Dr. Isaac Maro ni Muungwana sana pia ni mweledi lakini huwezi kuona akijisifu kuhusu hilo wala kujitunisha kifua, ila wengine sasa...! Namkubali sana Dr. ISAAC MARO
Hakika we ni Doctor unaelimisha vzr sana. Yaani hata mwenye mwenye ugonjwa wa ukimwi au mwenye maambukiz ya virus vya ukimwi akikusiliza atajiona yeye yupo kawaida Kwa maelezo Yako asante doctor.
Ahsante sana doc. Inaelekea baado elimu ya VVU na UKIMWI inatakiwa katika jamii. Ikipatikana nafasi fanya kipindi kingine kuhusu PEP na PreP(katika mazingira ya occupational exposure, rape, discordant couples, nk).
Yahan mkimjadili mange ni sawa na kujadili mtu ambaye hajuh hata nini anafanya nini maisha yake ni magumu kuliko huo mwili wake wenye vindimu 2 nyuma na mapapai mawili kifuani hanaga jipya zaid ya kuharibia watu furahaa zao wivu umemnyonyaaaaa nais Mange yeye ndiye mwenye ukimwi
Hilo Mange linamuenea wivu mrembo Lulu sababu kaolewa na tajiri kuliko yeye anaishi na mzungu masikini na wamepanga inaonekana anawachokoza matajiri waliomzidi sababu ya wivu kama ilivyokuwa kwa mrembo Zari
Kwani yy km anahakimwi itapigika huyo lulu na kulukaluka.kwake nawanaume na km magizo kampenda wamekubaliana kwa kufata mashariti na ushauri mbona kawaida tu
Ndugu mtanganzaji umesahau swali 1 la msingi sana , kuhusu mwanaume kutahiliwa na swala la ukimwi kuna uwezekano wa kupata au ni imani tu ya wazungu waliotuaminisha kwamba wanaume wa watahile ili kupunguza maabukizi au kuambukizwa.?
Gonjwa la ukimwi mm nitasema mitihan kuna watu humu wahuni vibaya sana hapati ukimwi, lakin ana weza kuruka siku mtu ana unasa mm nimesha waona Wengi sana Wamepata wakat sio kawaida kuchupachupa ila kinga bora kuliko tiba
Sio kwenda jela njo umaanisha kwamba unaweza ambukizwa virusi vya ukimwi labda kama mfungwa mwengine,aliye asirika,alitumiya vifaa mbali mbali kunyowa sehema fluni za mwili.
Kwani mnatutanganzia ili Nini pia ugonjwa ni siri ya mtu ninavyojua huyo mpuuzi wenu wa taifa ana shida Gani? Kafikia huko aliambia atanganze wagonjwa ? Awe nao aswe nao inamhusu Nini sikujua km ana shida kubwa hivyo dah kumchafulia mtu jina katumwa
Mange yule ana laana.. Kwanza kwanini anafwatilia mambo ya watu ambayo hayamhusu.. Sasa nauliza ukijua nimeathirika ama sija athirika unanufaika na nini?
Dr. lay back sana na bonge ya brain. Mtangazaji nashauri usimsogezee mic karibu hivyo wakati mnashare. Hadi kajishika pua basi tu yuko polite hana makuu Dr wa watu. Mwingine angeisukuma😂
DOKTA MIMI NAZANI HIYO SHERIA HAIPO TU KWA UGONJWA WA UKIMWI BALI NI KILA UGONJWA ; WEWE KAMA DOKTA HURUHUSIWI KABISA KUUTANGA AU KUWAFAHAMISHA WATU WENGINE BILA RIZAA YA MGONJWA. HIYO NI HAKI YA MGONJWA.
@Valena Komba !! Yataka ukumbuke kwamba kinacho ongelewa hapo ni ugonjwa wa Ukimwi !! Sasa tatizo lako liko wapi ??? Can you please follow up the interview keenly before you comment anything .
Hizi ndizo baadhi ya aina za content ambazo mnatakiwa kuzirusha, jamii yetu ina uhitaji mkubwa sana wa Elimu ya afya, uchumi na biashara, michezo na mengineyo mengi, JITOFAUTISHENI NA WENGINE, UDAKU IWE NI SEHEMU TU YA SEGMENTS, JITENGENEZENI MUWE MOJA YA VYANZO VYA KUAMINIKA VYA HABARI MBALIMBALI.
Mange ni choko tu . Sasa mange na lulu nani kaathirika kwa mtazamo .C mange mange acha kufuatilia maisha ya watu acha wivu .mange ww ni mpuuzi tu mbea mkubwa mange😂
Ila mange anapenda sana kuingilia maisha binafsi ya mtu,ana mambo ya kiswahili halafu anajiita msomi,mfuuuu,msomi si angepataga kazi,sijuagi hata wapi aliwahigi kuajiliwa😏😏
Magonjwa ni Siri ya MTU BINAFSI hata kama anao hapaswi kutangaziwa BILA idhini yake huyo aliemtangazia amefanya kosa kubwa ni dhambi. Na ndio mana madokta hawaruhusiwi kutoa Siri ya mgonjwa wewe kama nani umuanike mwenzio mambo yake ya Siri. Tujifunze kujipunguzia wenyewe mizigo ya dhambi zisokua za lazima
Nimependa jinsi ulivyojibu kulingana na maswali ya mwandishi your the professional doctor big up bro
Umepata funzo kubwa sana si kidogo tume jifunza mengi tulikuwa hatujuwi shukran kwa mtangazaji na kwa doctor
Dr. Isaac Maro ni Muungwana sana pia ni mweledi lakini huwezi kuona akijisifu kuhusu hilo wala kujitunisha kifua, ila wengine sasa...!
Namkubali sana Dr. ISAAC MARO
Asante sana Dr umefundisha vinzuri na majibu vinzuri nimekupenda sana hongera
Asante kwa mafundusho mazuri doctor,Ubarikiwe 🙏
Dr uko vizuri Mungu akubariki kwa Elimu unayoitoa
Asante Dr issack maro, nimejifunza mengi hapa
Nakupenda dokta upo vizur kazi nzur
Mwenyezi Mungu tunusuru
watanzania munapenda sana kufuatiliana maisha shem on you
Tena sana watu badala ya kutafuta pesa umbea tu wamaisha ya watu pumbavu
Dr. Tuñashukru kwa elimu uliyotupa.👍👍🙏🙏🙏🙏❤❤
Mwanangu Lulu Muache huyo kimambe akuchafulie tu jina lakini Mungu hata kuacha kamwe
Thanks doctor
Darasa zuri sanaa leo, 👍👌👏👏👏
Mungu akutie nguvu wa jina wangu elizabeth michael
Mungu akutunze mdogo wangu Lulu/ Elizabeth Michael 🙏🙏
Asante sana doctor kiukweli nimeelimika
Doctor umeelezea vizuri sana.
U = U
Asante doctor
Asante sana kwakutufuza🇧🇮🇴🇲🙏
Hakika we ni Doctor unaelimisha vzr sana. Yaani hata mwenye mwenye ugonjwa wa ukimwi au mwenye maambukiz ya virus vya ukimwi akikusiliza atajiona yeye yupo kawaida Kwa maelezo Yako asante doctor.
So bad to judge someone! Better she knows her status what about you?
Ahsante sana doc. Inaelekea baado elimu ya VVU na UKIMWI inatakiwa katika jamii. Ikipatikana nafasi fanya kipindi kingine kuhusu PEP na PreP(katika mazingira ya occupational exposure, rape, discordant couples, nk).
Somo zuri sana.thanks
Nimekupenda mtangazaji , sauti tamu sana
Niliwahi kusikia eti ukinywa soda ndani ya dakika 1 ukapima virusi havionekani asante dockt
mnanikasirisha sana kusema kuwa huyo mwehu ni dada wa taifa, tafuteni jina linalomfaa
Jina zuri ni Fala wa Taifa, au malaya wa Taifa
@@nurukwilabya2790 kabisaa dada haezi kuchafulia wadogo zake jina huyo ni malaya wataifa
@@nurukwilabya2790 KABISAAAAAA
Elimu nzuri doctor ❤
Allah akuhifadhi,fact
Yahan mkimjadili mange ni sawa na kujadili mtu ambaye hajuh hata nini anafanya nini maisha yake ni magumu kuliko huo mwili wake wenye vindimu 2 nyuma na mapapai mawili kifuani hanaga jipya zaid ya kuharibia watu furahaa zao wivu umemnyonyaaaaa nais Mange yeye ndiye mwenye ukimwi
Siri huwa inafichwa Dt hatoi siri ya mgonjwa
Naogopa sana maralia kuliko ukimwi.alafu hakuna jipya .ht Kama lulu anao Nini shida yaani?
jmn muacheni lulu aliyopitia yanamtosha ata akiwa nao si yeye aah mnakera😒
Kama anao wengine una wakera nini walimwengu daah! Aachwe Na Maisha yake.
Dk Isack maro🥰🥰nimeelewa ngoja nkaeleweshe jamii na mm 🥰
Mange mbona chokochoko ivyo maisha y lulu inakuusu nini
Hv uyoo mange wanamuogop nn kwann wasimfunge
Hilo Mange linamuenea wivu mrembo Lulu sababu kaolewa na tajiri kuliko yeye anaishi na mzungu masikini na wamepanga inaonekana anawachokoza matajiri waliomzidi sababu ya wivu kama ilivyokuwa kwa mrembo Zari
Kwani yy km anahakimwi itapigika huyo lulu na kulukaluka.kwake nawanaume na km magizo kampenda wamekubaliana kwa kufata mashariti na ushauri mbona kawaida tu
Huyu daktari anaitaji pongezi
Saa Kama ana ukimw inawaus Nini? Kuchafua tu Jin la mwenzenu.
Nimtihan jamani yani anamshupalia mtu utafikiri anamsaidia kitu hata kama akiwa nae anamsaidia nini jamani
Samahani dk size Maro kwanin daw za ukimwi huwa namba tofauti tofauti kwa mfano l.75 nyingine l.124
Ndio tuliambiwa tofauti
Sasa hali ya Lulu inamuhusu nini Mange?🤔
SI NDIO APO!!!!!!
Mimi naomba kuuliza jee inamaana mwenye virus vya ukimwi hawezi kumuambukiza mtu maradhi ya ukimwi mpaka awe na hayo maradhi yenyewe ya ukimwi???
Apana ukiwa na virusi vya ukimwi au ukimwi huku unatumia dawa kuna uwezekano wa kutoambukiza mwngine
Kweli wa ukwelini
Mimi naomba namba yake ya sim naumwa nataka ushauli kwake au yuko hosptal gani?
Ndugu mtanganzaji umesahau swali 1 la msingi sana , kuhusu mwanaume kutahiliwa na swala la ukimwi kuna uwezekano wa kupata au ni imani tu ya wazungu waliotuaminisha kwamba wanaume wa watahile ili kupunguza maabukizi au kuambukizwa.?
SI kweli hata utumie dawa vip kipimo hakitoacha kusoma kama ni positive na ukimwi ulianza Kwa Tz mwka 1961 huko Kagera mpo wa Tz.
Muandishi wa habari mungalie unaye muhoji sio unampelekea unae muhoji maic bila kumuangalia
😂😂😂
Gonjwa la ukimwi mm nitasema mitihan kuna watu humu wahuni vibaya sana hapati ukimwi, lakin ana weza kuruka siku mtu ana unasa mm nimesha waona Wengi sana Wamepata wakat sio kawaida kuchupachupa ila kinga bora kuliko tiba
❤
Sasa kwani Lulu anakataaje hana ukimwi wkt kazaa kwa operation
Kuzaa kwa operation ni dalili ya ukimwi?? Naomba unifafanulie nimezaa watoto 3 kwa operation na sina ukimwi
YAANI WEWE NI MTU HATARI SANA KWAMI KILA ANAEJIFUNGUA KWA OPERATION NI MGONJWA WA HIV?
Jaman kuzaa kwa operation sio ndo anaukimwi mpotezee wakina kimambi weng
Eti dada wa taifa🤔labda la nyokoo
Pongezi zikufikie Doctor Kwa ujuzi mzuri wa kujibu maswali kutoka Kwa mtangazaji.
Kwenye ngumi za uso hapo docter nimekukubali
🤣🤣🤣
Kajifunzeni kwa TR msigwa iyo hbr ilishaisha
Dawa ipo sema cyo ya mzungu kama mulivyokalili ,Ila watu wanapona nyi pigeni ela za misaada
Ila mange anachafua hali ya hewa jmn duu
Huyo mange kimavi baba yake alijiua sababu aliambukizwa ukimwi na wale wanaume wengi waliombaka
Sio kwenda jela njo umaanisha kwamba unaweza ambukizwa virusi vya ukimwi labda kama mfungwa mwengine,aliye asirika,alitumiya vifaa mbali mbali kunyowa sehema fluni za mwili.
Ewe Allah tuepushe na laana hizi yaraby
So laana ukimwi
Kwani mnatutanganzia ili Nini pia ugonjwa ni siri ya mtu ninavyojua huyo mpuuzi wenu wa taifa ana shida Gani? Kafikia huko aliambia atanganze wagonjwa ? Awe nao aswe nao inamhusu Nini sikujua km ana shida kubwa hivyo dah kumchafulia mtu jina katumwa
Tokta kala kiapo hawezi kusema ushuzi wenu kwani ukimwi unawapata watu Gani???
Huyo anae sem anampenda je anayo fanya akifanyia wazazi wako utampenda
Nimejifunza kitu❤
Sasa mange anaakili kumujadili mang ni kupoteza mda maki mangi hana akili
Point...
Mange yule ana laana.. Kwanza kwanini anafwatilia mambo ya watu ambayo hayamhusu.. Sasa nauliza ukijua nimeathirika ama sija athirika unanufaika na nini?
Mange kimambi atabakia kuwa Dada wa Taifa tu, kwa sababu anafichua mambo kibao ktk Nchi ya TZ , t
Mbona kajbu.inamana vitapungua virus soooo hawataviona cz vimepunguza
Pole Lulu wangu
Hili lidada mnaliita lataif wapi nalichukia 🤔kwanini aingilie life la mtu
Paka miezi mitatu
Dr. lay back sana na bonge ya brain. Mtangazaji nashauri usimsogezee mic karibu hivyo wakati mnashare. Hadi kajishika pua basi tu yuko polite hana makuu Dr wa watu. Mwingine angeisukuma😂
DOKTA MIMI NAZANI HIYO SHERIA HAIPO TU KWA UGONJWA WA UKIMWI BALI NI KILA UGONJWA ; WEWE KAMA DOKTA HURUHUSIWI KABISA KUUTANGA AU KUWAFAHAMISHA WATU WENGINE BILA RIZAA YA MGONJWA. HIYO NI HAKI YA MGONJWA.
@Valena Komba !! Yataka ukumbuke kwamba kinacho ongelewa hapo ni ugonjwa wa Ukimwi !! Sasa tatizo lako liko wapi ??? Can you please follow up the interview keenly before you comment anything .
Tulifundishwa hivyo kuwa vitaanza kuonyesha baada ya miezi mitatu ndo Mana wanashaul baada ya miezi mitatu ukapime
Hizi ndizo baadhi ya aina za content ambazo mnatakiwa kuzirusha, jamii yetu ina uhitaji mkubwa sana wa Elimu ya afya, uchumi na biashara, michezo na mengineyo mengi, JITOFAUTISHENI NA WENGINE, UDAKU IWE NI SEHEMU TU YA SEGMENTS, JITENGENEZENI MUWE MOJA YA VYANZO VYA KUAMINIKA VYA HABARI MBALIMBALI.
Dokta nimekupata sana
Ndio mwanamke ndo wanasemaga yupo kwenye hatar zaidi
Mange kimavi mjinga sana yan
Mtangazaji nakipendaga pia
Ndio tushawai sikia Kuna mmoja anawo mmoja hana na mmoja hajapata
Mtangazaji unakosea kumtaja huyo dada SIdhani kama maadili ya uadishi kama inaruhusu.
Ataka Lulu akawa kwel qna virusi vya UKIMWI awawezi kusema co kila mtu abaki na maisha yake2
Kwanza mnamjadili vipi mtu. Ni wangapi mastaa wameathirika
Wengine wanasemaga hivyo eti ukitumia dawa vizur havionekan
Ndio asajile uwa anatowaga maelezo mazur
Maswali mazuri sana big up somo zuri
Kwani mkimtazama mage na lulu nani ataonekana amehasirika minaona mage kaanaishi kwa matumain si kwa kukonda kule😂
Mange ndio muugua ukimwi
Unazani kusema ukimwi ovio kwa mtu nivema
Ila huyu mange nahisi atakuwa siyo binadamu wa kawaida litakuwa ni jini hili.
😂😂
Kwel tulifunfishwa hivyo
Mange ni choko tu . Sasa mange na lulu nani kaathirika kwa mtazamo .C mange mange acha kufuatilia maisha ya watu acha wivu .mange ww ni mpuuzi tu mbea mkubwa mange😂
Kwel swali la mwisho muhimu na imetokea hiyo
Ila mange anapenda sana kuingilia maisha binafsi ya mtu,ana mambo ya kiswahili halafu anajiita msomi,mfuuuu,msomi si angepataga kazi,sijuagi hata wapi aliwahigi kuajiliwa😏😏
Sasa watu wanashtuka na saratani nyinyi mwaongelelea homa
Mwenzangu waambie hao kuna magonjwa ya kutisha duniani ukimwi unasubiri
Ulaya ushasahulika watu wanaishi more than 40 years kama unatumia dawa
Huu niujinga kukaa nakuja dili maisha yamtu kwani ukimwi niogonjwa mgeni kwetu mbona kawaida tu
Huy anatoa elim hajazumgumzia mtu
@@meckytossy9160
Point ❤
Siku hizi wanazaa watoto wazima
Magonjwa ni Siri ya MTU BINAFSI hata kama anao hapaswi kutangaziwa BILA idhini yake huyo aliemtangazia amefanya kosa kubwa ni dhambi. Na ndio mana madokta hawaruhusiwi kutoa Siri ya mgonjwa wewe kama nani umuanike mwenzio mambo yake ya Siri. Tujifunze kujipunguzia wenyewe mizigo ya dhambi zisokua za lazima
Xaan jaman mwisho.mtu.aanakufa ghafla.kwa mawazo
Acha watupe udaku weweeee tuwajue wenye virusi mastar bwana kaa kwa kutulia basi😂
Haters 😊 the sone something to nandy
Kwani kuathirika mpaka uekeo vikao jamani mwachekesha
Mmhh Sasa yoyote ya nini"uwe na ukimwiunakufa"hauna unakufa sasa tatizo nini"au ajabu nini We Mange??
Point
Tena ambaye hana anaweza kufa mapema anamuacha aliyenao anadunda tu
Bado hajajibu je kama amwtumiandawa vixur akipima ataonekana negative au atakuwa.postive
Mbona kajibu vzr
Lazma kipimo kitakua positive tu hata kama afya ni nzuri .
Amejibu kwa kutoa mfano wa tank la kujazia maji