AHMED ALLY" SIMBA TUNA FEISAL KAMA 70/CHAMA TUTAMPA THANK YOU/MANURA NI MCHEZAJI WETU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • Leo July 16,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC PL.
    Aidha Ahmed Ally amezungumzia Maandalizi ya Kuelekea Simba Day tarehe 03 Agosti 2024

КОМЕНТАРІ • 84

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc Місяць тому +15

    Samaji huwa hapendi kuzungumzia Yanga kabisa nani anagundua ilo

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 Місяць тому +3

      Ana akili sana huyu jamaa😂😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Місяць тому +2

      Ndiyo Rahaa ya Kuwa na Msemaji Msomi

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Місяць тому

      @@athumanibakari8618yule ashura kutwa simba simba 🎉

    • @abdallahal-khaify
      @abdallahal-khaify Місяць тому +1

      Yule dogo wa nyuma mwiko kazi yake kuzungumzia habari za Simba badala ya kuzungumzia nyuma mwiko yao anaweweseka na Simba , juzi analeta habari za uongo kuwa eti "wamefungwa goli sita kisha hawasemi " .

    • @seikhan5115
      @seikhan5115 Місяць тому +1

      hii ni fact kwel hyu mwamba aongelei timu ya yanga yupo bize na simba tu 😅😅😅
      UBAYA UBWELA

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 Місяць тому +9

    MASHINE INATEMA madini🔥🔥🔥

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Місяць тому +3

    Chama anawaumiza Sanaa Simba hiiiii Kali sana

    • @user-vd3ce2zv5p
      @user-vd3ce2zv5p Місяць тому +1

      Mbona mnafosi tuumie kiukweli mimi sioni cha kumuumiza kwa uyo chama alikua anajiona star sana

    • @simonjoseph4337
      @simonjoseph4337 Місяць тому

      Panya nn ww

    • @bone102
      @bone102 Місяць тому

      Kama hujui chama kaondoka Simba mara ya pili nw sasa tuumie vip wakat tushazoea kuondoka kwake

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary Місяць тому

      ​@@bone102na alivyorudi mkamshangilia sana maana ndo mlienda kushiriki shirikisho na mkatolewaaa😅😅😅😅😅

  • @wencerich
    @wencerich Місяць тому +4

    Machine ya kuongea hana mda wa kuwaongelea Team nyingine Akili nyingi kwa kichwa 😂😂😂😂😂😂

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko Місяць тому +3

    Chama aliwahi kuondoka,lakini simba ilibaki kwenye nafasi nzuri kuliko sasa wakati chama yupo simba!! Au mmesahau

  • @Salum-ij6mg
    @Salum-ij6mg Місяць тому +3

    Uyu ana cha kuoji

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Місяць тому +3

    Semaji bora ndani ya medani ya michezo nchini na dunia

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Місяць тому +4

    Hapa pa Chama mnajiabisha sana. Ni aibu kubwa. Ni kama mwanamke unamwacha halafu unajifungia chumbani kulia kisa mke yupo nyumba ya jirani.

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Місяць тому +2

    Jamani chama anaezungumziwa na awa wandishi siyo chama uyu wa sasa nichama wa miaka 4 nyuma.

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Місяць тому

    na kama "ubaya ubwela' itakuwa kweli mbona 2ta enjoy kuckiliza tambo zako ahmed

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Місяць тому

    semaji hvi unatoaga wapi maneno ww❤

  • @HalifaMohamedMohamed-pr5eh
    @HalifaMohamedMohamed-pr5eh Місяць тому

    Everything is possible on the earth surface when you will depend on GOD 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Місяць тому

    Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Місяць тому

    Jamani jeni yu wapi

  • @IddyMzuri
    @IddyMzuri Місяць тому

    JAMAA ANAJUA AISEE, HUYU NI SEMAJI LA FAMILY

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary Місяць тому

      Anajua au ni comedian?? Yani ww humjui Kazi?? Ndo anamsifia utafikiri ni Puyo

  • @user-hd5rn8fh5b
    @user-hd5rn8fh5b Місяць тому

    Mashiiiiine ya kuongea😂😂😂😂 ,❤❤🦁🦁🦁💪

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Місяць тому +1

    Hakuna mahojiano ya kusikiliza,

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v Місяць тому

    Semaji la cuf,Shirikisho na Simba sports ❤❤❤ ubaya ubwela Yanga maji yamemwagikaaa Eng ????

  • @THADEOCHUNDU-eu3ez
    @THADEOCHUNDU-eu3ez Місяць тому

    Sema Chama anakuumiza wewe sio simba.

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 Місяць тому

    Kwa WACHEZAJI HAO NDO UNASEMA UNAKUSANYA MATAJI?NGOJA NICHEKE SASA

  • @gaspergasper5163
    @gaspergasper5163 Місяць тому +2

    Eti Shakira shakiraa😂😂🙌🏽

  • @niyogushimaOscar-bh6mj
    @niyogushimaOscar-bh6mj Місяць тому

    Hivi huyu jama ako anauliza ao ako anamwambia habari ya yanga na Azam?mpenja huu ulimtowa wapi kweri umetuangusha

  • @mrishotv5553
    @mrishotv5553 Місяць тому +1

    Kweli ss hii pw

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Місяць тому +1

    Haka kajamaa hakajui kuhoji.. jenny yupo wapi sijui.. hiki kinjemba kinaboa kinavyo hoji..

