Ni ya kutoka moyoni hii enyi CCM...au unafiki fulani na kumdhalilisha mtu...pamoja na changamoto zake alizonazo za afya yake? Kwani utaratibu wa Mbowe Mbowe kutumia chopa hauna maelezo na sababu zake? Kwani usafiri anaotumia mwenyekiti wenu CCM ndo unaotumiwa na kila mtu huko? Maridhiano makubwa na upendano wa kweli ingekuwa ni kuacha kutekana, kufunguliana kesi za uongo, kutesana kwa vipigo vya polisi visivyo na sababu, kushirikiana kwa pamoja kujenga mustakabali mwema wa kuendesha nchi kwa kuwa na katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na mihimili imara ya kitaasisi ya kuhakikisha kuna utawala bora...kujenga nchi yenye kufuata HAKI! Haya ya kuchangiana, kusaidiana yataoneka mema zaidi katika mazingira ambapo kila mmoja hamtilii mashaka meingine. Yataonekana ni utani wa kweli na si utani wa kushushiana heshima au kumzodoa mtu. Simba a Yanga hutaniana sana na washabiki wa kweli hununuliana hata vinywaji huku wakitaniana. Lakini wapo katika ushindani wa mpira ambao husimamiwa vizuri na kwa haki na waamuzi...japo kasoro zaweza kuwepo za kibinadamu kwa marefa.
Aibu kwa ccm mnayofanya ila nimewapongeza kwa kuwa mmetabili raisi ajaye imekaa vizuri Sana mtaongeza kufanya hayo akiwa anaelekea Ikulu mtenda haki pamoja na kwamba wanaoendelea kumdhalilisha bila 7bu, Lakini ndivyo ukweli unavyokwenda kutumia maana hata Yesu akiwa amebeba hatima ya Dunia alidhalilishwa kiasi Cha kutemewa mate ndiyo maana tupo hapa leo.Tanzania MUNGU anakwenda kutupatia kiongozi wa kutoka kwake ikiwa mifumo ya kuwapata VIONGOZI haitaingiliwa
Nafikiri mmeona ndani ya ccm Lisu anashangiliwa. Msigwa kawaponza indirectly ndani ya ccm wafuasi kibao wamfuata Lisu, maana ilipo mali yako ndipo roho yako ipo.
Mimi na shangaa sana MTU kashiba kande zake huko anasema yafaa kuigwa kitendo cha CCM kuchangu pesa Kwa ajiri ya Kamanda Lissu wameshidwa kumpa HIKI zake za Ubunge Leo change hivyo visendi hivyo ni unafiki TU
nakuambia hivi washaanza kujitafuna wenyewe ccm ndani kwa ndani we unafikiri kinnana kujiudgulu ni mjinga nape kuwa kando ni mjinga yajayo yanafurahisha
Lissu hanunuliwi wananunuliwa wasio na akili timamu kama hao wakina Tomaso mnaowatumia Kijani Chadema ni chama makini sana nasio vyama vingine kama vyo Watanzania CHADEMA ni kweli tusifanye makosa Tena watu watuchangulie hapana
Lisu hiyo hera ikipokelewa atakuwa amekubali kashfa iliyotolewa na Makara pamoja na Msigwa. Huwezi kuzidiwa ujasiri na Hamisa Mabeto aliyekataa Range ya Harmonise kwa ajiri ya diginity yake. Mimi nafikiri hizo hera zirudishwe na wapewe onyo kali kuwa wakome kbs. The way forward, chama kingefanya top up haraka Lisu akanunuliwa Range mpya ili kukata ngebe. Kujikomboa ni pamoja na kukataa dharau.
