Poleni sana majirani zetu watz 😢😭😢nko 254🇰🇪..ila imeniuma sana..afaddhali wangemtumia na wamwachie uhai roho yake....imetuuma sana..wanaojiita watalamu wanaotoa viungo za watu waache na wakome kabisa..watumie jia zingine za kujinufaisha lakini sikutoa roho za watu...wachukuliwe sheria kali wakipatikana ili iwe funzo kwa wengine
Umaskini naupiga vita sana nyie huyu mtoto angekua kwenye mazingira ya kitajiri yaani familia Bora isingetokea hivi kabisaaaa mungu amlaze mtoto mahali pema Peponi😢😢
😢 nonsense 😠 kwani uhalifu na ukatili huu hufanyika tu uchaguzi unapokaribia? Watu wanauwa wengine kila siku, haijalishi ni kipindi cha uchaguzi au la. Kwakweli ulichokiongea hakina mashiko.
Ni huzuni kwa kweli hivi kwanzia tatehe 30 serikali mpaka tarehe 17 mnakuja kuokota mwili wa marehemu aseee na vyombo vya habari mlishindwa kupaza sauti kila kona nimeumia sana eti mnaenda kuwapa airtime za media wale wanao kamata madada poa mnashindwa kuangaikia mtoto huyu 😢
*LEC 01 ●* | TWO WEEKS|● - Husaidia kutibu athari za punyeto - Huzibua mishipa ya uume - Huongeza stamina ya uume - Huanda Tissue za uume kukua - Huimarisha misuli ya uume *LEC 02 ●* | AFTER LEC 01| ☆Hukuza uume wako| length gain program| ☆Hunenepesha Uume wako| girth gain Program | ☆Hukuza na kunenepesha uume | complete Program | ☆Hukuza kichwa cha uume ● Husimamisha uume Kama Msumari ☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆
Jamani hayo madhambi yanatugalimu mwisho wa siku maduriko yanakuja mambo ya ajabu hatukumbuki yanasababishwa na Nini ila damu isiyo na hatia inamwagika tukeshe tukimwomba mungu pia atusamehe sana kwahaya
Hapa police kidogo walizingua maana cku ya kwanza TU baba wa mtoto alikatwa wakakae naye SIKU 17 Baada ya mtoto kupatkana amekufa ndo watu wanakamatwa,, kama tayr baba wa mtoto walikuwa wamemkamata na wadai pia alihusika mbona ilichukua cku 17 bila taarfa yeyote??? Anyway pumzika Kwa Amani Asimwe
Poleni watanzania tuache iman potofu tuwalinde alibino niwatu kama ss wanaitaji kuishi ni watanzani Mungu kawaweka tanzania ili tufurai utukufu wa Mungu Amen polen ndgu jamaa nawakazi wa kagera wazazi na ndgu wa mtoto polen pia
hiyo ni ashiria ya kuwa hicho kijiji kimekolea sana kwa ushirikina. hiyo ardhi inaonekana iko na rotuba inaeza toa mazao vizuri lakini wenyeji wamefungwa na shetani
Ni kweli Jamani. Watu wa vijijini wanaishi maisha ya tabu sana ,kuanzia chakula ,mavazi na hata nyumba za kulala. Umeme hakuna,Barabara shida,Hospitali shida,maji shida. Yaani Kila kitu ni shida.ifike wakati serikali iwakumbuke watu wa vijijini na wenyewe wasijione wanyonge Jamani
😢😢😢haya mambo ni kwanini niwakati wa uchaguzi tu???? Watanzania tuache roho za kishetwani😢😢😢😢
W
Aisee poleni sana wafiwa ila naimani hao waliofanya hivyo lazima watakamatwa tu
Jamani izi Imani bado zipo mungu tusaidie pole wana familiar😭😭😭
Binafsi mtoto ameniumiza sana yahani bora wasingeweka picha yake..
Acha tu
For sure inauma sana yaani ni kama naona alkua ndugu yangu aisee ninae mjua sabu ya hiyo picha..
