Pole dada ila Msiwahukumu wanaovaa hijab maana wengi wao wanavaa kwa kulichafua na kuichafua dini ionekane mbaya.... Unakuta mtu c muislam ila yuwapenda kuvaa hivyo, maana ni vazi la heshima kwa kila mwanamke , na mwanamke anapaswa kuvaa nguo yaheshima ,,,na uislam siyo kanzu na baibui ila ni imani ya mtu.....pia niwaombee binadam wenzangu kama mim., tuwe na roho ya huruma na kumuogopa Mungu....kumbuka ukimdhulumu mwenzako leo ,kesho mungu atakufanya ukapoteza zaidi ya kile ulichodhulumu na dua ya aliyedhulumiwa inajibiwa haraka sana na Mwenyezi Mungu.... Mnisamehe kama nimeteleza kwa maneno yangu maana mkamilifu ni Allah..
Ummukulthum Daffi kweli ata mimi sikupenda hilo shwala kabisa kwa sababu uislam sio kanzu wala baibui ni imani ya mtu so wawache kuongea vibaya sio sawa na pia kusema kweli watu wingi wanachukia sana Muslim huo ni kweli
Naitaji kitenge wolper nitakipata vip nko kenya au unieleze nikija tanzania duka lako liko semu gani napenda vitenge vyako vyavutia sana mungu akubariki kazi ya mikono yako
Pole sana my dear....mimi yalishanikuta, nikaibiwa pesa nikiwa salon sinza kumekucha...na mdada aliyeniibia alikua amevaa stara jamani, yaani kavaa baibui na nikab ukimuona huwezi hata kumuhofia...Yule dada sura yake haijanitoka mpaka leo maana alijua kuniliza...wanadhalilisha sana hili vazi, Mungu atawahukumu..
Pole Sana, sisi wakazi wa makoka kuna wizi wa simu mpaka chumbani usiku wanazichota hata Kama simu ziko wapi. Nashauri watu kuwa Malini kwa Sasa watu wanajitoa muhanga hawaogopi. Tushirikiane tuwakamate.
Daah Ila mwizi ama tapeli ni watu wabaya sana wanakrdisha kabisa nyuma pole dada mwenyez mungu atukpa na zaidi nac pia tumelizwa but all in all tumeacha mungu coz malipo ni hapa hapa duniani
Yaan nilisoma na mmoja anavaa ivo na maranyingi alitumia wakat wa mitihan tu na alikuwa anakamatwa..kwaajil ya kuficha vibuti. Lakin sio wote wako ivo.wachache wanawaharibia wengine.
Ulinzi wa mali zako ni kusali na kutoa sadaka zote yaani sadaka ya hiari,zaka au kikumi na sadaka ya shukrani pia uwe mwaminifu kwa Mungu wako kama hufanyi hivo basi muda mwingine pesa na mali zinapotea kwa njia za ajabu
Uchaa mungu upo moyon na mwislam mzur niyuule waislam weziwe watakao salamik na mkono wake na mdomo wake na muda mwengin MTU anavaa nguo za heshima ili aibe tuuu.
Kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo..!! Hao wanachafua Uislamu na Waislamu, HIJABU ni vazi takatifu kwa wanawake kama Qur'ani ilivyobanisha. ALLAH ATAENDELEA KUWADHALILISHA HAO WEZI WANAOTUMIA VAZI LA HIJABU @professa_mashiko
Wengi wanatuharibia hili.vazi na wengine sio wasilaam ni wakristo aibu mwanamke kuwa mwizi wallah pole sana Ila mungu hatamuacha salama na mwezi huu mtukufu
Kwa bidhaa maridadi na uhakika karibu Asma cosmetics, Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape,hips,miguu,kuwa mweupe,n.k Karibu ofisini, SMS/whatsap0693_330284
Yoyote anaevaa jalbab kwa nia mbaya ili kuwaharibia waislamu sifa inshaa,Allah mwenyezimungu atamuumbua.
