FUNGA YA SIKU YA ARAFA | NIHARAMU KUFUNGA SIKU HII | TAHADHARI TUSIIPOTOSHE | SHEIKH: IZUDIN ALWY

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 219

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 Рік тому +2

    Mashaa allah point muhimu sana ya kuwagonga nayo wanaolazimisha arafa iwe moja tu

    • @yassirsuleiman7804
      @yassirsuleiman7804 Рік тому

      Muhimu tumuombe Allah atuweke tuwe kitu kimoja kama mtume walivyokuwa wamoja wakati huo anaekusudia ubishi itafika siku ya kweli mwenye hoja ataongea vzr

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Рік тому +1

      ​@@yassirsuleiman7804wajua arabuni nchi nyingi zafunga na mwandamo mmoja lakini bado hawaelewani muhimu ni hata kama tutatafautiana lkn tuhishimiane maana hata maaimmatul arba' walitafautiana na wakahishimiana

  • @RehemaChande-rc4fv
    @RehemaChande-rc4fv 4 місяці тому +1

    Kabige dufu

  • @hantiroadhan3241
    @hantiroadhan3241 2 роки тому +8

    Assalamu aleikum. Kwa mtizamo wangu Kichwa Cha muktadha haiambatani na maelezo aliyoyatoa sheikh Kwa ufasaha. Shukran jaziilan Sheikhunaa Allah akubaarik

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 2 роки тому +1

      Hadithi inasema tufunge mwezi tisa, lkn mahujaji hawafungi kw hiyo inatuhusu tusiohijji kw miandamo ya kwetu

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 2 роки тому

      @@jamalsalum8726 sawasawa hivo ndivo ilivo nakubaliana na ww

    • @salumsaid1545
      @salumsaid1545 2 роки тому

      Na huyu mwanagu Juma salum kazidi kwenda kombo

    • @suhailahabdallah711
      @suhailahabdallah711 2 роки тому +1

      Hakuna hadithi hiyo inayosema tufunge mwzi tisa..hadithi imesema funga ya arfa

    • @mohammedmussa1616
      @mohammedmussa1616 2 роки тому +1

      @@jamalsalum8726 jazaka llahu lhairi

  • @kanonibuyekera591
    @kanonibuyekera591 2 роки тому +1

    Tafadhali Shekhe kubali Kuna tofauti ya mawazo. Kubali kuwaelewa wenye mtazamo tofauti. Tofautisha Kisimamo Cha ARAFA (Kwa wanohiji) na Fungal ya ARAFA Kwa wote walio nje ya viwanda vya ARAFA: kuanzia walio Makkah Hadi nchi za mbali ikiwemo Tanzania Kisha rejea Hadithi ya Mtume Muhammad SAW . HADITHI inawahusu wote wasiokuwa viwanda vya ARAFA Kwa wakati huo na tarehe hiyo maalum. Tafakari pia fadhila zinazokuwepo Kwa Muda huu maalum; Allah SWT kushuk kwenye Arshi mchana badala ya usiku. Kitendo hiki ni mara Moja tu Kwa mwaka. Sasa tarehe 9 Yako ikiwa mbele au nyuma ya tarehe 9 ya Saudia wewe fadhila hii utaipataje wakati sharti ni uwe umefunga?? Ukifunga kesho yake tayari umeikosa!! TAFAKARI HILO!!!

  • @aliyabasi2058
    @aliyabasi2058 2 роки тому +1

    Mulitupoteza kitambo sai tushajua ukweli Alhamdulillah arafah inamafungamano na kisimamo cha mahujaji

    • @salimboi5735
      @salimboi5735 2 роки тому

      Hujielewi ww

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 2 роки тому +1

      Jisemee peke Yako usialike watu waliokua hawapo sema, mulinipoteza na si mulinipoteza.

    • @shabaniahadi4387
      @shabaniahadi4387 2 роки тому +1

      Allah akupe ufahamu,
      Hivi kabla ya hijja hii funga ilikuwa inafungamana na mahujaji wa wapi.
      Na je hii miaka ya covid ambapo watu hawakuhiji mlivyofunga mliambatana na nani

  • @saidbwanaalimwanaharakati7508
    @saidbwanaalimwanaharakati7508 2 роки тому +2

    Sheikh wetu shukran kwa waadh

  • @shkhmohd712
    @shkhmohd712 2 роки тому

    Mashaallah ao hawataki kufahamu hebu wafahamishe wafahamu Kwa sababu funga ya arafa ipo mwanzo kuliko kisimamao Cha arafa

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 роки тому

      Mambo haya yana ikhtilafu ndg, kwani maoni yako yapi?

