Maelezo yaliyonyooka!!! Mbona hakuzigusa Hadithi za mtume kabinya kimyaa. Uwezo mdogo Kwa hili haliwezi arudi Kwa mashekhe upya akasome. Huyu nisiasa zaidi.
Sheikh umeongea sana lakin mm suali langu ni 1: Vile mukipeana taarifa kuwa mwez umeonekana sehem fulan Tanzania au Kenya au popote afrika mashariki kupitia sim au tv jee utaratibu huo ndo uliokuwepo miaka mia iliyopita kabla ya teknolojia? Na km sivyo mumetoa wap?
@@mohammedmfamau43 Sawa katumia aya lakin je hiyo aya imetaja kila nchi na mwezi wake? Au hiyo tarekh mbona wanaifanyia kazi kwenye muandamo wa kimataifa tu? Kwanin mwez ukionekana nchi za karibu wapeane taarifa kupitia redio au tv au simu ndio ilivyokuwa zamani hivyo?
Technology kuturahisishia leo kupata mawasiliano ya haraka sio dalili wala kigezo cha kua arafa ni moja kwani uwezekano wa kupeleka taarifa ktk miji zama za mtume na maswahaba ulikuwepo lkn hawakufanya kwakua mtume alishawafundisha waislamu kufuata miandamo ya mwezi na km ingekua usahihi ni kufunga arafa ya maka basi vipi mtume awache kupeleka habari za muandamo ktk miji ilhali kuna siku 8 kabla ya siku ya arafa?
Ndgu yangu usione km wewe umefikiwa na teknoloj8a ukaona kila binadamu km wewe .dunia kubwa kuliko unavodhani. Huo mtandao tyri ushakutia imani km kila mtu km wewe lkn haiko ivo kuna wanadam wala usitoke znz kwenda mikoani hawana smart phone wala Ving,amuzi we ushambiwa usifate kwakuwa ksema faridi,lkn pia sheikh kasema ukiona moyowako umetulia huko unokofata basi bakia huko.na allah atakylipa kw Nia yako !!
@@aliy3303 katafute kitabu usome usilete maono yako ambayo hayalingani na waliofanya juhudi kuandika vitabu vya elimu Maana ulipoanza tu kusema kwa upande wako dhahir inaonesha kama una lako rohoni hujakusudia kujifunza ASANTE KWA UJUMBE WAKO NA ENDELEA KUFATILIA CHANNEL YETU KWA MAWAIDHA MBALI MBALI
Huyu sijui alipewa nini mara hii. Kila mtu anamshangaa na KIAPO juu. Msiba mkubwa. Sh. Kasimu Mafuta kawaona wengi wanaoitwa mashekh lkn daah tutafika wapi.
Aah!! Huyu siku hiyo kakurupuka 100%. Ishu Hana hoja. Hadithi hakuzitaka. Tena asiachiwe huyu atapotosha. Abanwe. Sh. Msellem na Mohd Bachu wamuekee kitii Moto na jopo lako. Ikitajwa May day wanakubali lkn wanapinga hili ktk dini.
Kwanini sheikh faradi unafunga mwezi ukionekana dodoma au mwanza au pemba kwanini msifunge mpaka uonekane unguja kwasababu hiyo ndio asili naomba jibu hapo. Naungana na wewe ikiwa kila mji utafunga kwa muandamo wake lakini ikiwa tunapewa taarifa kupitia redio kuwa umeonekana pemba kigoma na tunafunga sioni tofauti na wanaofunga wakisikia umeandama mji wowote duniani
Sasa shk farid hata hapa tanzania hapo zanzibar na mwanza kwanini wanafuatana pamoja sasa, wakati hakuna teknolojia ilikua hakuna uwezo wa kupeana tarifa..mche allah shk usifuate muandamo hata wa hapo mwanza au kigoma kwasababu ukifuta utakua umefuta teknolojia mche allah...
Sio mwanza chukulia hapo pemba ila alivofahamisha katumia tarekhe ya mtume tabiina na aya za qur an na sio maneno yake.kwaiyo utangalia wapi pa kufuata.
Sawa sawa , mashaallah
Masha Allah shukran saana sasa ukweli tumeufaham
Shukran Sana Sheikh....iko wazi sana
Maasha Allah
Maneno Qalla Wadalla
SHEKH FARID ALLAH AKUWEKE SALUM MAQURAN
Maashaallah shekhe
Mashaallah Sheikh Farid kwa maelezo yaliyonyooka kwa kweli wenzetu hufata mkumbo kwa maslahi yao binafsi
Maelezo yaliyonyooka!!! Mbona hakuzigusa Hadithi za mtume kabinya kimyaa. Uwezo mdogo Kwa hili haliwezi arudi Kwa mashekhe upya akasome. Huyu nisiasa zaidi.
@@kitosioHadithi gani?
Safi sana shkh
Mashaallwa
Mashallah umemalizia vizuri..mtu afate mcmamo anaoamini muhimu hataoki ktk mila
Teknolojia wajipumbaza!!
Shehena
Sheikh umeongea sana lakin mm suali langu ni 1:
Vile mukipeana taarifa kuwa mwez umeonekana sehem fulan Tanzania au Kenya au popote afrika mashariki kupitia sim au tv jee utaratibu huo ndo uliokuwepo miaka mia iliyopita kabla ya teknolojia? Na km sivyo mumetoa wap?
