Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MIRAJI|MADHARA YA HERSI NI MAKUBWA SANA |VAR ITAONGEZA MATUKIO |SIMUAMINI AISHI HATA LIGI DARAJA 3

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 75

  • @AllyJofrey-mg6ri
    @AllyJofrey-mg6ri Місяць тому +10

    Namb moja leo like ata 3

  • @eliaminrashid9317
    @eliaminrashid9317 Місяць тому +5

    Chagamba na miraji nawakubali 80% mnafanya vizuri alafu naomba mfate mzee said umuulize ashaona think you ya jobe

  • @KajingaFuraha
    @KajingaFuraha Місяць тому +5

    Namba 2 leo

  • @PASCHALPETER-gp8ek
    @PASCHALPETER-gp8ek Місяць тому +16

    Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Місяць тому +2

      Hahahah😂😂😂 mnajifaliji nabado

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy Місяць тому

      Mwambie akuelewe ongeza sauti naona hakusikii

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 Місяць тому +1

      Hajabisha 😂😂😂

    • @lazaroaloyce6649
      @lazaroaloyce6649 Місяць тому +1

      Ombeni mgogoro wenu uishe kabla hatujakutana,make naona maumivu kwenu nyinyi yanga,trh 8 so mbali jiweke tayari Kwa lolote make dabi haitabiriki..

  • @deviskahamba8234
    @deviskahamba8234 Місяць тому +1

    Hivi wee Miraji huweziongea bila kumtandika mwenzio vibao mabegani😂

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani Місяць тому +4

    Nimeamini kweli viyongozi wanachama mashabiki wote hao wanamuwogopa injiniya heris bilayakuondoka hawana jeuri ya ubingwa

  • @mhehejrtv9637
    @mhehejrtv9637 Місяць тому +4

    Wa kwanza leoo

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 Місяць тому +2

    miraji umeonyesha utoto sana yaan kisa goli tano poleni sana miraji umeonyesha udhaifu sana mbona magoli wengi wanafungwa gol nyingi tu

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Місяць тому +2

    Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.

  • @lourykibudu6180
    @lourykibudu6180 Місяць тому

    SEMA chagamba anavumiliaga sana yaani anakula sana kipigo kwa miraji
    Mda wote anakula migumi ya mabega kinoma
    😂😂😂😂

  • @user-xq8pq2ey6t
    @user-xq8pq2ey6t Місяць тому +1

    Familia unyama sana💪💪💪💪

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Місяць тому +3

    Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako

    • @RamadhanNgadalh
      @RamadhanNgadalh Місяць тому

      Kwan wanao fatilia hayo mamb ni viongzi wa simba au wachezaj wa simba watajichanganya wao kwan huy ni kiongzi wetu au mwana chama wetu😂😂😂

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Місяць тому

    Kweli Chagamba hajafurai😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Місяць тому +2

    Chagamba Mzee saidi Leo jamani chonde chonde

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Місяць тому +2

    Leo ninapata laha sana mabega yanapigwa sana😅😅

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Місяць тому

    Miraji pandishakofia mimi kipezi chako japo mwa yanga babaagu

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Місяць тому

    Timu Rasta Huu Ndio Muda Wao Sahihi Wakufurahi Baada Yahapa Ligi Ikianza Nimauziko Nakuendelea.

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 Місяць тому +3

    Kumbe na wewe miraji ni mshamba baadhi ya matukio ety mpila haupo hivyo unapotea kwenye raman

  • @Bangan-yu6sm
    @Bangan-yu6sm Місяць тому

    Miraji mpira unaujua na pia ukwrli wa injinia na mtu mafia mpaka mnalia Simba unaujua na ndo maana leo fraha teleee😂😂😂❤

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u Місяць тому

    Miraji maramoja

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson Місяць тому

    Yaan Mahakama ishatoa hukumu lakini watu bado wapo we huogopi halaaa!!😂

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Місяць тому +1

    Ila RASTA noma sana wanae

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l Місяць тому +2

    Chagamba mfate mzee Said Pa Omary Jobe kashapewa thanks

  • @phirimrishomandari692
    @phirimrishomandari692 Місяць тому +1

    Yanga ana mchome,Simba ana Magoma. Ubaya Ubwela.

  • @MuddyAlly-jt8rn
    @MuddyAlly-jt8rn Місяць тому

    Milaji uko zizuli baba

    • @MuddyAlly-jt8rn
      @MuddyAlly-jt8rn Місяць тому

      Miraji wahambie ukweli wapinzani wetu awajitambui

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 Місяць тому +2

    Chagamba Leo lazima uchapwe makofi ya mabega 😅😅

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 Місяць тому

    Hakuna cha ubaya ubwela wala ubila!!

