Belle 9 - Masogange

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 1,2 тис.

  • @user-vr1hr8bs4t
    @user-vr1hr8bs4t 7 місяців тому +165

    Kamabado unaisikilizahii Ngoma adileo 2024 gonga like tukopa1 wazee👊

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 6 місяців тому +75

    Kama bado unaskiliza huu wimbo 2024 gonga like

  • @omarymungi4612
    @omarymungi4612 7 місяців тому +41

    Msanii mwenye Kipaji Kikubwa katika sauti lakini Mfumo wa Muziki wa Tz umemzuia kutoboa, Belle 9, Bado nasikiliza hii mwaka huu 2024 !!

  • @user-rh4ej7oq9j
    @user-rh4ej7oq9j Місяць тому +25

    Kama umerudi kuutizama 2024 gonna like hapa tujuane....imma dulla marangu kilema

    • @flova7022
      @flova7022 Місяць тому +1

      Nothing lasts forever jaman

    • @rombianboy
      @rombianboy 23 дні тому

      Nikosaje....more love to Belle 9

    • @user-rh4ej7oq9j
      @user-rh4ej7oq9j 23 дні тому +1

      @@rombianboy big up sana kipenz tuko pmoja

    • @user-rh4ej7oq9j
      @user-rh4ej7oq9j 23 дні тому

      @@flova7022 salute sana kwako

  • @danmillianofredochlorinez7766
    @danmillianofredochlorinez7766 6 років тому +503

    Kamaa umerudi kusikiliza mziki huu wa belle 9 ili kumtakia marehemu AGNES pumziko jema la milele dondosha like tuungane leaders club kuuwaga mwilii wake dah dunia njia RIP masogange

  • @alexiswamillazo6520
    @alexiswamillazo6520 6 років тому +243

    2018 R.I.P masogange .😭😭 nimerudi kutazama baada kusikia umetuaga. Sote njia yetu dada. Gonga like kama umeguswa na msiba huu

  • @jumasaid3910
    @jumasaid3910 4 роки тому +28

    Kama bado wamkumbuka masogange kama mimi gonga like

  • @bonheurbnr1951
    @bonheurbnr1951 6 місяців тому +10

    2024 nous sommes toujours ici Rest in peace Agnes Masogange😢 all the way from Congo 🇨🇩

  • @lakepoint7218
    @lakepoint7218 2 роки тому +72

    2022 still listening i fell in love with this song coz of my late boyfriend i miss him so much, by this time he was also trying to thrive in the music industry .rest in peace Francis aka ANELKA. It was us against the world

  • @aceprincemedia9826
    @aceprincemedia9826 5 років тому +8

    R.I.P Masogange i still love Belle9 music thanks bro bringing this beautiful lady to limelight GOD BLESS

  • @robinsonmusonye2040
    @robinsonmusonye2040 5 місяців тому +25

    2024 wapi likes baana

  • @ndimiamon7425
    @ndimiamon7425 6 років тому +721

    R.I.P @Agnes

  • @ceciliacasimironjivanga4887
    @ceciliacasimironjivanga4887 Рік тому +19

    Sou moçambicana, essa música marcou a minha infância 🇲🇿

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 7 місяців тому +3

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 remember my childhood On This Song Forever 🥰 RipMasogange

  • @Skypaty20
    @Skypaty20 13 днів тому +2

    2024 na leo ni TBT 15agust nimerejea tena kutazama hii ngoma kali🔥🔥 kama bado unakubali kuwa hii ni ngoma kali like hapa🙌🙌🙌

  • @salhatyakbarsalhatyakbar8326
    @salhatyakbarsalhatyakbar8326 6 років тому +27

    Uyu ndo wimbo ume nifany nimjuwe uyu msichana😢😢😢😢😢😭😭😭 Oooh Masogange 😢😢

  • @noxxete
    @noxxete 6 років тому +13

    I loove this song...Reminds me of my times in Mombasa...Nostalgia at its best. Guys lets increase its views to millions.

