DIDA ATOA KAULI NZITO, AMCHAMBA JUMALOKOLE -" WEWE na KAJALA MNAHARIBU PAULA, JUMA WEWE ni MNAFIKI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 403

  • @teddytemu331
    @teddytemu331 Рік тому +34

    Leo Dida nimekupendaaaaa ❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌷🌷🌷🌷💐chukua mau yako

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Рік тому +54

    Didaa is a real mother

  • @teddytemu331
    @teddytemu331 Рік тому +58

    Leo Dada Dida umeongea Kama mzazi tena kwa uchungu hongera mnoo Samir ana mama hongera kwako nimependa mnooo kwa kumwambia kajala ukweli

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 Рік тому

      Nikwer mama bora ila dida kakosea kumsema kajala leo huyo dida sio kama kajala na Paula ni wageni kwake toka anakuwa ana mjua basi sasa unge mkanya akiwa mbichi kwa sasa mmechelewa .temea mate chini una SAMIA ww ss watu wata anza kufatilia mambo ya samia siku Mange ata kapo lipua ya mwanao usije mfata Rimutusi .unge msema kajala pembeni sio kwenye midia ss hapo kwa kajala mmechelewa sana kwa ushauri kwa Ss Mkunjeni mapema Mtoto wenu Tiffa Dangote.asije kuwa kama Paula.Mwacheni Paula huyo mkubwa mwenzetu.Muwahi Tiffa Dangote

    • @mwanahamisimfyule2014
      @mwanahamisimfyule2014 Рік тому

      Dida nimekupenda anauza mtoto uyo amna kaz wanajizalilisha uyo dada juma nae anapenda ela kuliko utu

  • @keranynsabimana785
    @keranynsabimana785 Рік тому +53

    Dida leo nimekupenda bureee mpenzi❤

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 Рік тому +15

    Aweee dida Nakupenda dada ❤❤❤🙏🙏maneno yame nyoooka

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Рік тому +16

    Dida wewe ni mama bora napenda unavyomlea mwanao anaupendo anaheshima toka mtoto...nampenda sana Samira beauty ❤

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Рік тому +19

    Dida ni bonge la mama yaan Samira ana mama anayejielewa maashallah ❤

  • @elizabethseni08-sj8ps
    @elizabethseni08-sj8ps Рік тому +3

    Waoooooo!!!!!! Dida ww ni mama Bora nakupenda Sana

  • @aminaomy8139
    @aminaomy8139 Рік тому +2

    Congratulations Dida ... Wewe Ni mzazi umeongea Kwa uchunguu wa dhati leoooo

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 Рік тому +8

    Dida ni mama bora mashallah nimekupenda dada ❤❤❤

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 Рік тому +13

    Dida umeongea point dada more love❤❤❤❤

  • @yusraedward7736
    @yusraedward7736 Рік тому +13

    Dida umeniwezea mpenz ❤❤

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Рік тому +14

    Dida, na idrisa leo nimewapenda bure❤😂

  • @mimah2498
    @mimah2498 Рік тому +4

    Didah ww n mama Bora mungu akujalie kila l kheir juma kashapotea uyo kazana mama didah twakupenda sis paulah n mmke wamepotea

  • @SalomeMct
    @SalomeMct Рік тому +5

    Asante dida ongea kama mama

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Рік тому +14

    Asanteeee Didaa Bakora imewachapa kweli kweli Juma limekushukaaaa😏🤪kajala hana mfano mzuri kwa kina single mama 🗣️🗣️🗣️🗣️🙆🏽‍♀️🎥🎥🎥🎥

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Рік тому +4

    Dida apewe ulinzi haraka❤❤umeongea kweli dada angu

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 Рік тому +1

    Dida nakupend bule🥰😍❤waambie ukweli wao👌👌

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Рік тому +7

    Huyu Juma mjinga tuu. Dida I love you sooo much

  • @wivinendagano
    @wivinendagano Рік тому

    Hongera dada d'Ida MUNGU akuzidi kuku wezesha mashauri mema kwako acha huyo djuma lokole mjinga huyo mimi ni mkongo ninaishi congo dada dida nataka namba yako hongera tana dada dida

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Рік тому +12

    Kweli dida unasema.

