ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 352

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 8 місяців тому +7

    Mungu akusaidie kaka makonda Mungu akufinike adui asikuone

  • @BonamaxSadoth
    @BonamaxSadoth 8 місяців тому +6

    Nakuombea unafanya nzuri Mungu akufanye uwe Rais

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 8 місяців тому +11

    makonda popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia akujalie mema saidi 🎉🎉❤❤❤

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 8 місяців тому +9

    Eti anamacho makubwa mweupe anakutisha eti ee🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hii nchi tunacheka kama mazuri

  • @stellamartin5106
    @stellamartin5106 8 місяців тому +5

    Mungu baba wa mbinguni mpe umri mrefu na afya njema.

  • @Ihsankeizer
    @Ihsankeizer 7 місяців тому +1

    Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu9232 8 місяців тому +4

    Mmmmh huuu uamuzi wa Makonda Mungu anajua

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 8 місяців тому +4

    Mungu akulinde Makonda🙏❤️❤️❤️❤️❤️

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 8 місяців тому +10

    Huyo police muongo anasema hapajui.hrf liko ndani ya kambi tumueleweje?

  • @kapesekapese7167
    @kapesekapese7167 8 місяців тому +13

    Namuona Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda, big up brother. Komboa wanyonge kaka.

    • @ShadrackKapange
      @ShadrackKapange 4 місяці тому

      Lakini kweli na mm nikimuona makonda nakua kama nimemuona magufuli (from Malawi)❤❤

  • @NahyaAli-q5d
    @NahyaAli-q5d 8 місяців тому +38

    Makonda ni mwamba kam miamba wengine likes nyingi kama unamuelewa makonda

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 8 місяців тому +22

    Tutajionea sanaa na sarakasi nyingi Kwa watendaji wa serikali.

  • @batilda4920
    @batilda4920 8 місяців тому +35

    Ndio maana wamemnyang'anya Bango wanajua makosa Yao hawa maskari wanyanyasaji Sana hawa dhulmat Sana.

  • @IsaayJohn
    @IsaayJohn 8 місяців тому +18

    Mungu wangu! Mhe makonda tuokoe na dhuluma hizi za viongozi wasiowaadilifu na wenye kutumia madaraka yao kunyanyasa wananchi!

    • @sosmakanya4901
      @sosmakanya4901 8 місяців тому +1

      Usanii mwingi Anaibua mambo na kuyatelekeza fustilia uone

  • @inviolatamalifa6871
    @inviolatamalifa6871 8 місяців тому +12

    Hongera sana Baba kwa kutetea wanyonge ,Mungu akujalie afya njema Baba.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 8 місяців тому +12

    Asante Makonda,nadhan mama samia umeona kwann watu wanahamia chadema kuna madudu mengi ktk chama chako

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 8 місяців тому

      Hilo sio suluhisho ni kuwapa mikataba watumishi wa serekali wakishidwa hawapewi mikataba mipya

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 місяці тому

      Akiona

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 місяці тому

      Et mama Samia ameona🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 8 місяців тому +7

    Ulifika kwake ? Nyumba hiyo aliyojenga inapakana na Polisi? Na kama ndiyo basi ulifika

  • @shehanimzee9953
    @shehanimzee9953 8 місяців тому +8

    Kwanini hao polisi wamemnyang'anya bango?

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa 8 місяців тому +1

    Makonda. Unajitihid kuelewa maelezo..! Ya walalamikaji. Mungu akulinganie daima...sababu. Nimuelewa sikuwahi kukujua Kama nimuelewa kiasi hicho. Pendekezo langu binafsi. Tunaomba tuwe tunaoneshwa walioludishiwa haki zao. Chama Cha ccm nakukubar kupitia utalatibu wako. Asante mungu Akulinde daima

  • @IssaSenza-m7h
    @IssaSenza-m7h 3 місяці тому

    Nakukubari makonda piga kazi huo ndio uongozi Bora sio Bora kiongozi mungu atakulibda

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 8 місяців тому +23

    MAKONDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO AKUPUSHE NA MABAYA YOTE ❤❤❤❤❤❤❤