Aminn
Nasra nassor Amiin InshaAllah
Naam
Kikawaida wanakuwa sio vazi lao wanatumia hilo vazi kwakuiba tu ili asijulikane
Amini
Wewe samehe, kisha Mwachie Mungu mtoa riziki .
Hongera Dada kwa kumsikza mamako,hapo tayari mungu anakuandalia mema. kaza moyo utapata zaidi ya hiyo uloipoteza Fanya subra basis.Hongera sana
Muachiye mungu atakulipia
Pole dada ila Msiwahukumu wanaovaa hijab maana wengi wao wanavaa kwa kulichafua na kuichafua dini ionekane mbaya.... Unakuta mtu c muislam ila yuwapenda kuvaa hivyo, maana ni vazi la heshima kwa kila mwanamke , na mwanamke anapaswa kuvaa nguo yaheshima ,,,na uislam siyo kanzu na baibui ila ni imani ya mtu.....pia niwaombee binadam wenzangu kama mim., tuwe na roho ya huruma na kumuogopa Mungu....kumbuka ukimdhulumu mwenzako leo ,kesho mungu atakufanya ukapoteza zaidi ya kile ulichodhulumu na dua ya aliyedhulumiwa inajibiwa haraka sana na Mwenyezi Mungu....
Mnisamehe kama nimeteleza kwa maneno yangu maana mkamilifu ni Allah..
nc vzur
Ummukulthum Daffi kweli ata mimi sikupenda hilo shwala kabisa kwa sababu uislam sio kanzu wala baibui ni imani ya mtu so wawache kuongea vibaya sio sawa na pia kusema kweli watu wingi wanachukia sana Muslim huo ni kweli
@@alibinali_ Allah awasamehe na awaongoze vyema ktk njia iliyonyooka,,, na aniongoze pia mim na wew na waislam kwa ujumla
@@ummukulthumdaffi7185 Allahahumah Amiiiiiin inshaaallah 👏
Una maneno ya bushra mpaka umenifurahisha bi mdada Ummukulthum.
I like your life style
Daaah pole sanaa dada Mimi mwenyewe Alikuja kwangu amevaa hivo hivo Dukani kwangu akawa anauliza Bei za simu baadae akadokoa simu Ila nikamuona ile ANATAKA kuondoka nikamunasa aise nilitaka kumuamshia Nzi sema nikamsamehe
Edsoni Minani mungu akibaliki dada utupati adresse yakwenye tutatowa izogahuni
Hawa watu wanawaharibiaa wenzao kuna wanaovaa kwa kujistiri nakuna wanaovaa kwa wizii pole sana dada
In love with that sweet actress
Pole utapata zaidi ya hizo in sha Allah
mungu atakujalia uciwaze
Mungu atakulipa Dada Jackie
Pole sana dada,Allah atakupa zaid na ulichoibiwa inshaaAllah.
Bei za magauni dada nimelipenda hilo la green
Wallah kitu cha kuiba hakina Barka kabisa, Allah atakulipa wolper wetu, tena kikubwa zaidi ya hiki ulichoibiwa.
Allah atamlaani huyu dada licha kuiba anaweza kusamehewa lkn katudhalilishia vazi la kheshm kbs Subhana llah
Ila vitu vya kuiba mwisho wa siku vinatesa sana
Napenda mishono yako wolper
Poleee sana my wangu
Pole sana dada. Ni kweli wanaharibu nguo
Allah atamtosha kachukua kwa haraka kakuachia baraka, ila sio wote wanaovaa stara ni waislamu
Hahahah nimekuonea huruma maskeen but umenichekesha sana dada jack pole sana maa
Huyo mwizi saizi atakuwa kanunua bando kupitia hiyo hela aloiba ndo yuko anaku zoom tuu😁😁wezi bhna
😃😃😃😃😃😃yan jaman
Mungu anakuona etiii 😁😁
Hahahah
Hahaha nacheka ka mazur
Saukute pia amekoment😂
Naitaji kitenge wolper nitakipata vip nko kenya au unieleze nikija tanzania duka lako liko semu gani napenda vitenge vyako vyavutia sana mungu akubariki kazi ya mikono yako
Yaani nampenda huyu dada kumbe mchakarijaj
pole jaki Mungu atakuludishia ila wewe dada msafi sana
Pole jakclin Mungu atakulipa kwa njia nyingine pole sana
Ilo Vazi huwa halinivutiiii Maana Mambo Yake Sio Mazuriii
Kwan wanaovaa vimini hawaibi? Tatizo sio vaz ni mtu mwenyew
Pole sana my dear....mimi yalishanikuta, nikaibiwa pesa nikiwa salon sinza kumekucha...na mdada aliyeniibia alikua amevaa stara jamani, yaani kavaa baibui na nikab ukimuona huwezi hata kumuhofia...Yule dada sura yake haijanitoka mpaka leo maana alijua kuniliza...wanadhalilisha sana hili vazi, Mungu atawahukumu..