  • @kennyjohn-ov7sn
    @kennyjohn-ov7sn Місяць тому

    Shakila shakila

  • @DullahJazza
    @DullahJazza Місяць тому

    Semaji umenifulaisha nasa

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 Місяць тому

    Tumeenjoy intewvier

  • @ImuKibene
    @ImuKibene Місяць тому

    Sijawai kuuona mwandishi wa hovyo kama uyu Yan hovyo kabsaa

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 Місяць тому +1

    Ww ndio umepoa na unaboaa😂,semaji ajawahi kupoa ata dk mojaa😂😂mpenja plz turudishie jane uyu cjui mmemtoa wap😅

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Місяць тому

    Mi pia ntakuja Simba Day Kukuona unajua kuongea hauna jazba una akili sana

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Місяць тому

    Kwani ww umekujaa kuuliza mambo ya Simba au umetumwa nayanga

  • @allynicco4607
    @allynicco4607 Місяць тому

    hvi huyu mtangazaji anataaluma kweli? hana hata ubunifu

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Місяць тому

    Munakumbuka la chama2 la fei hamlikumbuki nyuma mwiko

  • @briansenga584
    @briansenga584 Місяць тому

    Wewe muandishi kasikilize interview za Jane ujifunze namna ya kumuuliza maswali semaji unazingua Sana unakaa na wachezaji kila SAA WA wapinzani wewe jiangalie alfu jitathimini

  • @ChembeaKhalfani
    @ChembeaKhalfani Місяць тому

    Jamaa wa ovy ujui hat kuhoj

  • @briansenga584
    @briansenga584 Місяць тому

    Zungumzia Simba dogo narudia kamuangalie Jane

    • @briansenga584
      @briansenga584 Місяць тому

      Yeah ndiyo maana nimesema huyo dogo azingua

  • @emmanuelsiyengo7401
    @emmanuelsiyengo7401 Місяць тому

    Hiyo imeenda semaji

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Місяць тому

    U nawaingiza mashabiki chaka

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Місяць тому

    Hiiii mashiiiiiiiiine ya kuongea

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify Місяць тому

    Shida mnarogwa na kisha mnakwama .

  • @HukerRama
    @HukerRama Місяць тому +1

    Ahmed ni hatar😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Місяць тому

    Dawa imeingia kuna mtu anatakiwa kutoka nyuma mwiko kumbe ni janja janja

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Місяць тому

    Utopolo hawana msemaji waangalie hapa wanaokota okota na hawana hata semina ya kuwafunza wasemaji wao wanaokota na kuacha msaji awe mropokaji tu.kaambieni hako kashoga kenu kaende shule au kamtafte huyu bwana ahamed ali kajifuze.huyu bwana mpaka hata siyo mwanasimba unapata hamu tu ya kumsikiza siyo hako kajinga kenu mnakaachia kuropoka tu

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Місяць тому

    Presha zitawaua ngoja inyeshe

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko Місяць тому

    Mmesahau nafasi ya simba wakati chama uko nje?

  • @Snydacut
    @Snydacut Місяць тому

    Ww ndio mashine ya kuogea. world wide

  • @MsafwaTv
    @MsafwaTv Місяць тому

    Jobe ni shujaa wetuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JeremiahKiberenge
    @JeremiahKiberenge Місяць тому

    Huyu jamaa hata hajui kufanya interview kabisa yaani anahoji vitu vya hovyo kweli.

  • @castromhilu6491
    @castromhilu6491 Місяць тому

    Mwandishi ubongo wake mgumu kuelewa

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c Місяць тому

    Huyo alikuwa jeuri atakula jeuri yake

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Місяць тому

    u.nakutana nani wee wee aya kulia kuko palepale

  • @MsafwaTv
    @MsafwaTv Місяць тому

    Ubaya ubwela

  • @Mwinyi-xo7jt
    @Mwinyi-xo7jt Місяць тому

    Twataka Jane ndio amuhoji semaji

    • @jairosmnahi1218
      @jairosmnahi1218 Місяць тому

      Kaondoka hpo mpenja tv sijajua khamia wap ila aliagwa tyr

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e Місяць тому

    Makoloooooo mpaka msemeeee.

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Місяць тому

      Hujui makolo maana yake kwa kizaramo ni wajomba wako😅😅😅😅😅 hahahahaha

  • @AmonBenjamin-z1o
    @AmonBenjamin-z1o Місяць тому

    Semaji bhna😂😂😂😂

  • @AmonBenjamin-z1o
    @AmonBenjamin-z1o Місяць тому

    Samaji nimoja tuu😅😅

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Місяць тому

    Mwambieni semaji aingie na Simba mnyama mwenyewe wa zoo wako ambao wamezoea watu

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Місяць тому

    ha ha ha ha ha ha nyie nyie itamgarimu uyu m2 nyie aya

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Місяць тому

    😅😅😂😂😂

  • @alistidesclemence3992
    @alistidesclemence3992 Місяць тому

    Mpenja atafte mtu mwingine tu....jamaa hajui kohoji huyu!!

  • @DanielMarco-js1kz
    @DanielMarco-js1kz Місяць тому

    Mpenja hapa hauna mtu!