Intro: Fid Q Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah! Aaa...anayevutia... Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah! Uuu....utamfurahia.... Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Verse 1: Daz Baba Nimekaa chini mtu mzima nikafikiria Warembo wengi sana kwenye hii dunia Mi umbo namba nane kichwani akan'jia, toka moyoni sina budi kumsifia Mwenye sura matata, macho yanayoita Ana utata huyu binti wa ki-afrika, hata mcheki alivyo umbika' ana bebeka kama gita Akitembea' bado ana tingisha, pendeza kimavazi, hata akiweka pozi Mtoto anaweza akakutia "hard" kwenye njozi Sijui niseme akae, au niseme asimame Lile umbo namba nanе watu wote mumuone... Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasеma' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Verse 2: Fid Q Anauliza kama nina demu, namwambia, sina! Anahisi ashaniona sehemu, tatizo kanisahau jina Unaitwa nani?: Fid Q Unaishi wapi?: Ghetto Kazi yako ni ipi?: Muziki, (Ausio) Mdomo una kuwa mzito, niongee kipi cha maana Ki vipi nimkazie jicho wakati binti kasimama Au nijikombee maujiko, Fid sitaki kujuana (?) Bangi Usinizingue ki hivyo, mi simuachi huyu kimwana Anaonyesha' hana maringo lakini ashawahi kupima Asha nzimika kimtindo, mchizi kipingamizi sina Yupo shkopa, yupo shalo, tina tina, yupo full' (Oi!) Kama wasemavyo watu wazima Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Verse 3: Daz Baba (?) anapokaa' mimi napajua, najua kumfata wala haitonisumbua Kama ananipenda kweli, nami nampenda pia Ndio maana mpaka sasa bado na muimbia Mi umbo namba nane ananichanganya, embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana-na Ukiwa nae watu watababaika, na macho kuona wakimuona watamfuata Hakika una sifa' zote, popote' alipo utataka we uende, umfuate, umvishe pete... Yeye... Eeh... Chorus: Daz Baba Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama... Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Dah, daz nimemuna mitaa ya tabata yupo tungi sana. Rasta mpaka mgongoni. Dah jamaa sijui anafeli wapi? Ukisikiliza mziki wake na jinsi alivyo kwa sasa huwezi kuamini. Dah yaani.
Walokuja 2024 kuchek hii ngoma ngonga lik moja
tulio kuja tena 2024 tujuane gonga like hapa
Tupooo
Tupo
Jamaa Daz baba kwa madini ulikua balaa😂😂😂❤, kuna bado unaskiza hii nyimbo 20/11/2023 gonga like
Imenikumbusha mbali sana tukigrow life ilikua simple watu wengi bado walikua hai .. wabongo mumetuinspire sana sisi watu wa Mombasa Kenya
January 2020 waliopo na zilipendwa za enzi zetu gonga like
Aaah pamoj sana
Umbo namba nane ilikuwa 🔥🔥🔥 enzi hizo mpaka leo naiskiza 4/4/2024 like hapa
2019 nipo ughaibuni lkn bado nachek kitu cha home zaman raha sana wallah gonga like tuwe pamoja 2019
Hataree..
Nami niko mbli sana.. yan sana from tz lkn limenijia tu akln.. ahh
Wahenga tuko apa 2020, fanya kama unalike twende sawa
Noma sana hili ngoma July 2024 tupo nayo na tunatamba nayo
I have been looking for this banger since my O level, now I find it when am 34 years of age🔥🔥
Ungeniuliza tu
Back to the Memories... UMBO NAMBA 8 Was So Hot 🔥🔥 And Now 2024 Still is on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #DazMwalimu 💪💪💪💪💪
Iyangalieni vizur tunasubir majinu yupi
2019...bado mnatisha wazee sijui mko wap dah
Natowa machozi
Wangapi mnapata ka feeling ka ustista duu ikiwa saizi tu wamama tayari? Hii nyimbo yangu pendwa miaka 1000 🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana yaan ad mshikaj kauliza unacheka nn we fala
😂😂wtf are you saying lady
Enzi zetu tume enjoy saaaaana❤🎉, siyo ivyo vimazombi vyenu vya chibu
Hizi ngoma zimekuwa na laza yak tofauti sana hiz za leo laaa
Kipindi hicho nilikua kabinti nachipukia nilikua no8 kweli nyie nilisumbua mtaa,mungu awatunze
2023 na bado nyimbo hizi zinaburudisha kinoma.. bongo mziki mzuri umepotea, Bongo flava ishapotea kati ndo origin yetu
Ngoma unanikumbusha mbal sana hii
Enzi za jumba la zahabu😢dah maisha yanaenda kasi sana
Sinta ,basupa
from 254 more love...hii ngoma ilkua dope sana dem days
Nani anadikiliza 2024 bonge la nyimbo 🎉🎉🎉
Hawa mamoryo walikua sawa daah
From Burundi ngoma zamanaa
RIP
Mchizi Wangu YOHANA Ulikuwa unaipenda sana hii ngomaa🙏
Rip
Jaman hawa watuu. Waloeimbaa qakooo wap hakiii hiii nyimboo naipendaa
One of the big hit those days,today and tomorrow good music is always there.