Davina Godfrey Amiin wanafanya watu wote wanajistiri wasiaminike
True kabsaaaa, Wanaharibu Wanalipea hili Vazi Sifa Mbaya,Pole Sana J.Wolper.
Pole Sana, sisi wakazi wa makoka kuna wizi wa simu mpaka chumbani usiku wanazichota hata Kama simu ziko wapi. Nashauri watu kuwa Malini kwa Sasa watu wanajitoa muhanga hawaogopi. Tushirikiane tuwakamate.
Pole dada kweli inauma sana mungu atamlaani tuu
Wolper❤🌹
Somo yangu🍓🍓
Pole wolper wangu
Pole mumy ila jmn mnaovaa hijabu kwa maana mbaya kumbukeni Mungu yupo na anaona..
Piga kaz wolper😍💪💝
Pole Jack utapa nyingi kuliko ulichoibiwa inshaallaah
Tatizo c vyazi wtu wanaharibu tu muachie mungu pole da
Pole sana mpenzi unavyojituma MTU anaiba pole sana Mungu atakulipia
Daah Ila mwizi ama tapeli ni watu wabaya sana wanakrdisha kabisa nyuma pole dada mwenyez mungu atukpa na zaidi nac pia tumelizwa but all in all tumeacha mungu coz malipo ni hapa hapa duniani
Daah pole sana Dada nikilud nitakuja kununua vitenge nimeviona vizuri sana
Pole sana mpz,,,,,umeongea kwa uchungu sana,,,,kwanza huenda mwanaume hyo,,mjin hapo dear,,,
Yaan nilisoma na mmoja anavaa ivo na maranyingi alitumia wakat wa mitihan tu na alikuwa anakamatwa..kwaajil ya kuficha vibuti.
Lakin sio wote wako ivo.wachache wanawaharibia wengine.
Duuh na Corona hii jmn lilaaniwe ilo jizi
I'm coming to inshallah
amelizalilisha vaz abalo linaheshima kubwa mungu ampe hukumu kwa kuzalilisha vaz mwezi huu mtukufu pole sana dda j.
Pole sana dada yanguu mungu atakupa saidi yahiyoo
Mwachiye mungu wolper
Pole sana mungu amuadhibu atakavyo
Pole Wolper wangu
Daaah pole dear una imani sana
Ulinzi wa mali zako ni kusali na kutoa sadaka zote yaani sadaka ya hiari,zaka au kikumi na sadaka ya shukrani pia uwe mwaminifu kwa Mungu wako kama hufanyi hivo basi muda mwingine pesa na mali zinapotea kwa njia za ajabu
Pole da jack umeongea kwa uchungu mweeeh!😭😭mungu mwema kila siku🙏🏼
Napenda milard ayo sana...habari safi na interview nzuri
Dada pole sana mpaka happy analaana ya kutosha ,endelea kupambana bado hajakupunguzia kitu.ila kuwa mwangalifu zaidi punguza uzembe.
Uchaa mungu upo moyon na mwislam mzur niyuule waislam weziwe watakao salamik na mkono wake na mdomo wake na muda mwengin MTU anavaa nguo za heshima ili aibe tuuu.