  • @keyseabdiqani6991
    @keyseabdiqani6991 6 років тому +5

    Kama umesoma Kwa page ya wasafi kuwa kuna wimbo wa belle9 inaitwa masogange ukakuja kuona then unamuona marehemu Kwa video hit like and day R. I. P

  • @user-rh4ej7oq9j
    @user-rh4ej7oq9j 24 дні тому +1

    Nakukubali sana bell9 Mungu akufanyie wepesi siku moja nisikie umavuka mbali zaidi salute kwako mwamba....imma dulla marangu kilema kilimanjaro

  • @AluleaCreateur
    @AluleaCreateur 5 місяців тому +12

    Tunao skiza tujuane hapa RIP masogange😢

  • @lilianaboka2893
    @lilianaboka2893 4 роки тому +5

    I miss my first boyfriend when i listen to this song it use to be his favourite, most of the time he would dedicate this to me ,oooh no time flies so fast #REST IN PEACE ANELKA 😥😥😥😥 i loved you but God loved you more wish you were here people were aganist our love but didn't stop loving each other. Love you

  • @pendomwita7501
    @pendomwita7501 Рік тому +3

    Masogange kumbe anafanana na mtoto wake jamani like Kama unaiangalia hii ngoma 2023

  • @NuhSongah-c1z
    @NuhSongah-c1z 17 днів тому +2

    Kama unasikrza hii ngoma ad 2024 natka like 10k

  • @ambasaabok8719
    @ambasaabok8719 6 років тому +8

    fell in love with this song,almost eight years and it still sounds deep,repose en paix aggy,may God judge you with mercy

  • @luisadiana6711
    @luisadiana6711 6 років тому +21

    jaman kla nkiona huu wimbo nakuona Aggy Wang R. I. P my nitakkumbuka daima

  • @EricBreezzManyota
    @EricBreezzManyota 6 років тому +3

    Naikumbuka sana kama jana mwaka wa 2009 bado nipo kidato nilipoisikia hii nyimbo kwa mara ya kwanza. Ila leo mwanadada #Masogange kaaga dunia. Inauma sana ila ni mapenzi yake Mola. RIP Agness 'Masogange'

  • @agreymsemwa8021
    @agreymsemwa8021 6 років тому +1

    Pumzika kwa aman Dada yetu kipenz cha watu hapa tz na Africa masharik kwa ujumla tunakuombe kwa mungu asitazame dhambi zako bal atizame mazur yako.Amina.

  • @Pira-gm4gr
    @Pira-gm4gr 10 місяців тому +6

    Timeless. My favorite I swear❤ RIP Masogange

  • @ericklaiton2763
    @ericklaiton2763 6 років тому +25

    2009 form three ,mshikamano sec school,igurusi mbarali mbeya..inanikumbusha mbali sana

  • @jacksonrock6535
    @jacksonrock6535 7 років тому +132

    siku hizi beat za kinageria zimetuaalibia wasanii wetu zamani walikuwa wakali sana

  • @jonasafrican2537
    @jonasafrican2537 6 років тому +2

    😥😥😥😥 R.I.p Agns ....2018).j kweli wote niwapitaji Apa duniani jamni Jana tulikua wote tn tukifulay lkn Leo umeondoka jmn kama tondo. Eee Mungu Naomba huilize roho yake mahali pema peni mtanzania mwenzetu tulimpenda lkn ww Umempenda zaidi Aminaaa. kama kweli umejifunza kitu kupitia hili tukio kua duniani wote niwapitaji bc gonga like yako Apa. Amen

  • @zuhubeby9474
    @zuhubeby9474 6 років тому +34

    nimeangalia tena huu wimbo kwa Ajili yako hili jina lilianzia hapa masogange rest in peace Aggy 😨😨😨😥😥😥😥😤😤😤😤😤😢😢😢😭😭😭😭mungu mkali jama 20/04/2018

    • @ummyomary1800
      @ummyomary1800 2 роки тому +1

      Yani acha tu inasikitisha 😭😭😭

  • @makalanimau4649
    @makalanimau4649 6 років тому +41

    naumia sana kifo cha masogange lala mahali pema dadayetu.

  • @abramsmalel40
    @abramsmalel40 6 років тому +8

    2018 from KENYA with love. This song reminds me when I was young n naive n inlove.