Huyu Shekhena hapa atubie kwanza. Anakula KIAPO ovyo
Tuwe wenye kufaham shekh katumia aya na tarekh ya mtume na kasema sio maneno yake na ukiona ni ya haki we fuata km sio fanya moyo wako ulipotulia .
@@mohammedmfamau43 Sawa katumia aya lakin je hiyo aya imetaja kila nchi na mwezi wake? Au hiyo tarekh mbona wanaifanyia kazi kwenye muandamo wa kimataifa tu? Kwanin mwez ukionekana nchi za karibu wapeane taarifa kupitia redio au tv au simu ndio ilivyokuwa zamani hivyo?
Kishki ameyamaliza yote hayo
Alhamdullah
Sheikh huwezi kuikwepa Technologiya kumbuka sharia pia inazingatia hilo
Kanuni ya kisharia
inasema: لاينكر تغير الأحكام بتغير الأزمان
Technology kuturahisishia leo kupata mawasiliano ya haraka sio dalili wala kigezo cha kua arafa ni moja kwani uwezekano wa kupeleka taarifa ktk miji zama za mtume na maswahaba ulikuwepo lkn hawakufanya kwakua mtume alishawafundisha waislamu kufuata miandamo ya mwezi na km ingekua usahihi ni kufunga arafa ya maka basi vipi mtume awache kupeleka habari za muandamo ktk miji ilhali kuna siku 8 kabla ya siku ya arafa?
@@abumuhammadmbwana3964hiyo ni kwa sababu uislamu haumkalifishi mtu ila habari zikija hutakiwi kuzikataa
*****
Ndio kishakwambieni hayo sio maneno ya ustadh farid fuateni huko mioyo yenu ilipotulia kwa kwani kuna ugomvi?
Ndgu yangu usione km wewe umefikiwa na teknoloj8a ukaona kila binadamu km wewe .dunia kubwa kuliko unavodhani. Huo mtandao tyri ushakutia imani km kila mtu km wewe lkn haiko ivo kuna wanadam wala usitoke znz kwenda mikoani hawana smart phone wala Ving,amuzi we ushambiwa usifate kwakuwa ksema faridi,lkn pia sheikh kasema ukiona moyowako umetulia huko unokofata basi bakia huko.na allah atakylipa kw Nia yako !!
ila upande wangu mm Arafa iko wazi tufate Saudia kutokana na technology tunaona live...ila kuhusu ramadhan kila mtu afate mcmamo wake
Jee ndo Alivofubdisha mtume hivo tukiona Live au tuangalie mwezi hio Live ipo kisheria?
Sasa ingelikuwa hakuna Teknilojia jee ???
@@el-bahsaanytv985 kama hamna technology ndio tungekya kizamani
الله يعلم
@@aliy3303 katafute kitabu usome usilete maono yako ambayo hayalingani na waliofanya juhudi kuandika vitabu vya elimu Maana ulipoanza tu kusema kwa upande wako dhahir inaonesha kama una lako rohoni hujakusudia kujifunza ASANTE KWA UJUMBE WAKO NA ENDELEA KUFATILIA CHANNEL YETU KWA MAWAIDHA MBALI MBALI
Kwani shekh faridi huyo imam shafi au Ahmad au maaalik anasema Nini kuhusu muandamo wakufuata nchi nyengine?
Huyu sijui alipewa nini mara hii. Kila mtu anamshangaa na KIAPO juu. Msiba mkubwa. Sh. Kasimu Mafuta kawaona wengi wanaoitwa mashekh lkn daah tutafika wapi.
Aah!! Huyu siku hiyo kakurupuka 100%. Ishu Hana hoja. Hadithi hakuzitaka. Tena asiachiwe huyu atapotosha. Abanwe. Sh. Msellem na Mohd Bachu wamuekee kitii Moto na jopo lako. Ikitajwa May day wanakubali lkn wanapinga hili ktk dini.
Kwanini sheikh faradi unafunga mwezi ukionekana dodoma au mwanza au pemba kwanini msifunge mpaka uonekane unguja kwasababu hiyo ndio asili naomba jibu hapo.
Naungana na wewe ikiwa kila mji utafunga kwa muandamo wake lakini ikiwa tunapewa taarifa kupitia redio kuwa umeonekana pemba kigoma na tunafunga sioni tofauti na wanaofunga wakisikia umeandama mji wowote duniani
Zanzibar na Tanganyika ni nchi tafauti ipokua mwajichanganya tuu
Shekh kwan muft anatangaz mwez hatumii tecnologia???,,,, inna lhalala bayn wainna lharaam bayyin
Sasa shk farid hata hapa tanzania hapo zanzibar na mwanza kwanini wanafuatana pamoja sasa, wakati hakuna teknolojia ilikua hakuna uwezo wa kupeana tarifa..mche allah shk usifuate muandamo hata wa hapo mwanza au kigoma kwasababu ukifuta utakua umefuta teknolojia mche allah...
Sio mwanza chukulia hapo pemba ila alivofahamisha katumia tarekhe ya mtume tabiina na aya za qur an na sio maneno yake.kwaiyo utangalia wapi pa kufuata.
@@mohammedmfamau43 sio mm hata yy na kama yeye ndio wasifuate hata hapo pemba kwasababu wakifuata itakua wamefuata teknolojia
Jibu kwa dalili hadis zipo sio jibu waleta masala ya teknolojia wewe jipumbaze
Kwani bila ya teknolojia ungeona wapi km mwezi umshaonekana Saudia au saivi watu wamesimama arafa?