  • @yussufsaid8223
    @yussufsaid8223 2 роки тому +1

    Tumuogopen Allaah mashekh munapotosha Allaah atakwenda kuaulza na muandae majibu mbele ya Allah

    • @saidimohammed4312
      @saidimohammed4312 Рік тому

      Wewe unaona unapotoshwa ni sawa sasa je na uwewe unauhakika gani kwa hilo uliaminilo? Almuhimu kila mtu afanye lile alionalo yeye liko sawa kwani ajuaye zaidi nani yuko sawa na nani hayuko sawa ni mwenyewe Allah (S.W)

  • @mabroukchihambihambi3626
    @mabroukchihambihambi3626 2 роки тому +1

    Jazakallah khair shekh
    ALLAH 🙏 akujarieeeee

  • @ramadhanidd7082
    @ramadhanidd7082 2 роки тому +2

    Kaa kitako usome vizuri sheikh usipotoshe jamii ya kiislam

    • @mohammedmussa1616
      @mohammedmussa1616 2 роки тому +1

      Unapotaka kumkosoa mtu njoo na hoja sio umwambie akasome wakati wewe mwenyewe hujui chochote

  • @maisaaalawy8064
    @maisaaalawy8064 2 роки тому

    Mwenyezi mungu atunusuru yarab

  • @abeidmawaka5338
    @abeidmawaka5338 2 роки тому

    Shukrn

  • @Seleleko
    @Seleleko 2 роки тому

    Allah akufahamishe kisha utubie kwa umma maana hauna dalili ni maneno tu.

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 2 роки тому +1

    Sheikh unawapotosha waislamu siyo vinzuri

    • @Raj-gs2oj
      @Raj-gs2oj 4 місяці тому

      Naona.wengi munamsema anapotosha lakin sielew amepotosha wapi. Suala hapa ishu ya Aarafa na swaum aarafa ni Mada ya ya kimuandamo wa mwez kama ilivyo ramadhan. Lakin sheria aarafa ni mwez9 muandamo ktk dhul hijjah. So kila mmoja aendelee na ule mtazamo wake juu ya muandamo wa mwez ndio aende nao had siku ya tr9 dhul hija ndio afunge. Ila sheih akatoa nasaha kuwa ni bora ikukute funga ya aarafa mwez 8 kuliko ikupate mwez 10(siku ya Eid) Kwan utakuw mwenye hasara zaid. Kwakuw mwenye kufunga siku ya Eid haramallahu(Allah ameharamisha)

  • @arafatially1393
    @arafatially1393 2 роки тому

    Pita kishoto kasome vizuri

  • @ghanimaothman5409
    @ghanimaothman5409 2 роки тому +5

    Hujielewi Allah akuongoze katika hakki

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 роки тому +2

      Wewe unojiolewa tufahamishe basi ili ajielewe huyo asojielewa pia.

    • @ctcctcc6457
      @ctcctcc6457 2 роки тому

      @@mahamoudduchi3318 kama wafahamu kiarabu basi msikize Shaykh Fawzan aliyetajwa na huyu ustaadh kisha utaelewa
      ua-cam.com/video/_Sp1HLX0QC8/v-deo.html

    • @Haydar00181
      @Haydar00181 2 роки тому

      Elewa anacho sema ustadh.shkrn

  • @swalehhamisi9694
    @swalehhamisi9694 2 роки тому +1

    pole kwa ufahamu wako bado usipoteze watu .

    • @mohammedmussa1616
      @mohammedmussa1616 2 роки тому

      Unauhakika anapoteza watu. Wacha ubishani soma ndipo utoe ushahidi. Pia wacha kudharau masheikh

    • @swalehhamisi9694
      @swalehhamisi9694 2 роки тому

      hatushindani pia sisi tuwasomi sio ww na sheikh lako njoo markaz taweed waa denyenye uone watu wasomavyo na misingi safi ilio sahii sio mupeleke watu muonavyo .

  • @gift-AA
    @gift-AA 2 роки тому +2

    Sheikh MCHE ALLAH

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 роки тому +1

      Kwa nn wasema hivyo? Una uhakika kua hamchi Allah?

