UVUMILIVU FULL MOVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 31

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 5 місяців тому +3

    Sengo umependeza na hio thwaribush❤#kakoso unatufunza sana kazi ni nzuri Mashallah🎉🎉🎉Mola Azidi kuwaongoza

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 5 місяців тому +10

    Nimeangalia mpaka mwisho ili niweze kutoa maoni sahihi. Ujumbe mzuri sana... sana.... saaaaana... tabia za kutembea na wake za watu, dada wa watu, wame za watu imekuwa jambo la kawaida. Film kama hizi zitawapa funzo baadhi ya watu watakaokiwa wamejisahau ❤❤❤ Film za namna hii zitolewe nyingi ❤❤❤

  • @Nizer012
    @Nizer012 5 місяців тому +1

    Kazi nzuri director @kakoso uko vzur sana

  • @giftelinazi3487
    @giftelinazi3487 5 місяців тому

    hili n funzo zuri sana kwa wote si kwa mwanaume na mwanamke ahsnt director ila sengo ukivaa kofia unapendeza

  • @TemboalbartTembo
    @TemboalbartTembo 5 місяців тому +2

    Kakoso akili nyingi sana 11:53 🇧🇷 nikiwa huku ushenzini full starehe tymalizie snack boy bana

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 5 місяців тому +2

    ila huyu sengo nampnda sana.sengo naomb unijbu❤❤❤❤

    • @Agyy628
      @Agyy628 5 місяців тому

      Nikujib mm badala yake

  • @hghh6056
    @hghh6056 5 місяців тому

    Much love from kenya 🇰🇪 hili ni funzo kwa wanaume na kwa wanawake ila na sistiza saana kwa wanaume na pia kwa jamii mwisho wa ubaya ni aibu wanaume mumezidi kunyasa wanawake wanao mpenda kwa dhati na kuwapa maumivu makali ya kumfanya mwanamke achukie mausiono ❤❤🎉🎉🎉

  • @HawaSaid-u7o
    @HawaSaid-u7o 5 місяців тому

    Hongera kaka kazi iko poa, mungu azidi kukubariki ktk kazi zako

  • @Clyton593
    @Clyton593 5 місяців тому

    Nafurah kumuona mzee was shebeleshebel

  • @tatuwaziri6122
    @tatuwaziri6122 5 місяців тому

    Dada pole mume huna hapo huyo mtu wa totozy tu bila ya 3halali looh

  • @MartinsSabanda
    @MartinsSabanda 5 місяців тому +3

    Wakwanza from 🇲🇿 naombeni like zangu

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 5 місяців тому +1

    M wapili from Kenya

  • @AmisseBuraimoCanamo
    @AmisseBuraimoCanamo 5 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉kagoso from mozambiq

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 5 місяців тому

    Latifa nakuona udydy❤❤

  • @zanzibartrip5954
    @zanzibartrip5954 5 місяців тому +1

    Kinanda kinakera

  • @officialtunda-g6s
    @officialtunda-g6s 5 місяців тому +1

    Wa kwanza like zangu jaman

  • @LightJona
    @LightJona 5 місяців тому

    Kaz nzuri

  • @zeinabuAchiengOkara
    @zeinabuAchiengOkara 5 місяців тому

    Mashallah

  • @RaphiaKassamaly-sd3uk
    @RaphiaKassamaly-sd3uk 5 місяців тому

    Duuh kweeli

  • @LightJona
    @LightJona 5 місяців тому

    Ila kuna kelele

  • @umaima1178
    @umaima1178 5 місяців тому

    Sauti

  • @officialtunda-g6s
    @officialtunda-g6s 5 місяців тому +1

    😅😅

  • @directorogpro
    @directorogpro 5 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @marynyota6146
    @marynyota6146 5 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 5 місяців тому

    USHAURI KWA WAHUSIKA WAKUU, mujarabu kuangalia nyakati na maeneo wakati wa kurekodi, kipande ambacho inatoka sauti inayoashiria imamu anaswalisha msikitini haikustahiki kuingia ktk video hii na inaweza kuleta taharuki, ushauri wangu jaribuni kuwa makini mnapofanya shooting kwa kukwepa matukio yanayoweza kuingia ktk filamu zenu kwa aidha iwe sauti au picha. NI USHAURI SIO AMRI

  • @ZulekhaRamadhan-k4o
    @ZulekhaRamadhan-k4o 5 місяців тому

    ,,🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @yuui1878
    @yuui1878 5 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