Mmh mwaka huu mtasema,Magufuli hayupo
Cccm nashauri. Mchangieni apate urais .Kura zote ,2025 ushindiuwe Kwa lissu😂
Lisu nikushauli hiyo hera chukua umechangiwa na watu wanaokupenda ndani ya CCM na nje ya CCM saaafi
Baba siyo Njia ya kumuvuta ccm
Acheni figisu ccm
chadema wana taget nzuri tulia mwanangu ccm lazima tuiangushe
Ni mtego alafuwametia kashfa@@MWAMPAMBA
Hili shoga nn
Iyo kejeli
Mi namkubali lisu apokee hiiyo hela kunawatu wapo ccm lakini wanampendalisu Kwa moyo kabisa
Uwakika
Sanaaaa tu huyo ni mwanadamu kuna maisha baada ya Uchaguzi nq Siasa binadamu inapaswa mpendane duniani tunapita tu
Hiyo ni njia moja wapo ya kumdhalirisha kwani yeye peke yake ndio ameumizwa?
@@husseinmkanga7794 hela ichukuliwe gari ikatengenezwe mengine ya siasa yataendelea
Ni ya kutoka moyoni hii enyi CCM...au unafiki fulani na kumdhalilisha mtu...pamoja na changamoto zake alizonazo za afya yake? Kwani utaratibu wa Mbowe Mbowe kutumia chopa hauna maelezo na sababu zake? Kwani usafiri anaotumia mwenyekiti wenu CCM ndo unaotumiwa na kila mtu huko?
Maridhiano makubwa na upendano wa kweli ingekuwa ni kuacha kutekana, kufunguliana kesi za uongo, kutesana kwa vipigo vya polisi visivyo na sababu, kushirikiana kwa pamoja kujenga mustakabali mwema wa kuendesha nchi kwa kuwa na katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na mihimili imara ya kitaasisi ya kuhakikisha kuna utawala bora...kujenga nchi yenye kufuata HAKI!
Haya ya kuchangiana, kusaidiana yataoneka mema zaidi katika mazingira ambapo kila mmoja hamtilii mashaka meingine. Yataonekana ni utani wa kweli na si utani wa kushushiana heshima au kumzodoa mtu. Simba a Yanga hutaniana sana na washabiki wa kweli hununuliana hata vinywaji huku wakitaniana. Lakini wapo katika ushindani wa mpira ambao husimamiwa vizuri na kwa haki na waamuzi...japo kasoro zaweza kuwepo za kibinadamu kwa marefa.
Aibu kwa ccm mnayofanya ila nimewapongeza kwa kuwa mmetabili raisi ajaye imekaa vizuri Sana mtaongeza kufanya hayo akiwa anaelekea Ikulu mtenda haki pamoja na kwamba wanaoendelea kumdhalilisha bila 7bu, Lakini ndivyo ukweli unavyokwenda kutumia maana hata Yesu akiwa amebeba hatima ya Dunia alidhalilishwa kiasi Cha kutemewa mate ndiyo maana tupo hapa leo.Tanzania MUNGU anakwenda kutupatia kiongozi wa kutoka kwake ikiwa mifumo ya kuwapata VIONGOZI haitaingiliwa
Nani anaelekea ikulu?
Unaota wew
😊😊😊
Nafikiri mmeona ndani ya ccm Lisu anashangiliwa. Msigwa kawaponza indirectly ndani ya ccm wafuasi kibao wamfuata Lisu, maana ilipo mali yako ndipo roho yako ipo.
msigwa ana fanya kazi nzuri sana
Kazi Gani nzuri mnafiki tu huyo
Si kweli
Lisu yupo kwajil ya wananchi wake na sio kwajil ya chama chadema sisi wote tuko kwajil ya nchi yetu kuikomboa na mafezul🙏
Tundulisu chukuwa hiyo hela
Lisu, Ana busara''' sana'
Arise and sine
Hilo gari mbona mliharibu ninyi wenyewe
Hivi shetani akisema Bwana asifiwe utaitikia Amina au utamkemea
Anaanzaje Mimi nasemaga wachungaji ole wenu😢😢😢
Mheshimiwa Lissu usipokee hiyo fedha
Imewekwa ktika account yake ...
Mungu akubariki sana list kwakukubali mchango
Aina maana
Mchango mtego huo, mchango wenye masimango kiasi hicho hapana.
Mnamchangia lisu alafu mnaponda lissu.