Pole sana dada jack
Allah atamuumbua kwakweli maana katuharibia sisi waislamu na pengine hata sio muislamu
Pole da jacky Mungu atakulipia tuu
Pole sana Wolper, kumbuka kutoa sadaka
da jack huwaga,nakupenda,bureeee
Wolper waeza safirisha from tz to kenya
Yan madera ni mazur sanaaa nimependa😘😘😘
Dada wolper naomb no zako nimependa vitenge vyako
Pole Sana Jackie,kuja Kenya uyo mwizi akule nyasi
Pole sana dada.....nitapata aje izo vitenge dadangu vinapendeza
Jamaniii unavyo hangaika vyote wanaona vipii khaaaaa polee Sana my daaaaah pole mwayaaa atalaanika Sana nguvu yamtu hailiwi
Dada mwenye actualy zake mwenyewe
😁😁😁😁😁
Hahahaaaa
dada tupatiye nimero (namba)zako ajili ya kupata izo gahuni na vitenge .sisi tuko bali tuhusiyane
Bila shaka we unaishi moçambique
Pole sana
Mungu azidi kukup iyo imani ya kusameh my sis kila utaxh shik kigeuk pes kwa uwez wake mung
Dahhh kajistiri na kumbe mwizi pole sana
Pole sana my wolper
Pole mamy
Kwausawa huu jamani pesandefuhiyo Ila muachie Mungu Ila mie ningeibiwa hiyo nKwakweliningezimia😢😢
Pole sana Dada Jack Mungu atakulipa
Hebu tuchukue dakika moja kuwaombea wanachuo waliokula Ada
😂😂
@@khelfinmohammedy6221 aahaaaaaahahahh
😂😂😂😂😂😂
@@mariammussa2540 Hahahaha
@@faridaothman tulijiachia tukasahau kma kuna kusoma😂
Kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo..!!
Hao wanachafua Uislamu na Waislamu, HIJABU ni vazi takatifu kwa wanawake kama Qur'ani ilivyobanisha. ALLAH ATAENDELEA KUWADHALILISHA HAO WEZI WANAOTUMIA VAZI LA HIJABU @professa_mashiko
Actuary akeeeeeeeeee
Pole allah atakujaalia zaidi ya Hiyo
😂😂😂😂😳
hahaha
Pole Sana dada
Nataka vitenge, naomba number
am from kenya.....vitenge viako smart I need you no plz
Pole kabisa
Nkpenda sana jacky my 😘😘😘😘
Pole Sana mamii wezi wanatia hasira
Pole dada yangu
Mungu anakulipa
Kweli kabisa wolper umezungumza wezi wanatuharibia Sana mbwa hawa
Pole Sana da Jackie
Muwe makini jamani huo amezoea kwahio usijiachie Jack nama za simu tunataka vitenge
Pole akija mteja wahivyo akibandua mguu naweuna bandika hakuna kumuacha hata sekunde moja
Dada iyo sadakaaa iyoo ushaota fungu la kumi kweli mwachie molaa ukumbuke kutoa na sadakaa usilaumu sana...
Pole dada penda hayo magauni yako mazuri kweli
Wengi wanatuharibia hili.vazi na wengine sio wasilaam ni wakristo aibu mwanamke kuwa mwizi wallah pole sana Ila mungu hatamuacha salama na mwezi huu mtukufu
Pole daolpa
Unabusala dada Wolper
Pole
Go Jacklin go....
Wizi mbaya sana ashalaanika uyo
pole sister kilakinasho tokea hopangwa na Allah insha allah utapata riski zaiidi kuliko hiyo. japokua inaumashana
Ilaunavitenge vizuri mpenzi
Kwa bidhaa maridadi na uhakika karibu Asma cosmetics,
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape,hips,miguu,kuwa mweupe,n.k
Karibu ofisini, SMS/whatsap0693_330284
Huyo mama Hana akili kabisa âme komaa akiwa mwizi
kama umeckia mwanakaka like hapa
Actually ake weueweeeeeeeee akiiiiiiiiii
Dada leo umeongea kiupore sana leo
Pole sana mpendwa
Pole dadangu kabeba shida zko
Hiyo pesa ni kidogo sana