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Рік тому +1

      Mtume alisema kwamba arafah ni tarehe tisa si siku ya kisimamo alafu kitu kingine ni kwamba makkah wenyewe hawataki kufutwa lakini nyinyi mawahabi muna lazima
      Hemu fanyeni mambo kisheria musifanye mambo kimazoea.

  • @saidbwanaalimwanaharakati7508
    @saidbwanaalimwanaharakati7508 2 роки тому

    Jmn Mambo haya yanatatiza...

  • @saidbwanaalimwanaharakati7508
    @saidbwanaalimwanaharakati7508 2 роки тому +2

    Shukran

  • @mjombahassan750
    @mjombahassan750 2 роки тому +3

    Shekh tunakufahamu vizuri ww ni muigizaji tu wadini na kuchutekesha? Jamani mashekh kama hawa kaeni nao mbali.

  • @farajilukindo6073
    @farajilukindo6073 2 роки тому +1

    Assalam alaykum, haiwezekani Maka iwe tar 9 arafa is na Tanzania iwe 10. Kinacho angaliwa ni mahujaji wakiwa viwanja viwanja au?

  • @salimjawas8123
    @salimjawas8123 2 роки тому

    Anapotosha watu huyu, mungu amuongoze

  • @harounhilal1394
    @harounhilal1394 2 роки тому +1

    Acha kujitoa fahamu ww

  • @afric01
    @afric01 2 роки тому +2

    Aslm alkm ww...... Masha Allah. Jazakallah kheir 🙏

    • @kkkm6404
      @kkkm6404 2 роки тому

      Hapo umepotea sana sheh

  • @shuaibsaid515
    @shuaibsaid515 2 роки тому

    Mashekh wengi wamejisahau kalenda ya kiislam wakiongea tunwanataja kalenda isio kua yetu. Usawa taja zote ili waislam wanajisahau wakumbuke kalenda ya kiislam.

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla7624 2 роки тому +1

    Kullukum rai wakullukum.....

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 2 роки тому +3

    Shukraan Sana sheikh wetu

  • @shabanmagambo2948
    @shabanmagambo2948 2 роки тому

    Njaa tu zinakusumbua

  • @hajiamiri1658
    @hajiamiri1658 2 роки тому

    Duh sijawhi skia kitu hiki toka nijitambue

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 2 роки тому +1

    Shukran shekh

  • @jafarmalungi905
    @jafarmalungi905 2 роки тому +1

    Mashaallah

  • @sirajisaraj9732
    @sirajisaraj9732 2 роки тому +2

    Sheikh unapotosha waislamu siyo mzuri saumu ya arafa ni mzuri bana wewe vipi

    • @Haydar00181
      @Haydar00181 2 роки тому

      Elewa anacho sema ustadh kaka.shkrn

  • @bakarifatherb4180
    @bakarifatherb4180 2 роки тому +4

    Masikhara katika dini, kwa mtu alosoma dini ni makosa sana...

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir 4 місяці тому

    Hii hadith haina mausoano baina ya funga ya Arafah na kisimamo cha Mahujaji katika uwanja wa ARAFAH....?????
    Juzuu ya 7, Kitabu cha 69, Nambari 509:
    Imepokewa na Um Al-Fadl:
    Watu walitilia shaka iwapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa amefunga au ni Siku ya Arafa au la. Basi nikampelekea kikombe chenye maziwa na akanywa.

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 2 роки тому +3

    Hoja dhaifu sana

  • @RehemaChande-rc4fv
    @RehemaChande-rc4fv 4 місяці тому

    Mi cjasoma lkini uyu xhekhe kashatumwa 😅😅😅😅

  • @ibnsefu9764
    @ibnsefu9764 2 роки тому

    Kwani ALLAH na Mtume wake waketuacha kwa Giza, Mpka unasema fwata pale unaona ni sawa kwako... Sema ya Haki sio KUBABAISHWA Watu

  • @salumsaid1545
    @salumsaid1545 2 роки тому +1

    MUANDISHI HUJAIELEWA MADA, UNATAKIWA UJUE UJUMBE UNAMAUDHUI GANI NDIO UTOE KICHWA CHA HABARI, INAONESHA DHAHIRI ULIKUWA UNAFELI KWENYE SOMO LA LUGHA, KIPENGELE CHA KUSOMA HABARI KISHA UTOE KICHWA CHA HABARI HIYO, KASOMEE TENA HUJASTAHIKI KUWA NA FANI HII YA UANDISHI.

