Mzee omba radhi yaishe , yanga taasisi kubwa ,,,,tambua ulipokosea, ili mambo yaishe....ikitokea yanga ikafungiw na fifa ,kumbuka ww ndio chanzo..ivyo hakuna mwanayanga atakayekuelewa...
Shida yawe mzee ni kutaka kuhoji vitu nje ya utaratibu,waulize wawakikishi wako wa AGM ,kwani yanga inawatu wangapi,je? Kunatasisi gani ambayo haina changamoto? Hata familia zetu zinachangamoto zinazotofautiana.lkn kila nikikusikiliza unajadili watumishi na viongzi kula,we omba nafasi @ Ajira kama D mbili unazo.
SUBIRI SHERIA IFUATE MKONDO WAKE WEWE SIUNAJUWA SHERIA??SUALA LA KUKAA PAMOJA NA YANGA SAHAU KWASABABU YANGA HAWAKUTAMBUI KAZI UNAYO MZEE NA KESI ILIKUWA HAIWAHUSU ILIKUWAJE HUKUMU IANGUKIE KWA RAIS WA YANGA NA WEWE UKAKAA KIMYA??
We Magoma unasemaje hapo wewe unawajuwa walioanzisha Yanga wewe au unaongea tu unasema walioanzisha walikuwa hawana elimu hebu fuatilia historia kwanza harafu uongee. Hebu mtume mtu akakununulie kitabu historia ya Yanga kisha uongee
Wewe mzee Kafie huko ulifikiri GSM mnafanana nae huwezi kuongoza taasisi kubwa kama yanga•uhuru wenyewe ulitafutwa na wasio na eliminate lakini hivi sasa inaongozwa na wasomi na wewe mwandishi usiwe kidhabidhabina acha maswali ya uchochezi
Wewe atausemeje yanga hawakutaki nyeupe haivaliwi nasimba pekeake mzeee wewe kuwa na akili atasimba wanaruhusiwa kuvaa njano yanga itabaki kuwayanga tu nasiojezi jezi zayanga nzuri namashabiki wa ukweli wote tumezielewa wewe shabiki maandazi kwanza siomwanachama wa yanga wewe tokaapo
Mzee we msanii sana umeanzaa Kuomba msamaa kijanja utaozea jela Mzee wangu huo umri ushakutupa sio mtu wa mikesi
Mzee Magoma, Net work ziro
Mwandishi na huyu mzee wote network za mirembe
😂😂😂😂
Asiachiwe huyo sheria imuwajibishe tu, Ana mdomo sana 😅😅😅😅
Network 0 kasahau ni yeye alianza mahakamani!! 😂😂😂
Nashangaa
Ndo hapo sasa
nadhani waandishi wetu waki tanzania hawana kazi za kufanya kweli
Kabisa Awana KAZI za kufanya waoji ata mazichi
Mwandishi fala sana hata kuuliza maswali hujui...
Sio mzim huyo ana shida
Mwandishi noma sana 😂😂
Huyo mzee Magoma ana mavi kichwani, bora atafutiwe mume mapema😂😂😂
Hakuna kukaa mezani hapa ngoja ukashangiliwe ukonga/keko
Jmn mwenye timu mbona haendi klabuni, aje tumpe timu. Kila Nabii na zama zake, Mzee Magoma zama zako zimeisha jitambue
Magoma muongo sana hao wengine walikuwa wapi kipindi chote walichokuwa wanatembeza bakuli
Mdomo wako umekupoza sasa unahaha
Yani kuna waandishi sijui huwa awana maswali wapo kinazi tu mpk wanakera kuna maswali ya msingi ya kumuuliza wanauliza kinazi tu
magoma kavaa jezi mbili ya ndani msim uliopita ya nje msimu huu hatari sana
Hizo kadi umegushi kama ulivyogushi sahihi ya Mama Karume.
Mimi ni Simba damu kabisa ila huyu magoma akili zake ni timamu kweli?
Koti alilolivaa mzee Magoma kwenye interview Lina mistari ya kijani, anapo dai jezi mpya Zina rangi nyeupe, mbona yeye kaivaa rangi nyeupe
Kiki tuuuu
Anatishia tu, mdomo tu huo. Hana kurujuan wala kurumwezian
Wekica.nini.tulishakujuwa.acamahakama.ifanye.kaziyake..wewe.utatupa.rahayenye.tunayo.yamakombe.kwanza.ufungwe.hunamana.mtimu.yawanainchi.
Kurujuani ndio nn ili zee alikusoma sasa tunamsomea dua la kumtia uchizi na hiyo kofia ataivalia puani aache uchizi ss machizi kuliko yeye.
Mtangazaji kipo anachokitafuta. Maswali ya kichonganishiiiii.
Wacha uhongo ww ulisoma wapi kurjuani n nn kama s uhongo hakuna katika tiba neno Hilo Wala vitabu vya falaki navijua vyote hamna
Waache wapige Hela mradi tunashinda
Mzee omba radhi yaishe , yanga taasisi kubwa ,,,,tambua ulipokosea, ili mambo yaishe....ikitokea yanga ikafungiw na fifa ,kumbuka ww ndio chanzo..ivyo hakuna mwanayanga atakayekuelewa...
