VITU VINNE (4): KWANINI YANGA NI TIMU BORA ZAIDI..// PIRA GAMONDI KIUFUNDI.
Вставка
- Опубліковано 24 вер 2023
- #SoccerDataFamily #Yanga #MiguelGamondi
Karibu katika Uchambuzi wa Kibabe kutoka kwa FEYCHESS.
- JE UNATAKA KUJIUNGA NA KUNDI LA WHATSAPP LA SOCCERDATA? Simple tu, ichangie leo Soccerdata upate Tiketi ya moja kwa moja kuingia kwenye kundi.
TigoPesa: 0710 679 388
Halopesa: 0627 532 401
(Sekwao Mwendi) - Спорт
Unatoa uchambuzi mzuri sana. Kazi nzuri.
Good soccer data nimeenjoy uchambuzi
😂🎉😂
Yanga ni 🔥
Iyo ni moto usiozimika
Naomba niingie whatssap mtaalamu wa soccer
Mtaalamu ni Simple tu; Chagia Soccerdata leo upate tiketi ya Moja kwa Moja kuingia SoccerData Family. namba ni 0710 679 388 chagia kiasi chochote kisha nishtue mkuu
Sanaa mwamba naqubal ✌️
Yes sasa hapa ni raha tu sio timu haieleweki wajifunze kwa yanga
Moto unaendelea kama kawaida
🔥🔥🔥🔥
IPO siku utaamin simba ndoo bora utakuja kusemaa hapahapa
Ni utaratibu gan wa kujiunga kwenye group lako la soccer data.?
Nahitaji kujiunga 🙏
Simple mkuu, ichangie Soccerdata Kupitia 0710 679 388 ( kiasi chochote) hii itakuwa tiketi ya kuingia Soccerdata Family mkuu
nawezaje kuungwa kwenye group la whatsap la soccer data
Simple mkuu, ichangie Soccerdata Kupitia 0710 679 388 ( kiasi chochote) hii itakuwa tiketi ya kuingia Soccerdata Family mkuu
Kwanini wachezaji wa simba hupenda kubusiana mdomo kwa mdomo? hawa ni wanaume kwa wanaume sielewi hata
Hii umeiona wapi mkuu
Unajitoa ufaham sio kwani hujui ni mashoga? Au ulitaka kujua zaidi
Sio kwamba yanga bola Zaid inakutana na vobonde sana ,, na kingne wachezaj tu wao wenyewe wanamolali itakat iyo molali skui iyo mje msome apa
Simba yenyewe haikutani na vibonde hao je matokeo yalikuaje? Mfano mtibwa na power dynamo hawakuwatoboa 😂😂 jiulize yanga mpk sasa kafungwa goli 1 na goli limetokana na penati na sio move. Hoja yako haina mashiko😂😂😂
YONDANI ATAKUPIGA WEW SHAURI YAKO😂😂😂😂
Nimechukua tahadhali zote kabla ya uchambuzi😂😁
Unaisifia yanga wewe Simba ata tukifanya vizur unachambua kawaida tu huwek manjonjo yoyote yale
Huu ni uongo...
Timu bovu ww
Brother niunge kwenye group lako
0710 679 388 Isapoti SoccerData Upate Tiketi ya kuingia SoccerData Family. Njoo tuuchambue Mpira.
@@SoccerData. si mchango wowote ule
@@user-kl6fv1ti3w ndio mkuu
Nimekuamini mkuu..! Mungu akutunze best Socca Data!
Amina mkuu, ubarikiwe nawe pia
Ni utaratibu gan wa kujiunga kwenye group lako la soccer data.?
Nahitaji kujiunga 🙏
Ichangie Soccerdata mkuu, hiyo ndio tiketi yako, 0710 679 388 kiasi ni chochote uluchojaaliwa; njoo tuuchambue mpira