Asante sana Muheshimiwa Pinda na kukubaligi sana kwenye mambo ya kuonyesha mfano mzuri wa kilimo na kuliongoza Taifa letu pazuri,pia nakushukuru sana kwa kusema ukweli kuhusu muheshimiwa Dr.Magufuli......HAPA KAZI TUU asivyopenda rushwa na anavyopiga kazi. Asante
Ukweli Anko magu daaaah!!!, Kula yangu sikuunguza ilikwenda mahala pake, nilitaka nispige Kula mwaka 2015 ila nilipoona jina la mweshimiwa nikadondosha moja kwa moja, toka wizala ya ujenzi nilimkubali Mbaya. Ongeza bidii Anko magu ukiisha ondoka madala kani ndio watajua umuimu wako, samani ya mzazi pindi akiwa hayupo.
I Love speech from hon.MIZENGO PINDA.
Asante sana Muheshimiwa Pinda na kukubaligi sana kwenye mambo ya kuonyesha mfano mzuri wa kilimo na kuliongoza Taifa letu pazuri,pia nakushukuru sana kwa kusema ukweli kuhusu muheshimiwa Dr.Magufuli......HAPA KAZI TUU
asivyopenda rushwa na anavyopiga kazi.
Asante
Mzee pinda upo vizuri. Nakukubali muheshimiwa. Mungu akulinde wewe na familia yako.
Ukweli Anko magu daaaah!!!, Kula yangu sikuunguza ilikwenda mahala pake, nilitaka nispige Kula mwaka 2015 ila nilipoona jina la mweshimiwa nikadondosha moja kwa moja, toka wizala ya ujenzi nilimkubali Mbaya. Ongeza bidii Anko magu ukiisha ondoka madala kani ndio watajua umuimu wako, samani ya mzazi pindi akiwa hayupo.
Mheshimiwa Pinda wewe nakupongeza sana uko makini ni mstaafu wa kuigwa siyo jamaa wengine bado wana choko choko na kuzengea urais.
Safiii Mzee wetu unajituma Sana'a Tanzania mbeleee JPM Nambari 1
Karen kahabi Nakupendaga Sana na sauti yako tu Jmn
Safi sana Mzee wetu ulikuwa vizuri Mungu akubariki Mungu ibariki Tanzania yetu
Mungu akuongoze wa nyumbani kabisa mfipa mwenzangu baba yangu
Nasri Aloysi mpimbwe usimpe kabira ambalo cio lake kibaoni kwao tipimbwe
Waliong'ang'ania ndege yetu WAPIGWE TU..hamna namna.
Safi sana
magufuli hajawahi kuwa waziri wa viwanda,rekebisha hapo
wee dada mtangazaji nakupendaga kinoma
Pinda is ni mtoto wa mkulima kwelikweli. Mtanzania wa kweli.
Asikwambie mtu waziri Sokiine, Mrema, akifatia Majaliwa hawa hasa ndio viongozi watwoacha alama na muhedhimiwa JPM ja Baba wa taufa mr Kambarage👌
Nimekua wa 5 leo nigongee kweli tumepata rais jembee🇹🇿
Hahaha😂😂😂😂😂😂😂😂unaenda nasketi fupi kwenye nyuki
Wasiompenda JPM wapigwe tu, eeeh! tumechoka sasa, maana hakuna namna nyingine! VIVA Magu!
imeme hukuweka majimoto mpaka xxa barabara kibaoni mamba hadi ilemba mbovu hadi leo
kumrudisha mpenzi siku 3:peteya bahati:0658535229