  • @aminrendis7249
    @aminrendis7249 Рік тому

    UTAKAPO SIMAMA KWENYE VIWANJA VYA ARAFA NYINYI MLIO PEPEZONI MMESUNIWA KUFUNGA

  • @ibrahimomar1073
    @ibrahimomar1073 2 роки тому +2

    Muogope Allah

  • @zaidechafim2613
    @zaidechafim2613 2 роки тому

    A/aleykum warhmatullah uyu Sheikh sio mara yakwanza lugha aijui kisha ajaelewa masomo mbona unawazingua watu jamani mtihani sana.

  • @ctcctcc6457
    @ctcctcc6457 2 роки тому +3

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
    Hapa ustadhi asema Shaykh Fawzan peke yake ndiye apingaye saumu ya Arafa ikiangukia siku ya ijumaa lakini ukweli ni kwamba fatwa yake ustadhi ameichukua kutoka kwa Shaykh Fawzan kisha akasahau kwa sababu hii link Hapa chini Shaykh Fawzan asema haina neno kufunga Arafa ipoangukia Ijumaa kwa sabau niyyah sio kuipwekesha Ijumaa kwa saumu bali niyyah ni kufunga Arafa...
    ua-cam.com/video/_Sp1HLX0QC8/v-deo.html

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043 Рік тому

    Shekhe wacha maneno mengi hatujaona dalili na wewe kaziyako nikutoa maneno bila dalili haya yote ulioyasema umeanukuu kitabu gani kama si kutuchekesha tu utakua muigizaji wa dini

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 2 роки тому +2

    Arafa mwezi Tisa akuna Sheria isemayo fateni maka-kwanza Dunia huahaifanani machweo utasikia mtu akisema fateni Maka akuna kama hiyo ambayo katamka mtume-

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 роки тому +1

      FUNGENI SIKU YA ARAFA,limetumika neno SIKU,hajasema tufunge ARAFA.

    • @amanichanzi4315
      @amanichanzi4315 2 роки тому

      Rudi darasani wew

    • @amanichanzi4315
      @amanichanzi4315 2 роки тому

      @Salim Abdullah wote nyinyi ni walewale tu mnakera saana na mnatia hasira

    • @amanichanzi4315
      @amanichanzi4315 2 роки тому

      @Salim Abdullah wewe na mim utajua ukweli na usahhi kipindi cha umaut na siku ya kiama lazima niwe mjali napoona haki inapindishwa waziwazi mm sio mjinga mpaka nareact kiasi kwamba kuona upotoshaji unaendelea mm sio mjinga kama unavyofikiria wew na elimu yako ambayo na huyo shee naona kabisa hazina manufaa

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 роки тому

      @Salim Abdullah kesho utakuwa umefunga funga funga gni maana hata ukipiga sim maka watakuambia cku ya ARAFA ilikua Jana,na iyo hadithi ya uharamu wa cku kuu itakua haitumiki tena neno SIKU YA ARAFA mtume kasema sasa kesho itaitwa funga gani nijibu.

  • @suleimansalim9470
    @suleimansalim9470 2 роки тому

    Tarehe hazipishani shekha samahani tumepishana na masaa duniani si siku

    • @mohammedmussa1616
      @mohammedmussa1616 2 роки тому

      Sio kweli tumepishana mpk masaa mbona Makka leo mwezi 10 na sisi Tanzania leo mwezi 9

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 2 роки тому +1

    Arafa nj Ibada ya kuabudu sanamu

  • @yassirsuleiman7804
    @yassirsuleiman7804 2 роки тому +1

    Zungumza haki za Allah kuna siku ya maswala zaidi kweli ipo wazi fahamisha usifanye maskhara na Allah

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 роки тому

      Acha uzuka ww

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Рік тому +1

      Mtume aliulizwa ni ipi siku ya arafah akajibu kwamba ni tarehe tisa dhul hijjah mbona hakusema ni siku ya kisimamo yafaa muelewe mawahabi.

