Aina Saba za Nguo za Kuacha Kuvaa Ili Kupata Muonekano 'Elegant'
Вставка
- Опубліковано 26 лип 2024
- Ili kupata mafunzo ya Namna ya Kupata Muonekano Elegant (muonekano maridadi, makini na usio na mambo mengi)
Bonyeza hapa: selar.co/7m784o
Ni muhimu sana uwe na sifa za ziada mbali na elimu uliyonayo au bidhaa/huduma unayouza. Ukweli ni kwamba kwenye soko la ajira wako watu wengi wenye elimu kama yetu au hata kutuzidi. Na kwenye biashara wenye bidhaa au huduma kama yetu si sisi peke yetu. Soko tunalolilenga likiwa lile lile.
Utawezaje kujitofautisha?
Utaweza kuwa wa tofauti kwa kuonesha ubora kwenye kila unachokifanya. Kuanzia kwenye namna unavyowasiliana, unavyojiamini, uwezo wako wa kutengeneza "connections", namna unavyojiweka (muonekano wa nje) na muhimu zaidi, kwa kuonesha miiko ya kazi uliyonayo (Professionalism). Ukiweza kuboresha maeneo haya, utakuwa kinara kwenye uwanja uliopo kitaaluma na kibiashara na hilo ndio lengo kuu la mafunzo tunayotoa kupitia ukurasa huu.
Kuweza kupata mafunzo kamili katika maeneo tajwa, tafadhali tembelea link husika na fuata maelezo ili uweze kushiriki mafunzo hayo.
Mafunzo haya yapo mtandaoni na hivyo utaweza kushiriki kutokea kokote utakapokuwa kwa kutumia simu au laptop.
Somo: Namna ya kujijengea kujiamini
Bonyeza hapa: selar.co/5z6o63
Somo: Namna ya kuwasiliana kama mtu makini anayeweza kuaminiwa na mikoba ya fursa
Bonyeza hapa: selar.co/z4f7
Somo: Namna ya kuboresha uzungumzaji wako wa Kiingereza (English language Fluency technics)
Bonyeza hapa: selar.co/o449aw
Somo: Namna ya kutumia mitandao ya kijamii kukuza jina, na kupata fursa za kazi na biashara
Bonyeza hapa: selar.co/678698
Somo: Namna ya kuvaa kuendana na kazi na malengo uliyonayo
Bonyeza hapa: selar.co/cr3868
Somo: Namna ya Kupata Muonekano Elegant (muonekano maridadi, makini na usio na mambo mengi)
Bonyeza hapa: selar.co/7m784o
Tunapendekeza utumie mtandao wa Vodacom, (M-Pesa) unapofanya malipo ya mafunzo haya.
Tafadhali vilevile tumia email ambayo una password yake, kwani link ya kujiunga na mafunzo itatumwa kwenye email hiyo.
Kwa changamoto yoyote baada ya kulipia darasa tafadhali wasiliana nasi kupitia whatsapp no: +255755640633 (Mirror Etiquette)
Tafadhali 'follow' kurasa zetu ili kuendelea kupata magumu mbalimbali tunayotoa:
Instagram: mirroretiqu...
Facebook: share/wCc7i3...
Tiktok: www.tiktok.com/@mirroretiquet...
X: x.com/mirroretiquette?s=21&t=...
LinkedIn: www.linkedin.com/in/miriam-kw...
Shukrani!
#Tanzania #Kenya #Uganda #Rwanda #Burundi #Congo #swahili #Somo #elimu #Maarifa #fursa #kazi #biashara - Розваги
Your so amazing my dear I really appreciate you.
Somo zuri kwa mtu anayependa kujifunza atakuwa amepata kitu kizuri cha kuondoka nacho l wish mafunzo yako yangeambatana na picha za kuonyesha unachosema somo lako lingeeleweka zaidi you do good job congratulations
@rebeccamhando: umesema sahii kabisa azingatie ushauli wako itakuwa vizuri zaidi.
All the way from rich aunties here🎉
Thanks a lot!
Asante sana kwa somo zuri
Asante sana ❤
Somo lako zuri,tatizo utumizi wa lugha. Halafu inaonekana Hauna maandalizi. Picha ziko wapi Sasa?
Asante dadaaa kwa ushauri, i love you so much
Skin jeans huwa napenda sana kuivaa na travoter sasa níkiacha travoter nitavalia nini
Woow Asante dada nimependa mafunzo yako kwa kweli umenifunza kitu
Thanks honey for helping us on this one we pray to get more knowledge of etiquette from you
Hongera Sana kwa Some Zurich sana, la kutufungua Mind sets zetu know husu Mavazi
I love this content for Africa
Thank you!
Shukrani sana kwa elimu nzuri ya mavazi.
Shukrani, tafadhali tuendelee kuwa pamoja.
Asante sana kwa elim nzuri
Ahsante sana kwa ushauri Mungu akubariki sana
Asante kwa somo zuri 👏🏾🔥
Shukrani, tafadhali tuendelee kuwa pamoja.
Somo zuri
I love this.keep it up
Thank you💃
Thanks as well for being a part of our community.
Asante sana,
Thanks dear
A very good content ❤
Thanks a lot!
Asante dada
Good bless you my sister
Safi
Sijaelewa vazi ulilovaa,kwakweli na wewe uvaaji huo hapana weka pembeni.
😂😂😂
❤
❤❤❤
Nmeinunua Jana Jens ya blue nakesho naivaa😂
😂
🎉🎉🎉🎉
Vaa dera tena utavutia tu
Maua yako ......
usinipangie chakuvaa
😂😂😂
Kwan umepangiwa
@@sarahpeter7773 ndio yani anachokiona yeye kizur kwawenzio sio
Unaelimishwa,halafu unachukia we mshamba kweli utakaa vilevile na ujinga wako
Yaan km mm ndo naongea,sipendagi nguo za hovyo,na ndo maan sina nguo nyingi,chache za maana sana.lkn kuna watu jmn mshahara wote kila mwez nguo