Alichokisema Tundu Lissu baada ya CCM kumchangia Sh5.3 milioni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 557

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 2 місяці тому +10

    Mmh mwaka huu mtasema,Magufuli hayupo

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 2 місяці тому +2

    Cccm nashauri. Mchangieni apate urais .Kura zote ,2025 ushindiuwe Kwa lissu😂

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 місяці тому +36

    Lisu nikushauli hiyo hera chukua umechangiwa na watu wanaokupenda ndani ya CCM na nje ya CCM saaafi

    • @MWAMPAMBA
      @MWAMPAMBA 2 місяці тому +1

      Baba siyo Njia ya kumuvuta ccm

    • @abdulhussein7774
      @abdulhussein7774 2 місяці тому +1

      Acheni figisu ccm

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 2 місяці тому +3

      chadema wana taget nzuri tulia mwanangu ccm lazima tuiangushe

    • @simonMollel-rr3gb
      @simonMollel-rr3gb 2 місяці тому +1

      Ni mtego alafuwametia kashfa​@@MWAMPAMBA

    • @Pascaltz
      @Pascaltz 2 місяці тому

      Hili shoga nn

  • @MwesigeMwesige
    @MwesigeMwesige 2 місяці тому +6

    Iyo kejeli

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 2 місяці тому +29

    Mi namkubali lisu apokee hiiyo hela kunawatu wapo ccm lakini wanampendalisu Kwa moyo kabisa

    • @STEVENKAJUMBA
      @STEVENKAJUMBA 2 місяці тому +2

      Uwakika

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 місяці тому

      Sanaaaa tu huyo ni mwanadamu kuna maisha baada ya Uchaguzi nq Siasa binadamu inapaswa mpendane duniani tunapita tu

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 місяці тому

      Hiyo ni njia moja wapo ya kumdhalirisha kwani yeye peke yake ndio ameumizwa?

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 2 місяці тому

      @@husseinmkanga7794 hela ichukuliwe gari ikatengenezwe mengine ya siasa yataendelea

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 2 місяці тому

      Ni ya kutoka moyoni hii enyi CCM...au unafiki fulani na kumdhalilisha mtu...pamoja na changamoto zake alizonazo za afya yake? Kwani utaratibu wa Mbowe Mbowe kutumia chopa hauna maelezo na sababu zake? Kwani usafiri anaotumia mwenyekiti wenu CCM ndo unaotumiwa na kila mtu huko?
      Maridhiano makubwa na upendano wa kweli ingekuwa ni kuacha kutekana, kufunguliana kesi za uongo, kutesana kwa vipigo vya polisi visivyo na sababu, kushirikiana kwa pamoja kujenga mustakabali mwema wa kuendesha nchi kwa kuwa na katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na mihimili imara ya kitaasisi ya kuhakikisha kuna utawala bora...kujenga nchi yenye kufuata HAKI!
      Haya ya kuchangiana, kusaidiana yataoneka mema zaidi katika mazingira ambapo kila mmoja hamtilii mashaka meingine. Yataonekana ni utani wa kweli na si utani wa kushushiana heshima au kumzodoa mtu. Simba a Yanga hutaniana sana na washabiki wa kweli hununuliana hata vinywaji huku wakitaniana. Lakini wapo katika ushindani wa mpira ambao husimamiwa vizuri na kwa haki na waamuzi...japo kasoro zaweza kuwepo za kibinadamu kwa marefa.

  • @NicodemBarantanda-ud7qy
    @NicodemBarantanda-ud7qy 2 місяці тому +9

    Aibu kwa ccm mnayofanya ila nimewapongeza kwa kuwa mmetabili raisi ajaye imekaa vizuri Sana mtaongeza kufanya hayo akiwa anaelekea Ikulu mtenda haki pamoja na kwamba wanaoendelea kumdhalilisha bila 7bu, Lakini ndivyo ukweli unavyokwenda kutumia maana hata Yesu akiwa amebeba hatima ya Dunia alidhalilishwa kiasi Cha kutemewa mate ndiyo maana tupo hapa leo.Tanzania MUNGU anakwenda kutupatia kiongozi wa kutoka kwake ikiwa mifumo ya kuwapata VIONGOZI haitaingiliwa

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 2 місяці тому +15

    Nafikiri mmeona ndani ya ccm Lisu anashangiliwa. Msigwa kawaponza indirectly ndani ya ccm wafuasi kibao wamfuata Lisu, maana ilipo mali yako ndipo roho yako ipo.

