Nikwer mama bora ila dida kakosea kumsema kajala leo huyo dida sio kama kajala na Paula ni wageni kwake toka anakuwa ana mjua basi sasa unge mkanya akiwa mbichi kwa sasa mmechelewa .temea mate chini una SAMIA ww ss watu wata anza kufatilia mambo ya samia siku Mange ata kapo lipua ya mwanao usije mfata Rimutusi .unge msema kajala pembeni sio kwenye midia ss hapo kwa kajala mmechelewa sana kwa ushauri kwa Ss Mkunjeni mapema Mtoto wenu Tiffa Dangote.asije kuwa kama Paula.Mwacheni Paula huyo mkubwa mwenzetu.Muwahi Tiffa Dangote
Kwani Paula ni mtoto ...no please leave Kajala alone time Paula alikuwa under age...Ray alilala korokoroni... ..Sahi amejuwa different between maize and Beans...
Dida Kweli wewe ni mama Kwa Kweli juma anampotosha mtoto wa mwenzake yaani sijaelewa juma ni pesa au nini mpaka anampotosha hivi. Dida safi wewe ni mama
Dida ni msema ukwel Dida ni Good mama jmn lkn kajala ni kahaba na ndio mtt karith coz anajiharibia carlea mwenyew yaan mama ana sifa chafu mtt kwann asiwe changudoa mwachen tu mtt afate njia 😢
Dida ww ni mama l recepct you my dear huyo mama yke Paula yupo kibiashara hajali juu ya mwanawe mzazi hayupo hivyo tena mtoto wake wapekee anamfanya hivyo kweli na huyo lokole yupo kimaslahi tuu wala hana mapenzi nao hta kidogo anashojali ni maslahi ttuu mungu mpe Macho aone
Da pesa mbaya kajala hutalia wakukunyamazisha hakuna. Da muhokowe mtoto kajala raha ngani hunayo masikini da wamuonea sana na njaa yako hutajuta da mtoto mzuri anaishiada kajala nakuomba
Leo Dida nimekupendaaaaa ❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌷🌷🌷🌷💐chukua mau yako
Didaa is a real mother
Tena Mama wa nguvu❤
Leo Dada Dida umeongea Kama mzazi tena kwa uchungu hongera mnoo Samir ana mama hongera kwako nimependa mnooo kwa kumwambia kajala ukweli
Nikwer mama bora ila dida kakosea kumsema kajala leo huyo dida sio kama kajala na Paula ni wageni kwake toka anakuwa ana mjua basi sasa unge mkanya akiwa mbichi kwa sasa mmechelewa .temea mate chini una SAMIA ww ss watu wata anza kufatilia mambo ya samia siku Mange ata kapo lipua ya mwanao usije mfata Rimutusi .unge msema kajala pembeni sio kwenye midia ss hapo kwa kajala mmechelewa sana kwa ushauri kwa Ss Mkunjeni mapema Mtoto wenu Tiffa Dangote.asije kuwa kama Paula.Mwacheni Paula huyo mkubwa mwenzetu.Muwahi Tiffa Dangote
Dida nimekupenda anauza mtoto uyo amna kaz wanajizalilisha uyo dada juma nae anapenda ela kuliko utu
Dida leo nimekupenda bureee mpenzi❤
Nampendeeeee😂😂😂kachamba visawasawa eti ngoja dada. Jumalokole😂😂😂😂
Leo kanifurahisha dida
Umehonae mi ndo usiseme
Dida Sema usihogope
Aweee dida Nakupenda dada ❤❤❤🙏🙏maneno yame nyoooka
Dida wewe ni mama bora napenda unavyomlea mwanao anaupendo anaheshima toka mtoto...nampenda sana Samira beauty ❤
Dida ni bonge la mama yaan Samira ana mama anayejielewa maashallah ❤
Dida apewe ulinzi
Waoooooo!!!!!! Dida ww ni mama Bora nakupenda Sana
Congratulations Dida ... Wewe Ni mzazi umeongea Kwa uchunguu wa dhati leoooo
Dida ni mama bora mashallah nimekupenda dada ❤❤❤
Dida✊✊
Dida umeongea point dada more love❤❤❤❤
