TOP 5: WACHEZAJI 'BORA ZAIDI' WA YANGA YA GAMONDI KWA SASA | TAKWIMU ZOTE.
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Je unaupenda unaufurahia na Kuupenda uchambuzi kutoka SoccerData?
Tusapoti kwenye Ununuzi wa Vifaa Vya uzalishaji;
TigoPesa - 0710679 388
Halopesa - 0627 532 401
(Sekwao mwendi)
Yes leo umenifurahisha Sana kaka hii ndio yanga bwn
Safi Sana Soccer Data Kwa Uchambuzi Bora Wenye Viwango Vya Kimataifa.
Asante mkuu
uko vizuri sana 👊 unatujuza mengi mno
Hii imeenda😂🎉🎉
Apo sawa brother 🎉🎉🎉
Hii noma
Hi 5 niko paleeee
Yanga ni kubwa daima mbele nyuma mwiko
Kuna chuma hujakitaja cha ulinzi, Bacca ni noma sana
Beki mkatili na nusu anakula namba 6 kwa pira gamondi
Bacca ni beki mzuri
Bacca namwamini sana ni beki imara
Usituchonganishe na wachezaji wetu wote wako Bora🤭
Mimi naona wote wapambanaji wanajituma sana hawa majembe yetu
Ukweli mdathir ndo mchezaji Bora hats kwangu ila wapili no Yao tatu nzengeli nne baca Ibrahim Tano aucho
Muda fundi wa ball
Lakin me naona wote wako vizur ase angalia diara golin angalia pakome angalia baca ase angalia pass za mutambala ase utaleta uchonganish kwaujumla yanga msimuhuu yamoto
Yanga tupeni raha maana wee acha kila la kheri mshinde tena tr.30.09.2023 j.mosi
Amina
Bacca
diara mbona ujamtaja kaka
Tumtoe nani aingie Diarra
mudathili
Yanga wamrudishe bangala awe anapokezana na aucho au mudathir wanapochoka
Kaka m naona yanga Haina tatizo kwenye eneo la kiungo....maana Kuna Sure boy pale , Kuna Jonas Gerrard Mkude Casemiro home boy, Kuna zawadi Mauya,,,,,eneo la kuimarishwa zaidi ni eneo la ushambuliaj namba 9