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 місяці тому +1

    msigwa ana fanya kazi nzuri sana

  • @SisteryMagwaza-pi2yk
    @SisteryMagwaza-pi2yk Місяць тому

    Lisu yupo kwajil ya wananchi wake na sio kwajil ya chama chadema sisi wote tuko kwajil ya nchi yetu kuikomboa na mafezul🙏

  • @AnthonyChaula-d8l
    @AnthonyChaula-d8l 2 місяці тому +10

    Tundulisu chukuwa hiyo hela

    • @marymwasiga
      @marymwasiga 2 місяці тому

      Lisu, Ana busara''' sana'

  • @JastinyMbeyale
    @JastinyMbeyale Місяць тому

    Arise and sine

  • @clementmgongolwa8316
    @clementmgongolwa8316 2 місяці тому +2

    Hilo gari mbona mliharibu ninyi wenyewe

  • @saddychavala2052
    @saddychavala2052 2 місяці тому +2

    Hivi shetani akisema Bwana asifiwe utaitikia Amina au utamkemea

    • @veronicamnico4773
      @veronicamnico4773 Місяць тому

      Anaanzaje Mimi nasemaga wachungaji ole wenu😢😢😢

  • @reginas1832
    @reginas1832 2 місяці тому +3

    Mheshimiwa Lissu usipokee hiyo fedha

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 місяці тому

    Mungu akubariki sana list kwakukubali mchango

  • @sabrinafadhil8835
    @sabrinafadhil8835 2 місяці тому +1

    Aina maana

  • @BarakaMwakalinga-sn5sp
    @BarakaMwakalinga-sn5sp 2 місяці тому +9

    Mchango mtego huo, mchango wenye masimango kiasi hicho hapana.
    Mnamchangia lisu alafu mnaponda lissu.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 місяці тому

      Chama chako ndiyo kilisababisha hayo yote. Ni aibu kuona bado naishi

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 місяці тому +3

    Hii ni nzuri mno inatakiwa kuigwa wote ni wa Tanzania mmeifundisha jamii ya kitanzania Itikadi zetu zisi tutofautishe Watanzania ❤❤❤❤

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 2 місяці тому +1

    Mama mungu atakulipa Tundu lisu anamchango mkubwa sana ktk nchi yetu ingependeza kama Utojali Mpe gali jipya mungu mungu akulinde sana mama

  • @martinigabriel702
    @martinigabriel702 Місяць тому

    Wee msigwa mnafiki sana

  • @mohamedkwiga6870
    @mohamedkwiga6870 2 місяці тому +1

    Dahhh' Msigwaaa siasa ubao

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 місяці тому +5

    Lisu ukipokea tunakulaani wananchi Haki na batili havikai pamoja

  • @bernadomshana8564
    @bernadomshana8564 Годину тому

    Tatizo wameishia la saba karibia wote.

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo 2 місяці тому +1

    Acheni Mabwege kujipendekeza kwa mh.LISSU

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx 2 місяці тому

    Game of mind

  • @VictorFungo-b6n
    @VictorFungo-b6n 2 місяці тому

    Msigwa ni chenga hakika! Mungu amponye

  • @Jumamagacha
    @Jumamagacha 2 місяці тому

  • @mberaemmanuel9091
    @mberaemmanuel9091 2 місяці тому

    Good🎉

  • @georgemwaikusa4451
    @georgemwaikusa4451 2 місяці тому

    Waishi na Msigwa kwa tahadhali sana vinginevyo watajuta

  • @remtulanassary
    @remtulanassary 2 місяці тому +6

    Kwan nnani alienpiga RISASIIII??

  • @AbrahamSekuze
    @AbrahamSekuze Місяць тому

    CCM mnajua alichofanyiwa Tunduliso mungu anawaona

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 2 місяці тому

    Msigwaaaa!!!!!!!!! Sina hamu na wewe maisha yoteeee

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 2 місяці тому

    Mbona msigwa umekonda sana yangu kutoka ccm

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 2 місяці тому

      Anenepe kwani anachinjwa?. Saiv ana afya. Unene kawa tembo.

  • @LusunguWatsonMgeni-gr8zt
    @LusunguWatsonMgeni-gr8zt 2 місяці тому

    Mimi na shangaa sana MTU kashiba kande zake huko anasema yafaa kuigwa kitendo cha CCM kuchangu pesa Kwa ajiri ya Kamanda Lissu wameshidwa kumpa HIKI zake za Ubunge Leo change hivyo visendi hivyo ni unafiki TU

  • @GerardMdui
    @GerardMdui 2 місяці тому

    Afrika bado sana

  • @Ambwene
    @Ambwene 2 місяці тому

    Mimi ni CCM lakini mheshimiwa Lisu usichukue hizo Pesa ni za kinafiki 😢😢😢

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 2 місяці тому

    Hakika siasa bhana,Lisu Lisu Lisu

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 2 місяці тому +12

    Mlimpiga risasi, leo mnajifanya mnahuruma, Lissu kuwa makini wachonganishi hawa

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 2 місяці тому +1

      Hakika

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 2 місяці тому

      nakuambia hivi washaanza kujitafuna wenyewe ccm ndani kwa ndani we unafikiri kinnana kujiudgulu ni mjinga nape kuwa kando ni mjinga yajayo yanafurahisha

  • @rastheunique
    @rastheunique 2 місяці тому +1

    Mbona mi sielewi hii scene

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala8187 2 місяці тому

    CCM wanafiki sana..Mibaba mizima na ndevu michawa..