Chama chako ndiyo kilisababisha hayo yote. Ni aibu kuona bado naishi
Hii ni nzuri mno inatakiwa kuigwa wote ni wa Tanzania mmeifundisha jamii ya kitanzania Itikadi zetu zisi tutofautishe Watanzania ❤❤❤❤
Baada ya kuwafunga na kuwapiga
Mama mungu atakulipa Tundu lisu anamchango mkubwa sana ktk nchi yetu ingependeza kama Utojali Mpe gali jipya mungu mungu akulinde sana mama
Wee msigwa mnafiki sana
Dahhh' Msigwaaa siasa ubao
Lisu ukipokea tunakulaani wananchi Haki na batili havikai pamoja
Heee we vip unamlaani kama nani we MUNGU au
Tatizo wameishia la saba karibia wote.
Acheni Mabwege kujipendekeza kwa mh.LISSU
Bwege wewe usiyejua Siasa kafie mbele
Game of mind
Msigwa ni chenga hakika! Mungu amponye
❤
Good🎉
Waishi na Msigwa kwa tahadhali sana vinginevyo watajuta
Kwan nnani alienpiga RISASIIII??
CCM mnajua alichofanyiwa Tunduliso mungu anawaona
Msigwaaaa!!!!!!!!! Sina hamu na wewe maisha yoteeee
Mbona msigwa umekonda sana yangu kutoka ccm
Anenepe kwani anachinjwa?. Saiv ana afya. Unene kawa tembo.
Mimi na shangaa sana MTU kashiba kande zake huko anasema yafaa kuigwa kitendo cha CCM kuchangu pesa Kwa ajiri ya Kamanda Lissu wameshidwa kumpa HIKI zake za Ubunge Leo change hivyo visendi hivyo ni unafiki TU
Afrika bado sana
Mimi ni CCM lakini mheshimiwa Lisu usichukue hizo Pesa ni za kinafiki 😢😢😢
Hakika siasa bhana,Lisu Lisu Lisu
Mlimpiga risasi, leo mnajifanya mnahuruma, Lissu kuwa makini wachonganishi hawa
Hakika
nakuambia hivi washaanza kujitafuna wenyewe ccm ndani kwa ndani we unafikiri kinnana kujiudgulu ni mjinga nape kuwa kando ni mjinga yajayo yanafurahisha
Mbona mi sielewi hii scene
CCM wanafiki sana..Mibaba mizima na ndevu michawa..
Iyo pesa nipeni mimi ntampelekea lisu
Msigwa ndo kaniharibia kuangalia hii chaneli jinga kweli ila makala na nchimbi 👍👍👍👍
Hongera sana ila msigwa ni jipuuu
Mhe Lisu naomba uchukue hiyo hela.wananchi wanakuoenda
Heshima sana chama letu
Lisu kama ni molion tano toka kwa CCM achana nazo mimi pekee naweza kupa hizo
upumbavu tu huo, kweli wanashindwa kuchangia watu mashuleni au watoto yatima hata hospitali, mko kuchangisha za gari
Hii huruma!! Mmmh?
Lissu hanunuliwi wananunuliwa wasio na akili timamu kama hao wakina Tomaso mnaowatumia Kijani Chadema ni chama makini sana nasio vyama vingine kama vyo Watanzania CHADEMA ni kweli tusifanye makosa Tena watu watuchangulie hapana
Ela za kinafiki hizo
CCM NI MIJITU MIJINGA SANA HUO MCHANGO SI WAWAPELEKEE WATU MASIKINI WANAOKOSA HATA MLO MMOJA
Unafungwa macho wanajuana kwakile walichokifa mbea
Lissu ni jeshi, ila ni dhahabu, afu tunatakiwa kumpa nafasi anayostahili, na anamchango mkukwa katika nch hii
Kua ccm ni sawa na kua upande wa ibilisi
BIG BRAIN MUHESHIMIWA ANTIPASSLISSU 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Lisu ni mtanzania hata Mimi nimefurahi achangiwe maana mbowe ni mbinafisi sana
Mmefanya vzr Ila nanyie wabunge mchangieni kuonyeaha kweri mnampenda mbarikiwe sana
Lissu usijalibiwe na vipande vya pesa nakuomba sana lissu usipokee
Lissu ninaye mjua Mimi akipokea hiyo hela huyo sio lissu naapa kwa katiba ya Chadema na kwa uaminifu na misimamo ya lissu.
