Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....
Makonda. Unajitihid kuelewa maelezo..! Ya walalamikaji. Mungu akulinganie daima...sababu. Nimuelewa sikuwahi kukujua Kama nimuelewa kiasi hicho. Pendekezo langu binafsi. Tunaomba tuwe tunaoneshwa walioludishiwa haki zao. Chama Cha ccm nakukubar kupitia utalatibu wako. Asante mungu Akulinde daima
Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO
Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.
Namkubali sana mwamba yaani alimopita hayati Raisi Magufuli ndimo anamopita wananchi tunakukubali sanaaa na tunakutegemea Mungu akupe maisha marefu makonda
Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana
Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "
Mungu akusaidie kaka makonda Mungu akufinike adui asikuone
Nakuombea unafanya nzuri Mungu akufanye uwe Rais
makonda popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia akujalie mema saidi 🎉🎉❤❤❤
Eti anamacho makubwa mweupe anakutisha eti ee🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 hii nchi tunacheka kama mazuri
😂😂😂 yaani tutacheka sana lound hii
Mungu baba wa mbinguni mpe umri mrefu na afya njema.
Truly President Maghufuli left a wonderful legacy.. And I have watched Mr Makonda since he was the R.C in Daressalam . President Samia appointed the right person to represent her for this job. I'm also very sure Mr Makonda will be a future Tanzanian president....
Mmmmh huuu uamuzi wa Makonda Mungu anajua
Mungu akulinde Makonda🙏❤️❤️❤️❤️❤️
Huyo police muongo anasema hapajui.hrf liko ndani ya kambi tumueleweje?
Hilo lidada dawa yake ni Looo
Namuona Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda, big up brother. Komboa wanyonge kaka.
Lakini kweli na mm nikimuona makonda nakua kama nimemuona magufuli (from Malawi)❤❤
Makonda ni mwamba kam miamba wengine likes nyingi kama unamuelewa makonda
Tutajionea sanaa na sarakasi nyingi Kwa watendaji wa serikali.
Ndio maana wamemnyang'anya Bango wanajua makosa Yao hawa maskari wanyanyasaji Sana hawa dhulmat Sana.
Mungu wangu! Mhe makonda tuokoe na dhuluma hizi za viongozi wasiowaadilifu na wenye kutumia madaraka yao kunyanyasa wananchi!
Usanii mwingi Anaibua mambo na kuyatelekeza fustilia uone
Hongera sana Baba kwa kutetea wanyonge ,Mungu akujalie afya njema Baba.
Asante Makonda,nadhan mama samia umeona kwann watu wanahamia chadema kuna madudu mengi ktk chama chako
Hilo sio suluhisho ni kuwapa mikataba watumishi wa serekali wakishidwa hawapewi mikataba mipya
Akiona
Et mama Samia ameona🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ulifika kwake ? Nyumba hiyo aliyojenga inapakana na Polisi? Na kama ndiyo basi ulifika
Kwanini hao polisi wamemnyang'anya bango?
Makonda. Unajitihid kuelewa maelezo..! Ya walalamikaji. Mungu akulinganie daima...sababu. Nimuelewa sikuwahi kukujua Kama nimuelewa kiasi hicho. Pendekezo langu binafsi. Tunaomba tuwe tunaoneshwa walioludishiwa haki zao. Chama Cha ccm nakukubar kupitia utalatibu wako. Asante mungu Akulinde daima
Nakukubari makonda piga kazi huo ndio uongozi Bora sio Bora kiongozi mungu atakulibda
MAKONDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO AKUPUSHE NA MABAYA YOTE ❤❤❤❤❤❤❤
Amen.