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 місяці тому +1

    Iyo pesa nipeni mimi ntampelekea lisu

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 2 місяці тому

    Msigwa ndo kaniharibia kuangalia hii chaneli jinga kweli ila makala na nchimbi 👍👍👍👍

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 2 місяці тому

    Hongera sana ila msigwa ni jipuuu

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 2 місяці тому

    Mhe Lisu naomba uchukue hiyo hela.wananchi wanakuoenda

  • @VotanVotan-gb3hd
    @VotanVotan-gb3hd 2 місяці тому

    Heshima sana chama letu

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 2 місяці тому

    Lisu kama ni molion tano toka kwa CCM achana nazo mimi pekee naweza kupa hizo

  • @light-techchannel5946
    @light-techchannel5946 2 місяці тому

    upumbavu tu huo, kweli wanashindwa kuchangia watu mashuleni au watoto yatima hata hospitali, mko kuchangisha za gari

  • @KananaKadogholo
    @KananaKadogholo 2 місяці тому

    Hii huruma!! Mmmh?

  • @LusunguWatsonMgeni-gr8zt
    @LusunguWatsonMgeni-gr8zt 2 місяці тому

    Lissu hanunuliwi wananunuliwa wasio na akili timamu kama hao wakina Tomaso mnaowatumia Kijani Chadema ni chama makini sana nasio vyama vingine kama vyo Watanzania CHADEMA ni kweli tusifanye makosa Tena watu watuchangulie hapana

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 2 місяці тому

    Ela za kinafiki hizo

  • @khamismansour5932
    @khamismansour5932 2 місяці тому

    CCM NI MIJITU MIJINGA SANA HUO MCHANGO SI WAWAPELEKEE WATU MASIKINI WANAOKOSA HATA MLO MMOJA

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 2 місяці тому

    Unafungwa macho wanajuana kwakile walichokifa mbea

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 2 місяці тому

    Lissu ni jeshi, ila ni dhahabu, afu tunatakiwa kumpa nafasi anayostahili, na anamchango mkukwa katika nch hii

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius 2 місяці тому

    Kua ccm ni sawa na kua upande wa ibilisi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 місяці тому

    BIG BRAIN MUHESHIMIWA ANTIPASSLISSU 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @DoiDoi-p9m
    @DoiDoi-p9m 2 місяці тому

    Lisu ni mtanzania hata Mimi nimefurahi achangiwe maana mbowe ni mbinafisi sana

  • @DaudiOkey
    @DaudiOkey 2 місяці тому

    Mmefanya vzr Ila nanyie wabunge mchangieni kuonyeaha kweri mnampenda mbarikiwe sana

  • @jamhurigeorge7730
    @jamhurigeorge7730 2 місяці тому

    Lissu usijalibiwe na vipande vya pesa nakuomba sana lissu usipokee

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 2 місяці тому

    Lissu ninaye mjua Mimi akipokea hiyo hela huyo sio lissu naapa kwa katiba ya Chadema na kwa uaminifu na misimamo ya lissu.

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 2 місяці тому

    Hiyo lisu imeenda chezea ccm we

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki 2 місяці тому

    Mm nakushauri lisu pesa usichukue

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman 2 місяці тому

    Lisu usichue pesa za hao mbwa wakubwa

  • @michaelpatrick9317
    @michaelpatrick9317 2 місяці тому

    Mwanaharakati wa kweli Tundu lissu 😂😂 LKn hapo Msigwaaa umeingiaa Kwa sababu ya Maokotoo CCM very poor hunaaa Siasa wew ni njaa tuuu 😂😂 mwizii

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis 2 місяці тому

    Lisu pokea hela na kazi iendelee

  • @SauwaeliNnkoEbenezer
    @SauwaeliNnkoEbenezer 2 місяці тому

    Lisu usipokee pesa za wahuni

  • @amaniamani6391
    @amaniamani6391 2 місяці тому

    Akipata urais hatowaacha kabisa mlipeni stahiki zake basi

  • @dennislyimo94
    @dennislyimo94 2 місяці тому

    mamae chama cha majizi

  • @kirungekirunge5920
    @kirungekirunge5920 2 місяці тому

    yaani siasa Tanzania ni ajira safi ya kuishi Kwa kufuatiliwa maisha yakko Kwa uzuri

