Mbaraka Mwinshehe - Matusi ya Nini
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Mbaraka Mwinshehe - Matusi ya Nini
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Watu wa zamani mbona hamzungumzii sana hawa wanaopiga trumpet na saxophones, wengi mnazungumzia wapiga solo, rhythm na bass. Ila mziki wa zilipendwa ulipendezeshwa sana na trumpet na saxophones ambazo sikuhizi hazitumiwi sana. Wind instruments were iconic.
Tumba pia!.
Hapo ni kweli, nakuunga mkono kabisa
@@wilsonchege439 mbaraka
Mbaraka Mwinshehe na Moro Jazz walikuwa mabingwa kweli 😊😊! I often listen to their songs as I sing along 😊!
Mi nmezaliwa 1992 ila nimekua mpenzi mkubwa wa nyimbo za Huyu bingwa wa muziki wa muda wote.
Easy Africa's finest. Kijana wa Kisarawe. Sad that he left at a young age of 34 years in a tragic road accident in Mombasa.
Kisarewe was his origin but born n raised in Morogoro he ofcourse been barried at mzenga village kisarawe .
Mbaraka Mwinyshehe ndiye mwanamuziki pekee atakayebaki katika siku za maisha yangu yote
Baba ywaniambia alikuwa anapenda sana kenya. Kila akija ilikuwa kama desturi kuperform Voi. Kariakor. Nampenda saana
Moro Hoyeeeee.
Old good day.
Mungu akupe pepo
Daima tunakukumbuka.
Our old good days at
School.
Mbaraka mwishehe,nakumbuka ujana wangu,nimependa sana sauti Yako nyororo.
I didn’t see Mbaraka Mwinyishehe but his songs win’s mind joy wallah.
Mbaraka we still listen to your song. R.I.P
Sio tu utamu wa nyimbo lakini pia ujumbe ulio wa maana na mafunzo muhimu kwa jamii...
Michael Odhiambo hakika huyu MTU nilitamani nimuone japo kwa jicho language tu
The genius at work, the man of great talent with exceptional vocal excellence and excellent swahili language. Thornton Heath London. August 2018
Seth Martin August 2019🤣🤣🤣🤣🤣🤣
8😮😊😅😅
Gwiji gwiji hasa mataalam na mwalimu Asante kwa sauti asali
kiwango cha gitaa la Mbaraka M Mwaruka kilikwa sawa na cha Franco Lwambo na Docteur Nico Kasanda
I could understand his music back (1970)
Mimi tangu kusikiliza nyimbo 1969 nikiwa Nansimo midle school mpaka leo sijaona mwamba wa mziki kama Mbaraka Mwishee Mwaluka uliondoka kidume unakumbukwa kidume
Upinzani kwa Kila haina ya biashara ni ya ukweli. Nenda pole kwa ghurudumu la kishenshi, Kaka. Dr. Ogeto International
RIP Mbaraka Mwishehe,tulifurahia mziki wako.
Nasikitika watz hatupendi vyetu angekuwa mkongo huyu bwana angekuwa juu sana yaani tundu zuri soko bovu dah inauma sana
❤🎉 hizo ndo nyimbo zenye mafunzo mema and ever green 🎉🎉🎉
Tunatafuta sana nyimbo Za huyu baba akiwa na super volcano, kama heshima, mikasa harusini na sembuli,
Zinapatikana
Hamidu Ibrahimu Mbaraka lala pema peponi kabisa
Mtunzi mzuri sana na mpiga solo mahiri sana. RIP Mwinshehe
mbaraka mwishehe na remmy ongala ni wanamuziki wangu wa muda wote ni wakali sana yani wanajua mpaka wanakera ile noma hawa ndo wanamuziki eeh bwana ee hawa walikuwa wanaujua mzikiii
🎉katika wimbo huu Mbaraka alikuwa akimsema Juma Kilaza aliyechaguliwa kuiongoza Cuban Marimba baada ya kifo cha kiongozi wa bendi hiyo aliyekuwa maarufu sana Afrika mashariki na ya kati Salumu Abdalah Yazide ama SAY. Kilza na Mbaraka walikuwa na kawaida ya kutupiana madongo kwa njia ya nyimbo hata wimbo kwako ni kwako wa Kilaza ulikuwa ni dongo kwa Mbaraka kwamba kwao ni Mzenga Kisarawe na sio Morogoro
Ujumbe kwa wasanii wa kizazi kipya kua hakuna wanamuziki, Kuna wasanii tu, muziki ni huu
Wahenga misaidieni; Hapa alikuwa akimsema nani?
Alikua anamsema Juma Kilaza aliyerithi Uongozi kutoka kwa Salum Abdalah wa Cuban Marimba Band
THAT RHYTHM GUITAR IS ABLSOLUTELY SICK!
Vitu vya maana vinavyosemwa
I like zilizopendwa than myself. Watunzi waajabu
Dah, yaani hiki kifo sijui Kwa nini kilimchukua😥😓😓😓
Nazipenda nyimbo hizi nikizisikilizaga akili yangu inawaza meng daa
Mrogorogoro jazz band mama's all time favorite
kuna nyimbo nimesahau jina lake,anayeifahamu anitajie ina maneno yafuatayo;heshima kijana tanguliza sana mbele jeuri mbayo oooh,
Hapo alikuwa anamjibu juma kilaza kwenye ile wimbo wa juma kilaza unaitwa subi subi
Nilikuwa natafuta maelezo kuhusu huu wimbo. Asante!
Talent at it's best.
huwa nahc nilikuepo mziki mtam ajabu
Zilizopendwa oyeee
Jana nulickuluza historian za hawa jamaa c mchezo UFM 11/4/2020
This man Mbaraka,...utunzi kweli
Can't get enough of this track!!!
Sweet songs to enjoy
Kalii sanaa
Upto date in moral
✨️
Dongo kwa Juma kilaza mzee wa mitusiiii
Ecallence
Semeni ukweli tamu nyimbo
Best 2022
Naomba kuuliza, by Salum anamaanisha salum abdallah!? Wa cuban malimba!?. So this was a dis song watoto wa siku hizi tunaita.
Salumu iddy nyange
Yes Salum Abdallah ndio na hapo anamdis Ahmed Kilaza ambae alitake over baada ya Salum Abdallah ambae kimsingi alikua adui wa moro jazz
Juma kilaza sio Ahmed
Mbaraka Mwishehe,o conselheiro social
Hizo ndo nyimbo sasa ht km za long mm binafsi yangusiwezi lala bila kusikiliza
Nyimbo nzuri ujumbe mzur 2021
Hizi ndy nyimbo
Napenda sana
Where has his daughter disappeared?
Taji ? She is still playing base guitar at women's band.
Soloist international rip
Just listen
Hatari
Wakali wetu.
Ezekiel Mkama nimekumis mubaraka
nyimbo nzr ina ujumbe mzr kwa jamii siyo nyimbo za leo hauwezi kuskiliza ukiwa na watoto wako
@@edwardmseti7570 sauti ya thahabul