Hiyo lisu imeenda chezea ccm we
Mm nakushauri lisu pesa usichukue
Lisu usichue pesa za hao mbwa wakubwa
Mwanaharakati wa kweli Tundu lissu 😂😂 LKn hapo Msigwaaa umeingiaa Kwa sababu ya Maokotoo CCM very poor hunaaa Siasa wew ni njaa tuuu 😂😂 mwizii
Lisu pokea hela na kazi iendelee
Lisu usipokee pesa za wahuni
Akipata urais hatowaacha kabisa mlipeni stahiki zake basi
mamae chama cha majizi
yaani siasa Tanzania ni ajira safi ya kuishi Kwa kufuatiliwa maisha yakko Kwa uzuri
Mie chadema siwaamin naona wapo kimaslahi zaidi
Msimgwa anaonyesha kumpigia debe lisu kwamba anakubalika
Chukua pesa mzee wetu hizo ni zetuu tuu
Nyie ndiyo mliharibu gari lake
Kwa sifa alizosema Msigwa inamtambulisha Mh. Lissu kuwa ni mzalendo wa Taifa hili na anafaa kuwa kipekee RAIS WA TANZANIA
Ila hizi ni sanaa tena sanaa za wazi wazi hivi ndivyo tunavyocheza na hisia za watanzania
Hata mfanyeje haji ccm mlichomfanyia mungu anajuwa nanyinyi mnajuwa mnaweweseka tu hamna sela tena
Kumbe msigwa ndo msemaji wa lisu
Lisu pokea pesa haraka
Lisu ni smart anajua anachofanya
Hiyo pesa yenu chukueni wenyewe
Wanafiki hao lisu .ujuwe Wana taka kututoa Kwenye reli tusahau ya mbeya.
Mtajuwa hamjui
@@Mumewangunaam nipo hapa mumeo
Hii ni kupoteza mada ya wabakaji
LISU ATAKUWA RAISI TANZANIA 2035
Mchungaji mnafiki uyo
Lisu hiyo hera ikipokelewa atakuwa amekubali kashfa iliyotolewa na Makara pamoja na Msigwa. Huwezi kuzidiwa ujasiri na Hamisa Mabeto aliyekataa Range ya Harmonise kwa ajiri ya diginity yake. Mimi nafikiri hizo hera zirudishwe na wapewe onyo kali kuwa wakome kbs. The way forward, chama kingefanya top up haraka Lisu akanunuliwa Range mpya ili kukata ngebe. Kujikomboa ni pamoja na kukataa dharau.
Pesa za kejeli.
Kwa Nini hawakumchangia wakati anaumwa Lissu ogopa hizo Hela kama kaaa laa moto kufa kiume achana nazo boss wangu
Hichi ndio chama
Mm namxhauri lissu asipokee hizo ela kwani Hawa CCM ndio wanaona sasaivi unafaa kuchangiwa hiyo ni siasa tuuh ya CCM
hii ndo njia nzuri ya kukivunja chama cha ccm
Good tundu lisu
Mnatafuta Laana,damu ya MTU haidhihakiwi,Nani aliliharibu Nani?
SAFI SANA CCM, MWENDA KWAO SI MTUMWA..., TUNAJENGA TAIFA MOJA.. JAPO WENGINE NI CIA AGENTS..
Siasa za MAJITAKA HIZI. Na kuzalilishana
Mheshimiwa lisu ucjaribu kupokea,wengetangaza aliekupiga lisasi haki ya mungu leo ningepiga makofi kwa ccm
CCM HATA MREMA ILIWAHI KUMCHANGIA NA AKASEMA AKACHUKUE FOMU. KWAMAANA HII CCM CHAMA MLEZI
Msigwa hufai kabisa kuitwa mchungaji. Hufai!!!
ajafikia hali hiyo
Unafiki ni kitu kibaya sana.
Duuuhh, Tanzania yangu Mungu tuhurumie.
Hapo mnafiki ni Msigwa anjilinganisha na MBOWE-Royal na kambeba.
Acheni story nani kamfanya awee kilema?