  • @kahema_steven
    @kahema_steven 8 місяців тому +8

    Hii ndo CCM sasa, achana na vyama vingne

  • @SilvioMpogole-o7f
    @SilvioMpogole-o7f 8 місяців тому +10

    Kumyang'anya bango ni ushahidi tosha simamisha wote

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed 5 місяців тому +2

    Makonda mtetez wawanyonge karibu arusha kumenuka mungu akuangazie Nuru ya uso wake Amin🙏🙏

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 8 місяців тому +3

    Huyo mama kasema hapajui kwake kwakuwa wao wanadai eneo ni la polisi ndio maana hakusema kuwa ni kwake, mwananchi yeye anaitwa kwake 😂😂😂

  • @KaboSumwa
    @KaboSumwa 8 місяців тому

    Hongera karibu mwenezi kwa ufatiaji

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 8 місяців тому +16

    Ila Polisi wengi wanaonaga Nchi hii yao

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 8 місяців тому +31

    Huyu jamaa ni kichwa sana.MUNGU Akulinde makonda.endelea kuwapigania wananchi kwa moyo huo huo

    • @saimonjohnsumley9198
      @saimonjohnsumley9198 8 місяців тому

      Kwani hao police Mali ya nani? Au ni Mali ya CDM? Acheni maigizo

  • @dorotheasamwel8071
    @dorotheasamwel8071 8 місяців тому

    Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 8 місяців тому

      Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.

  • @mohamedpinda544
    @mohamedpinda544 8 місяців тому +8

    Hii nchi polisi wanatakiwa wapigwe msasa wanaendesha kikoloni Kila sehemu malalamiko ya polisi tu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 8 місяців тому +21

    Uonevu umeibuka hatar Sana polis wajiangalie

  • @WilliamMlangi
    @WilliamMlangi 7 місяців тому

    Makonda hongera kwa kazi ngum na yenye weledi

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 8 місяців тому +9

    Polisi ndi majambazi mbwa sana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 8 місяців тому +23

    Magufuli atakumbukwa!!MAKONDA tunakupenda ❤

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 8 місяців тому +14

    Sasa hapo tunachanganyikiwa maana hapajui kwake halafu tena anasema kajenga ndani ya kambi,...kivipi?...basi anapajua.

  • @DottoKitambi
    @DottoKitambi 8 місяців тому

    Makonda oyeeeee mungu akubariki sanajaman mkomboz wa wanyonge. jitahid siku moja huende na mahospitalin ukaone vihoja

  • @willeyluoga6465
    @willeyluoga6465 3 місяці тому

    Namkubali sana mwamba yaani alimopita hayati Raisi Magufuli ndimo anamopita wananchi tunakukubali sanaaa na tunakutegemea Mungu akupe maisha marefu makonda

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio7265 8 місяців тому +4

    Naona Yohana mbatizaji anatengeneza njia kwajili ya Mama!

  • @alastridamichael5685
    @alastridamichael5685 8 місяців тому

    Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana

  • @userwalterreal
    @userwalterreal 8 місяців тому +6

    Jamani jamani polisi mmepotoka hahahhaha😢😢😢

  • @JoharySarehe
    @JoharySarehe 7 місяців тому +3

    Mpaka machozi😢😢😢 mungu akulinde mweshimiwa makonda

  • @shuwanaliloka3816
    @shuwanaliloka3816 8 місяців тому +8

    Makonda nakuomba uvaege na buleti prufu maana maadui ni wengi hata hao askari wanaweza kukutumia sharp shooters wakakumaliza.

  • @SaidyMalumbo-j5q
    @SaidyMalumbo-j5q 8 місяців тому +17

    Pumzika kwa amani anko magu hii ndo inchi aliyoiyacha watu wanafanya wanavyotaka kutokana na mamlaka yao😢😢

  • @chidomobile9546
    @chidomobile9546 8 місяців тому

    Hakika umejitoa sadaka kwa ajili yutu so niwajibu wetu kukuombea kila aina ya dua ili haki ipatikane good job kaka

  • @IzraeliHerman
    @IzraeliHerman 8 місяців тому +5

    Huyo mama ni jambazi kweli

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 8 місяців тому +2

    Mungu kamrudisha Magufuli kwa njia ingine😢😢😢😢

  • @josephkalwani
    @josephkalwani 8 місяців тому +13

    😂😂😂😂😂 sasa kama hapajui amejuaje kama amejenga ndani ya kambi?