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Рік тому

    Juma leo umepatikana. Dida umeni furahisha, kwakweli. ❤

  • @bahatikabasele7962
    @bahatikabasele7962 Рік тому +1

    Juma mnafiki indeed. U're the best Dida

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 Рік тому +1

    Dida for the first time umeongea kama mama big up❤

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 Рік тому

    Juma mjinga ww dida safi sna respect sna❤❤❤

  • @rajabungowo3306
    @rajabungowo3306 Рік тому +3

    Dada umeongea vizuri san nimekupnda sana.uyo mama ajielew kabisaaa!

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +13

    Dida na idrisa mmenifurahisha leo mko sawa kabisa juma lokole hafai

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 Рік тому +3

    Dida umeongea point sana 🇰🇪🇰🇪❤️

  • @khairathchigalika7014
    @khairathchigalika7014 Рік тому

    Dida dida dida shikamoo nakupenda.

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Рік тому

    Juma WEWE MNafk dida respect 🔥🙌🤝🤝❤️❤️🥰

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 Рік тому +2

    Dida km Dida .....umesema vyema ❤

  • @Muddy2024
    @Muddy2024 Рік тому +1

    Didah wawoooooo bora mwaya

  • @asiaasmail5115
    @asiaasmail5115 Рік тому +24

    Djuma nimnafki sana kaja ni ibwa ya mama ana malezi mshezi sana mtoto mdogo unamfanya kilamsani atembeye namwanawo afu unamsapoti ibwa ya mwanamke

    • @debramsanga8379
      @debramsanga8379 Рік тому

      Kwani Paula ni mtoto ...no please leave Kajala alone time Paula alikuwa under age...Ray alilala korokoroni...
      ..Sahi amejuwa different between maize and Beans...

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Рік тому +1

    VANIBOY Chui anamupenda. Paul VANIBOY anamupenda ♥️♥️♥️🙏

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Рік тому +1

    Jamanni Paula kajala ravnnyn anamupenda zana tagu kitabo anamupenda Paula kajala ♥️♥️😀😀

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 Рік тому +6

    Hongeeraaa Dida na IDRISA Allah awasimamie vizaz vyenu

  • @lilianmengere29
    @lilianmengere29 Рік тому +8

    Nimegundua kitu kimoja juma lokole ana ubongo kama wa bata🙂

  • @khadijarajabu3690
    @khadijarajabu3690 Рік тому +1

    Dida umeongea kitu chenyewe kabisa❤❤❤ juma ajielew uyu

  • @beatriceraphael6025
    @beatriceraphael6025 Рік тому +3

    My lovely ccy Dida she's so smart nyie kudaadeki

  • @gracewayanga7509
    @gracewayanga7509 Рік тому

    Dada Dida Asante sana

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Рік тому +1

    Dida ❤❤❤❤ nakupenda msute na kajala,

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 Рік тому

    Nakupenda dada dida

  • @lydiahboyani1021
    @lydiahboyani1021 Рік тому +3

    Dida mama wa hekima❤❤❤❤

  • @unileverldsengineering9541
    @unileverldsengineering9541 Рік тому

    Dida ni mama...juma lokole njaa Kali

  • @OrestaPaulosi
    @OrestaPaulosi Рік тому

    Yaani Leo dida nimependa sana

  • @mariapaul8914
    @mariapaul8914 Рік тому +6

    Dida Kweli wewe ni mama Kwa Kweli juma anampotosha mtoto wa mwenzake yaani sijaelewa juma ni pesa au nini mpaka anampotosha hivi. Dida safi wewe ni mama

