Najiuliza maswali bado sipati majibu....kwa mujibu w s 1 ...Halima na wakina muhina ni waganga wasomi walio fika mpka elimu ya juu ..sasa inakuwaje halima anawashangaa uvaaji wa wadada wa mjini ilihali ni mganga msomi wa elimu ya juu....majibu tafadhali
Najiuliza maswali bado sipati majibu....kwa mujibu w s 1 ...Halima na wakina muhina ni waganga wasomi walio fika mpka elimu ya juu ..sasa inakuwaje halima anawashangaa uvaaji wa wadada wa mjini ilihali ni mganga msomi wa elimu ya juu....majibu tafadhali
Haya wanganga wamefika mjini
Hilo buti limenimaliza😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😲😲mob love
Wangap tumependa Buti la halima 😂😂😂😂
😂😂😂una nini lakini
@@Awoshy Buti limenoga mguun🤣🤣🤣🤣
@@JescaDenis-d2r hatari 😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂wakijijini kwel
😂😂😂😂😂muhina pasua kichwa sana aya tusalimiane team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi team you tube 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
𝐓𝐮𝐩𝐨 𝐭𝐞𝐚𝐦 𝐟𝐮𝐫𝐮𝐬.𝐬𝐭𝐫𝐨𝐧𝐠 𝐰𝐨𝐦𝐚𝐧
𝐓𝐮𝐩𝐨 𝐭𝐞𝐚𝐦 𝐟𝐮𝐫𝐮𝐬.𝐬𝐭𝐫𝐨𝐧𝐠 𝐰𝐨𝐦𝐚𝐧
❤❤❤❤kazi nzuri sana kama unapenda mkomba wa mama nipeni links yang
Hiyo wimbo ya mapenzi pesa umri nuber kaimba nani
Mashallah ❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu
hapa sasa picha ndo limeanza kunoga kama umefurahia kuwaona mwina na kundi lake weka like hapa
Kazi nzuri sana tanu
Patam hapo halima uko vizuri
Tanu n'a teams Yako nawapenda sana movie zuri ❤❤❤❤
Ongeza dakika bhn tanu
Huyu Mpenzi wa tofa amenibore sana aliambiwa atulie kwao ila wapi haya imekula kwake
Good job next itakua unyama sanaa💓💓
Kazi safi
Mwina umemuwa ndugu yako tanu pole sana 😢😢😢😢
Sema dah Nataman itoke kipande kengine saiz😢
Movie Kali, imesinama sana
Kutoka Burundi tunasubir ep5
😂😂😂muhina tamaa sijui utaachalini daa ilahalina hilo buti
Ila ukiwaangalia halima na tanu 😆😆🤣🤣mbavu zng mie
😅
Muhina nimependa mavazi yako 😂😂😂😂😂
lovely
Jinsi walivyoingia mjini sasa😂😂😂 nmecheka jaman magunia alafu mavazi sasa mmeweza🎉🎉🎉
Funga funga tuondoke
Halima ❤🎉
Jmn Buti la halima
Mimi wa kwanza kutoka Congo like yangu
Jaman muhina kafika mjini na kijikofia chake 😂 .mjini pataharibika sasa 🇰🇪 😂😂😂
Wanachelew kuthow n wakithow wanthow kidogo
Mi hata nikijua ilikwisha kumbe bado kazi nzuri
Tofa pokea ua lako 🌷🌷
😂😂😂😂😂😂Yani hajaacha tabia yake ya kugawa zawadi muhina 😂😂😂😂😂😂
Ataachaje 😂😂😂😂
😅😅😅Yaniiiii😊
Anajua umuhimu wa hiyo zawadi,kwaiyo anataka amtunuku kila mtu ❤😂😂❤kwani wewe hautaki kutunukiwa?
Mkoba wa mama ni bonge movie ❤❤❤
Akili ZETU WANAWAKE et upo na mwanamke😆😆😆🙌
Ila nmependa mabeg mlioingia nayo mjini kina Halima na muhina 😂😂na buti wow 🎉
L
Mimi filenimeona halima najuwa kilakitu kikosawa😂😂😂❤❤
😂😂😂Mhina anataka atoe zawad kwa Hawa duuuh
Mzee makoti kaingiya na kutongoza😂
Hapo nimewaelewa huko nyuma ilikuwa haileweki
Kaka mbn unachelewa kuzipost hizi jsmani😢😢
Sasa nimeanza kuelewa kaka yake tanu ndiyo huyu mishen town tofa 😂😂
Tofa munganga mwenye bahati
❤❤❤❤
Kz nzur jaman❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee wa kutoa zawad kama kawaida yake
Mwamba zawadi mpaka mjini😂😂😂😂
nimetokea kulipenda hili jambazi😮😮😮eeh mama wee
😂😂😂😂😂
We mbwa unajua alaf unajua saaana🎉❤😂😂😂
Number One mimi Leo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏 pemba
❤❤🎉🎉
Wanawake ni shida uki waambiya ukweli wanaona unawadanganya ona sasa
Hio ni kanvu au ni koti 😂😂😂😂
Kunaseehemu hapo kama kuna shughili wanakula naona masufuria😂😂😂
Aaaaaaa zawad zinaendelea adi mjini muhina wewe lak zenu wakuu
Story imenoga kwakweli
Umetisha san muhina
Kweli zawad🎉🎉🎉
Muhina viatu vyako kakaa😂😂😂😂
😅😅😅Atarii
Msiniambie hamjaona luku y mhina😂
Kumekucha 🔥🔥🔥🙌🤣
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
KAZ nzur
Kwa wale walioona hii ep inascratch tujuane
aah jamani season 2 kanoga mno,🥰🥰
MhinA na hizo nguo😂
Wee tanu na hizo vitu vizito vitakuua
mke wa Kapela atapona,wewe mwenyewe ni bonge la mtaalamu
Nzuli.hatali
Finaly mwina na halima wamefika mjini😂
Wa mwanzo miee
Naomba like zen
Yani muhina n harima wameua 😅😅😅
Sasa ndii nimeanza kuiyelewa hii km mkoba wamama
Kazi yang pendwa yan
Jmn nimefrai kumuona da halima ila duh kanifurahisha muhina na ayo mavazi
Jaman sibomana unapaka nn uson mbona upo soft hivyooo
Wa kwanzaaa
Halimaaaa❤❤❤
Haya laik zije kwa wingi Leo nimekuwa namba 1
Wa 3 kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮✌️
Muhina mzee wa zawadi kubwa na ndogo 😂😂😂
Muhina n halima waingie polepole apo Jiji lenywe
Outfit ya muhina😂😂😂😂😂
😅😅😅
Ila Mihina kwa Kugawa zawadi 😂😂😂
From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Muhina peana zawadi 😂😂😂😂
Jaman muhinaa hizo nguo na kofia kama mfilipino😅😅😅
Episode5 wanatuonesha kipande kingne wakat hapo wanaonesha wamekutana
Nyieee mtunzi wa hii movie nani nmtumie ela ya sodaaaa😂😂😂😂
Mimi😊😊😊
Vinaishiag patamu😂
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Naona waganga wameanza kuingia sasa
😅😅😅😅Washaingia hvyo 🤣🤣
Wa 114 leo piga like yako hapo kama umesoma hiyo naomba ❤
Team mhina oyoo😂😂
Jamani tim tanu like zangu 🎉❤
Tano iko wapi
🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Ilaa muhina et mjini kutam😂😂😂😅
Toka imeanza hii ya mjin hata siifatilii naona wala tanu umezingua
Usipo angalia ww ss tunaangali, haujashikiwa fimbo,