Shida ni unafsi! Nchi inapotea na bado mnasifiana! Kiongozi hana vision yuko busy na kutalii kwa kodi za watanzania, hana uchungu na pesa zetu, ndo maana haoni shida kuwambia vijakazi wake wale urefu wa kamba zao
1:29 punguza kusifu wewe ndugu samia anafanya ni sehemu ya majukumu kama wewe na mimi huku niliko ,,kwani samia hatulimpi mshahara??acheni hivo jamani,,,,,,au ni kuogopa nafasi yako isitwaliwe
Bad say Mr. Tubadilishieni au tubolesheeni mifumo ya maisha kwanza.
Hii kauli ya muheshimiwa Chalamila ni kauli ya miaka 10.
Ni ukweli ambao mgumu kuukubali 😃
Mbona hajamsalimia.makamu wa rais afu nimeona kama yupo hapo
Amina , Mungu akubariki. Hotuba nzuri.
Shida ni unafsi! Nchi inapotea na bado mnasifiana! Kiongozi hana vision yuko busy na kutalii kwa kodi za watanzania, hana uchungu na pesa zetu, ndo maana haoni shida kuwambia vijakazi wake wale urefu wa kamba zao
Lugha ya picha. Wapumbavu hawawezi elewa maana yake. Wengine walidhani Adam na Eva walikula APPLE wakati kilicholiwa ni tunda nyama!
@@TamuzaKaleHata wewe kumbe HUJUI KITU
Bado upo ktk giza la kifala
1:29 punguza kusifu wewe ndugu samia anafanya ni sehemu ya majukumu kama wewe na mimi huku niliko ,,kwani samia hatulimpi mshahara??acheni hivo jamani,,,,,,au ni kuogopa nafasi yako isitwaliwe
Speech nzr Sana 🙏
Kwa mara ya kwanza nashuhudia mtu akianza kuwa serious
Mama punguza safari za kutalii na jasho LA wa Tanzania zunguka angalia Hali ya unaowaaongoza wanateseka sana huku acheni kuchezea hzo hela za raia
Nakukubali mkuu wamkoa wangu
Rasto tv