  • @JumaLembile
    @JumaLembile Місяць тому +1

    Milaji manula atuache tunamshukuru Kwa aliyotutendea amini nakwambia akirudíshwa kundini makipa wengine wote tutawatukana

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Місяць тому

    Siyo kilaisi hovyoo uoni kama Simba amedhalishwa kingine waandishi wameibeza sana Simba mara viongozi wasimba wahuni .

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Місяць тому

    Hapa naona ngogwe wa kijani wanaongea uji wakati izo Gori Tano za kununua Simba walishawapiga sitaki Tano nne mabwabwa nyie

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania Місяць тому +2

    hizo mambo za Yanga zitawavuruga mpk timu itayumba sana huku mnyama ndio anakuja kukiwasha zaidi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Місяць тому

      Ndio kawaida ya Bongo hiyo hakuna siku wataruhusu team zote mbili ziwe kwenye ubora lazima wadhoofishe moja

    • @allykawambwa
      @allykawambwa Місяць тому

      Sahau

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato Місяць тому

      Oya Rafa acha kuota Mwanangu😂😂😂

  • @hamisimtupa7327
    @hamisimtupa7327 Місяць тому +1

    Hukumu ina mwaka sasa toka ilivyotoka tatizo waandishi wa tz sio watafiti hua wanakurupuka tu sasa sijui tatizo lugha au

  • @HusseinIdrissa-ed6tl
    @HusseinIdrissa-ed6tl Місяць тому +2

    Mm wa nne

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 Місяць тому +2

    Ha Leo 6 hahahahahahaay

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Місяць тому

    Watajibeba wawape chochote waze wao

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel Місяць тому +1

    Na nyie kumbee mikunduu et,,mnaongea kishabikii kwenye suala la yanga

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 Місяць тому

    Kweli Ata mm simwamini aende tu

  • @kadirichannelonlinetv4258
    @kadirichannelonlinetv4258 Місяць тому

    Mtasubir sana kugawanyika kwa yanga yanga ipo imara kama chuma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Місяць тому

    Kingine miraji unajadili leo kishabiki hao watu walighushi saini za wadhamini

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Місяць тому

    Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Місяць тому

    Tuko pamoja miraji mpaka mwisho huyo manura aende TU.

  • @JumaKigambo
    @JumaKigambo Місяць тому

    Kuna watuuu wanalipenda bakuli inawezekana wanafaida nalo miraji (mwanakulitafuta mwanakulipata)

  • @user-gy6ru6dw1b
    @user-gy6ru6dw1b Місяць тому

    Miraji bega la chagamba litadondoka 😅😅

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Місяць тому

    Nssf hoi kwa magoma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Місяць тому

    Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi

    • @user-yz6ds9hn9l
      @user-yz6ds9hn9l Місяць тому

      Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Місяць тому +1

    Uakika

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco4311 Місяць тому

    Manula. Mtu taja goal alofungwa la kwake. Pale. Katika 5. Zile Tano. Chuki sio miraji. 😂

  • @saidikalendo5117
    @saidikalendo5117 Місяць тому

    Chagamba mfate mzee said pa omary jobe ametoka fanya mambo bro

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike Місяць тому

    Punguza shobo milaji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Місяць тому

    Tena amechelewa mno tunasubili lini tunaambiwa anatoka

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Місяць тому

    Miraji ana ndoto za alinacha ,yaaani wana simba wana tamaaa ya fisi

  • @benadethajohn2696
    @benadethajohn2696 Місяць тому

    maramoja unatisha kaka madini yenyewe kabisa

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Місяць тому

    Mgawanyiko utokee wapi miraji wakati hakuna atayekubali Hersi ashuke?!

  • @DindoAbwe-ze8yx
    @DindoAbwe-ze8yx Місяць тому

    Twambie kuhusu clamon yupo kikosini au?

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Місяць тому

    Mzeee saidi alisema chagamba ni yangaaa haaaaah haaaaah

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike Місяць тому

    Tukutane saa nane

  • @ArafaHamadiFonda
    @ArafaHamadiFonda Місяць тому

    sa yale mamilion ya chama atamlipa nani kweli ubaya ubwela

  • @abdulazizmpilla5605
    @abdulazizmpilla5605 Місяць тому +1

    😂😂😂

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Місяць тому

    Ivi nyie wenzangu hua mnawaambia nini wanawake adi wanakubali kua wapenzi wenu 🤔 nataka nioe

  • @user-dy7pc4tm6u
    @user-dy7pc4tm6u Місяць тому +1

    Ongea kama mtu wa mpila wewe.unamuongelea mchezaji aliyekupa mafanikio miaka minne.sasa mtafungwa mpaka matako yenu yapige filimbi

    • @dicksonmapunda7836
      @dicksonmapunda7836 Місяць тому

      0 🧠

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Місяць тому

      Matusi hayajengi brother

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 Місяць тому

      Heeeh jamani hivi kukoment ni lazima kaaaah

    • @denischemba
      @denischemba Місяць тому

      Yatapiga filimbi ya babaako

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Місяць тому

      Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana