AHMED ALLY" SIMBA TUNA FEISAL KAMA 70/CHAMA TUTAMPA THANK YOU/MANURA NI MCHEZAJI WETU
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2024
- Leo July 16,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC PL.
Aidha Ahmed Ally amezungumzia Maandalizi ya Kuelekea Simba Day tarehe 03 Agosti 2024
Samaji huwa hapendi kuzungumzia Yanga kabisa nani anagundua ilo
Ana akili sana huyu jamaa😂😂
Ndiyo Rahaa ya Kuwa na Msemaji Msomi
@@athumanibakari8618yule ashura kutwa simba simba 🎉
Yule dogo wa nyuma mwiko kazi yake kuzungumzia habari za Simba badala ya kuzungumzia nyuma mwiko yao anaweweseka na Simba , juzi analeta habari za uongo kuwa eti "wamefungwa goli sita kisha hawasemi " .
hii ni fact kwel hyu mwamba aongelei timu ya yanga yupo bize na simba tu 😅😅😅
UBAYA UBWELA
MASHINE INATEMA madini🔥🔥🔥
Chama anawaumiza Sanaa Simba hiiiii Kali sana
Mbona mnafosi tuumie kiukweli mimi sioni cha kumuumiza kwa uyo chama alikua anajiona star sana
Panya nn ww
Kama hujui chama kaondoka Simba mara ya pili nw sasa tuumie vip wakat tushazoea kuondoka kwake
@@bone102na alivyorudi mkamshangilia sana maana ndo mlienda kushiriki shirikisho na mkatolewaaa😅😅😅😅😅
Machine ya kuongea hana mda wa kuwaongelea Team nyingine Akili nyingi kwa kichwa 😂😂😂😂😂😂
Chama aliwahi kuondoka,lakini simba ilibaki kwenye nafasi nzuri kuliko sasa wakati chama yupo simba!! Au mmesahau
Uyu ana cha kuoji
Semaji bora ndani ya medani ya michezo nchini na dunia
Hapa pa Chama mnajiabisha sana. Ni aibu kubwa. Ni kama mwanamke unamwacha halafu unajifungia chumbani kulia kisa mke yupo nyumba ya jirani.
nani kalia kwa mo mambo mazuri ata chama ameanza kujuta 😂
mifano gan iyo ushawai kulia nn jombaa
Akapambanie kesi ya Hersi
Kafie mbele
Mtalaka hatongozwi broo
Jamani chama anaezungumziwa na awa wandishi siyo chama uyu wa sasa nichama wa miaka 4 nyuma.
na kama "ubaya ubwela' itakuwa kweli mbona 2ta enjoy kuckiliza tambo zako ahmed
semaji hvi unatoaga wapi maneno ww❤
Everything is possible on the earth surface when you will depend on GOD 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Jamani jeni yu wapi
JAMAA ANAJUA AISEE, HUYU NI SEMAJI LA FAMILY
Anajua au ni comedian?? Yani ww humjui Kazi?? Ndo anamsifia utafikiri ni Puyo
Mashiiiiine ya kuongea😂😂😂😂 ,❤❤🦁🦁🦁💪
Hakuna mahojiano ya kusikiliza,
Semaji la cuf,Shirikisho na Simba sports ❤❤❤ ubaya ubwela Yanga maji yamemwagikaaa Eng ????
Sema Chama anakuumiza wewe sio simba.
Kwa WACHEZAJI HAO NDO UNASEMA UNAKUSANYA MATAJI?NGOJA NICHEKE SASA
Eti Shakira shakiraa😂😂🙌🏽
Hivi huyu jama ako anauliza ao ako anamwambia habari ya yanga na Azam?mpenja huu ulimtowa wapi kweri umetuangusha
Kweli ss hii pw
Haka kajamaa hakajui kuhoji.. jenny yupo wapi sijui.. hiki kinjemba kinaboa kinavyo hoji..
Shakila shakila
Semaji umenifulaisha nasa
Tumeenjoy intewvier
Sijawai kuuona mwandishi wa hovyo kama uyu Yan hovyo kabsaa
Ww ndio umepoa na unaboaa😂,semaji ajawahi kupoa ata dk mojaa😂😂mpenja plz turudishie jane uyu cjui mmemtoa wap😅
Mi pia ntakuja Simba Day Kukuona unajua kuongea hauna jazba una akili sana
Kwani ww umekujaa kuuliza mambo ya Simba au umetumwa nayanga
hvi huyu mtangazaji anataaluma kweli? hana hata ubunifu
Munakumbuka la chama2 la fei hamlikumbuki nyuma mwiko
Wewe muandishi kasikilize interview za Jane ujifunze namna ya kumuuliza maswali semaji unazingua Sana unakaa na wachezaji kila SAA WA wapinzani wewe jiangalie alfu jitathimini
Jamaa wa ovy ujui hat kuhoj
Zungumzia Simba dogo narudia kamuangalie Jane
Yeah ndiyo maana nimesema huyo dogo azingua
Hiyo imeenda semaji
U nawaingiza mashabiki chaka
Hiiii mashiiiiiiiiine ya kuongea
Shida mnarogwa na kisha mnakwama .
Ahmed ni hatar😅😅😅😅😅😅😅
Dawa imeingia kuna mtu anatakiwa kutoka nyuma mwiko kumbe ni janja janja
Utopolo hawana msemaji waangalie hapa wanaokota okota na hawana hata semina ya kuwafunza wasemaji wao wanaokota na kuacha msaji awe mropokaji tu.kaambieni hako kashoga kenu kaende shule au kamtafte huyu bwana ahamed ali kajifuze.huyu bwana mpaka hata siyo mwanasimba unapata hamu tu ya kumsikiza siyo hako kajinga kenu mnakaachia kuropoka tu
Mmh
Presha zitawaua ngoja inyeshe
Mmesahau nafasi ya simba wakati chama uko nje?
Ww ndio mashine ya kuogea. world wide
Jobe ni shujaa wetuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa hata hajui kufanya interview kabisa yaani anahoji vitu vya hovyo kweli.
Mwandishi ubongo wake mgumu kuelewa
Huyo alikuwa jeuri atakula jeuri yake
u.nakutana nani wee wee aya kulia kuko palepale
Ubaya ubwela
Twataka Jane ndio amuhoji semaji
Kaondoka hpo mpenja tv sijajua khamia wap ila aliagwa tyr
Makoloooooo mpaka msemeeee.
Hujui makolo maana yake kwa kizaramo ni wajomba wako😅😅😅😅😅 hahahahaha
Semaji bhna😂😂😂😂
Samaji nimoja tuu😅😅
Mwambieni semaji aingie na Simba mnyama mwenyewe wa zoo wako ambao wamezoea watu
ha ha ha ha ha ha nyie nyie itamgarimu uyu m2 nyie aya
😅😅😂😂😂
Mpenja atafte mtu mwingine tu....jamaa hajui kohoji huyu!!
Njoo hoji ww
Mpenja hapa hauna mtu!