Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mumejitahidi sana, ukizingatia enzi zetu hatukuwa na video! Bali, kumheshimu Mbarak Mwaruka Mwinsheh, hii logo ya mpiga solo, iwekwe ya utulivu!! Hakuwa akiruruka hovyo! Nipeni kibarua!!
Mzee mwaruka utakumbukwa daima, rest in peace. 04.08.21.
"Matusi ya Nini' Mbaraka mpenda amani.
Huyo sio mbarka ni mtambo wa kiluguru
Niko kweli mbaraka mwinshehe atakumbukwa milele na milele
Kuna video ya mbaraka? Ningependa Sana Sana ikiwa naweza ipata
Wanamuziki wa Morogoro embeni nyimbo za kuwaenzi wanamziki went wa zamani kama vile Mbaraka Mwishehe na Juma Kilaza kwa kuimva nyimbo zao kwenye majukwaa
Nyimbo za mafundisho.
Ni nani huyu ni Mbaraka kweli
Yes mko vizur
Huyu ni baadhi ya wale mashemeji mbaraka alikua hawamini
Nakuona kijana unamuenzi mzee wetu
Kuna video yeyote ya mbaraka? Ningependa
Mlevi huyo
Nimekubali hongereni
Jina la wimbo?
Huyo alikuwa mmojawapo wa wanamuziki wa Moro jazz.Ndo alobakia ...Kwasasa pombe mtu...
😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤
Chikito
BANGI HIYO
Hoo ni mlevi
Kweli
Hamna bangi Kaka. Huyu kaamuwa tu kutukumbusha mzee wetu. Miye ni Mkenya niliye penda sana nyimbo zake Mbaraka. Hongera sana kutukumbusha.
Huyu anafanya nini sasa. Kutuharibia tu
Kata nyuzi
Mumejitahidi sana, ukizingatia enzi zetu hatukuwa na video! Bali, kumheshimu Mbarak Mwaruka Mwinsheh, hii logo ya mpiga solo, iwekwe ya utulivu!! Hakuwa akiruruka hovyo! Nipeni kibarua!!
Mzee mwaruka utakumbukwa daima, rest in peace. 04.08.21.
"Matusi ya Nini' Mbaraka mpenda amani.
Huyo sio mbarka ni mtambo wa kiluguru
Niko kweli mbaraka mwinshehe atakumbukwa milele na milele
Kuna video ya mbaraka? Ningependa Sana Sana ikiwa naweza ipata
Wanamuziki wa Morogoro embeni nyimbo za kuwaenzi wanamziki went wa zamani kama vile Mbaraka Mwishehe na Juma Kilaza kwa kuimva nyimbo zao kwenye majukwaa
Nyimbo za mafundisho.
Ni nani huyu ni Mbaraka kweli
Yes mko vizur
Huyu ni baadhi ya wale mashemeji mbaraka alikua hawamini
Nakuona kijana unamuenzi mzee wetu
Kuna video yeyote ya mbaraka? Ningependa
Mlevi huyo
Nimekubali hongereni
Jina la wimbo?
Huyo alikuwa mmojawapo wa wanamuziki wa Moro jazz.Ndo alobakia ...Kwasasa pombe mtu...
😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤
Chikito
BANGI HIYO
Hoo ni mlevi
Kweli
Hamna bangi Kaka. Huyu kaamuwa tu kutukumbusha mzee wetu. Miye ni Mkenya niliye penda sana nyimbo zake Mbaraka. Hongera sana kutukumbusha.
Huyu anafanya nini sasa. Kutuharibia tu
Kata nyuzi