Yaan kama mim picha yake nikiona tu jamn aliumia mtoto huyu😭 bas tu
Nililiasana
N mrembo sn
Poleni sana mungu amutangulie asimwe🙏🙏🙏
Mungu ailaze Roho ya Mtoto wetu mahali pema
yaani hilo suala limerudi tena ! duh
Polen sana ila mzee maerezo mazury sana waziii mzee umetisha unafaa upewe ukamanda wahapo kwenu polen sana ila selikal zuia hilii akikamatwa mtuu asukumwe kuzim sio ndan itasaidia 😢
Hata hivo ni Mungu tu, cheki nyumba waliyokua wakiishi, Tanzania Bado Kuna umaskini sana Mungu atusaidie kwakweli 😢😢😢
Pumzika kwa amani mtoto mzuri Asiimwe.Inauma sana😢😢😢
Mtoto mdogo sijui walimtesa kias gani akalia 😥 wakamkata wakamuua
@@mimahmimah1595😢😢😢aaahh jmn
Mungu wetu watu hao wapate adhabu kali kwa unyama huu
Lala salama mtoto mzuri rip 😢
Mungu ailaze maari pema peponi amen
Poleni sana wanafamilia
Poleni sana majirani zetu watz 😢😭😢nko 254🇰🇪..ila imeniuma sana..afaddhali wangemtumia na wamwachie uhai roho yake....imetuuma sana..wanaojiita watalamu wanaotoa viungo za watu waache na wakome kabisa..watumie jia zingine za kujinufaisha lakini sikutoa roho za watu...wachukuliwe sheria kali wakipatikana ili iwe funzo kwa wengine
Jamani moyo unaniuma jinsi pka natetemka Mungu wajalie ujasir familia haswa mama mzaz😊
Umaskini naupiga vita sana nyie huyu mtoto angekua kwenye mazingira ya kitajiri yaani familia Bora isingetokea hivi kabisaaaa mungu amlaze mtoto mahali pema Peponi😢😢
Poleni sana , mzee umetoa maelezo mazuri
Mno amenyoosha maelezo bil kumtetea mwanae
Pore san ndug zangu
Uchaguzi umekaribia ni matukio ya kawaida sana muda huu ila poleni sana
Umeonae,lkn Mungu hashindwi,tunamuomba aingilie kati haya maswala kwakweli hayapendezi
😢 nonsense 😠 kwani uhalifu na ukatili huu hufanyika tu uchaguzi unapokaribia? Watu wanauwa wengine kila siku, haijalishi ni kipindi cha uchaguzi au la. Kwakweli ulichokiongea hakina mashiko.
Sis kama wana kagera tunalaani tukio hilo nasikitisha sana wanatuharibia sifa ya bukoba hatukuwa kuwa na tabia hiyo
Iviíii kweri badoooo kunahutajiriii wakishambaaa namnaaa hiyoooo emmmm badirikeniii kwani ukihishiiii maskin duniani kunaanini kumbukeni munguuuu yupoooo
Polen sana jaman
Inauma mno tena sanaaa,,,,
Polen wpndwa wetu
Asimwe pumzika Ndugu yetu Mungu Mkubwa 😭😭😭
😢😢😢😢😢😢dunia imeishaaa sanaaaaaa uwiii baba tn jmn
Ni huzuni kwa kweli hivi kwanzia tatehe 30 serikali mpaka tarehe 17 mnakuja kuokota mwili wa marehemu aseee na vyombo vya habari mlishindwa kupaza sauti kila kona nimeumia sana eti mnaenda kuwapa airtime za media wale wanao kamata madada poa mnashindwa kuangaikia mtoto huyu 😢
*LEC 01 ●* | TWO WEEKS|●
- Husaidia kutibu athari za punyeto
- Huzibua mishipa ya uume
- Huongeza stamina ya uume
- Huanda Tissue za uume kukua
- Huimarisha misuli ya uume
*LEC 02 ●* | AFTER LEC 01|
☆Hukuza uume wako| length gain program|
☆Hunenepesha Uume wako| girth gain Program |
☆Hukuza na kunenepesha uume | complete Program |
☆Hukuza kichwa cha uume
● Husimamisha uume Kama Msumari
☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆
Jamani hayo madhambi yanatugalimu mwisho wa siku maduriko yanakuja mambo ya ajabu hatukumbuki yanasababishwa na Nini ila damu isiyo na hatia inamwagika tukeshe tukimwomba mungu pia atusamehe sana kwahaya
Mungu walani waliofanya ichokitendo yesu yesu,yesu,shukakwenyeiifamilia,mtiyenguvu,uyumamawauyu mtoto,dadamwenyezi,mungu.ndiyeanayeweza
Asimwe ameniuma sana hakika.