MAJANI, WALKING LIVING LEGEND, Hii beat kali mnooo, ani real BONGO FLEVA.🎉🎉🎉🇹🇿🌍🙌❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Mzee Kasemani hiii nyimbo uliipenda saana bamdogo💪
2020 March kama unasikilza ngoma kali bongo flaver zilipendwa twende pamoja
Nawakumbuka sana wanangu wa 2005 Erick ,chavino&Festo 🤪masela wakipind hicho
inauma sana
Nipe like ya fid q 🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa wasanii wa zaman hakuna kama daz baba
One of my favorite songs.... 2020 still here.
Zaman ndo zilikuwa nyimbo ila saiv ni vituko tu et Madoro tumeloweka maji.. 2021 naitazama hii
Gonga like kama umemuona Daz baba kwenye nyimbo hii 😀😁☝✌
🔥🔥🔥niziki yazama mikali mno 🔥🔥🔥
Who’s here 2024/3❤❤❤🎉
Daaaaah...ndo ngoma zenye hisia kalii
Siwezi sahau,nakumbukagambalisana,daahh!!!,nataman ungelikuwaunaendeleaa
This is a classic 2nd August 2023🔥🇰🇪🇦🇺
Intro: Fid Q
Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi
Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah!
Aaa...anayevutia...
Lina nichanganya umbo lake, nikimpata simuachi
Lina nifanya nimfate, akinimwaga ita ni-touch Ah!
Uuu....utamfurahia....
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Verse 1: Daz Baba
Nimekaa chini mtu mzima nikafikiria
Warembo wengi sana kwenye hii dunia
Mi umbo namba nane kichwani akan'jia, toka moyoni sina budi kumsifia
Mwenye sura matata, macho yanayoita
Ana utata huyu binti wa ki-afrika, hata mcheki alivyo umbika' ana bebeka kama gita
Akitembea' bado ana tingisha, pendeza kimavazi, hata akiweka pozi
Mtoto anaweza akakutia "hard" kwenye njozi
Sijui niseme akae, au niseme asimame
Lile umbo namba nanе watu wote mumuone...
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasеma' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Verse 2: Fid Q
Anauliza kama nina demu, namwambia, sina!
Anahisi ashaniona sehemu, tatizo kanisahau jina
Unaitwa nani?: Fid Q
Unaishi wapi?: Ghetto
Kazi yako ni ipi?: Muziki, (Ausio)
Mdomo una kuwa mzito, niongee kipi cha maana
Ki vipi nimkazie jicho wakati binti kasimama
Au nijikombee maujiko, Fid sitaki kujuana
(?) Bangi Usinizingue ki hivyo, mi simuachi huyu kimwana
Anaonyesha' hana maringo lakini ashawahi kupima
Asha nzimika kimtindo, mchizi kipingamizi sina
Yupo shkopa, yupo shalo, tina tina, yupo full' (Oi!)
Kama wasemavyo watu wazima
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Verse 3: Daz Baba
(?) anapokaa' mimi napajua, najua kumfata wala haitonisumbua
Kama ananipenda kweli, nami nampenda pia
Ndio maana mpaka sasa bado na muimbia
Mi umbo namba nane ananichanganya, embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana-na
Ukiwa nae watu watababaika, na macho kuona wakimuona watamfuata
Hakika una sifa' zote, popote' alipo utataka we uende, umfuate, umvishe pete... Yeye...
Eeh...
Chorus: Daz Baba
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Au apige hilo gita Majani' kama Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
Mi umbo namba nane ana nichanganya, toka moyoni nasema' nampenda sana
Embu piga hilo gita Majani' zaidi ya Santana, ili na mimi nimuimbie mama...
❤Thank you
Ww noma
❤ mi hapo Kwa Did Q👏🙌
@@maureenwanjiru3462 You’re welcome Maureen babes!
