MALIZA MWENDO SEHEMU YA PILI NA MCHUNGAJI PAUL SEMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 січ 2020

КОМЕНТАРІ • 47

  • @biblianabibliapekee8113
    @biblianabibliapekee8113 20 днів тому

    Beautiful somooooooooooooooooo. Kwa kweli MUNGU MUUMBAJI wangu naomba unijalie nimalize mwendo salama. Katika kristo YESU amen 🙏🙏🙏🙏

  • @douglasnyambagera7535
    @douglasnyambagera7535 3 роки тому +1

    Asante sana kwa jumbe zako zanibariki Mungu azidi kukupa hekima ili ulishe kondoo zake

  • @emmanuelmbuliimo7055
    @emmanuelmbuliimo7055 4 роки тому +1

    Mungu atusaidie katika dhambi hii waadventista wasabato nimeumia sana kwa wakirsto kufanya vitu vya ajabu ivyo

  • @emilyvngoma4911
    @emilyvngoma4911 4 роки тому +1

    Haleluya Bwana👏 naomba Mwenyezi MUNGU aendelee kukutumia Pr. Paul Semba. Barikiwa sana Mchungaji👏

  • @orwamartine5272
    @orwamartine5272 4 роки тому +2

    Mungu akutumie Kwa ajili ya Utukufu wa Jina lake. Mungu atukuzwe Kwa Neno hili la Uzima.

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 роки тому

    Aminaaaaaaa

  • @elizabethyaadzomboelizabeth

    Amen mtumishi

  • @kennethawino8844
    @kennethawino8844 6 місяців тому

    Amen

  • @magdalenajuma6229
    @magdalenajuma6229 3 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu hiIi nisomo zuri sana nisaidie mwokozi wangu nimalize mwendo salama

  • @SamuelNdulu-bz7qv
    @SamuelNdulu-bz7qv 8 місяців тому

    Dah somo+ kisa kimenibariki san

  • @daudiriziki5350
    @daudiriziki5350 2 роки тому +1

    Amina sana Pastor

  • @frank.j.egwaga3154
    @frank.j.egwaga3154 4 роки тому

    Asante sana Mchungaji.Mungu akulinde na kuzidi kukuogoza katika utumishi aliokuitia.Nimebarikiwa na kujifunza tena.

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 2 роки тому

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏.

  • @malekelaperes2077
    @malekelaperes2077 4 роки тому

    Asante sana Pastor kwa somo hili!
    Mungu atusaidie tusikate tamaa bali tumalize mwendo katika wema

  • @comedyzetutv6746
    @comedyzetutv6746 3 роки тому

    Pastor ubarikiwe! Mungu atusaidie sisitulio viongozi

  • @blackchild204
    @blackchild204 3 роки тому

    Amen,Mungu akubariki sana mchungaji.

  • @agnessamson7364
    @agnessamson7364 4 роки тому

    Kwakweli nimebalikiwa sana nahubili lako kwakweli mungu azidi kukubaliki pr

  • @godwinkatemi5157
    @godwinkatemi5157 3 роки тому

    BARIKIWA Mch Kwa Masomo Mazuri yenye Mguso

  • @orwamartine5272
    @orwamartine5272 4 роки тому +1

    Pastor Hakika Neno hili Ni Nuru katika giza na Nina barikiwa na Bwana. Mungu wa mbinguni akutumie Kwa kazi yake ili. Nasi tufanye wajibu wetu twende Mbinguni.

  • @samueljonathan3942
    @samueljonathan3942 3 роки тому

    God bless you pastor

  • @musajulius3364
    @musajulius3364 4 роки тому

    Jina la Bwana litukuzwe,barikiwa Pr. kwakweli ni mbaraka na ujumbe umenigusa, Bwana azidi kukutumia kuzinena kweli ya Kristo.

    • @enockondieki8686
      @enockondieki8686 4 роки тому

      Mungu anisamehe na anitie nguvu nimalize mwendo vizuri.

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 роки тому +1

    I feel so much blessed

  • @katecathlyne4148
    @katecathlyne4148 4 роки тому

    Amen....nimebarikiwa sana

  • @AdolfManyanga
    @AdolfManyanga 4 роки тому

    Pastor you are so talented

  • @zachariamsilanga9070
    @zachariamsilanga9070 3 роки тому

    stay blessed pastor PAUL SEMBA

  • @kulwandekeja2924
    @kulwandekeja2924 4 роки тому

    Mmmh hii ndo hatari ya leo nashukuru pr kwa kutoa solution pr nimeona...barikiwa kamanda.

  • @alphoncearmony9116
    @alphoncearmony9116 2 роки тому

    Pastor ROHO WA MUNGU AWE NAWE

  • @williammlelema4158
    @williammlelema4158 Рік тому

    Kweli imeangushwa katika njia, endelea kumuomba MUNGU akupiganie mishale ya muovu haipendi kweli mbaya zaidi mawakala wake wako pande zote

  • @kusakabuga282
    @kusakabuga282 4 роки тому

    MUNGU MUUMBAJI NI BARIKI NEEMA ZAKO AMINA

  • @abdinaitumaini8750
    @abdinaitumaini8750 3 роки тому

    Skufanikiwa kuwepo kwenye kambi hili lakini nimebarikiwa kwa ujumbe huu

  • @alphonceamony5893
    @alphonceamony5893 2 роки тому

    PR NATAMANI NIMUONE MUNGU NIOMBEE MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI

  • @alonmusse8138
    @alonmusse8138 4 роки тому

    Je? Kuhani heri hatakuwepo Yesu akija.maana alimaliza mwendo kwa kuchecheme? Je tutamwona mbinguni?

  • @daudiriziki5350
    @daudiriziki5350 2 роки тому

    Hubiri la kishindo cha wakoma, nmelitafta sjaliona, au bado hujaliweka you tube

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  2 роки тому

      Sijalirekodi, Bwana akitujalia uzima nitafanya hivyo.

  • @isakarobson
    @isakarobson Рік тому

    Semba wewe ni nijembe nasema wewe chombo sijaona mtu mwingine mwenye msimamo

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  Рік тому +1

      NAAMINI KUWA BWANA ANA WATU WENGI SANA ANAOWATUMIA. HATA WEWE PIA

    • @isakarobson
      @isakarobson Рік тому

      @@paulsemba_TV nikweli mm nilikua sabato nilikutana namengi.sana lakn nilisimama nimejifuza somo.lako.lakumaliza mwendo nisaidie namba yako

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  Рік тому

      @@isakarobson 0621154690

    • @isakarobson
      @isakarobson Рік тому

      @@paulsemba_TV satee sana pasta

  • @sylaschamba1562
    @sylaschamba1562 4 роки тому

    Mchungaji uko wapi ,nimebarikiwa sana na somo lako ,Najua HUNIKUMBUKI tuliwahi fahamiana pale chilinge kwa mjomba wako by that time nilikuwa nasoma bunda day.

  • @agnessamson7364
    @agnessamson7364 4 роки тому

    Kwakweli nimebalikiwa sana nahubili lako kwakweli mungu azidi kukubaliki pr