Mkiact halafu mkiingiza na mambo ya kiisilam basi ni bora muwaulize masheikh! Kitanda hakizai haram lkn mnakosea kusema ati muishi na musahau yaliopita kwa kua tu ati wazee mlikosana na mkaishi nakuzikana. Zinaa ya ndani ya ndoa m’ke haruhusiki hata kukaa eda namna Allah anavyoichukia zaidi.
Movie nzr mno asanteni kwa funzo pia ❤more love 😘
Mashaallah Mashaallah filamu nimeipenda sana hii. Inamafunzo tosha katika jamii zinazotuzungusha shukurani sana. Ahamd. Shiringi
😂😂..swadakta
Nice movie ❤❤❤
Asante kwa mafundishoyenu mzr nimejifunza kitu kwa kweli
Hongera maiko wa shilingi kwa kazi njema kusamehe ni jambo nzuri nimejifunza kitu hapa
Wah movie zuri kweli ikona mafunzo mazuri❤❤❤❤
Jaman chezea kila kitu so mke wa mtu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Umeniliza latifa and hemed😢😢😢😢😢😢😢😢 movie nzr sana imetufunza
OG nembo wa mtaa from Kenye Micheal is my legend rejesha shilingi
Michel kaz nzur san part2 plz ❤❤❤❤
Tunawakubali sana ila tumalizie shilingi pliz.7stian kenya❤
Jamani tuandamane kwa ajili ya shilingi 😢pengine tutasaidika roma,tupostie plzplz
Duhuu ni kweli shilingi inatumis sana mimi siko tayari kwakufata filam yoyote ile kabla sija malizia shilingi
Mama n mqaarm kwel manshallah ❤❤❤ila ss wanawake pia tuache kusaliti ndoa zetu
Mashallah movie nzuri ❤❤❤
Akika filamo nizuri ila tunaka mutumalizie shilingui Kwanza mana tuna Hamo yakumaliza here from Mozambique ❤️❤️❤️💖💖💖
Michael umecheza vizuri sana basi utoe zingine❤❤❤❤❤❤
Latifa ww unamakosa kbs yn penzi ndio uvunje ndoa yako Pole Medi😥😥😥😥😥😥
Big up sana ndugu zangu mafunzo mazuri sana munatufundisha❤🇧🇮🇸🇦
Nzuri sana, ila sio wanaume wengi wanaeza kukudhamini tena
Kaz mzur imefundisha Sana
Tunaitaka shingui kwa hamo sana bwana rusheni kamba ipo tunasubilia
Maïko tuna taka SHILINGI iendele hapa Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Sio ya leo hii move ni ya mdaaaaaa Sana niliangalia wakat npo zenj kabla haijaja shilingi jmn shilingi ipo wapii😢😢😢😢😢😢
Washaafel hawa drama kibao
Nimependa sana❤❤❤❤
Napenda move za Michel
❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢 ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote
Kwaiyo karim mmmemuacha tu 😅😅 aendelee kualibu ndoa zingine😂😂 angepewa hata kishipaa
Tunataka shillingi, tunataka shilingi, tunataka, shilingi 🚶♀️🚶🚶♀️🚶💔💔😡😡😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪
Tunataka shilingi ama tuandamane kama raila 😢😢😢😢😢😢😢😢
Apo n sawa
Maandamano yameanza ya shilingi🚶♀️🏃♂️🏃♀️🕺💃👯♂️🚶♂️🚶♀️🏃♂️🏃♀️🕺💃🚶♂️👩⚖️👨⚖️👨🏭👩🔧👩🍳👩🌾
💔💔💔💔💔🇧🇮😭😭😭
Tunataka shilingi tunataka shilingi tunataka shilingi😢😢😢😢😢😢
Meddy love your part such Amazing, Amazing movie great lesson learnt keep up the good work ❤️❤️❤️ love watching
Huyu jamaa anajuwa sana ❤❤❤
Nimeipenda sana❤❤❤
Daah linafuza huna mbambambaaaa ❤❤❤
Mke hakua tayari na ndoa maanake kadanganywa
Nanyie wanawake muwe na hakili Kuna muda mnawachosha waume zenu ko umiolewa jieshimu ,,tamaaa ndo mbaya Sana huleta ushetan
Good message mother
uyu Michael kumbe ni mjinga kistep ,
Funzo Zuri Sana Kwa Jamii,
Mwenzenu ninakazi yakutafuta mwendelezo kumbe imeisha 😂😂😂 acha tuu niangalie hoi apa
Tupo wengi tunaitafuta
Hiyo beat n poa sana
Mshaafeli tayar hamna jipya tena
Hapo hakuna mapenzi hiv kufanyiwa had mimba mchezo 😢😢ushauri huo citaki labda nicjuwe
Sauti yako iko vzr bro