  • @JumaKwale
    @JumaKwale 8 місяців тому

    Kaka makonda mungu akupe maisha marefu na Imani ya mungu saidia wenye shida na fukuza hao wafujaji

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 8 місяців тому +9

    Hahahaha police ina kambi sku hz 😅😅😅😅😅

  • @DaviMaiko
    @DaviMaiko Місяць тому

    Makonda kidogo anahofunamungu

  • @allykamwela8474
    @allykamwela8474 8 місяців тому +2

    Mungu azid kukulinda ucje ukapewa sum bure

  • @mitundafmoni7699
    @mitundafmoni7699 8 місяців тому +3

    hii nchi imejaa dhulma wallah kias tusiende mbele😊

  • @FrediMolell-ql9sg
    @FrediMolell-ql9sg 5 місяців тому

    Makonda mungu akubariki

  • @MilawanduMwajuma
    @MilawanduMwajuma 8 місяців тому

    Wanafki hawa, Mungu anawaona, Inshallah

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 8 місяців тому +1

    We Makonda, utawauwa watu kwa kazi zako hixi,unsnyoosha watu waovu tinakuhitaji mbagala zakhem Dares salaam

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 8 місяців тому +3

    Hao waliokimbia na bango ,unge wasweka ndani hapohapo

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 8 місяців тому +9

    Hakuna democracy...
    In Tanzania 🇹🇿

  • @JoelMuro-dr1sf
    @JoelMuro-dr1sf 4 місяці тому

    Makonda piga kazi mungu atakulinda

  • @WitnessMwanga
    @WitnessMwanga 5 місяців тому

    Makonda jemb Kam magufuli jamn, mungu akulinde , sanaa

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 6 місяців тому

    Mungu akutunze kaka

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 3 місяці тому

    Mungu akutangulie makonda

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 7 місяців тому +3

    Wmesepa na bango sio😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 8 місяців тому +6

    MAKUMAKONDA NYAYO ZA BABA❤❤❤

  • @ombenimunisi6311
    @ombenimunisi6311 8 місяців тому +3

    Halafu nyie jeshi la polisi mnajidhalilisha.

  • @DavidMchome
    @DavidMchome 8 місяців тому +14

    Huyo OCD hata sura yake inaonyesha ni katili

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 8 місяців тому +1

    Unaita nyumba za watu kibanda fala askar

  • @FelxiPius
    @FelxiPius 8 місяців тому +9

    Mungu akutangulie Kila utakapo kanyaga mguu wako Mweshimiwa Makonda

  • @lossarungira965
    @lossarungira965 8 місяців тому +2

    Daaah, njaa mbaya sana

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman4657 8 місяців тому +1

    Nimemuona mama kama alitaka kugombea mic au sijaangalia vizuri

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 8 місяців тому +1

    Mh.mengine uwe unamaliza hapo hapo police ni tatzo sehem zote unaleta iman kwa chama sasa❤❤❤❤❤

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan8358 8 місяців тому +5

    Hujaenda kwake naunasema alijenga ndani yakambi sindio nyumba aliyokuwa anaishi mkaibomoa? Ww mama vipi

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 8 місяців тому

      Yani sijui kwann wamemuachia

    • @RehemaMagoire
      @RehemaMagoire 3 місяці тому

      Akili finyu,. Jambo la uongo halizami tumboni.Anajichanganya mwenyewe😊

  • @angelinaishika
    @angelinaishika 8 місяців тому

    Jamani makonda mungu akubariki

  • @sadickmsigwa2998
    @sadickmsigwa2998 8 місяців тому +1

    Makonda🔥🔥🔥

  • @JamesJosephSullley
    @JamesJosephSullley 8 місяців тому +1

    Hongera makinda kwa hilo msaidie huyo mwananchi na wengine wanaodhulumiwa

  • @JosephatKagina
    @JosephatKagina 8 місяців тому

    Ccm oye kazi iendelee

  • @agnessboaz7349
    @agnessboaz7349 8 місяців тому

    Sema kweli makonda unamaliza mb zangu nakupenda bure

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 8 місяців тому

    Hii nchi jamani ooh! Mungu ana macho kila mahali anaona wadhulumuji

  • @syliveriuszaverius2347
    @syliveriuszaverius2347 4 місяці тому

    Aiseee Makonda nakuomba uje mkoa Kagera jamani madudu tumeyajaza hapa njoo utuondolee