An Angel Asimwe
Mtoto huyu atakuwa ameuawa kikatili sana aiseee!!! Kwani anauawa huku anaona so bad
Yakikamatwa yachomwe moto hadharani.
Kwakwelii inasikitishaa ila malipo ni hapa hapa dunianii,, polen familia ya asimwe na Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi
Jaman inauma sana mungu amlaze mahali pema peponi Amina
Siku 17 police hawajajua lakin kauwawa washukiwa wamekamatwa
Kwan wao ni majin Watajua t fulan kauwa si baada ya kumshika baba mtoto iinawezekana kawataja na wenzake 😢😢😢😢😢😢😢😢
Bora umemjibu huyo kiazi@@mymuhnabdallahshaban7763
Hapa police kidogo walizingua maana cku ya kwanza TU baba wa mtoto alikatwa wakakae naye SIKU 17 Baada ya mtoto kupatkana amekufa ndo watu wanakamatwa,, kama tayr baba wa mtoto walikuwa wamemkamata na wadai pia alihusika mbona ilichukua cku 17 bila taarfa yeyote???
Anyway pumzika Kwa Amani Asimwe
pole yanini afungwe
Justice for asimwe
Poleni watanzania tuache iman potofu tuwalinde alibino niwatu kama ss wanaitaji kuishi ni watanzani Mungu kawaweka tanzania ili tufurai utukufu wa Mungu Amen polen ndgu jamaa nawakazi wa kagera wazazi na ndgu wa mtoto polen pia
Baba umeweza kujieleza vizur
Inalilahi wainalilah rajighun
Jamani bado kuna wa tz wanaishi kwenye majumba haya!!
Ukiambiwa Pele SEMA ahsante sio umesha poa kabla hatahujapoa
Jaman inauma
Poleni sana family
R.I.P young angle walio fanya unyama huu Mungu atawa athibu vibaya
Jamani😢😢😢😢
MUNGU NI MKUBWA
#Kataa ushetani kuzaliwa Albino sio mkosi wala laana.
Ni neema ya MUNGU.
Mungu akupokee asimwee😢😢
Mtt km hyu amewakosea nn yallah 😢😢😢jmni
Inauma😢😢😢
Uyo baba nae axhukul8we sheria ikiwezekana nae Anyongwe
Polen sana wanafamilia
Hao waliomfanyia ktendo hicho Mungu awalaani awalipe hapahapa Duniani nalengo lao halitofanikiwa kamwe
Daaa jamani 😭😭😭 inauma Sana .R.I.P Asimwe
Mungu amlaan huyu baba
Poleni sana jamani
Imeniuma sana malaika yule kuuuwawa tunamuuzi sana mungu wanadamu inauma sana
Mtoto mzur kaniumaaa😢
Polen san
Mungu ipumzishe kwa amani roho ya mtoto Asimwee.
Na uchunguzi ufanyike wahusika wachukuliwe hatua kali.