Kama haulete shilingi sisi hatufate movie zenyu kwetu congo
👍👍👍
Mwi show 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Tunataka shilingi bhana
Jaman mm sinaaman shilingi nahitaji
Msipoendeleza shilingi sisi wakenya hatuangalii tena movie zenu
Tunataka shilingi sisi
Kwani shilingi imeisha unajua unapoteza mashabiki ukitumana movie naiishe ndo uweke nyingine
Wakisifiwa tu. Baaas wanaharibu
Mumeambiwa msubili itakuja kwahyo kama shilingi haipo watu ndo wasifanye mambo mengine nyie vipi
Tunataka Shilling 😢😢😢😢😢😢😢
Mshaanza kutuletea drama tena tunaitaji shilingi
😂😂 leta shilingi dj wetu unatuangusha
@@queenofireland898 dj anatuzingua
😂😂😂
Shilingi imeenda ile
😂😂😂😂😂😂😂
Na pengine kwa shoo angepewq ange
Msaliti mume zaidi
Shilingi ishapotea tena
Jama shilingi ndio furaha yetu
Hatuna hamu ya iZi muvi zenu tunataka shilling
Vipi tena shilingi
Haifundishi maadili zaidi ya udayuuth mtupu
Leta shillingi Duuh
Daah inataka moyo sana
Asante movie inamafuzo
Jamani shilling shilling shilling
Msipo leta shilingi siangaliii tena muvi ya mtu yeyote anae usika kwenye shiling
😅😅😅
😂😂😂 sema ukweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂punguza hasira
Km umkali mbona ustafute wakwako ndo uoneshe io mechi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shilingi jamaniiii😂❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ikowap?
good movie
Hyu mschana Hana mana kbcaaa aliokutuma nnani utembee n Karim mwanakulitafuta mwanakulipata
Bonge la move
Movie kali❤❤
Washakula shilingi zoteeeee😅😅
Hata mimi ningempa talaka mana angeyakuta yaliyomo yamo ktk mechi alocheza inamana ndo angekuwa mchipuko wake daima dawamu
hii movie ya mwaka gani naona lukman ni mdogo sana
Hemedi anajua anajua tena
Karim wewe ulitaka mzigo sasa chukuwa mzigo peleka kwako ndo uendeleye na ubezema wako
Mambo mwayafanya mengi mbona msitumalizie shilingi kwanza jamani
Jaman shilingi mambo gan hayoo 😢
Madunzo mazuri❤
ningependa kujua,je nialali jamaa kuendelea kushiriki tendo la ndoa nae
Mkiact halafu mkiingiza na mambo ya kiisilam basi ni bora muwaulize masheikh! Kitanda hakizai haram lkn mnakosea kusema ati muishi na musahau yaliopita kwa kua tu ati wazee mlikosana na mkaishi nakuzikana. Zinaa ya ndani ya ndoa m’ke haruhusiki hata kukaa eda namna Allah anavyoichukia zaidi.
Safi 2
Kaka wa shilingi❤❤❤❤❤❤❤
Mpaka mda gani brother shilingi
Mpaka mda gani brother shilingi
Tunaka shilingi
Aisee mpaka nmetokwa na chozi inauma sana 😭😭😭
Nawatuambie kma shillingi imeisha ama vp
Kwan shilingi ndio akuna tena ama
Pole michael wa shilingi ndo hali ya ndoa ina misuko misuko
Mpaka lini jaman
Nahadiya namimi nashangaa
Tuletee shilingi plz dj plz plz plz
Minaona Dj kama ameishiwa
Shida so dj walio igiza ndo wameishia hapo si ilikuwa inalushwa sinema zetu ndo ilipo ishia mpaka wakashuti tena mwaka 2047
Mama Dini haijasema ivo kitanda hakizai haram sio kweli
Shiling mshainunua mihogo
Tunataka shilingi jmn
Tuleteeni shilingi
Shilingi shilingi aaaaah mmetukatir
Lakini Latinas unamlaumu bure Rose ila ni kosa lako mwenyewe zakuqmbiwq changing na zako
Tutaacha kuyangalia haya maana move zenu hazifiki mwishoo shilingi umeishia njiani
Keteni shilingi hatutak ngonjera
Jaman xhiling imeixha
Huku wapi tena shillingi haijaisha mwatuletea nyingine loh hebu njoo kule utumalizie ndio mambo mengine yaendelee
Khaa Latifa wewe hapana