Haya ndio mambo muhimu Kwa vizazi vijavyo miundombinu Hii ita wapa mchango Mkubwa kibiashara JPM ATAKUMBUKWA DAIMA tuache wivu usio Na maana Kwa kuona wivu WA BUSARA umetoka Kwa usie mpenda ni wivu sumu huwo muangalieni MAMA anavyo kuja na muelekeo wake please fanyeni anavyo taka sio kumletea mizengwe
Storry Tu hapa Tanzania,tazama Kenya washamaliza sgr zao na tram trains na balabala zao za magorofa nchi ya Kenya wamesha ijenga kabisa,hapa Tanzania ni mudomo Tu.
Nasikia hizo TREN za umeme behewa moja litakuwa na power bank maan nchii Haina umeme waziri mjanjamjanja umeme wa mgao
Is President Suluhu already failing? If Magufuli was still alive this project would have already finished.
Hamna kitu ushunzi mtupu mmekuwa wanasiasa sasa TRC hiyo commuter train miaka nenda . Treni ya mwakiyembe tu mnashindwa kuiboresha .
Mlikuwa sawa wakati uleeeee lakini kwa sasa mmmh......mwendazake angekuwepo tren za umeme Dar moro zingekuwa tayari kabisaaaa
Mungu saidia nchi yetu
Jengeni waTZ wanasubiri kwa hamu sanaaa
Washenzi maneno mengi huo mradi hauwez isha 😂😂
Haya ndio mambo muhimu Kwa vizazi vijavyo miundombinu Hii ita wapa mchango Mkubwa kibiashara JPM ATAKUMBUKWA DAIMA tuache wivu usio Na maana Kwa kuona wivu WA BUSARA umetoka Kwa usie mpenda ni wivu sumu huwo muangalieni MAMA anavyo kuja na muelekeo wake please fanyeni anavyo taka sio kumletea mizengwe
Semeni itaanza lini sio kila kukicha porojo tu
MTENDAJI WA HAPA KAZI TU RIP. WASEMAJI BILA VITENDO WA KASI NI WENGI SANA!
Storry Tu hapa Tanzania,tazama Kenya washamaliza sgr zao na tram trains na balabala zao za magorofa nchi ya Kenya wamesha ijenga kabisa,hapa Tanzania ni mudomo Tu.
Mambo ya Watanzania haiwahusi Wakenya
Mambo ya Watanzania ni ya watanzania bhn acha kuleta polojo hapa😅😊
Hawa ni maneno tu. Haya tangu nimeanza kuyasikia ni miaka mingi. Semeni tu. Magufuli ndiye alikuwa akisema anatenda. Nyie ni porojo.
I thought all was well in Tanzania the increased investment and increased GDP what's wrong
Wakwanza leo
Magu tungemuamini but sio kwa Sasa, story nyingi kazi kzibo!
Story as usually!
😂😂😂
BERNAD CHAMRIHO YUKO WAPI❓