😢😢😢
Jamnii machozi yanaotoka kila maraa
Daaaaa Roho Inauma sana daaa AISSEH
Poreni Sana wafiwa
Ukisikia kwa wengine unasahau haraka sana lakini Mungu atusaidiye
😭😭😭😭😭😭Daaaa inauma sana mtoto mzuri hivi 😭😢😢😢😢😢😢😢
Kwa nn.wakati wa uchaguzi
Jamani kawakosea nn mtoto maskini kumfanyia ukatili kama huu mungu hatowaacha salama kwa dhulma hii 😭😭😭😭
Pole sana mzee hakika damu yamwanao Italia ndani ya udongo juu yawahusika wote😢
Polen sana tuwen makin san roho za watu wabay ni nying
💔💔💔💔mungu awape subra na watu waliofanya kitendo cja kinyama kumdhurumu huyu mtoto mungu waumbue
5:21 5:22 poleni
😭😭😭nikimuona asimwe machoz yananidondoka
Daah😢😢
Sheria ibadilishwe auae kwa upanga leo afe kwa upanga kesho,kifo cha maisha ata maliza bajeti ya msosi .
Daaah
inalilahi wainailahi rajiun
Baba kakamatwa kwa kosa la kuokota simu au mm sijaelewa
Daaah 😢😢😢😢
Masikini mtoto mdogo kwakweli Mungu awa laaani wahusika wakamatwe na wafungwe kifungo cha maisha😭😭
Huy mzee amejua kujieleza vizu san
😭😭😭😭😭😭😭😭
ina uma sana kiukwel duh 😢
Jamani,mungu atusaidie tu jamani.Ila inauma sana mtoto hana hatia yoyote aiseee.Malipo n hapa hapa duniani
Mambo and the family 2:20
Mtoto ameniuma . Mpaka tumbo limeuma waganga wanadanganya. Namin hakuna hera yakuuwa
Yaani mtoto alikua anaishi nyumba ya tope kafa anajengewa kaburi la tofali?????
Ss hujasikia mazishi yanasimamiwa na serikali?
Mazishi yamesimamiwa naserikali.
Mazishi yameaimamiwa na serikali makaburi akina samani na nyumba
uwe mwepesi kufatilia mambo kabla hujacoment
Afadhali wew unajua kaburi lako jinsi litakavyokua hongera sana.
Ila simu
Mtoto alivyo mdogo atakua alimlilia baba yake bila kujua kwmba baba yake ndie nyoka😢😢
Katoto kamekufa kwa mateso😢kanaita mama nisaidie jaman😢
Imeokotwa simu ya mwanaume ina nini sijaelewa
daah itashangaza sana kama hadi rais wa nchi amesikitishwa na mauaji alafu baba wa mtoto ndio awe muhusika😅
Mungu ailaze pema roho ya mrehemu peponi ila wamemdulumu mtot mdogo inauma si wangemfata haji manara tu kashakula chumvi ya kutosha
Mmmmm sio vzur
Jmn kwann wamemfanyia hv mtoto haya maumivu yote jmn kwann
Mungu Namin upo naomba wahusika walaniwe milele
Daah huo wimbo siupendagi basi tu😢
❤
Dah ila Tanzania bado kuna sehem watu wanamaisha magumu mno, iyo nyumba ni ya binadamu kuish. Mungu tusaidie
hiyo ni ashiria ya kuwa hicho kijiji kimekolea sana kwa ushirikina. hiyo ardhi inaonekana iko na rotuba inaeza toa mazao vizuri lakini wenyeji wamefungwa na shetani
Usidharau watu. Jua Tanzania bado kuna wananchi wengi sana wenye maisha magumu tofauti na unavyoelewa na kufikiri.
Ni kweli Jamani. Watu wa vijijini wanaishi maisha ya tabu sana ,kuanzia chakula ,mavazi na hata nyumba za kulala. Umeme hakuna,Barabara shida,Hospitali shida,maji shida. Yaani Kila kitu ni shida.ifike wakati serikali iwakumbuke watu wa vijijini na wenyewe wasijione wanyonge Jamani
Jamani dunia imeisha kam na paloko anafanya uwovu huu tunaend wp?
Enzi ya baba magufuli haya matukio mbona yalipungua kwanini? Yanajirudia tuacheni imani za kishilikina jamani tunakosa amani
Ushilikina wakipumbavu sana
Ni ngara au wapo hapo