  • @SalomeMct
    @SalomeMct Рік тому +16

    Family ya wapumbavu kajala nimama mjinga sana

  • @niahussein5387
    @niahussein5387 Рік тому

    Dida super woman ❤❤🎉

  • @ZaituniRashidi-ry9vz
    @ZaituniRashidi-ry9vz Рік тому +7

    Dida ni msema ukwel Dida ni Good mama jmn lkn kajala ni kahaba na ndio mtt karith coz anajiharibia carlea mwenyew yaan mama ana sifa chafu mtt kwann asiwe changudoa mwachen tu mtt afate njia 😢

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Рік тому +2

    Kweli dida uyo locale katushoshaaaa

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Рік тому

    Dida mama bora congratulation

  • @yohmariepask8076
    @yohmariepask8076 Рік тому +15

    Dida hongera mom uko sawa kabisa juma mnafkii kasha aibika lkn hakomi kila siku chefuuu😂😂

    • @azizaidd1998
      @azizaidd1998 Рік тому

      Yaan huyu juma hamnazo 😢😢😢 alafu huyu paula sahivi ndoanamuona rayvanny ni mfupi jamana

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 Рік тому

    Love you dada Dida

  • @floraundisa3688
    @floraundisa3688 Рік тому +10

    Silali juu yenyu jameni,nikiwa hapa Nairobi 🇰🇪🇰🇪

  • @lydi791
    @lydi791 Рік тому

    Dida wewe nimuzazi Bora👌👌❤

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 Рік тому

    Huyo juma na kajala ni mtu na mke mwenzake waoish nyumba moja na kupendana knafk😢😢all in all Dida your so good mother ❤

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Рік тому +2

    Asante dida❤

  • @winnieamanya665
    @winnieamanya665 Рік тому

    Dada Didah..barikiwa.kajala mjingaaaaaa..kajala anauza Heshima ya mwanae Kwa ujinga...

  • @hhmmmm6523
    @hhmmmm6523 Рік тому

    Dida reo unawongea ukweri sana ❤❤❤❤

  • @johnphilipo6760
    @johnphilipo6760 Рік тому

    Dida big up

  • @violetmulya
    @violetmulya Рік тому

    Huyu mwanadada anafaa zawadi dida umegonga ndipo❤❤❤❤❤

  • @aysharashid1049
    @aysharashid1049 Рік тому +3

    Kajaia kuwa makini sana na Juma, mnaibishwa sana

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 Рік тому

    Asante sna Dida shaibu leo umeongea ukweli kbs na kuongea kma mama mzazi nakupenda bure Mungu akutunzie kizazi cako kiongoke🥰

  • @michelinesifa3502
    @michelinesifa3502 Рік тому

    Asante Dida

  • @mwanaishakihulunga3539
    @mwanaishakihulunga3539 Рік тому +2

    Dida uko vzr sana hongera Kwa kumpa juma ukwel mtt asikupande kichwani bwana sio malezi bwana habali ndio hyo

  • @tesondalu5819
    @tesondalu5819 Рік тому

    Asante dida

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 Рік тому +1

    Dida umeongea Point saaaaaana Big up sis, uyu Juma mpuuzi tu

  • @sikudhanidd3710
    @sikudhanidd3710 Рік тому

    Dida umeongea maneno kuntu kama yawati milioni❤ uyo juma ana ajualo uyo afai kuitwa ata baba

  • @mwasumadinga2110
    @mwasumadinga2110 Рік тому

    Umeongea Kama mama dida hongera dada❤❤

  • @AnnaMadatta-wn9ms
    @AnnaMadatta-wn9ms Рік тому

    Dida❤❤

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 Рік тому

    Safi sana dida

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Рік тому

    Asante Dada Dida, kwel tupu umeyaongea

  • @teclakagai754
    @teclakagai754 Рік тому

    Jameni apo hua noma sana kwanza juma na dida weuh😂😂😂😂...l lov you guys from kenya❤

