#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- #EXCLUSIVE: POLISI ALIYEACHA KAZI na KWENDA UINGEREZA KUSAFISHA VYOO, SASA ni BILIONEA wa KUTUPWA!
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Ni ushenzi sana kumfata mtu wa kupiga kazi na kushinda kuulizia mambo ya ngono. Hapa mbadillike.
Mmeharibu muda wake Chris kwa maswali ya ngono, mmeharibu muda wangu nikifikiria ni mambo ya kikazi halafu mnaleta ujinga wa ngono.
Mmenikera kweli. Kawafate Mario na mdangaji wake mkawahoji mambo ya ngono kenge nyie!
Wasted opportunity
Mtangazaji zero haelewi hovyo badala ya kumuongoza ktk mambo ya muhimu
Shikamoo mimi mahitaji maalumu ninashida tuoongee upo Tanzania
Ndugu mtangazaji dada jiweke sio unauliza umepita na wadada wangapi ushaambiwa jimbo liko wazi
Kaka siku Nyengine Wakija ao watangazajii wajee na maswalii ya takaooo jenga brand ya kampuniii yakooo utajikuta unapoteza muda wako bila kunufaikaa
Mtu kama mimi eti wewe nani usioshe vyoo sindio mnajiita wasomi kuna wengine wanaogesha vibibi vibabu uko kama lisu mbona anaogesha wazee uko ubeligiji kazi nyepesi tu iyo watu wanapakua vyoo afrika itakuwa iyo kutumia maji bwelele
Mwandishi anamambo ya hovyo.
Muda mwingi anakazia stori kwa kwenye mambo yasiyo na ulazima wakati mtu alishaanza kumwagika madini
Kaka mm mfanyakazi wa ndani oman nataka nije kuja kufanya kazi huko uingereza mm nitapataje boss naomba nisaidie mtanzania mwenzio hata kuosha vyoo nipo tayari
Ninashida na huyo brother nampataje anipe ushauri
Yeye anafanya biashara ushauri gani tena?ukitaka kutoboa acha mademu
Mtangazaji mpuuzi sana, hivi anauliza maswali gani labda??? Dakika 30 nzima maswali yakipumbavu tu,
Safi sana brother nime jifunza kitu kutoka kwako
Kwakweli usimjaji mtu na Mali yke hujui kapitia mangapi ndio kafikia hopo alipo..hongera sana kaka ulipambana sana..
Mi namfahamu Ali Mabodi wakati ule akiishi ziwani Kirando
Thanks Global TV and brother KC very inspiring story.
Nataka spea, naomba namba ya simu. Tafadhali
Chawa ni vyamotoo AKA miguuu yakukuuu ajatakaaaa kuweka waziiii eeeeeeeeee
Dada una maswali yakijinga, yana nilitegemea uliza mswal ya how to invest namna ya ku endesha biashara kubwa kama hizo unauliza machawa na na wanawake alio tembea nao...
Hovyo kabisa
Swala niusafiligani pls anaejua anieleweshe
Yaani niliposikia Lukosi nikajua ni mnyalukolo
welaaaaaaah,,
nimekwelewa one day napita hapo hiyad
Jah bress your madungu I know you work had
Mnaboa bwana ana nn kwani kuutwa kumuhoji tu au matangazo ya biashara mnajifanya exclusive 😏
Kwaiyo huoni anachokifanya?
Asante sana,ni mfn bora na ni mhamasishani kwa vijana kutokukata tamaa.
Sijamuelewa Mtangazaji.
Mnaongea hayo manen baadae mnakuj kutuomb msaad
Big up KC and company God bless you.
Uko sawa bro! pambana
Baadhi ya maswali yanayoulizwa hayana maana.
Uongo tu hajataka kusema ukweli. Mbali na unyang'anyi na utapeli, cocane pia imechangia mapato yake. Awadanganye wasio mjua.
Ni Muuza Cocaine!?
Koma.wee na wivu wako
Dada oyeeee kakupelekaaa uingereza na umetoboa🎉
Huyu mwamba mbona mna mpa airtime kubwa sana kuna kipi kipo nyuma ya pazia maana haiwezekani kila saaa au ndio biashara yake kuitangaza 🙆😃🙌🏃
Anzisha naww upewe airtime
Apewe uteuzi uwaziri au ukuu wa mkoa
Huyu naona hawezi hizo hapendi manyanyaso.
Atashindwa kufanya kazizake huyo Mkuu wamkoa mshahara hauzidi milioni nne
@@sadikidaudi460 endelea kujidanganyaaaa nenda kwenye dictionary ya Kiswahili angalia maana ya neno kuupiga mwingi usilinganishe na Viongozi wa serikali sababu ya biashara unayomiliki
@@fredrickmatiku7783 Tatizo naona unaamini saana katika kutumwa yaani kua chini yawatu mm najua kwa hatua aliofikia huyo kimafanikio sidhani Kama anatakiwa kufurahia teuzi Labda ateuliwe kwa maslahi ya selekali ila sio kwakunufaika yeye
Hongera sana bro kweli maisha ni kupambana
Dada umepooza na maswali yako
Unogage mnyalukolo?
kc nakubali sana nataman kuwa kama ww
Good
Hongeera
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
unprofessional reporter😑
Dada acha dharau sema asilimia ndogo sana ... please ...dada sijapenda dada