    • @yassirsuleiman7804
      @yassirsuleiman7804 Рік тому

      الحَمْدُ ِلله ikiwa mm wahabi sijui mwezangu kama hili la kuwapa majina waislamu wenzako kikejeli umejifunza kwa mtume au ghadhabu lakini ikiwa ww muislamu kamili fikiria kabla ya kuongea inawisho hii

    • @yassirsuleiman7804
      @yassirsuleiman7804 Рік тому

      halaf usifikirie akili yako ndio hadithi za mtume fasiri zipo humo haya kama hakujibu aliulizwa akiwa kenya

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Рік тому +1

      Tupeni hadithi isemayo arafa ni siku ya kisimamo tupeni hamuelewi twataka ushahidi utokao kwa mtume hata kama ni hadithi dhwaifu nimewaruhusu tupeni

  • @idarusishabani7551
    @idarusishabani7551 2 роки тому +1

    Kwani matusi ya nini tenaa huyu ni aalimu kumtukana haifaii khasa ukitokubali faman shaa a falyuminu waman shaa a fal yakfur, sasa utusi unakujaje?

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 2 роки тому +6

    Mtume Swallallaahu alayhi wasallam kasema: “Hapana siku Anayoacha Allaah kwa wingi huru waja kutokana na moto kama SIKU ya ARAFAH."
    Mtume sallallaahu alayhi wasallam kasema: "SIKU ya ARAFAH, huteremka Allaah Tabaaraka wa Ta’ala katika mbingu ya dunia kisha Anawafakhiri watu wa ardhini kwa watu wa mbinguni."
    Mtume Swallallaahu alayhi wasallam kasema: "Swaumu ya SIKU ya ARAFAH Inafuta madhambi ya mwaka uliopita na unaofuata." [Muslim]
    Mtume sallallaahu alayhi wasallam kasema: “Dua bora kabisa ni dua katika SIKU ya ARAFAH.” [At-Tirmidhiy]
    Hadithi zote zinasema tufunge SIKU ya ARAFAH, sio mwezi tisa. Arafah inapatikana Saudia tu.

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 2 роки тому

      Sawasawa umefahamika na hivo ndivo ilivo

    • @jiongezeemaarifa1496
      @jiongezeemaarifa1496 2 роки тому +1

      Katika zile nchi ambazo muda huo wa kisimamo cha arafa wao ni Magharibi wafunge lini?

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 2 роки тому

      @@jiongezeemaarifa1496
      Wafunge SIKU YA ARAFAH

    • @ibnsefu9764
      @ibnsefu9764 2 роки тому

      @@jiongezeemaarifa1496 .. Masha Allah swali lako ni zuri Sana na ndio baadhi ya hoja wanayorumia baadhi ya wapotoshaji, ili kuwachanganya Waisilamu baadhi yao wasiohielewa.. kwa ufupi, inafaa ushukuru Allah kwa kuipara Arafah kwa wakati wake.

  • @amrandarusi8759
    @amrandarusi8759 2 роки тому

    Mhh

  • @ibnsefu9764
    @ibnsefu9764 2 роки тому +1

    Kuna Siku mahujaji walksimama Arafah Mwezi 8 ama 10 na Arafah ni Siku, mahali ama Mwezi ?????

    • @mohammedmussa1616
      @mohammedmussa1616 2 роки тому

      Hakuna hata siku moja mahujaji walisimama arafa mwezi 8 au 10. Pia kuna aina 3 za arafa kama ulivyosema. 1. Arafa siku: ambayo hii ilikuwepo tangu zama za nabii Adam (A.S) na alikua akifunga 9 na 10 skukuu. 2. Arafa mahali: ambapo Mahali hapa hapapati yeyote zaidi ya anaekwenda hijja pia haikamiliki hijja mpk aipate arafa na ndio maana Mtume (S.A.W) amesema 'Hijja ni Arafa' akimaanisha haitokamilika hijja ya mtu mpk asimame arafa ambayo inafanya katika kiwanja maalum na sio sehemu yoyote. 3. Arafa funga hii ni funga inayofungwa mwezi 9 Dhulhija na mwezi 10 wake ndio skukuu. Inaambatana na mwezi kama mwezi wa Ramadhan. Kutokana na hivyo waliokuwepo Makka mwezi 9 ukikuwa jana na leo wao ni skukuu. Lakini kwetu Zanzibar hata Tanzania kwa ujumla mwezi 9 ni leo na skukuu yetu ni kesho. Lakini pia mashekhe wamesema ukiwa unawasiwasi funga watu wakisimama arafa Makka na mwezi 9 wa sehemu uliyokuwepo. Jazaka llahu lhairi

    • @ibnsefu9764
      @ibnsefu9764 2 роки тому

      @@mohammedmussa1616 .. kwanza... Wapi dalili Nabi Adam alihii Salam, alifunga siku ya 9 na siku ya kumi akala Eid.
      2. Mtume Muhammad, alipo ulizwa kAtika hadkdh ya Abu Qatada Ansari.. kuhusu Saum yawmul Arafah.. alimaanisha hAmam Arafah ya kisimamo ama mahali ama siku..
      3. Mtume Muhammad alipopewa maziwa na Um ul Maimuna, ili ijulikane km amefunga ama laa, ilikua ni siku ya kisimamo cha Arafah ama kwa kwa kumfwata kalenda ya Zanzibar......?????