Dida umeniwezea mpenz ❤❤
Dida, na idrisa leo nimewapenda bure❤😂
Didah ww n mama Bora mungu akujalie kila l kheir juma kashapotea uyo kazana mama didah twakupenda sis paulah n mmke wamepotea
Asante dida ongea kama mama
Asanteeee Didaa Bakora imewachapa kweli kweli Juma limekushukaaaa😏🤪kajala hana mfano mzuri kwa kina single mama 🗣️🗣️🗣️🗣️🙆🏽♀️🎥🎥🎥🎥
Dida ana akili
Dida apewe ulinzi haraka❤❤umeongea kweli dada angu
Dida nakupend bule🥰😍❤waambie ukweli wao👌👌
Huyu Juma mjinga tuu. Dida I love you sooo much
Juma wa hovyo sana
Hongera dada d'Ida MUNGU akuzidi kuku wezesha mashauri mema kwako acha huyo djuma lokole mjinga huyo mimi ni mkongo ninaishi congo dada dida nataka namba yako hongera tana dada dida
Kweli dida unasema.
Juma leo umepatikana. Dida umeni furahisha, kwakweli. ❤
Juma mnafiki indeed. U're the best Dida
Dida for the first time umeongea kama mama big up❤
Juma mjinga ww dida safi sna respect sna❤❤❤
Dada umeongea vizuri san nimekupnda sana.uyo mama ajielew kabisaaa!
Dida na idrisa mmenifurahisha leo mko sawa kabisa juma lokole hafai
Dida umeongea point sana 🇰🇪🇰🇪❤️
Dida dida dida shikamoo nakupenda.
Juma WEWE MNafk dida respect 🔥🙌🤝🤝❤️❤️🥰
Dida km Dida .....umesema vyema ❤
Didah wawoooooo bora mwaya
Djuma nimnafki sana kaja ni ibwa ya mama ana malezi mshezi sana mtoto mdogo unamfanya kilamsani atembeye namwanawo afu unamsapoti ibwa ya mwanamke
Kwani Paula ni mtoto ...no please leave Kajala alone time Paula alikuwa under age...Ray alilala korokoroni...
..Sahi amejuwa different between maize and Beans...
VANIBOY Chui anamupenda. Paul VANIBOY anamupenda ♥️♥️♥️🙏
Jamanni Paula kajala ravnnyn anamupenda zana tagu kitabo anamupenda Paula kajala ♥️♥️😀😀
Hongeeraaa Dida na IDRISA Allah awasimamie vizaz vyenu
Nimewapenda san dida na idrisa
Nimegundua kitu kimoja juma lokole ana ubongo kama wa bata🙂
Dida umeongea kitu chenyewe kabisa❤❤❤ juma ajielew uyu
My lovely ccy Dida she's so smart nyie kudaadeki
Dada Dida Asante sana
Dida ❤❤❤❤ nakupenda msute na kajala,
Nakupenda dada dida
Dida mama wa hekima❤❤❤❤
Dida ni mama...juma lokole njaa Kali
Yaani Leo dida nimependa sana
Dida Kweli wewe ni mama Kwa Kweli juma anampotosha mtoto wa mwenzake yaani sijaelewa juma ni pesa au nini mpaka anampotosha hivi. Dida safi wewe ni mama
Family ya wapumbavu kajala nimama mjinga sana
Dida super woman ❤❤🎉
Dida ni msema ukwel Dida ni Good mama jmn lkn kajala ni kahaba na ndio mtt karith coz anajiharibia carlea mwenyew yaan mama ana sifa chafu mtt kwann asiwe changudoa mwachen tu mtt afate njia 😢
Kweli dida uyo locale katushoshaaaa
Dida mama bora congratulation
Dida hongera mom uko sawa kabisa juma mnafkii kasha aibika lkn hakomi kila siku chefuuu😂😂
Yaan huyu juma hamnazo 😢😢😢 alafu huyu paula sahivi ndoanamuona rayvanny ni mfupi jamana
Love you dada Dida
Silali juu yenyu jameni,nikiwa hapa Nairobi 🇰🇪🇰🇪
Dida wewe nimuzazi Bora👌👌❤
Huyo juma na kajala ni mtu na mke mwenzake waoish nyumba moja na kupendana knafk😢😢all in all Dida your so good mother ❤
Asante dida❤
Dada Didah..barikiwa.kajala mjingaaaaaa..kajala anauza Heshima ya mwanae Kwa ujinga...
