Rest in power Marco,and may God comfort the family of Marco and his innocent Children's also his friends and all zabron singers.... God will guide you always.
Dada enjoy pole kpenz changu ni ngumu kulipokea na kuzoea maan ss pia tuna maumivu ila ww ni zaidi umekuwa mjane mapema Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu kipindi hiki kigumu😢😭🤲🙏🏻
Sijapenda ao jamaa wanavyowavuta vuta wafiwa .waacheni watu waage mwili kwa kurelax bhana hapo ndipo wanaonana kwa mara ya mwisho tena kwa maisha ya duniani sasa nyie mnawakimbiza kimbiza kama unamkumbiza farasi sijapenda😢😢
Poleni wanafamilia kwa kupoteza mpendwa wenu mungu awafariji na awatie nguvu kwa kipindi iki kigumu mlicho nacho Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi raha ya milele ampe ebwana na mwanga wa milele amwangazie apumzike kwa amani
Kwakweli ndugu zetu na wafiwa na wale wote walioguswa na msiba huu wa mpendwa wetu na mwiinjishaji wa bwana, mungu awe nanyi kwakipindi hiki kigumu cha majonzi, nawaombea mungu awape nguvu, na faraja. Kwetu sisi yatuuma kw kuondokewa na marko, lakini nyinyi kifo cha ndugu yetu marko kimewagusa zaidi. Mungu awape nguvu tu wapendwa.
Poleni sana kwa wana Zabron family! Hii ni habari isio nzuli, ila Mungu awatie nguvu kwani wote wapendwa tutawakuta tena kwetu mbinguni. Pole sana tena
😢😢😢 heart broken 💔 to his wife ,kids and his family and friends. It is painful 💔 to lose your beloved one,so young .May condolences. May the Lord comfort his wife and family.
😭 A painful moment. May our Jehova give the family peace. Only him who can fill the gap. I lost my mum last year. It's never an easy thing, but God works it out in ways no one can tell. May you find strength in the Lord. Fare thee well Marcos
Poleni sana wote kwa kuondokewa na mpendwa wetu, tulimpenda Ila Mungu kampenda zaidi ipo siku tutaonana tena pumzika kwa amani kaka Maiko tutakukumbuka kwa mengi mema.
Poleni sana wana Zabron singers more so his wife may you take heart I know its painful but God gives life and take it back May His Soul Rest in Eternal Peace
Pole sanaa mke wa Marehem Mungu akutie nguvu takika kipindi hiki kigumu unachopitia na akupe nguvu na ujasiri katika kulea watoto mtumaini Mungu katika kila hatua
Mungu akutie ngumu dadangu be strong dear na mambo hawa hawataki watu wakaribie mwili waone ndugu yao siku ya mwisho 😭😭😭😭😭😭😭 Mungu akulaze mahali pema kaka
Raha ya mlele umupee eeh bwana na mwanga wa mlele umuangaziee amina🙏 eeeeh munguu ulijua hilii kabra yetu sisi munguu mtiee nguvuu mke wa marehem, uwatie nguvuu watoto wakeee, uwatie nguvuu nduguu jamaa na marafikii popote walipo amina🙏🙏🙏🙏
Mungu tu awe faraja kwenu wapendwa wangu katika bwana najua mnachopitiaa 😩😩😩tuko pamojaa mi adi nazima simu naona km mitandao inasema uongo nikirudi nakuta mambo yanaendeleaaa😩😩😩I don’t know how to explain but let him rest in peace sisi tunapanga Mungu anapangua na yote ni mema kwake hakuna baya maana amesema anatuwazia yaliyomema kutuma tumaini siku zetu za mwisho.So let us believe Marcos is save na km ni kulia mtu alie tuu coz usipolia nayo ni tatizo lia lkn jua bado safari hujamaliza marcos kamaliza we utamalizajee?mke wake namshauri sana ajue ameachiwa mahandsome wanzurii jmn kuna anayewatamani hivyo aliyee tuu lkn akiwatazama wale amwone marcos na afute machozi🙏🏼
Sikia tu kwa mwingine unaweza ukaona ni maumivu lakini likiwa kwako maumivu yake ni zaidi ya hapo , ee Mungu tunaomba uturehemu , tujaze nguvu hata tunaobakia ili ikifika ukawe mfariji wetu, mbariki na mtie nguvu mama mjane na familia kwa ujumla.... Amen!.
