Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka, Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama
Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.
Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh. Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma
Ahsanteeeeee sana Makonda. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
Asante sana makonda
Barikiwa sana makonda
Makonda nakufananisha na Baba magufuli nakupenda bule kaka mungu akusaidie
Ata mimi naapa sitamsaliti Magufuli Jpm alinifundisha mengi kuhusu maisha. Yaani kiufupi alinifundsha kujiamin
Naungana nawewe kwenye kiapo sitamsaliti Magufuli nitampenda mpaka siku ya kuhama
Asante sana kututembelea na kumkumbuka mwamba wetu dr JPM❤
Asante makonda
Makonda hakika unaweza uko zaid ya kaz uliyo nayo mungu atakuinua zayid hakika wewe uwe rais wetu
Asante sana
Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka,
Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama
Ww ndo mwanaume
Naungana na wewe hata mm nitakuwa wa mwisho kumkana JPM 😭😭😭
Uyo ndo mwl wko na tunakupendaa kwa sabbu ya Hilo ww ndo magufuri no 2 tuna Imani na ww
Unasemaje kuhusu bandali magufuri namama yetu samia
Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.
Kazi ipo 2025
Malinda ziarabunda
Nau Hana wewe
Sitamsaliti JPMagufuri kamwe mpaka Mwisho wa Maisha yangu.
Ulizaliea kuwa Kiongozi na kuwafundisha wasiojuwa kuw Kiongozi.
Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji
Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh.
Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma
God bless man