MFAHAMU ASKOFU MTEULE WOLFGANG PISA WA JIMBO LA LINDI,MAISHA YAKE,WITO,AHADI YAKE KWA WANALINDI..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 23

  • @GevasTarimo-pw6et
    @GevasTarimo-pw6et Рік тому +2

    Hongera sana Askofu Pisa, nakumbuka aliwahi kutuhudumia chakula mezani na kuhamisha vyombo pale msimbazi center akiwa mkuu wa shirika.. nilihofu mno

  • @seciliamaze451
    @seciliamaze451 2 роки тому +1

    Hongera sana baba Mungu akuongoze katika utume wako.

  • @zephrindomicianlufurano6207
    @zephrindomicianlufurano6207 2 роки тому +1

    Tumsifu Yesu Kristo, askofu mteule Wolfgang Pisa kwa kuteuliwa na Baba Mtakatifu Francis!
    Mungu akubariki Baba askofu mteule katika safari yako ya kichungaji ukiwa askofu wa jimbo la Lindi nchini Tanzania.

  • @marymallya4172
    @marymallya4172 2 роки тому +1

    Daima tunakuombea Baba tunakupenda na wanakwangulelo tutakukumbuka saana Mwenyezi Mungu akutangulie katika utume wako huko Lindi 🙏

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 2 роки тому

    Tumsifu yesu kristo askofu mteule ! Kristo akusimamie ktk. utumishi wako.

  • @shirimadativa4410
    @shirimadativa4410 2 роки тому

    Aisee it's so good

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 2 роки тому

    Mungu akuongoze uweze kulichunga Kundi lake Amina🙏

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 2 роки тому

    Tumsifu Yesu Kristo Baba Askofu.

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 2 роки тому

    Amina

  • @cesidilili6991
    @cesidilili6991 2 роки тому

    Nakutakia utume mwema mungu ajutangulie

  • @kinandaregan2788
    @kinandaregan2788 2 роки тому

    Utume mwema baba Askofu

  • @nangaypaul3795
    @nangaypaul3795 2 роки тому +2

    Mwalimu wangu/ mshauri wangu kwenda Mgambo JKT! Aliniambia kama unaenda Mgambo JKT usisahau kwenda na kisu! Nikamwuliza cha kazi gani? Akaniambia hataki swali! Nunua kisu nenda! Nikanunua kisu cha kukunja sh 350! (1991/1992) kumbe kuna machungwa mengi! Unachuma machungwa tani yako unaenda kupima! Then unakula! Ubarikiwe binamu! Fr! Baba askofu

    • @kyaa006
      @kyaa006 2 роки тому

      UMETISHA SANA ISSUE YA MACHUNGWA

    • @ambrosemtena1112
      @ambrosemtena1112 2 роки тому

      Aisee tulikuwa mwaka mmoja!!! Nilikuwa coy C. Machungwa ndio ilikuwa kama chakula chetu. 😂😂

  • @paulinmachlory9362
    @paulinmachlory9362 4 місяці тому

    Pongezi za dhati,wazazi.

  • @tovelikibumuchauganga4732
    @tovelikibumuchauganga4732 2 роки тому

    Ad laudem Domini Iesu Christi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 роки тому +2

    Fikra pevu, falsafa kubwa..Tunakuombea wewe na Kanisa la Lindi,Mungu akutangulie

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 2 роки тому

    Laudatur Iesus Christus

  • @nangaypaul3795
    @nangaypaul3795 2 роки тому +1

    Wakatoliki siwawezi! Unamwandaa mtu kuwa Askofu! Alafu anakuwa paroko msaidizi ila nyie!🤣🤣🤣!

    • @patrickdidas5818
      @patrickdidas5818 2 роки тому +1

      kuwa msaidizi sio udogo Baba Pisa Alishahudumu na Tayari ni monsinyori hivyo alipunguziwa majukumu ila Kanisa limeona na unajua hekima na uwezo wake wa kufanya na kusema kwa hekima kumemfanya apelekwe kwenye ukuhani mkuu hakuna tatizo lolote la kiutawala

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 2 роки тому

      In the catholic church there is no such thing as lower position

    • @macharosandra9467
      @macharosandra9467 2 роки тому

      Wako kiroho zaidi na sio madaraka ,maana kama ni Elimu hawa watu wamesoma, tofauti makanisa mengine wanangali elimu yako..

    • @kyaa006
      @kyaa006 2 роки тому

      aliye Mkubwa yampasa kuwahudumia wengine..........Kanisa humwandaa Askofu kuwa mtumishi kwa wengine.............ukubwa na udogo si kipaumbele kabisa