Acheni watu wamuage Marco, umati mmeuona mngeanza kutoa mwili ulale nje muda wote anafika aupitie mwili ubagert muda, watu ni wwengi kutokana na ratiba inabana kukamata mtu na kutoa kwaa jeneza si sawa Marco ni wetu sote
Pole San mwanamke mwezetu mungu akutie nguvu😭😭😭
Asante kwa kutazama video hii.
Mungu amtunze yeye Na watoto wake asiwapungukie
mungu akupe kheli mdogo wangu jipe moyo utavuka salama
Pole mpz
Mungu akupe wepes
Pole mummy Mungu akutie nguvu kwa wakati huu mgumu inauma sana acha Mungu ailaze roho yake mahala pema 😢😢😢😢
Faraja ya kweli inatoka kwa bwana yesu Mungu akawe mfariji kwa familia yote na wapendwa wote vita umeipiga iman umeilinda pumzika kwa aman marcos.
Asante kwa kutazama video hii.
So disrespectful!kaka hata hawapi nafasi wautazame mwili🙆
Uyu anae wasogeza wafiwa sijapenda namna anavyowavuta
Asante kwa kutazama video hii
Yani anakihelehele utasema anataka kuila hiyo maiti
Natamani nayy siku moja asogezwe kijinga hivo
yaani kumbe na ww umeonaaa
Yaaani hadi mimi ananiudhi jamani awaache wafiwa waage mpendwa wao vizuri
Pole sana mwanamke mwezetu,, let God bless you and give you a power to protect family ♥️
Mungu pekee ajuaye kufariji awe faraja kwenu familia nzima ya Marco poleni Zabron singers
Rest in power Marco,and may God comfort the family of Marco and his innocent Children's also his friends and all zabron singers.... God will guide you always.
Poleni family ya zabron singers Mungu awape faraja kwa msiba huu,
Huyo jamaa anafukuza watu,kuwa na tabia, Marco alikuwa mtu wa watu, kama wewe umefurahi vile ametuacha,jitoe hapo, RIP Marco
Sio vzr vill anawavuta kabisa sijapenda
Pia mm nashangaa mbna anatoa watu ivo
Amekera mno! I hope ataona hii comment ajifunze in the future
@@agneskighenda3795people are supposed to view the body and pay the last respect. He is doing something wrong.
Ni kwasababu wanataka kuabudu mwili wa marehemu.
Dada enjoy pole kpenz changu ni ngumu kulipokea na kuzoea maan ss pia tuna maumivu ila ww ni zaidi umekuwa mjane mapema Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu kipindi hiki kigumu😢😭🤲🙏🏻
Asante kwa kutazama video hii.
Polen family ya bwana Joseph zabron Mungu awe mfariji wenu kipind hiki kigumu tulimpenda sanaa Marco lakn kazi ya Mungu Haina makosa amependa zaidi
Hawa nao wanawashika watu si wawaache wa age kwa aman jaman
Asante kwa kutazama video hii.
😂unakaa mkenya 😅
Ni km hataki waage
Pengine wanaenda na wakati.
Sipend wanavyowatoa haraka Kama vita
Poleni saana Mungu awe faraja kwenu katika kipindi hiki kigum inauma ila tunawaombea msifunjike moyo
Asante kwa kutazama video hii.
Duniani tunapita tuishini kwa upendo,yeye amemaliza safari yake bado sisi,Mungu tujalie mwisho mwema,na watie nguvu wanafamilia
Allah akujaliee pepo,,
Nasie tulobaki yarabb tujaliee Mwisho ulo mwemaa🤲🏽 Amiiin
Amina🙏
Pole sanaaa dada angu kipenzi mungu akutie nguv
Asante kwa kutazama video hii.
am watching from kenya this death chocked me ,,,,,,, i know marco only in singing , but imeniuma sana mama pole take heart dear mama
Mungu watie nguvu wafiwa wote mama na watoto wake daah😢😢😢😢ila ao walinzi.sijapenda
Asante kwa kutazama video hii.
Kweli walinzi wanakera
Hawa walinzi sijui wapoje aisee hawana utu kabisa
Kweli mbona awataki watu waone siku ya mwisho warithike
Walinzi Wapo Sahihi, Ni Kawaida Tu.
