#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • #EXCLUSIVE: POLISI ALIYEACHA KAZI na KWENDA UINGEREZA KUSAFISHA VYOO, SASA ni BILIONEA wa KUTUPWA!
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 53

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +2

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @InnohubGroup
    @InnohubGroup 9 місяців тому

    Ni ushenzi sana kumfata mtu wa kupiga kazi na kushinda kuulizia mambo ya ngono. Hapa mbadillike.
    Mmeharibu muda wake Chris kwa maswali ya ngono, mmeharibu muda wangu nikifikiria ni mambo ya kikazi halafu mnaleta ujinga wa ngono.
    Mmenikera kweli. Kawafate Mario na mdangaji wake mkawahoji mambo ya ngono kenge nyie!
    Wasted opportunity

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 7 місяців тому

    Mtangazaji zero haelewi hovyo badala ya kumuongoza ktk mambo ya muhimu

  • @HurumaMbwambo
    @HurumaMbwambo 2 місяці тому

    Shikamoo mimi mahitaji maalumu ninashida tuoongee upo Tanzania

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Рік тому +3

    Ndugu mtangazaji dada jiweke sio unauliza umepita na wadada wangapi ushaambiwa jimbo liko wazi

  • @mycaexaud1789
    @mycaexaud1789 Рік тому +1

    Kaka siku Nyengine Wakija ao watangazajii wajee na maswalii ya takaooo jenga brand ya kampuniii yakooo utajikuta unapoteza muda wako bila kunufaikaa

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Рік тому +1

    Mtu kama mimi eti wewe nani usioshe vyoo sindio mnajiita wasomi kuna wengine wanaogesha vibibi vibabu uko kama lisu mbona anaogesha wazee uko ubeligiji kazi nyepesi tu iyo watu wanapakua vyoo afrika itakuwa iyo kutumia maji bwelele

  • @mrsolargrid
    @mrsolargrid 7 місяців тому

    Mwandishi anamambo ya hovyo.
    Muda mwingi anakazia stori kwa kwenye mambo yasiyo na ulazima wakati mtu alishaanza kumwagika madini

  • @MwanamkuluShabani
    @MwanamkuluShabani 10 місяців тому

    Kaka mm mfanyakazi wa ndani oman nataka nije kuja kufanya kazi huko uingereza mm nitapataje boss naomba nisaidie mtanzania mwenzio hata kuosha vyoo nipo tayari

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 Рік тому +1

    Ninashida na huyo brother nampataje anipe ushauri

    • @bonnymwajombe779
      @bonnymwajombe779 Рік тому

      Yeye anafanya biashara ushauri gani tena?ukitaka kutoboa acha mademu

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 Рік тому

    Mtangazaji mpuuzi sana, hivi anauliza maswali gani labda??? Dakika 30 nzima maswali yakipumbavu tu,

  • @jeffyjerry8129
    @jeffyjerry8129 9 місяців тому

    Safi sana brother nime jifunza kitu kutoka kwako

  • @aminasaid7769
    @aminasaid7769 Рік тому

    Kwakweli usimjaji mtu na Mali yke hujui kapitia mangapi ndio kafikia hopo alipo..hongera sana kaka ulipambana sana..

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Рік тому

    Mi namfahamu Ali Mabodi wakati ule akiishi ziwani Kirando

  • @hassanzizi8420
    @hassanzizi8420 Рік тому +1

    Thanks Global TV and brother KC very inspiring story.

  • @juliuschagama7304
    @juliuschagama7304 9 місяців тому

    Nataka spea, naomba namba ya simu. Tafadhali

  • @mycaexaud1789
    @mycaexaud1789 Рік тому

    Chawa ni vyamotoo AKA miguuu yakukuuu ajatakaaaa kuweka waziiii eeeeeeeeee

  • @godsonkimaro1440
    @godsonkimaro1440 Рік тому

    Dada una maswali yakijinga, yana nilitegemea uliza mswal ya how to invest namna ya ku endesha biashara kubwa kama hizo unauliza machawa na na wanawake alio tembea nao...