    • @ibnsefu9764
      @ibnsefu9764 2 роки тому

      @@mohammedmussa1616 .. kwanza... Wapi dalili Nabi Adam alihii Salam, alifunga siku ya 9 na siku ya kumi akala Eid.
      2. Mtume Muhammad, alipo ulizwa kAtika hadkdh ya Abu Qatada Ansari.. kuhusu Saum yawmul Arafah.. alimaanisha hAmam Arafah ya kisimamo ama mahali ama siku..
      3. Mtume Muhammad alipopewa maziwa na Um ul Maimuna, ili ijulikane km amefunga ama laa, ilikua ni siku ya kisimamo cha Arafah ama kwa kwa kumfwata kalenda ya Zanzibar......?????

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 2 роки тому

    We mpotoshaji mkubwa saana

  • @idarusishabani7551
    @idarusishabani7551 2 роки тому +1

    Jiepusheni na elimu za vituoni na mitandaoni kisha mkajiona mpo sawa elmu piga goti kwa masheikh na sio kupewa tu kama nishani haya rudi africa wewe ni Sheikh tayari poleni sana ndo kiwatesacho.

  • @davidwalker2144
    @davidwalker2144 2 роки тому +2

    Arafah is known as the day Allah perfected the religion of Islam. It is also momentous because it was the day an important verse of the Qur'an, Surah al Maa'idah 5:3, was revealed you fast 7th 8th 9th July past present future sins.😀

    • @aftinali4345
      @aftinali4345 2 роки тому

      You fast from date 1st to 9th that's according to hadith of the prophet (s.a.w)

    • @davidwalker2144
      @davidwalker2144 2 роки тому +1

      @@aftinali4345 we are following the Quran 5:31

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 2 роки тому

    Unajua mashekhe wakila haramu sisi tusio kua na elimu ndio tunakufuru kabisa kwa mashekhe kama hawa lazima umma upotee nandio maana ukiswal katika misikiti ya watu wa maulid saaf pia hawajui kunyoosha kila mmoja aswali atakavyo tu hilo lipo kila siku kwanza swala kwao hawaipi heshimu wanasukuma tu

  • @fredquinbi2389
    @fredquinbi2389 2 роки тому +2

    Sheikh mnapotosha Kwa maslahi yenu, mm naomba tufafanulie Nini yaumi arafa Kwa tafsiri nyepesi ya kilugha?

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 роки тому

      Acha usenge,, mtoe ww makosa, ktk hy alozungumza, acha ujinga na ushoga

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому +3

      @@mafiatv5479
      Hutakiwi kutumia lugha kali km hii ndugu yetu wakat wa kumjibu ndugu yako .
      Jitahidi kutafuta lugha nyepesi isio na matusi wala uvunjaji wa heshima
      .
      Allah ametwambia " Tulinganie ktk njia yake kwa hekima na mawaidha mazuri "
      ALLAH ATUSAMEHE MAKSA YETU NA ATUONGOZE

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому +1

      Lugha ipi unayotaka itumike ?
      Mtume ﷺ amesema " Funga ya siku ya arafa .
      Na wala hakusema : Funga ya kisimamo cha arafa .
      Na kwa mujibu wa qauli za maulamaa siku ya arafa ni mwezi 9 mfunguo tatu .

    • @yahyakhatibu8000
      @yahyakhatibu8000 2 роки тому

      Subhanallah ubaya ulioje wa hay maneno

    • @bacteria5184
      @bacteria5184 2 роки тому

      Ssa unamzushia kwa maslahi yake ipi?yaumu arafa ni siku ya arafa sawasawa na yaumul idd siku ya iddi lkn utapataje siku ya iddi ni kwa kuangalia mwezi.

  • @omaralwy8786
    @omaralwy8786 2 роки тому +1

    KUMBE HUYU NAE BADO HAJASOMA.