Poleni sana familia ya marco,MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu,inauma sana😭😭
Sijapenda ao jamaa wanavyowavuta vuta wafiwa .waacheni watu waage mwili kwa kurelax bhana hapo ndipo wanaonana kwa mara ya mwisho tena kwa maisha ya duniani sasa nyie mnawakimbiza kimbiza kama unamkumbiza farasi sijapenda😢😢
Assnte kwa kutazama video hii.
Imagine sio poa kuvuruta mtu hivyo.
Yani yanaboa Sasa unamvitaje mtu anaaga jmn
Yaani kanikera mbaya, mtu hajamaliza hata ishara ya msalaba kumwombea ndugu yake, 😭 kashavutwa !
Mshamba tu
Poleni wanafamilia kwa kupoteza mpendwa wenu mungu awafariji na awatie nguvu kwa kipindi iki kigumu mlicho nacho Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi raha ya milele ampe ebwana na mwanga wa milele amwangazie apumzike kwa amani
Poleni familia jamanii inauma sana pumzika kwa amani marco
Asante kwa kutazama video hii.
Kwakweli ndugu zetu na wafiwa na wale wote walioguswa na msiba huu wa mpendwa wetu na mwiinjishaji wa bwana, mungu awe nanyi kwakipindi hiki kigumu cha majonzi, nawaombea mungu awape nguvu, na faraja. Kwetu sisi yatuuma kw kuondokewa na marko, lakini nyinyi kifo cha ndugu yetu marko kimewagusa zaidi. Mungu awape nguvu tu wapendwa.
Assnte kwa kutazama video hii.
Kwann wanawapeleka mputa mputa waagaji jamani kama sio mtu wao😭😭😭😭😭
Daah! Ee mungu wa mbinguni mpe nguvu huyu mjane , kweli inauma
Asante kwa kutazama video hii.
Poleni sana ,pole mwanamke mwenzetu
Asante kwa kutazama video hii.
Poleni sana kwa wana Zabron family!
Hii ni habari isio nzuli, ila Mungu awatie nguvu kwani wote wapendwa tutawakuta tena kwetu mbinguni.
Pole sana tena
Mungu awatie nguvu familia ya Marcos and zabron singers
Asante kwa kutazama video hii.
Am wondering kwany watazikwa na yeye..
Pole mke wa Marehemu Mungu akupe nguvu na ujasiri
Ako na madharau
Especially japheph he cried bitterly 😢😢
Poleni sana kwa watoto na familia yote ya zabron singers 😢😢 Mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
Asante kwa kutazama video hii.
Mwenyezi Mungu akulaze mahali pema peponi kaka yetu.
Mungu awape faraja wanafamilia wote.
mungu awatie nguvu zabron na mke roho wa bwana awe faraja kweny kipnd hiki kigumu
Asante kwa kutazama video hii
😢😢😢 heart broken 💔 to his wife ,kids and his family and friends. It is painful 💔 to lose your beloved one,so young .May condolences. May the Lord comfort his wife and family.
Poleni wafiwa mungu hawatie nguvu. Ila wasanii wa miziki ya dunia waache ubaguzi
Asante kwa kutazama video hii.
😭 A painful moment. May our Jehova give the family peace. Only him who can fill the gap. I lost my mum last year. It's never an easy thing, but God works it out in ways no one can tell.
May you find strength in the Lord.
Fare thee well Marcos
Poleni sana wote kwa kuondokewa na mpendwa wetu, tulimpenda Ila Mungu kampenda zaidi ipo siku tutaonana tena pumzika kwa amani kaka Maiko tutakukumbuka kwa mengi mema.
Poleni sana Wana familia na zabron singer's na Tanzania yote kwa kumpoteza mpendwa wenu.
U mbele yetu ss Marko tuko Nyuma yako.Vita umemaliza Mungu Akupe Pumziko la Amani. Amina
Dahh poleni sana Wana familia Mungu awe faraja kuu kwenu ni kipindi kigumu sana mmepitia ila Mungu atawatia nguvu
Poleni sana Mungu awafariji wana zabron singers
Assnte kwa kutazama video hii.
