MWAMBA ALIYESOTA GEREZANI CHINA MIAKA 13,AFICHUA MNAIGERIA ALIYEMPONZA, HAPA NDIPO NYUMBANI KWAKE...
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- MWAMBA ALIYESOTA GEREZANI CHINA MIAKA 13,AFICHUA MNAIGERIA ALIYEMPONZA, HAPA NDIPO NYUMBANI KWAKE...
Mtanzania aitwaye Donald amesimulia mateso mazito aliyokutana nayo baada ya kukamatwa nchini China kwa tuhuma za kusafirisha madawa ya kulevya na kufungwa jela kwa zaidi ya miaka mitatu.
Katika kipindi hicho chote, Donald anasimulia mateso ya ajabu aliyopita kabla ya kuachiwa huru mapema mwaka huu…
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Nampa hongera mwanamke mwenzangu!kweli wanawake ukithubutu tunaweza!
Wakwanza mimi Leo jaman naombeni Like zangu
Ili iweje we mshamba
Jamani ,jsmani mkibahatika kusafiri msijaribu kabisa kufanyq deal yoyote na mnigeria.kwa namna yoyote ile.watu wengu wamepata matatizo
Changamoto ni kwa kila mwanaume. Tumshukuru Mungu amemlinda muda wote huo ,hivyo tumchangie aweze kuendeleza maisha yake.kumbuka "shilingi ina pande mbili".tutazame pande zote 2
Kaeni kwenye nchi nzenu mtulie maisha hata huku yapo, Tamaa za watu kutaka mafanikio ya shotkati kwenye maisha zinawafkisha pabaya! Kitu unacho jua serikali haitaki achana nacho,
Hapo nyumbani utapata maisha gani bila ya kuibia watu au serikali?? Tamaa ukiwa nayo ppte ukaapo, hapo nyumbani watu si kila siku wanauana kwa imani za kishirikina??? Mtu anaambiwa lete mtto, mama, mke utapata hki au kile na anapeleka.
Apambane nchn kwakwe ndio kuiba na hayo madawa yote makosa na bora angeiba
Kwa wale wanao comment kuwa huyu ni mkenya sio kweli TZ kuna wajaluo pia huko mkoa wa Mara na wengi wapo serikalini.. mfano Wamasai wapo kwetu na Kenya pia wapo wengi tuu, wadigo wako pande zote pia, wakurya wapo pande zote pia hadi wapemba wakenya mombasa wapo pia kwahiyo lugha ya ubaguzi kwa huyu mzee haina maana unajichumia laana tuu. Alafu East Africa kihistoria sisi ni ndugu wa damu.
HELLO MY BROTHER MY GOD WILL HELP YOU INSHALLAH TRUST ALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤
Omera omera, mjaluo mtizi🙌
Pole
Ulikamatwa naumeludi salama kesi kubwa kama yamadawa yakulevya umetoka jela ukiwa salama kamatwa apa Tz kifungo chamaisha kina kuhusu
Ukiwa huna mtu
Mungu ni mwema
Pole baba
Duuuuuuu mzeee umabahatiiii sana jah bress your
That's true love..huo ni upendo wakwer kabisa..kwamana upendo wakwer huwa haufi
Tnamshukulu Mungu kuludisha salama tunakushauri tu Baba uende kwenye maombi kwa mwamposa huo uvimbe utaisha kwa maombi
Pole mzee wetu mungu atakulinda
HILO NI GETI LA KAWAIDA MBONA? HALIHITAJI MASWALI MENGI. ILA MZEE ANAONYESHA ALIKUWA MPAMBANAJI
Inaonekana mtangazaji hajawahi kusafiri nje ya Nchi
Mtangazaji huyu bado mshamba sana. hata maswali yake hamna kitu....
Pole sana❤❤
God bless your family
Nani kaona katako kanjaaaa?tabuuuu
😢
Kitu inaitwa Munigeria ni kitu chafu na kitu cha kujihadhari nacho.kama nyoka wa hatari sumu unapoona akikuchekesha. Lazima atakuingiza kwa madawa ya kulevia 🇰🇪
Mtangazaji hujui hata kutangaza umeshindwa kutueleza kwasisi ambao ndo tunaangalia kipindi tumeshindwa kuelewa
Kila mtu anafamilia akuna asiye familia
Pole sana but huyu sio mtanzania halisi ni mkenya ambae amekaa tz mda mrefu
Ukanda wa ziwa victoria kuna wajaluo wengi
Safiii mzeee tutokee tenaa uchaa uwogaa
Nilipita Qatar last week wanacheki mno hata ukiwa kwenye transit.
Wanamwagavituvyote chini
Walininyang’anya Kvant kubwa nlikuwa naenda nayo London 😂
Sasa wewe mzee hizo dawa za kulevya si ni kuharibu watoto wa wenzako, mbona watoto wako umewafurahia kwa masomo waloyapata ? Hukufanya kitu kizuri kabisa.
Hilo nalo Nemo🤓
Ni kweli. Inabidi utubu na usifuatilie kesi maana ulikosa
Uyooo mzeee kweri mtanzania sio mkenyaa kweri
Atamimi nahisi ni mjaluo wa kenya
@@khayratmhina3735
mluo uyo wa kenya
@@khayratmhina3735hata Tanzania wajarua wapo wanaishi musoma
Kwa nini mnachuki na wakenya? .historia ya darasa la.3 hamkujifunza makabila yalioko ukanda wa ziwa victoria?
Nitakuja kukusalimia babangu
Þ😢
Usitudanganye tumbo kubwa hivyo alsgu unasema chakula kilikuwa kibaya
Molla.atakusaidia mitahani kaumbewa.binaadam.pole.sanaa
Unene sio kula jamani kila mtu anamwli wke
😂😂😂😂😂😂
Mim nakubaliana naye maan China huwezi kuta vyakula vya kiafrica
Kijana jiheshimu huyu ni baba
HUYU SIO MTANZANIA PERIOD.
huyu ni mkenya
Wewe ni Mama Makakala wa Uhamiaji?
Ni mtanzania halis kenge nyinyi
Yan wachina wajinga sana wanaubaguzi na sio haki zakibinadam hata kama nimfungwa ila waache kuwanyanyasa..jaman serikal yetu ipo wp?