  • @AnifaMutoni-r9s
    @AnifaMutoni-r9s Рік тому +19

    Dida nakupenda sana uko mukwelii kabisa

  • @winnifridaashery4449
    @winnifridaashery4449 Рік тому +8

    Ila Juma wewe unamuharibu mtt wa watu na Kajala anakuangalia looooh,mwanaume mzima una mambo ya hovyo.Unatia aibu sana aise

  • @MwaminiMfaume
    @MwaminiMfaume Рік тому

    Ndio kabisa sana dada

  • @husa8849
    @husa8849 Рік тому

    Dida bz unadtahili 🎉🎉🎉

  • @omsfjb1035
    @omsfjb1035 Рік тому +1

    Nakukubal dida abint ❤❤❤

  • @HadijaTalib
    @HadijaTalib Рік тому +1

    Dida ww ni mama l recepct you my dear huyo mama yke Paula yupo kibiashara hajali juu ya mwanawe mzazi hayupo hivyo tena mtoto wake wapekee anamfanya hivyo kweli na huyo lokole yupo kimaslahi tuu wala hana mapenzi nao hta kidogo anashojali ni maslahi ttuu mungu mpe Macho aone

  • @djladiva1206
    @djladiva1206 Рік тому +1

    Dida love u sis. Nipo canada ila nawa fatilia sana ❤❤❤❤❤

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Рік тому

    Dida na babu idi mmesema vizuri.

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974

    shikamoo Dida

  • @CHD1718
    @CHD1718 Рік тому +6

    Team Paula ❤

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Рік тому +1

    Dida and idrisa there's OK 👍 juma aache uchoko

  • @sultankisoma5547
    @sultankisoma5547 Рік тому +1

    Mashaallah didaa unasema ukwel mpaka raha❤😊

  • @zaitunluo5437
    @zaitunluo5437 Рік тому +2

    Dida love you gog bless

    • @zaitunluo5437
      @zaitunluo5437 Рік тому

      Da pesa mbaya kajala hutalia wakukunyamazisha hakuna. Da muhokowe mtoto kajala raha ngani hunayo masikini da wamuonea sana na njaa yako hutajuta da mtoto mzuri anaishiada kajala nakuomba

  • @joanmamu7833
    @joanmamu7833 Рік тому

    Rayvan handsome sana

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Рік тому

    Da divaa I love you

  • @fathiyanassir894
    @fathiyanassir894 Рік тому

    Kweli dida

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Рік тому +3

    Dida❤

  • @vincej9275
    @vincej9275 Рік тому +26

    Juma Lokole ni mnafiki, sasa ndio unapenda Kajala lakini alipokua na Harmonize, alikua mbaya sana tena mjinga. Such a hypocrite.

  • @fridahsammy6853
    @fridahsammy6853 Рік тому

    Dida keep it up

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Рік тому

    DIDA LEO NDIO NIMEKUONA UNAKILI SANA JUMA HUNA AKILI WW HOVO SANA

  • @hamzabob1486
    @hamzabob1486 Рік тому

    Jamani shoga uyo anazingua sana dida mchane

  • @salalaomary5737
    @salalaomary5737 Рік тому

    Didaaaaaaa hongera mama❤

  • @franciscar7153
    @franciscar7153 Рік тому +1

    Yes dida upo sahihi kabisaaa,na juma lokole acha ubwakini mfyuuu

  • @annnekesa7977
    @annnekesa7977 Рік тому +1

    Juma hana lolote, unapenda umbea sana , i wish mungu angekuumba mwanamke , mzima ovyooooooo

  • @linetmakandi8761
    @linetmakandi8761 Рік тому

    Did kuywa guarana bill qwangu ❤❤❤❤

  • @aminachilindima-cr6fv
    @aminachilindima-cr6fv Рік тому +8

    Dida uko sahihi kajala hajitambui kuna Leo kuna kesho dunia tunapita hii

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Рік тому +3

    Fayma ni mzuri mara miakuliko Paula