Poleni sana family 😢. Mjane .there's time for everything 😢Rip Marco.. umevipika vita vixuri 😢
Polen sana ndugu wa malehem na wat wotee wa kalib na Marco mungu awatie nguvu
May God comfort Marco's family and friends... This is a huge loss I'm feeling a lot of pain for sure
Fare thee well Marco. Till we meet again. You have been such a blessing
Hao bodyguard nini haswaaa khaaaaa
Dah.. Mungu atupe mwisho mwema. Pole familia kwa ujumla.Mungu awatie nguvu
Oh! Poleni sana wana familia na ndugu kwa ujumla Mungu wa mbinguni awe mfariji mkuu kwa kila mmoja tumeumia zaidi kumpoteza rafiki yetu 😭😭😭
Yaan anavyowakwapua kaa ugomvii😂😂😂😂
Ufunuo 21:4.pole Sana wandugu katika Imani .wa congomani tunaliya pamoja nanyi.Mungu abaki karibu nanyi kwa kuwafariji.
Assnte kwa kutazama video hii.
😭😭😭 inaumiza sana. Pole dada Kwa kuondokewa na mumeo M/mungu akawe mfariji wa maisha ako. 🙏
Poleni sana wapendwa mungu akawe mfariji wenu kwa kipindi hichi kigumu😭😭😭😭
Assnte kwa kutazama video hii.
Poleni sana aki so painful😭😭😭
Pole saana , Angel na familia Kwa ujumla mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pole Sana dada,Mwenyez Mungu akuite nguvu katika gumu hili unalopitia
Asante kwa kutazama video hii.
Heeee hakuna siku ngumu maishani kama kuachana na mtu ulienda mpenda! Hee yesu weee kifo kifo kifo kifooooooo 😭😭 Marco Marco ama kwakweli 😭😭
Poleni sana wana Zabron singers more so his wife may you take heart I know its painful but God gives life and take it back May His Soul Rest in Eternal Peace
Pole sanaa mke wa Marehem Mungu akutie nguvu takika kipindi hiki kigumu unachopitia na akupe nguvu na ujasiri katika kulea watoto mtumaini Mungu katika kila hatua
Pole sana kwa family ndugu mke na watoto bwana ametoa na bwana ametwaa jina Lake lihimidiwe amevipiga vita vingi na mwendo ameumaliza😭😭😭😭lala shujaa
Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzetu😭
Asante kwa kutazama video hii.
Pole sana kwa hii familia Mungu mwenyewe awe tu mfariji wenu wa karibu aki ni uchungu lakini inatulazimisha kukubali mipango ya Mungu.
Mungu awafariji wote maana yeye ni mfariji wa kweli❤❤
Assnte kwa kutazama video hii.
Watu wanaomboleza kifo cha ndugu yao alafu we unawavuta kama Wezi Hivi watu wengine wanakuwaga na akili za namna gani hizi 😢😢😢😢😢😢
yaan sijamuelewa kabisa mtu anaaga wanamvuta duh
Faraja hutoka kwa Mungu May God give this family strength
Mungu akawafiliji wanafamilia wote na ndugu jamaa na marafiki nakundi zima la zabron Mungu awape nguvu yakuendelea mbele na kazi yake ya kumtumikia
Dah! Mke wake jaman
Uwiii Mungu wa mbinguni ninakuomba ukamfariji huyu mama peke yake hawezi🙌🏼🙌🏼
Inaumiza sana jamani Eeee Mungu awatie nguvu familia yote kwa ujumla
Assnte kwa kutazama video hii.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, kuweni pole familia pamoja na zablon singers.
Asante kwa kutazama video hii.
May God strengthen their families 😢 rip marco😢
Mungu akutie ngumu dadangu be strong dear na mambo hawa hawataki watu wakaribie mwili waone ndugu yao siku ya mwisho 😭😭😭😭😭😭😭 Mungu akulaze mahali pema kaka
From Kenya poleni sana Wana zabron Mungu ampe nguvu 😭😭😭
Assnte kwa kutazama video hii.
Mungu mwenyezi mwenye neema na upendo akutie nguvu katika kipindihiki kigumu
Ths pain is beyond....may th lord comfort them,rip Marco
Raha ya mlele umupee eeh bwana na mwanga wa mlele umuangaziee amina🙏 eeeeh munguu ulijua hilii kabra yetu sisi munguu mtiee nguvuu mke wa marehem, uwatie nguvuu watoto wakeee, uwatie nguvuu nduguu jamaa na marafikii popote walipo amina🙏🙏🙏🙏
Pole dada 😢😢mungu hatakuacha
Assnte kwa kutazama video hii.