Dida reo unawongea ukweri sana ❤❤❤❤
Dida big up
Huyu mwanadada anafaa zawadi dida umegonga ndipo❤❤❤❤❤
Kajaia kuwa makini sana na Juma, mnaibishwa sana
Asante sna Dida shaibu leo umeongea ukweli kbs na kuongea kma mama mzazi nakupenda bure Mungu akutunzie kizazi cako kiongoke🥰
Asante Dida
Dida uko vzr sana hongera Kwa kumpa juma ukwel mtt asikupande kichwani bwana sio malezi bwana habali ndio hyo
Asante dida
Dida umeongea Point saaaaaana Big up sis, uyu Juma mpuuzi tu
Dida umeongea maneno kuntu kama yawati milioni❤ uyo juma ana ajualo uyo afai kuitwa ata baba
Umeongea Kama mama dida hongera dada❤❤
Dida❤❤
Safi sana dida
Asante Dada Dida, kwel tupu umeyaongea
Jameni apo hua noma sana kwanza juma na dida weuh😂😂😂😂...l lov you guys from kenya❤
Dida nakupenda sana uko mukwelii kabisa
Ila Juma wewe unamuharibu mtt wa watu na Kajala anakuangalia looooh,mwanaume mzima una mambo ya hovyo.Unatia aibu sana aise
Ndio kabisa sana dada
Dida bz unadtahili 🎉🎉🎉
Nakukubal dida abint ❤❤❤
Dida ww ni mama l recepct you my dear huyo mama yke Paula yupo kibiashara hajali juu ya mwanawe mzazi hayupo hivyo tena mtoto wake wapekee anamfanya hivyo kweli na huyo lokole yupo kimaslahi tuu wala hana mapenzi nao hta kidogo anashojali ni maslahi ttuu mungu mpe Macho aone
Dida love u sis. Nipo canada ila nawa fatilia sana ❤❤❤❤❤
Dida na babu idi mmesema vizuri.
shikamoo Dida
Team Paula ❤
Dida and idrisa there's OK 👍 juma aache uchoko
Mashaallah didaa unasema ukwel mpaka raha❤😊
Dida love you gog bless
Da pesa mbaya kajala hutalia wakukunyamazisha hakuna. Da muhokowe mtoto kajala raha ngani hunayo masikini da wamuonea sana na njaa yako hutajuta da mtoto mzuri anaishiada kajala nakuomba
Rayvan handsome sana
Da divaa I love you
Kweli dida
Dida❤
Juma Lokole ni mnafiki, sasa ndio unapenda Kajala lakini alipokua na Harmonize, alikua mbaya sana tena mjinga. Such a hypocrite.
Bien dit
Dida keep it up
DIDA LEO NDIO NIMEKUONA UNAKILI SANA JUMA HUNA AKILI WW HOVO SANA
Jamani shoga uyo anazingua sana dida mchane
Didaaaaaaa hongera mama❤
Yes dida upo sahihi kabisaaa,na juma lokole acha ubwakini mfyuuu
Juma hana lolote, unapenda umbea sana , i wish mungu angekuumba mwanamke , mzima ovyooooooo
Did kuywa guarana bill qwangu ❤❤❤❤
Dida uko sahihi kajala hajitambui kuna Leo kuna kesho dunia tunapita hii
Fayma ni mzuri mara miakuliko Paula