    • @mohammedmussa1616
      @mohammedmussa1616 2 роки тому

      Towa hoja ndipo umwambie hajasoma uislamu hautaki kupelekwa kibubusabubusa kama unazohoja mfahamishe

  • @suleimanabdalla5022
    @suleimanabdalla5022 2 роки тому

    Wapotosha watu jamaayngu muugope Allah . Ama cjui umevuta kidogo. Wewe mwenyewe wapotosha

  • @farzanakhani2043
    @farzanakhani2043 2 роки тому +1

    Acheni matusi huna lazima ya kucoment nyie wa bongo mnamatizo gani

    • @abdymmanga6338
      @abdymmanga6338 2 роки тому

      Kaishiwa Sheikh wako lazma watu wamueke sawa

    • @hajigahimbare579
      @hajigahimbare579 2 роки тому

      Chunguza Kwemye Comments Nyingi, Watu Ambao wanapenda Ku Comment Matusi, na Kuvulia Ma Sheikh Heshima, Niwa Tanzania(Wabongo) ALLAH Awaongoze Hawa ndugu zetu.
      Watafautishe Kati ya Uswahili na Uislamu.

  • @suhailahabdallah711
    @suhailahabdallah711 2 роки тому

    Wewe sufi acha uongo...umemsingizia shekhe FAUZANI kwamba amekataa kufunga ARAFA siku ya ijumaa...huo ni uongo tena utubie kwa kumzulia SHEIKH uongo...bali amesema haizuiwi kufnga kwani wewe hukusudiii ijumaaa bali unakusudia arafa...HE!!!SUFI WEEEE...

    • @massoudomar9651
      @massoudomar9651 2 роки тому

      MashaAllaah ... Umetabahhar kwenye elimu lakini jitahidi kuuchunga ulimi wako unapomkosoa mtu has a kwa lile mulilotofautiana..

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 2 роки тому

    Shekhe nilikua nakuamini sana, lkn kwa hili la siku ya Arafa umebambanya, haki unaiona lkn unaificha.

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 2 роки тому

      Kwani kuna Arafa mbili?

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 2 роки тому +1

      @@eddieeddie2755 kuna arafa kisimamo na funga ya arafa

    • @fahmijuma5711
      @fahmijuma5711 2 роки тому

      @@jamalsalum8726 Una akili sana Mashaa Allah 💓

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 2 роки тому

      @@jamalsalum8726 Sasa hapo Arafa mbili ziko wapi? Km kufunga ni Arafa sasa watu wanaenda kufanya nini maka? Nisaidie Mwalimu

    • @allyarfaja2708
      @allyarfaja2708 2 роки тому

      @@eddieeddie2755 Allah awaongoze wote wanaotukana mashekh
      Awatoe kwenye ujahil huo

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 роки тому +1

    Kwani kuna arafa mbili usituchanganye wekeni arafa yenu kama mashia na nyinyi

  • @idarusishabani7551
    @idarusishabani7551 2 роки тому

    Sheikh aache kupotosha wewe faatuwa yako iliyo sawa ni ipii? Ukitaka kujuwa na kumjuwa mtu asie elmu utaona ubishi wake.

  • @saidbwanaalimwanaharakati7508
    @saidbwanaalimwanaharakati7508 2 роки тому

    Arafah itakuwa ln jmn???

  • @shabanlezzah92
    @shabanlezzah92 2 роки тому

    Hey kabla ya yote sijaielewa content hapo juu tafadhali, ipo complicated sana

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 роки тому +1

    Baki na unachokiamini usipotoshe watu weka arafa yako apo mombasa

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 2 роки тому

      Mombasa hawaweki arafa, wanafunga arafa, na waliopo Makka hawafungi arafa

    • @maulidally1037
      @maulidally1037 2 роки тому +2

      Sheikh katoa maelezo mazuri ila sisi tuliokariri ndio tunaotoa kasoro na si kielimu zaidi

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 роки тому

      Ww lete dalili yako ya ukweli,,, acha uzuka shoga ww,,, yupo sawa na ndo mana akazungumza

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      Wapi anapotosha sheikh ..
      Wakat unaporudi ktk vitabu vinasema siku ya arafa ni siku ya mwezi tisa yamfunguo tatu .
      ........ ........ ......
      Halafu amesema pia kuwa : Hao masheikh wa saudia km vile Fauzaan Utaimeen pmj na na lbnu baaz hawajasema ufuate arafa ya makka km kwako itakua sio siku ya arafa .
      .......... ......
      Kama kupotosha basi waliopotosha ni hawa masheikh wa kisaudia na sio sheikh lzzuddiin yeye amenukuu tu .
      ........... .....
      Halafu mtume ﷺ hakusema .
      Funga ya siku ya kisimamo cha Arafa .
      Bali amesema " Funga ya siku ya Arafa" .
      Na siku ya arafa ni mwezi tisa mfunguo tatu .
      Kama walivosema maulamaa .