Hii ndo CCM sasa, achana na vyama vingne
Kumyang'anya bango ni ushahidi tosha simamisha wote
Makonda mtetez wawanyonge karibu arusha kumenuka mungu akuangazie Nuru ya uso wake Amin🙏🙏
Huyo mama kasema hapajui kwake kwakuwa wao wanadai eneo ni la polisi ndio maana hakusema kuwa ni kwake, mwananchi yeye anaitwa kwake 😂😂😂
Hongera karibu mwenezi kwa ufatiaji
Ila Polisi wengi wanaonaga Nchi hii yao
Kama vile 🇰🇪
Huyu jamaa ni kichwa sana.MUNGU Akulinde makonda.endelea kuwapigania wananchi kwa moyo huo huo
Kwani hao police Mali ya nani? Au ni Mali ya CDM? Acheni maigizo
Big up OCD... raia anaingiaje kambini na kujenga kibanda afu asifukuzwe.. ebu tofautisha kibanda na nyumba ya kuishi... tusijibu kwa preshaaa... ocd safi sanaaa... umejibu kwa kujiamini...na kwa uhakikaaaa... BANGO SASA BAAANGOOO
Mjomba hueleweki,kama kweli huyo OCD ni mkweli,imewezekanaje Mtu ajenge Mpaka amalize awe anaishi,hao polisi walikua wapi?Na kama KESI IPO mahakamanni,iweje wasisubiri Maelekezo ya Mahakama? OCD ameenda kufanya nini Usiku huko nyumbani kwa muhusika? Kwanini wamnyang'anye Bango ?kwa Akili ya kawaida Inaonyesha kwamba, Askari walijua KOSA lao,na hapo washaingia Doa.Hapo subiri kifuatacho?Mapolisi wengi ni Majambazi waliosajiliwa na kukabidhiwa Silaha na Serikali,.
Hii nchi polisi wanatakiwa wapigwe msasa wanaendesha kikoloni Kila sehemu malalamiko ya polisi tu
Uonevu umeibuka hatar Sana polis wajiangalie
Hasante
Makonda hongera kwa kazi ngum na yenye weledi
Polisi ndi majambazi mbwa sana
Magufuli atakumbukwa!!MAKONDA tunakupenda ❤
Sasa hapo tunachanganyikiwa maana hapajui kwake halafu tena anasema kajenga ndani ya kambi,...kivipi?...basi anapajua.
Aise namm nimeshangaa sana 😂
😂 labda anamaanisha hapajui kwakuwa anaamini pale walipobomoa sio kwake ni kwa polosi
Sawa,...basi tuseme tu hivyo
Makonda oyeeeee mungu akubariki sanajaman mkomboz wa wanyonge. jitahid siku moja huende na mahospitalin ukaone vihoja
Namkubali sana mwamba yaani alimopita hayati Raisi Magufuli ndimo anamopita wananchi tunakukubali sanaaa na tunakutegemea Mungu akupe maisha marefu makonda
Naona Yohana mbatizaji anatengeneza njia kwajili ya Mama!
Hongela sana makonda kwakutusaidia sana kelo zetu nimekupenda sana umebadili Kwa manguvulu Fanya kazi baba nimekupenda bule baba angu kwakazi nzuli unayofa nya mungu akubalikisana
Jamani jamani polisi mmepotoka hahahhaha😢😢😢
Mpaka machozi😢😢😢 mungu akulinde mweshimiwa makonda
Makonda nakuomba uvaege na buleti prufu maana maadui ni wengi hata hao askari wanaweza kukutumia sharp shooters wakakumaliza.
Kweli kabisaaa
Pumzika kwa amani anko magu hii ndo inchi aliyoiyacha watu wanafanya wanavyotaka kutokana na mamlaka yao😢😢
Hakika umejitoa sadaka kwa ajili yutu so niwajibu wetu kukuombea kila aina ya dua ili haki ipatikane good job kaka
Huyo mama ni jambazi kweli
Mungu kamrudisha Magufuli kwa njia ingine😢😢😢😢
😂😂😂😂😂 sasa kama hapajui amejuaje kama amejenga ndani ya kambi?
😂😂😂😂
Wazo zuri 👏
Hapo sasa sijuh kwanini hajaulizwa
Kaka makonda mungu akupe maisha marefu na Imani ya mungu saidia wenye shida na fukuza hao wafujaji
Hahahaha police ina kambi sku hz 😅😅😅😅😅
Makonda kidogo anahofunamungu
Mungu azid kukulinda ucje ukapewa sum bure
hii nchi imejaa dhulma wallah kias tusiende mbele😊
Makonda mungu akubariki
Wanafki hawa, Mungu anawaona, Inshallah
We Makonda, utawauwa watu kwa kazi zako hixi,unsnyoosha watu waovu tinakuhitaji mbagala zakhem Dares salaam
Achen kukili mapooza utaumia ww
Hao waliokimbia na bango ,unge wasweka ndani hapohapo
Hakuna democracy...
In Tanzania 🇹🇿
Makonda piga kazi mungu atakulinda
Makonda jemb Kam magufuli jamn, mungu akulinde , sanaa
Mungu akutunze kaka
Mungu akutangulie makonda
Wmesepa na bango sio😂😂
MAKUMAKONDA NYAYO ZA BABA❤❤❤
Halafu nyie jeshi la polisi mnajidhalilisha.