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 8 місяців тому +18

    Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "

    • @djbaddest1220
      @djbaddest1220 8 місяців тому +1

      Nchi zilizoendelea zote ajira sio kpaumbele kabxa watu wanajiajr 🙏

    • @kahema_steven
      @kahema_steven 8 місяців тому

      Umeandika nn sasa hicho 😅

    • @djbaddest1220
      @djbaddest1220 8 місяців тому +2

      @@kahema_steven tulza mbul

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 8 місяців тому +11

    ASANTE SANA MAKONDA KWA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKO MAGU. MUNGU AKULINDE.

    • @marryfelician1426
      @marryfelician1426 8 місяців тому

      Na kwa nini Askari mkubwa hivyo unaongea uwongo Askari mzima

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 5 місяців тому

    Huyo ocd apigwe chini, kala sana rushwa hadi katuna hivo, dah

  • @FridaMmari
    @FridaMmari 3 місяці тому

    😂😂😂 akikwangalia macho yanatishaaa

  • @saidunikanju6410
    @saidunikanju6410 8 місяців тому +7

    Hupajui kwake mbona unasema kajenga kwenye eneo lapolici?

    • @AmianaMavura
      @AmianaMavura 8 місяців тому

      Shangaa na wewe wanapenda kujitoa fahamu kweli

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 8 місяців тому

    Mmmmmh watu tunapitia mengi😢😢😢😢

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy 8 місяців тому +1

    Tushindwa Kujua Hapa, Niserikali Inaongoza Au Nichama????

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 3 місяці тому

    Muhesimiwa msaidie huyo baba kwa nn wamechukua bango lake

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp 7 місяців тому

    Kwa nn ape eno ammbalo mnasema la police

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 8 місяців тому +3

    Makonda anafanya kazi kubwa sanaaaa

  • @SharifaLienike
    @SharifaLienike 8 місяців тому +1

    Jamani Dunia inamambo uyo anajifanya apajui nyumbani kwawalio mzilum tena

  • @PatrinusSanga
    @PatrinusSanga 8 місяців тому

    Ivi watu wanajielewa kweli kero angepelekewa waziri mkuu makonda Hana utatuzi wa kero hizo vinginevyo ni kuhatarisha maisha yako

  • @amad1638
    @amad1638 8 місяців тому

    Teteeni wanyonge mungu azidi kukuweka

  • @sarahkwamboka8190
    @sarahkwamboka8190 7 місяців тому

    Natamani ningezaliwa mTanzania, viongozi kusikiliza wananchi ni busara ya hali ya juu mno.

  • @MwalimuPeter
    @MwalimuPeter 8 місяців тому

    Hii nchi hii...!

  • @GodLukungu
    @GodLukungu 8 місяців тому

    Wewe mwamba wanyonge tunakutegemea Mungu akutunze

  • @PauloMathayo-ql8cl
    @PauloMathayo-ql8cl 5 місяців тому

    jaman sio kila police ni njema mapolice wengine ni wabaya san

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 8 місяців тому +5

    Maigizo tu,, keroooooooo keroooooooo,, tunajenga nchi ya namna gani hiii???

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 8 місяців тому

      Watu hawafanyi kazi zao vizur labda akujue au uwe na hela ndio utapat huduma nzur ktk ofisi zao ni mtihan mkubwa.

    • @ShangweMariki
      @ShangweMariki 8 місяців тому

      Ulitakajee ndugu

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 8 місяців тому +3

    Ndugu yangu unajipa tabu kumpiga kelele kwa viongozi ndugu mshukuru huko unakoelekea litakukuta jambo ujute viongozi hao wanalindana, rabda alifuatilie makonda mwenyewe

  • @katotoGenius-ml9ve
    @katotoGenius-ml9ve 8 місяців тому +1

    Rushwa umerejea Tena,daaaah hii nchi imekithiri uozo

  • @OmaryKagwiza
    @OmaryKagwiza 4 місяці тому

    Nchii yangu 🇹🇿✅

  • @radhiaally4872
    @radhiaally4872 8 місяців тому +1

    Nchi ina taab sn Mungu tusaidie