Poleni sana wanafamilia ndg jamaa na marafiki Mungu akawe faraja ktk kipindi hiki kigumu sana
Assnte kwa kutazama video hii.
Mungu amlsze mhali pema pepon kumbuka sik yako ya pumzi yak mwisho itakuwaje omba mungu uwena mwisho mzuri
Poleni sana familia nzima ,mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu hakika inaumiza japo nivigumu kupokea
May God comfort the family and give you strength
Pole sana mwanamke mwezetu kwa kuachwa mjane inauma sana mungu akutie nguvu kwa yeye ni mume wawajane
Poleni kwa familia..huyu nae aache watu wamuone Marco nini anavuta watu
Yan ukijaribu kuvaa viatu vya huyu dada jaman huviwezi kamwe inauma sana pole kipenz mungu akupe faraja
Go well Marco Joseph continue singing with angles 😢🕊
Mungu tu awe faraja kwenu wapendwa wangu katika bwana najua mnachopitiaa 😩😩😩tuko pamojaa mi adi nazima simu naona km mitandao inasema uongo nikirudi nakuta mambo yanaendeleaaa😩😩😩I don’t know how to explain but let him rest in peace sisi tunapanga Mungu anapangua na yote ni mema kwake hakuna baya maana amesema anatuwazia yaliyomema kutuma tumaini siku zetu za mwisho.So let us believe Marcos is save na km ni kulia mtu alie tuu coz usipolia nayo ni tatizo lia lkn jua bado safari hujamaliza marcos kamaliza we utamalizajee?mke wake namshauri sana ajue ameachiwa mahandsome wanzurii jmn kuna anayewatamani hivyo aliyee tuu lkn akiwatazama wale amwone marcos na afute machozi🙏🏼
Sikia tu kwa mwingine unaweza ukaona ni maumivu lakini likiwa kwako maumivu yake ni zaidi ya hapo , ee Mungu tunaomba uturehemu , tujaze nguvu hata tunaobakia ili ikifika ukawe mfariji wetu, mbariki na mtie nguvu mama mjane na familia kwa ujumla.... Amen!.
Huyo kaka mbona anawazuia watu? Wakati marehemu alikuwa kipenzi Cha watu
Acheni watu wamuage Marco, umati mmeuona mngeanza kutoa mwili ulale nje muda wote anafika aupitie mwili ubagert muda, watu ni wwengi kutokana na ratiba inabana kukamata mtu na kutoa kwaa jeneza si sawa Marco ni wetu sote
Assnte kwa kutazama video hii.
Mungu mume wa Jane, baba wa yatima, jamii na marafiki awatie nguvu.
may the Lord rest his departed soul in tranquility and may he grant the family comfort as they go through this sad moments
Huyooo baba ana moyo mbaya hatujapenda kuvuta watu hivyo
Vinauma saana nko kwa machozi nkiuliza Mungu kwa nini umeiruhusu, pumzka Marco Mungu atie nguvu mke na watoto na familia na kanisa kwa jumla
Sasa nn maana ya kuaga mtu anavuta watu Kama vile anaugomvi nao havarti zimfikie asirudie Tena!
My condolences may God give you people strength 😭😭
Pumzika kwaamaani kaka yetu mpendwa mungu akupe pumziko lamilele uwatie nguvu familia mke na watoto amiina
Pole San mke wake,polen San watoto,familia ya zabron singers Mungu awatie nguvu piaa😢😢😢
It's ainful to watch. Dear Almighty strengthen the family and friends
Ni mipango wa Mungu, ukitibiwa Jakaya kikwete ukafa basi ni Mungu alipenda,,,! Ile ndiyo hospital bora kakta ukanda huu
God give the family peace and strength 😢
😢😢😢😢jamani nimejisikia vibaya acha tu kifo hichi daaah😢😢😢😢pumzika kwa amani marco😢😢😢😢
Assnte kwa kutazama video hii.
Kristo akawe faraja kwa hii familia.
Kifo, kifo,kifo!!!
Kifo kinauma jamani😢😢😢😢
Mungu ailaze roho yake mahari pema peponi, familia pole na Zablon singers
Asante kwa kutazama video hii.
😢go well bro we love you from kenya