  • @ogossodorothy744
    @ogossodorothy744 5 років тому +19

    In 2019 still listening to masogange 💞💞💞💞💞💞

  • @carolynogema1176
    @carolynogema1176 4 роки тому +4

    Nipo hapa kwa kumbukumbu ya masogange 2020 who is with me,,rip my sister😭,,we shall meet again😭

  • @alfredycheyo8847
    @alfredycheyo8847 6 років тому +12

    Pole sana bro Belle 9.Dada yetu Masogange tutammis !!

  • @MrSimbawanje
    @MrSimbawanje 3 роки тому +9

    One timeless song.. beat and lyrics on point and unique.🔥🔥🔥👌🏿.. RIP Masogange...

  • @abdulshaban6343
    @abdulshaban6343 6 років тому +1

    aiseee jamn mpaka machoz yananitoka kwa jins nilivyo upenda huu wimbo na jins niavyo ona masogange ayupo tena molla mulazee mahali pema pepon ameeen daaah

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Рік тому +2

    I used to like the song until now I still do🙏😍❤❤2023 June here we go . Mungu amlinde Agnes Masogange popote alipo

  • @abramsmalel40
    @abramsmalel40 3 роки тому +4

    2021... Still here because of you agnes masogange. Rest in Peace sister 😭😭😭😭

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM 8 місяців тому +4

    I’m still listening to this song here we go 2024🔥🔥🔥

  • @uberitinjarita8499
    @uberitinjarita8499 4 роки тому +1

    kam huwa unaangalia comment za nyimbo zako , na maanisha b9,kwa upande wangu nimemic radha ya sauti kama hii, bdo ujachuja broo.
    come up again , never give up, we miss u.

  • @naomiemumali7310
    @naomiemumali7310 Рік тому +2

    skuizi nyimbo za mapenzi hazipo,tumebaki na sweet memories n this song is one of them R.I.P big bro

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles 7 днів тому

      Piano tupu ata ladha ya ngoma hakuna

  • @jovinabunyomyo3993
    @jovinabunyomyo3993 6 років тому +137

    kifo cha masogange kimenileta mpaka uku😥😥😥😥😥😥😥😥😥
    2018 watch

  • @Bonnere
    @Bonnere 6 років тому +205

    Who still listening this song in 2018 with me......😍😍😍

  • @robertmalagila126
    @robertmalagila126 6 років тому +2

    R.I.P masogange. Mbele yako nyuma yetu, pumzika kwa amani. Ni njia yetu sote!

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 9 місяців тому +1

    This song , remind me back in 2008 , when it was my first time to land in Mombasa , the mat I boarded was playing this song , from then I followed in love with the tune

  • @Moregun619
    @Moregun619 2 роки тому +12

    This masterpiece reminds me of alot of good old memories 😤 some friends that i lost some that I don’t even know where they are.. Rip masogange

  • @jkatheu5337
    @jkatheu5337 5 років тому +10

    Masogange still my favorite 2019🇰🇪

  • @sashazuberyzubery7804
    @sashazuberyzubery7804 6 років тому +108

    Rip aggy masogange😿😿😚😪

  • @HealingWorshipTeam
    @HealingWorshipTeam 6 років тому +87

    Rest in peace Agnes Masogange

  • @kephandilivale5021
    @kephandilivale5021 2 роки тому +5

    Aise kama na ww umeiludia hii ngoma ngonga like plse🙏

  • @labankidake8233
    @labankidake8233 Рік тому +4

    who's still listening to this masterpiece in 2023 mark your register here

  • @harunotieno2270
    @harunotieno2270 8 місяців тому +1

    Happy New Year 2024... Continue Resting in peace sister Agnes Masogange

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 5 років тому +31

    You will never be out of our mind Agnes...continue resting in peace...

  • @lynemersy3363
    @lynemersy3363 8 років тому +14

    i can repeat dz song even a 1000 times ur dope my dear sauti yako iko swafi.