Huyo OCD hata sura yake inaonyesha ni katili
😂😂😂😂😂
Unaita nyumba za watu kibanda fala askar
Mungu akutangulie Kila utakapo kanyaga mguu wako Mweshimiwa Makonda
Daaah, njaa mbaya sana
Nimemuona mama kama alitaka kugombea mic au sijaangalia vizuri
Mh.mengine uwe unamaliza hapo hapo police ni tatzo sehem zote unaleta iman kwa chama sasa❤❤❤❤❤
Hujaenda kwake naunasema alijenga ndani yakambi sindio nyumba aliyokuwa anaishi mkaibomoa? Ww mama vipi
Yani sijui kwann wamemuachia
Akili finyu,. Jambo la uongo halizami tumboni.Anajichanganya mwenyewe😊
Jamani makonda mungu akubariki
Makonda🔥🔥🔥
Hongera makinda kwa hilo msaidie huyo mwananchi na wengine wanaodhulumiwa
Ccm oye kazi iendelee
Sema kweli makonda unamaliza mb zangu nakupenda bure
Hii nchi jamani ooh! Mungu ana macho kila mahali anaona wadhulumuji
Aiseee Makonda nakuomba uje mkoa Kagera jamani madudu tumeyajaza hapa njoo utuondolee
Hii Nchi ina mambo ! Sometimes Sana'a za ccm zinachosha kuzisikiliza --- maana tumeanza kuzisikia toka tukiwa watoto,mpaka tunazeeka sasa,hakuna chochote kinachobadilika -- ugumu wa maisha unazidi kuongezeka -- mfumuko wa bei ndio huo,vitu havishikiki -- umeme unakatika toka miaka ya 70 mpaka Leo,haujawahi kuwa stable -- migogoro ya ardhi imesambaa every where Nchini -- pamoja na rasilimali lukuki alizotubariki Mungu,lakini umaskini kwa wa Tz unazidi kutamalaki ---ajira hakuna " Inauma moyo "
Nchi zilizoendelea zote ajira sio kpaumbele kabxa watu wanajiajr 🙏
Umeandika nn sasa hicho 😅
@@kahema_steven tulza mbul
ASANTE SANA MAKONDA KWA KUFUATA NYAYO ZA BABA YAKO MAGU. MUNGU AKULINDE.
Na kwa nini Askari mkubwa hivyo unaongea uwongo Askari mzima
Huyo ocd apigwe chini, kala sana rushwa hadi katuna hivo, dah
😂😂😂 akikwangalia macho yanatishaaa
Hupajui kwake mbona unasema kajenga kwenye eneo lapolici?
Shangaa na wewe wanapenda kujitoa fahamu kweli
Mmmmmh watu tunapitia mengi😢😢😢😢
Tushindwa Kujua Hapa, Niserikali Inaongoza Au Nichama????
Muhesimiwa msaidie huyo baba kwa nn wamechukua bango lake
Kwa nn ape eno ammbalo mnasema la police
Makonda anafanya kazi kubwa sanaaaa
Jamani Dunia inamambo uyo anajifanya apajui nyumbani kwawalio mzilum tena
Ivi watu wanajielewa kweli kero angepelekewa waziri mkuu makonda Hana utatuzi wa kero hizo vinginevyo ni kuhatarisha maisha yako
Teteeni wanyonge mungu azidi kukuweka
Natamani ningezaliwa mTanzania, viongozi kusikiliza wananchi ni busara ya hali ya juu mno.
Hii nchi hii...!
Wewe mwamba wanyonge tunakutegemea Mungu akutunze
jaman sio kila police ni njema mapolice wengine ni wabaya san
Maigizo tu,, keroooooooo keroooooooo,, tunajenga nchi ya namna gani hiii???
Watu hawafanyi kazi zao vizur labda akujue au uwe na hela ndio utapat huduma nzur ktk ofisi zao ni mtihan mkubwa.
Ulitakajee ndugu
Ndugu yangu unajipa tabu kumpiga kelele kwa viongozi ndugu mshukuru huko unakoelekea litakukuta jambo ujute viongozi hao wanalindana, rabda alifuatilie makonda mwenyewe
Rushwa umerejea Tena,daaaah hii nchi imekithiri uozo
Nchii yangu 🇹🇿✅
Nchi ina taab sn Mungu tusaidie