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 роки тому +2

      @@mafiatv5479 usitukane sheikh zuia hasira zako
      Allahu yaalam

  • @gullethillow8838
    @gullethillow8838 2 роки тому +1

    Stop misleading the Muslim Ummah

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 2 роки тому

    Kufunga siku ya kumi imekatazwa kwa hadithi gn,ninayoijua mm ni siku ya cku kuu hufungi.na sisi hapa afrika mashariki na huko makka masaa na majira tunaendana.

    • @salimjumaa8180
      @salimjumaa8180 2 роки тому

      Hio cku ya kumi ndio eid ssa, ndio maana haifai kufunga

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 роки тому

      @@salimjumaa8180 iv Kama sehem kila jumaa pili kuna kuwa na SOKO la bidhaa mtu akikuambia unatakiwa UFUNGE Swaumu siku ya soko ITAINGIA AKILINI Ukifunga Swaumu siku ya pili yake maana TUMEAMBIWA tufunge siku YA ARAFA Sasa yawaje mtu afunge baada watu kumaliza tukio la ARAFA

    • @salimjumaa8180
      @salimjumaa8180 2 роки тому +1

      Haifai kufunga cku ya eid. Kwaio kma leo ni Arafa bc kesho kufunga haifai

  • @shaibhemed4152
    @shaibhemed4152 2 роки тому +2

    Wwe unaarafayako fanyauko kwenu Kenya usitwambie arafa nimwezi Tisa yakwenu cc hatukubali maoniyako hadithi huzisemi za mtume SAw unatoa makisioyakotu Arafa niwanayosimama mahujaji nasio utakoyaowwe natarehe zako

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 роки тому

      Leo mm cjamuelewa uyu

    • @rashidkihiyo5932
      @rashidkihiyo5932 2 роки тому

      Mbona suala arafa kuangukia siku ya ijumaa lipo wazi kwa waislam.lmekatazwa kufunga suna siku ijumaa peke yake na jumamosi peke yake .Kama
      Kuna sababu ya kufunga masiku hayo Anza alhamisi unaunganisha .Mbona kwenye sita za shawal hakuna mjadala. Shehe. Muogope Allah usiwapotoshe waumini kwa kushindana kielimu na mahasimu wako

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 роки тому

    Dini hii cio ya wasuudia ongea point

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 2 роки тому

      Acha uzuka

    • @saidpapaya6412
      @saidpapaya6412 2 роки тому

      Acha kuongopa ww

    • @bashirusalumubashirusalumu7140
      @bashirusalumubashirusalumu7140 2 роки тому

      Huyu Hana lolote ni mpuuzi tu

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 2 роки тому +1

      Unatoa maneno ya kumpinga shekh ukiwa una hoja yote ni ujahil ,shekh amejanga hoja kwako wewe tokea uuone mwezi ni mwezi kumi na sikuhiyo watu wamesimama Arafa kule makka utafunga? Napia watu wamesimama Arafa au wapi katika viwanja vya Arafa nchini kwako ni usiku he utafunga Arafa?.

    • @hajiamiri1658
      @hajiamiri1658 2 роки тому

      Yan hawa mashekh sio poa sasa utadh nilikua namuamini lkn kwahili hapan hoja yake hapa niipi ety unaangalia tarehe ba arafa yake itakua lini

  • @jumakitadu8674
    @jumakitadu8674 2 роки тому

    Wee huna elimu mpotoshat mkubwa wewe

  • @kudraamri9253
    @kudraamri9253 2 роки тому

    Acha kupotosha wewe kasome vitabu

  • @Harunery
    @Harunery 2 роки тому

    Huyu anajikokea kuni mwenyw,na mtapoteza wajinga tuu

  • @amanichanzi4315
    @amanichanzi4315 2 роки тому

    Pumbavu kabisa wewe mpotoshaji mkubwa huna hata haya jahiria mkubwa wewe. Allah atuongoze