Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MIRAJI|MADHARA YA HERSI NI MAKUBWA SANA |VAR ITAONGEZA MATUKIO |SIMUAMINI AISHI HATA LIGI DARAJA 3
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 28 сер 2024
КОМЕНТАРІ • 75
Наступне
Автоматичне відтворення
MIRAJI AHOFIA UBAYA UBWELA KUMFUKUZA SANDALAND | KAGERA HASHUSHI UBORA WA YANGA | AZAM WAMEKUBALIFinest Online
Переглядів 29 тис.
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027Azimio TV(Official)
Переглядів 15 тис.
Joho Sheds Tears as he explains how sweet he felt when Raila told him he was to be a CS under Ruto!Mutembei TV
Переглядів 12 тис.
Песня 2003 года, кто помнит?REFLEXMUSIC
Переглядів 1,4 млн
Lp. Сердце Вселенной #1 НАЧАЛО ПУТЕШЕСТВИЯ [Новый сезон] • МайнкрафтMrLololoshka (Роман Фильченков)
Переглядів 2 млн
Отправилась в КИТАЙ покупать и перегонять ФУРУ - ТЯГАЧНастя ЧПЕК Туман
Переглядів 4,9 млн
WILL IT BURST?Natan por Aí
Переглядів 30 млн
VIBE LA MIRAJI KWA JEAN AMVAA MBUZI SIO SHIDA ZETU😂|HAKUNA CHA KUAIBISHA TAIFA NDIO MAISHA YAO WALE😂Finest Online
Переглядів 40 тис.
MKWALA ANA MIKIMBIO TU,, MCHOME AKOSHWA NA KIWANGO CHA YANGA,,ONANA NI MZURI KULIKO ATEBAJ Town Tv
Переглядів 9 тис.
CHEF GUDLOVE AMWAGA MCHELE/ HII NDIO SIRI YA UTAJIRI WAKE/ USO KWA USO NA MWIJAKU, UTACHEKA😂Crown Media
Переглядів 83 тис.
AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"Mpenja TV
Переглядів 227 тис.
MZEE SAID |😂 YANGA KWENYE TIMU YAO WAOGOPE SANA | PA OMARY JOBE KASALIMIE NYUMBANI😂 | TUTAWAFUNGA😂Finest Online
Переглядів 69 тис.
Statehouse spokesman Hussein Mohammed tells JKL that Hon.William Ruto never called Morara KebasoNICE STAR MEDIA
Переглядів 2,6 тис.
MZEE SAID : GAMONDI ROHO MBAYA | BORA AZIZ KI ANGEKUJA SIMBA | GARI LA SIMBA LITAWAKA | MTANIKOMASOKA BINGWA TV
Переглядів 50 тис.
DULLAYO: NUSU KULIA "MADOKTA WALINIAMBIA NIJIONGEZEE", ULEVI CHANZO CHA MENGI, BLUE, JAYMOE WATAJWACLOUDSMEDIA
Переглядів 2,8 тис.
MZEE SAID | AZAM WASIRUDI NA NDEGE WARUDI NA GARI TU|YANGA WANAJUA KUDHALILISHA | SIMBA TUTAUA MTU😂Finest Online
Переглядів 106 тис.
В радиусе действия дрона “Паляниця” - 20 российских военных аэродромовНовости Донбасса
Переглядів 530 тис.
🤣 Летающий батут шокировал жильцов дома и всех соседей! | НовостничокНОВОСТНИЧОК
Переглядів 2,6 млн
Хто зрадник?ВОЛОШИН
Переглядів 2,3 млн
Слава Комиссаренко «Горит сарай, гори и хата»Слава Комиссаренко
Переглядів 7 млн
Олександрія - Шахтар / УПЛ / 4 тур / Огляд матчу #Олександрія #Шахтар #уплтбУПЛ ТБ
Переглядів 390 тис.
"Не трогай меня... иначе.. " оригинал-@TheLandofBoggs #voiceacting #boggs #озвучкаmimi_ozvuchka
Переглядів 701 тис.
Гордон. Шахназаров в петле, распятие Соловьева и Скабеевой, слабый Розенбаум, молчание РотаруВ гостях у Гордона
Переглядів 762 тис.
Вони ЛЕДЬ ХОДЯТЬ! КЕП в ефірі сказав ТЕ, про ЩО ВСІ МОВЧАТЬТСН
Переглядів 1,2 млн
Namb moja leo like ata 3
Chagamba na miraji nawakubali 80% mnafanya vizuri alafu naomba mfate mzee said umuulize ashaona think you ya jobe
Namba 2 leo
Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8
Hahahah😂😂😂 mnajifaliji nabado
Mwambie akuelewe ongeza sauti naona hakusikii
Hajabisha 😂😂😂
Ombeni mgogoro wenu uishe kabla hatujakutana,make naona maumivu kwenu nyinyi yanga,trh 8 so mbali jiweke tayari Kwa lolote make dabi haitabiriki..
