

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Місяць тому

    Mama ni mbwa uyo

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango Місяць тому

    Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 Місяць тому

    Watu wanajuwa kusoma alama za nyakati

  • @MwitaTv
    @MwitaTv Місяць тому

    Mimi natamani hata huyu mwanamke tumfukuze kwenye chama chetu cha Chadema, Mzinguaji tu

    • @emmanuelsulle911
      @emmanuelsulle911 Місяць тому

      Unakosea sana Jamani Aida kenani yuko vizuri Mno Mbunge makini wa Chadema.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Місяць тому

      ​@@emmanuelsulle911HAKUNA KABISA kwani unamtofautisha vipi na mwana CCM?

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Місяць тому

    Watanzania mnajiteka wenyew Ili mpew hela na serekali yenu achen ujinga sana

  • @Sangaadam
    @Sangaadam Місяць тому

    Kwa nn mnakatakata -Shame on u!!

  • @AndrewJulius-hg4bd
    @AndrewJulius-hg4bd Місяць тому

    Aida tuko salama kweli na watu wanatekwa

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt Місяць тому +2

    Mama Samia waganga WA kienyeja tunaomba wapigwe marufuku ndio chazo Cha mauaji kwanini wapewe leseni?

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 Місяць тому +3

    Akuna mupizan Tanzania 😂😂😂😂

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 Місяць тому

    Muda wakutafta kura

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Місяць тому

    Mmmh

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho Місяць тому

    Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Місяць тому +2

    CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Місяць тому

    Uyu hayupo Chadema amekaa bungeni bila mgongo wa Chama chake😅😅

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 Місяць тому +2

    Wewe sawa na msigwa tu

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Місяць тому +3

    Kazi ya mpinzani nikuikosoa serikali kuonesha nikwann haifai kua madarakani
    Ukiona mpinzani anaisifia serikali huyo siompinzan huyo analake jambo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Місяць тому

      Jiulize yupo bungeni kwa mgongo wa Chama kipi wakati Chadema hawapo😂😂😂 na je nikweli hawapo wengine

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Місяць тому

      Hata Rish Sunak juzi Tu kamsifia mpinzani wake bungeni, siasa sio vita

    • @evampuya-mp9vf
      @evampuya-mp9vf Місяць тому

      Mbunge Aidan nakupongeza saana uko vzr mtetezi wa wanyonge

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Місяць тому

      Kweli

    • @pueblo148
      @pueblo148 Місяць тому

      Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 Місяць тому

    Aibu chandama

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Місяць тому

    HAKUNA UPINZANI Hii Nchi, Hakuna HAKUNA HAKUNA, ni kusifia Ujinga Ujinga tu. Aida sio huyo ninayemjua.

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Місяць тому

      Mapunguani tu ndiyo wenye mawazo ya kupinga hata Yale mazuri.

    • @sylvanuskavindi2756
      @sylvanuskavindi2756 19 днів тому

      Ulitaka atukane matusi ufurahie maana kichwa yako ndo inaamini ndo upinzani