JPM Ni Nomaaa jaman dah sijawahi kuona kiongozi muadilifu kama huyu Africa nzima viongozi mujifunze kutumikia wananchi wenu kama JPM Mungu akulinde Sana'a My President
Tatizo meli za kizamani hazina uhakika Mara unasikia majanga kwanza tupate meli mpya siyo hizo za mkoloni ukiwa usafiri mzuri wateja watakuja ila meli hizo watu watafata hayo ma lori
Nakupenda mjomba magufuli Allah akupe maisha marefu yenye furaha
JPM Ni Nomaaa jaman dah sijawahi kuona kiongozi muadilifu kama huyu Africa nzima viongozi mujifunze kutumikia wananchi wenu kama JPM Mungu akulinde Sana'a My President
Asante san viongozi wetu wote mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi
Tatizo meli za kizamani hazina uhakika Mara unasikia majanga kwanza tupate meli mpya siyo hizo za mkoloni ukiwa usafiri mzuri wateja watakuja ila meli hizo watu watafata hayo ma lori
Nashangaa watu wanaomsifia Magufuli wakati hata hajatajwa hapo nahio meli ilikuwepo Kitambo kabla hata ya magu
J. P.m nikwereee bbk
Usiseme waachane na maroli mbona wa tz Kiswahili shida roli usafili meri usafili mameliyenyeweyakizamani acha kuponda kazizawatu
nc
Ipo myaka yote mwanza
USA kwenyewe mizigo inasafirishwa na malori pia itakuwa sisi tusio na miundo mbinu imara ya reli?!