MZEE MAGOMA KASEMA ETI KAMA HUNA KADI YA KLINIKI WW SIO MWANACHAMA WA YANGA,
Mzee utachemka tu umeyatimba
Mzee magoma Upo sahihi kabisa
Shida yawe mzee ni kutaka kuhoji vitu nje ya utaratibu,waulize wawakikishi wako wa AGM ,kwani yanga inawatu wangapi,je? Kunatasisi gani ambayo haina changamoto? Hata familia zetu zinachangamoto zinazotofautiana.lkn kila nikikusikiliza unajadili watumishi na viongzi kula,we omba nafasi @ Ajira kama D mbili unazo.
Huyo Mzee mpuuzi pamoja na kujifanya mchawi. Mchawi huwa hajitangazi. Aendelee na hiyo kurujuani yake. Shenzi kabisa.
jalibu kupeleka hapo utawajua wanayanga akina nani
Atakwenda FIFA kama nani?yeye sio mwanachama wa Yanga,TFF wala FIFA......
MZEE Magoma ameva kama ki C.E.O.
SUBIRI SHERIA IFUATE MKONDO WAKE WEWE SIUNAJUWA SHERIA??SUALA LA KUKAA PAMOJA NA YANGA SAHAU KWASABABU YANGA HAWAKUTAMBUI KAZI UNAYO MZEE NA KESI ILIKUWA HAIWAHUSU ILIKUWAJE HUKUMU IANGUKIE KWA RAIS WA YANGA NA WEWE UKAKAA KIMYA??
Huyu mzee ukimsikiriza unajua kabisa chizi ana laana za wazee wake
MWANDISHI WA HABARI HAJUI NINI ANAFANYA .
Hivi huyu Mzee hasa hoja yake ni nn, mbona kama mwehu
MAGOMA VAA JEZI KWA MIJIBU WA NAMBA YAKO JEE YAKO UNAUJUWA
MAANA HUELEWEKI MAANA MARA ULINZI WA MALI INJINIA. AONDOKE
HEBU CHUNGA HESHIMA YAKO
Wewe kumbe hasadi zakusumbua njaa pia
Sasa kama ulimpa nn sasa unaongea kwenye media
Kenge wewe unaomba watoke Mahakamani.
Subili unywe shubiri
Yanga haitatokoea,we mzee hv unakunywa pombe gani?
Wewe mwadish ni walewale
We Mzee katafute mashamba bwana mbona unakua kama mjinga mjinga ,
Magoma ata wewe apo unatengeneza pesa
chizi hili jizee
Ww nani alikukabidhi yanga wewe???
Mbona wewe ulienda mahakamani?. Acha Yanga iende mahakamani. We pumba TU.
We Magoma unasemaje hapo wewe unawajuwa walioanzisha Yanga wewe au unaongea tu unasema walioanzisha walikuwa hawana elimu hebu fuatilia historia kwanza harafu uongee. Hebu mtume mtu akakununulie kitabu historia ya Yanga kisha uongee
Wewe mzee Kafie huko ulifikiri GSM mnafanana nae huwezi kuongoza taasisi kubwa kama yanga•uhuru wenyewe ulitafutwa na wasio na eliminate lakini hivi sasa inaongozwa na wasomi na wewe mwandishi usiwe kidhabidhabina acha maswali ya uchochezi
Huyu mzee chetu na chefu kabisa hata akili hana aisee.
Unadai wewe ni yanga damu halafu unasema ukichoka utaipeleka faili fifa je utapata faida Gani yanga ikifungiwa
Kwan iyo mic shida ni nn
Wewe mbumbu kumbe unatamani tuludi kwenye bakuli
Acha mambo ya kizamani hao na waajiliwa
Huyu lazima akanyee ndooo
Ila hii kurjuani asee hio dua sijui hata ipo wp
Mwandishi mpuuzi huna kazi ya kufanya kumuhoji mwehu.
Huyu mwuandishi mjinga kama magoma, bara letu siyo masikini, huyo anayemhoji mshirika wa simba achana nae.
Wewe tulia tu umegushi utafungwa Mzee ,unadanganya tukuachie yanga,yanga Haina ubaguzi wewe mtoto anaweza kuwa yanga baba Simba hii ni burudani tu
Huyu mwandishi anaitafutia TV yake wanaiangalia
We mwandishi ni mpumbavu sana jezi zinapoteza asili yake kwani hakuna njano na kijani wapuuzi nyie na huyo Mzee
Ww mtangazaji na huyo magoma wako netwek 0 unakosa wakuhoji?unaona umejipata
Wewe atausemeje yanga hawakutaki nyeupe haivaliwi nasimba pekeake mzeee wewe kuwa na akili atasimba wanaruhusiwa kuvaa njano yanga itabaki kuwayanga tu nasiojezi jezi zayanga nzuri namashabiki wa ukweli wote tumezielewa wewe shabiki maandazi kwanza siomwanachama wa yanga wewe tokaapo
Hunalolote wewe cmeanza sasa unamalizwa unawadanganya wasiojua kurjuwani kurjuani fanya tuone
nyinyi kweli nimeamini nyinyi utoopolo mzee yuko sawa lakini kutokana nyinyi ni chura mnapinga lakini iko siku mtamkubuka nyinyi mataira
Mchukueni kaka akaimu nafasi ya Ngungu kama anawafaa😀😀😀😀
Magoma ata wewe apo unatengeneza pesa