  • @nickmsemwa3732
    @nickmsemwa3732 Рік тому

    Swala niusafiligani pls anaejua anieleweshe

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Рік тому

    Yaani niliposikia Lukosi nikajua ni mnyalukolo

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye6878 Рік тому

    welaaaaaaah,,
    nimekwelewa one day napita hapo hiyad

  • @awesomeaugustine
    @awesomeaugustine Рік тому

    Jah bress your madungu I know you work had

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Рік тому

    Mnaboa bwana ana nn kwani kuutwa kumuhoji tu au matangazo ya biashara mnajifanya exclusive 😏

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Рік тому

    Asante sana,ni mfn bora na ni mhamasishani kwa vijana kutokukata tamaa.

  • @erickmachua8829
    @erickmachua8829 Рік тому

    Sijamuelewa Mtangazaji.

  • @meshackgerald4032
    @meshackgerald4032 Рік тому

    Mnaongea hayo manen baadae mnakuj kutuomb msaad

  • @justerrwegoshola6395
    @justerrwegoshola6395 Рік тому

    Big up KC and company God bless you.

  • @MangureIbrahim-xn8fi
    @MangureIbrahim-xn8fi Рік тому

    Uko sawa bro! pambana

  • @sabibiraphael1622
    @sabibiraphael1622 Рік тому +2

    Baadhi ya maswali yanayoulizwa hayana maana.

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 Рік тому +1

    Uongo tu hajataka kusema ukweli. Mbali na unyang'anyi na utapeli, cocane pia imechangia mapato yake. Awadanganye wasio mjua.

  • @zephaniamayeye4902
    @zephaniamayeye4902 Рік тому

    Dada oyeeee kakupelekaaa uingereza na umetoboa🎉

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Рік тому

    Huyu mwamba mbona mna mpa airtime kubwa sana kuna kipi kipo nyuma ya pazia maana haiwezekani kila saaa au ndio biashara yake kuitangaza 🙆😃🙌🏃

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Рік тому +1

    Apewe uteuzi uwaziri au ukuu wa mkoa

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Рік тому

      Huyu naona hawezi hizo hapendi manyanyaso.

    • @sadikidaudi460
      @sadikidaudi460 Рік тому

      Atashindwa kufanya kazizake huyo Mkuu wamkoa mshahara hauzidi milioni nne

    • @fredrickmatiku7783
      @fredrickmatiku7783 Рік тому

      @@sadikidaudi460 endelea kujidanganyaaaa nenda kwenye dictionary ya Kiswahili angalia maana ya neno kuupiga mwingi usilinganishe na Viongozi wa serikali sababu ya biashara unayomiliki

    • @sadikidaudi460
      @sadikidaudi460 Рік тому

      @@fredrickmatiku7783 Tatizo naona unaamini saana katika kutumwa yaani kua chini yawatu mm najua kwa hatua aliofikia huyo kimafanikio sidhani Kama anatakiwa kufurahia teuzi Labda ateuliwe kwa maslahi ya selekali ila sio kwakunufaika yeye

  • @jimmykimaro4250
    @jimmykimaro4250 Рік тому

    Hongera sana bro kweli maisha ni kupambana

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Рік тому

    Dada umepooza na maswali yako

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Рік тому

    Unogage mnyalukolo?

  • @gadisonmichael7805
    @gadisonmichael7805 Рік тому

    kc nakubali sana nataman kuwa kama ww

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Рік тому

    Good

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Рік тому

    Hongeera

  • @sweetrayuzuwiya8375
    @sweetrayuzuwiya8375 Рік тому

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @briancyrax3104
    @briancyrax3104 Рік тому +1

    unprofessional reporter😑

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 Рік тому

    Dada acha dharau sema asilimia ndogo sana ... please ...dada sijapenda dada