@@salimrizikijaji1281 Cheers bruv
Kweli chazamani nidhahabu hii ngoma naipenda hadi Leo kazi nzuri daz mwalimu
songea iyo kulikua kuna kiwanja knaitwa buhemba club atar sana
Respect
Dah, daz nimemuna mitaa ya tabata yupo tungi sana. Rasta mpaka mgongoni. Dah jamaa sijui anafeli wapi? Ukisikiliza mziki wake na jinsi alivyo kwa sasa huwezi kuamini. Dah yaani.
Duuh hawa watu wangesaidiwa, walikuza muziki wetu
2019...ilikuwagapoa
Daah huku nimeletwa na Domo kaya 😢😢😢😢
2019 bado natafuta namba nane 😂😂
Kitambo Sana aisee maisha haya jaman🎉🎉🎉🎉
2020 bado namba nane ipo kabisa 👊👊
Like hapa kama umemuona majani akipiga gitaaa❤
Cha zamani dhahabu,acha tutembee nazo. 2019.............2099
Kabisa
ni kweli
🎉🎉🎉bro pokea MAUA YAKO tungali HAI....hili dude ni forever living linatibu ngiri na u.t.i sugu
Jamani hii ngoma mpk leo ipo kwenye damu yangu
Shikamoooo producer P Funky Majani
Umenikumbusha mbali mzeeh
Kwani hii nyimbo niya mwaka gani
March 9, 2024..Saturday at 11:51pm ..I am still listening to these songs
Namona farid qubanda hapo ametisha sana king of hiphop
Duh Ili goma 2022 bado linadumu walahi nawapa eko kwao
Ngoma za p funk tamu sana akipiga lazima itrendi
Arguably one of the best
Nyinye 😋😋😋😋jamani uwiii 🔨still hot 🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah hizo old songs ukizopiga kweny mixing tape hallo ziko hot ile noooma
this was back my primary school,
Skuu hziii tunaikbiwaaa utopolo oooh Hawaii watuuu sjuiiii wako apiii jaamaniii dhaaa tunaimbiwaa sjuii kutongozzaa sjuii nn doooh
Alinichanganya hadi leo nampenda..
Jamaa alikuwa anajua sana
2021 gonga like twende sawa
Still one of the best tracks
Mwanamalundi Fid q🔥🔥🔥
Kama na ww unaangalia hii ngoma kama mm like hapa
2021 bado ipo juu zaidi top ten yng
Memory bring back
2019 #Ngoma bado na ukali wake ulele! Kweli Mziki ulikua zaman!
Kuna wapumbavu Leo Wanamtukana P.funk majani na Mkumdharau Dah Majani Aheshimiewe katika Hii tasnia kafanya makubwa san
Fidq majibu yako tu noma
Unaitwa nani?
Fid g
Unishi wapi?
Geto
Kazi yako nini?
Mziki
Still love this song 😍😍😍😍
Daaah kitambo ilosongii halafu bonge la ngomaa big up Daz and mkushi fidq
2021 tupo bado wanagu 👊👊
Mliokuja hapa baada ya interview ya EATV tujuane😅
Old school bongo flavo hao wasanii walikuwa na kipawa ya kuandikaa muziki
Kutoka Kenya hapa, yanirudisha primary school 😅
Ngoma bado ipo kwenye ramani sana 2021
❤❤❤❤❤❤❤❤ bongo flave ni top
It hits 2022💃🕺 number nane wenyewe nko hapaa
2020; wasanii wako poa lakin. ...et nyota! Nan kasema kazi ndagu tu za kizazi kipya.big up bro
wanaokubari pini za kipindi kile gonga like zenu twende pamoja pig up sana mziki ulikuwa wa kipindi kile sasa hv kelele tyu
Good music never gets old.......2024
Duuh yakale hayanuki 2019 December
February 2020 Ngoma inanikumbusha saana enzi hizo ila nimewakumbuka saana dazz Baba uko wapi🤔🤔
Lkn kwenye hii video hakuna dem mwenye Namba nane wote Ni 1 tu
Am here 2018
Jamani nyimbo za zamani zilikuwa🔥🔥 hivi wako wapi jamani Daz baba fid q we miss you guys
Kizazi sana
Still my best song 2022 watching
Tuko pamoja
Kali sana mzee .daz baba
Duuuuh fid q alikuwa mgumu Kama comando kipensi
Wahenga tuko apa 2021
unaitwa nani,kazi mziiiki apo ndio ilinipa rahaa
2021🙋🏽♀️
2021 jamani hili song halitoki lichwan
This was real music