  • @nilastephen8265
    @nilastephen8265 6 років тому +11

    Pumzika kwa amani Agnes 😢😢😢😢😢😢😢 mungu aku weke mahali pema peponi dada

    • @husenboy6963
      @husenboy6963 6 років тому

      Nila Stephen pumzika kwaaman masagange mungu akueke mahali pema

  • @GeraldAgustino-fz5mn
    @GeraldAgustino-fz5mn 10 місяців тому +2

    Daaah inakumbusha Niko tarasa la 4 Niko na kidem nakupenda naogopa kukiambia

  • @kennedyochieng7935
    @kennedyochieng7935 3 роки тому +2

    Pumuzika salama dada kipenzi chetu, tulikupenda lakini mola kakupenda zaidi.innah! laillah! laillah! rajuhn.

  • @jj24kith28
    @jj24kith28 Рік тому +4

    RIP masongange......its sad to die that young...

  • @tahiyaally9499
    @tahiyaally9499 7 років тому +14

    06/07/2017 stil listening to this song......much love for u belle9♡♥♡

  • @franckmgogosi5969
    @franckmgogosi5969 6 років тому

    Agness hakika mungu alikuleta kwasababu duniani na umeondoka mbali na masogange. Tuta kukumbuka daima.

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 6 років тому +84

    inalilah waina lilahi lajiun mola ailae roho ya malehem mahala pema peponi

  • @erickricky3873
    @erickricky3873 5 років тому +12

    So emotional song cant stop playing it RIP to the lost soul

  • @rispaandoli2358
    @rispaandoli2358 2 роки тому +9

    This song is fresh in my heart though its been years

  • @glomaentertainers6734
    @glomaentertainers6734 Рік тому +7

    My classmate, Dennis Marwa,Taranganya boys sang this song to my girlfriend and that's how I lost a love 💔

    • @Nyamataga22
      @Nyamataga22 Рік тому

      😂😂when was that I was there 2008-2011 ikerege ndo hom

    • @Pira-gm4gr
      @Pira-gm4gr 10 місяців тому

      Sorry😂😂

  • @jumasingano4334
    @jumasingano4334 2 роки тому +1

    Yes!!ilipamba vilivyo sema now umepotea mkali katika game.

  • @veronicakawawa7057
    @veronicakawawa7057 6 років тому +21

    daaah kumbe tokea zamani ana wowowo lilikuwepo eti... rest in peace mama

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 років тому +3

    Dah naskiza hii nyimbo huku machozi yanitoka, yani inanihuzunisha kweli, R.I.P agness masogange always tutakukumbuka dada.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 роки тому

    Mungu alilaze hilo tako la masogange mahali pema...halitatokea tako kma hilo..

  • @aishaabdulaziz4657
    @aishaabdulaziz4657 10 місяців тому +1

    Omg!I can't believe m still here...2023❤🎉Funzo kwa wanadada wadogo

  • @Maziwamakuu
    @Maziwamakuu 5 років тому +4

    2019 still watching ! The song brings a lot of memories from Kigoma TZ

  • @jamesmaring9768
    @jamesmaring9768 8 років тому +25

    Belle 9 my favorite. Man when I start making it, he will be the first artist I would like to work with. Ubarikiwe ndugu, you got them vocals man. U might not have the connection but u are still the best in TZ.

    • @hassanially7357
      @hassanially7357 7 років тому +2

      James Maring namkumbuka bele9 shoo yake ya kwanza ilikua uzinduzi jengo LA Air tel

    • @husenboy6963
      @husenboy6963 6 років тому +1

      James Maring kweli mungu anamakusud yake

    • @ReekJay
      @ReekJay 4 роки тому +1

      Kweli kbs

    • @shukuruemil2533
      @shukuruemil2533 3 роки тому +1

      Minakupendaka Sana niko mkongomani jikaze nitakuonaa te?'rafiiki

  • @willfredkweka9822
    @willfredkweka9822 6 років тому

    Ulikua poa sana huu wimbo bahna daaah mungu ampumzishe kwa amani masogange

  • @hatibumussa2119
    @hatibumussa2119 6 років тому

    pole bele9 sote njia moja nalia sana nikisikiliza hii ngoma ...tusijisahau mungu yupo

  • @austinemadzo650
    @austinemadzo650 Рік тому +4

    What a hit song.. 2023 still in it

  • @omaryswalehe1225
    @omaryswalehe1225 2 роки тому +5

    One of my favorites songs

  • @TitusSarkai-hg5uk
    @TitusSarkai-hg5uk 3 місяці тому +1

    Belle 9 love live forever ❤❤❤❤ God bless you

  • @sizonitvtz1028
    @sizonitvtz1028 6 років тому

    maisha ni safari ndefu daah msiba wa Dada etu masogange kumenifanya niludi kutazama huu. wimbo tunakuombea mungu akuepushe Na adhabu ya moto ni huzuni imetutawala dada yetu pumzika kww amani R.I.P

  • @martinsiameto3734
    @martinsiameto3734 4 роки тому +4

    This songs takes me sooo many years back... surprisingly I recall the lyrics.

  • @annemutuku4135
    @annemutuku4135 5 років тому +3

    All tym favourite song....inanikumbusha mbali...shine on your way Agnes

  • @shilarida3646
    @shilarida3646 4 роки тому +1

    tanzania ndugu zetu yaani Maulana aliwaumba mtunge wimbo na sisi wakenya tuzisikize. wimbo nzuri

  • @mafinamaizez2514
    @mafinamaizez2514 6 років тому +1

    Mungu akurehemu mommy nimekujua kutokana na hii nyimbo

  • @cesyrashid2822
    @cesyrashid2822 6 років тому +63

    masogange ndio hvy umetutoroka kimy kmy my

    • @jenfan8781
      @jenfan8781 4 роки тому

      Cesy Rashid Nataman kulia mim nan aje kunibembeleza jaman

    • @nakombogo4859
      @nakombogo4859 4 роки тому

      Cesy Rashid nishida masogange daaah

  • @elibarikimollel1180
    @elibarikimollel1180 6 років тому +5

    This song has got you and will never let your name vanish

  • @josephjohn6775
    @josephjohn6775 6 років тому +1

    R. I. P Masogange Mungu Hailaze Roho Yako Mahali Pema pepon Dunian 2napita Nas twaja Nyuma yako

  • @nalajarajabu2762
    @nalajarajabu2762 5 років тому +1

    Kuna vitu navikumbuka sana nikiwa naskilza huu wimbo ,, unanihuzunisha na kunirudisha utoton...now 2019 ,,kaz nzur

  • @gracemwakatika773
    @gracemwakatika773 6 років тому +5

    umenifanya niiangalie tena hii ngoma Agnes jaman R. I. P Masogange Mavumbini tutarudi

  • @ezekiafilbert4896
    @ezekiafilbert4896 6 років тому +25

    wimbo wang kila wakat 2018 bdo nipo nao duh belle 9 tixhaaa xn

  • @ramadhankimbeiye8293
    @ramadhankimbeiye8293 6 років тому

    Kumbe huyu ndiye Masogangeee! Mungu amuweke mahala apatakako!!!

  • @kilianikilimo8450
    @kilianikilimo8450 4 роки тому

    Hakuna videoqueen nilikuwa namkubari na anashep na mvuto kama masogange mungu amlazepema peponi amiina.

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 роки тому +3

    Hii Ngoma ilikuwaga Kali sana na nilikuwa nakubali vibaya sana

  • @monachijames5813
    @monachijames5813 8 років тому +8

    I love this guy, belle 9 keep it up man.

  • @vincecolla9094
    @vincecolla9094 2 роки тому +1

    this jamz inanikumbusha mbali..KCO massive hapo finlays

  • @chepngetichwinnie9706
    @chepngetichwinnie9706 6 років тому

    lala salama Aggy... mungu kakupenda zaidi....shine shine shine shine😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @citizenlive3468
    @citizenlive3468 4 роки тому +3

    R. I. P masogage nakuaminia ulitesa mrembo, tutakutana njia yetu sote.

  • @aljimmykabumbabinazam9904
    @aljimmykabumbabinazam9904 3 роки тому +3

    Kama hiii wimbo ime kugusa katika hiii mwaka ya 2021 gonga like ili tu songe mbele

  • @ginakitosi2786
    @ginakitosi2786 6 років тому +1

    Tuzidi kumuombea Mwenyenzi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburii

  • @mohameddysabuni
    @mohameddysabuni 6 років тому +1

    Duuuu belle9 yakupaswa hii singo iludiwe yaan namanisha mix iwepo kwa ajili ya dadatu masogange,kama kwer unampenda fanya singo ya kumuenzi masogange broo