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 2 місяці тому

    Mie chadema siwaamin naona wapo kimaslahi zaidi

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 2 місяці тому

    Msimgwa anaonyesha kumpigia debe lisu kwamba anakubalika

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 2 місяці тому

    Chukua pesa mzee wetu hizo ni zetuu tuu

  • @TwinaweEnterprises
    @TwinaweEnterprises 2 місяці тому

    Nyie ndiyo mliharibu gari lake

  • @trueprophet7627
    @trueprophet7627 2 місяці тому

    Kwa sifa alizosema Msigwa inamtambulisha Mh. Lissu kuwa ni mzalendo wa Taifa hili na anafaa kuwa kipekee RAIS WA TANZANIA

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 2 місяці тому

    Ila hizi ni sanaa tena sanaa za wazi wazi hivi ndivyo tunavyocheza na hisia za watanzania

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 2 місяці тому

    Hata mfanyeje haji ccm mlichomfanyia mungu anajuwa nanyinyi mnajuwa mnaweweseka tu hamna sela tena

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 2 місяці тому

    Kumbe msigwa ndo msemaji wa lisu

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 2 місяці тому

    Lisu pokea pesa haraka

  • @JumaKitutu-t4s
    @JumaKitutu-t4s 2 місяці тому

    Lisu ni smart anajua anachofanya
    Hiyo pesa yenu chukueni wenyewe

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 2 місяці тому +5

    Wanafiki hao lisu .ujuwe Wana taka kututoa Kwenye reli tusahau ya mbeya.

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 2 місяці тому

      Mtajuwa hamjui

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 2 місяці тому

      ​@@Mumewangunaam nipo hapa mumeo

  • @JamesZakayo-o2f
    @JamesZakayo-o2f 2 місяці тому

    Hii ni kupoteza mada ya wabakaji

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 2 місяці тому

    LISU ATAKUWA RAISI TANZANIA 2035

  • @SimonAfrael
    @SimonAfrael 2 місяці тому

    Mchungaji mnafiki uyo

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 2 місяці тому

    Lisu hiyo hera ikipokelewa atakuwa amekubali kashfa iliyotolewa na Makara pamoja na Msigwa. Huwezi kuzidiwa ujasiri na Hamisa Mabeto aliyekataa Range ya Harmonise kwa ajiri ya diginity yake. Mimi nafikiri hizo hera zirudishwe na wapewe onyo kali kuwa wakome kbs. The way forward, chama kingefanya top up haraka Lisu akanunuliwa Range mpya ili kukata ngebe. Kujikomboa ni pamoja na kukataa dharau.

  • @MwljofreyChitta
    @MwljofreyChitta 2 місяці тому

    Pesa za kejeli.

  • @irenebarakeli
    @irenebarakeli 2 місяці тому

    Kwa Nini hawakumchangia wakati anaumwa Lissu ogopa hizo Hela kama kaaa laa moto kufa kiume achana nazo boss wangu

  • @JoeSheushi
    @JoeSheushi 2 місяці тому

    Hichi ndio chama

  • @RubenMollel
    @RubenMollel 2 місяці тому

    Mm namxhauri lissu asipokee hizo ela kwani Hawa CCM ndio wanaona sasaivi unafaa kuchangiwa hiyo ni siasa tuuh ya CCM

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 місяці тому

    hii ndo njia nzuri ya kukivunja chama cha ccm

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 місяці тому

    Good tundu lisu

  • @MurunguwetoshaDeheaven
    @MurunguwetoshaDeheaven 2 місяці тому

    Mnatafuta Laana,damu ya MTU haidhihakiwi,Nani aliliharibu Nani?

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 місяці тому

    SAFI SANA CCM, MWENDA KWAO SI MTUMWA..., TUNAJENGA TAIFA MOJA.. JAPO WENGINE NI CIA AGENTS..

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824 2 місяці тому

    Siasa za MAJITAKA HIZI. Na kuzalilishana

  • @StevenNyanguye
    @StevenNyanguye 2 місяці тому

    Mheshimiwa lisu ucjaribu kupokea,wengetangaza aliekupiga lisasi haki ya mungu leo ningepiga makofi kwa ccm

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA 2 місяці тому

    CCM HATA MREMA ILIWAHI KUMCHANGIA NA AKASEMA AKACHUKUE FOMU. KWAMAANA HII CCM CHAMA MLEZI

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 2 місяці тому

    Msigwa hufai kabisa kuitwa mchungaji. Hufai!!!

  • @deuskamugisha3627
    @deuskamugisha3627 2 місяці тому

    ajafikia hali hiyo

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 місяці тому

    Unafiki ni kitu kibaya sana.

  • @AloyceKaspari
    @AloyceKaspari 2 місяці тому

    Duuuhh, Tanzania yangu Mungu tuhurumie.

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 2 місяці тому

    Hapo mnafiki ni Msigwa anjilinganisha na MBOWE-Royal na kambeba.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 2 місяці тому

    Acheni story nani kamfanya awee kilema?