Hivi wee Miraji huweziongea bila kumtandika mwenzio vibao mabegani😂
Nimeamini kweli viyongozi wanachama mashabiki wote hao wanamuwogopa injiniya heris bilayakuondoka hawana jeuri ya ubingwa
Wa kwanza leoo
miraji umeonyesha utoto sana yaan kisa goli tano poleni sana miraji umeonyesha udhaifu sana mbona magoli wengi wanafungwa gol nyingi tu
Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.
SEMA chagamba anavumiliaga sana yaani anakula sana kipigo kwa miraji
Mda wote anakula migumi ya mabega kinoma
😂😂😂😂
Familia unyama sana💪💪💪💪
Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako
Kwan wanao fatilia hayo mamb ni viongzi wa simba au wachezaj wa simba watajichanganya wao kwan huy ni kiongzi wetu au mwana chama wetu😂😂😂
Kweli Chagamba hajafurai😂
Chagamba Mzee saidi Leo jamani chonde chonde
Leo ninapata laha sana mabega yanapigwa sana😅😅
Miraji pandishakofia mimi kipezi chako japo mwa yanga babaagu
Timu Rasta Huu Ndio Muda Wao Sahihi Wakufurahi Baada Yahapa Ligi Ikianza Nimauziko Nakuendelea.
Kumbe na wewe miraji ni mshamba baadhi ya matukio ety mpila haupo hivyo unapotea kwenye raman
Miraji mpira unaujua na pia ukwrli wa injinia na mtu mafia mpaka mnalia Simba unaujua na ndo maana leo fraha teleee😂😂😂❤
Miraji maramoja
Yaan Mahakama ishatoa hukumu lakini watu bado wapo we huogopi halaaa!!😂
Ila RASTA noma sana wanae
Chagamba mfate mzee Said Pa Omary Jobe kashapewa thanks
Yanga ana mchome,Simba ana Magoma. Ubaya Ubwela.
Milaji uko zizuli baba
Miraji wahambie ukweli wapinzani wetu awajitambui
Chagamba Leo lazima uchapwe makofi ya mabega 😅😅
Hakuna cha ubaya ubwela wala ubila!!
Milaji manula atuache tunamshukuru Kwa aliyotutendea amini nakwambia akirudíshwa kundini makipa wengine wote tutawatukana
Siyo kilaisi hovyoo uoni kama Simba amedhalishwa kingine waandishi wameibeza sana Simba mara viongozi wasimba wahuni .
Hapa naona ngogwe wa kijani wanaongea uji wakati izo Gori Tano za kununua Simba walishawapiga sitaki Tano nne mabwabwa nyie
hizo mambo za Yanga zitawavuruga mpk timu itayumba sana huku mnyama ndio anakuja kukiwasha zaidi
Ndio kawaida ya Bongo hiyo hakuna siku wataruhusu team zote mbili ziwe kwenye ubora lazima wadhoofishe moja
Sahau
Oya Rafa acha kuota Mwanangu😂😂😂
Hukumu ina mwaka sasa toka ilivyotoka tatizo waandishi wa tz sio watafiti hua wanakurupuka tu sasa sijui tatizo lugha au
Mm wa nne
Ha Leo 6 hahahahahahaay
Watajibeba wawape chochote waze wao
Na nyie kumbee mikunduu et,,mnaongea kishabikii kwenye suala la yanga
Kweli Ata mm simwamini aende tu
Mtasubir sana kugawanyika kwa yanga yanga ipo imara kama chuma
Kingine miraji unajadili leo kishabiki hao watu walighushi saini za wadhamini
Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku
Tuko pamoja miraji mpaka mwisho huyo manura aende TU.
Kuna watuuu wanalipenda bakuli inawezekana wanafaida nalo miraji (mwanakulitafuta mwanakulipata)
Miraji bega la chagamba litadondoka 😅😅
Nssf hoi kwa magoma
Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi
Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu
Uakika
Manula. Mtu taja goal alofungwa la kwake. Pale. Katika 5. Zile Tano. Chuki sio miraji. 😂
Chagamba mfate mzee said pa omary jobe ametoka fanya mambo bro
Punguza shobo milaji
Tena amechelewa mno tunasubili lini tunaambiwa anatoka
Miraji ana ndoto za alinacha ,yaaani wana simba wana tamaaa ya fisi
maramoja unatisha kaka madini yenyewe kabisa
Mgawanyiko utokee wapi miraji wakati hakuna atayekubali Hersi ashuke?!
Twambie kuhusu clamon yupo kikosini au?
Mzeee saidi alisema chagamba ni yangaaa haaaaah haaaaah
Tukutane saa nane
sa yale mamilion ya chama atamlipa nani kweli ubaya ubwela
😂😂😂
Ivi nyie wenzangu hua mnawaambia nini wanawake adi wanakubali kua wapenzi wenu 🤔 nataka nioe
Ongea kama mtu wa mpila wewe.unamuongelea mchezaji aliyekupa mafanikio miaka minne.sasa mtafungwa mpaka matako yenu yapige filimbi
0 🧠
Matusi hayajengi brother
Heeeh jamani hivi kukoment ni lazima kaaaah
Yatapiga filimbi ya babaako
Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana