Chama wakati yupo Simba alikuwa anagomesha wachezaji wenzie,gari likimuacha hotel kwenda mazoezi,lisiporudi kumfuata anagoma kutafuta usafiri mwingine,mpaka gari limrudie yeye Nani,kafanya mazuri ndio,alikuwa analipwa kwa kazi hiyo,Akirudi Simba itayumba,huyo ni Kirusi!
Asirudi huyo duka la wakulima,kwani wamekosekana wachezaji katukosesha ubingwa mara tatu mfululu,alisema anaenda kwenye timu inayoongoza kwa makombe. Chama usirudi tena Simba allahuma aamiin.
Binafsi nitabaki kuheshimu kazi ya chama ndani ya Tim yetu kabla hajaasi,kwa sasa chama ni jasusi tu linalotska kutumiwa na Hersi Said ili kutuhalibu baadaye
Chama hapaswi kurudi,maana tulimbembeleza akae Simba akaringa sana,tulimuhtaji akatuacha,akafie mbele kwanza atacheza nafasi ya nani?Ngoma anatosha.....!!
Regarding of the great things He did for SIMBA SC not withstanding, Why should you sign back a player who betrayed you in the first place to sign for your greatest rivals , and wants to come back, at this crucial time When the league is in the final stretch, This whole situation looks suspicious.
Asirudi asirudi na asirudi kwani huko Yanga amekosa nn.Thamani yake haitakwaisha lkn alitamba agenda yanga kuchukua ubingwa na Yanga.mshenzi kabisa CV za magori Caf amepata akiwa simba halafu anatukimbia kisa hatujafuzu kucheza CAF anatukimbia,Asirudi tena asirudi
Abaki huko huko alipo hatumtaki kabisa katuumiza sana alikuwa anaondoka ligi inaendelea anaenda zambia na mabegi yake tunapoteza mechi tukiwa tunamtegemea Balua na Chasambi kwa sasa abaki huko huko aliko hatumtaki tena usiseme katufanyia makubwa kwani yeye alikuwa anacheza bure si alikuwa analipwa hatumtaki kabisa tuliamua kuanza upya Mungu ametusaidia tumefika pazuri abaki huko huko
Hamisa hana kosa.. bongo mmezidi kuwasifia wachezaji wa nje ambao ni wa kawaida! Alichokuwa anaweza Aziz KI ni mashuti peke yake.. ambayo hata Ali Machela alikuwa fundi wayo..! Binafsi nilikuwa sioni "exceptionalism" ya Ki na wachezaji wengine..! NI mchezaji wa kawaida sana. Hamisa mnamuonea mtoto wa kisukuma..!
Samaki akioza usimtupe, mtafutie viuongo umkaushe au atakuja kumuokota mwengine ulie uje ujute. Tutazame kutokana na umri na uwezo wake wa sasa Mnyama atafaidika asirejeshwe kwa kuwa ameipa Simba makubwa wengi na sasa hawapo. Chama alijaribu wengine akatambuwa kaumia na akirejea hatarejea tena makosa yake
Kumbe kweli madunduka swala usajili wanaulizwa mpaka walevi
Akafie mbele uyo Babu chama
Chama wakati yupo Simba alikuwa anagomesha wachezaji wenzie,gari likimuacha hotel kwenda mazoezi,lisiporudi kumfuata anagoma kutafuta usafiri mwingine,mpaka gari limrudie yeye Nani,kafanya mazuri ndio,alikuwa analipwa kwa kazi hiyo,Akirudi Simba itayumba,huyo ni Kirusi!
Chama katuliza sana ,, kwasasa tunaamani abaki uko uko utopoloni
Gb 64,chama hatumtaki mlevi,kiburi,anagawa makundi,pia rafki wa cheupe
Chama kashaisha kweli
😂😂😂Et Rafiki Yake Cheupe
Hatumtaki huku Simba huyo jamaa alileta mazarau kwenye club yetu brother G B tahazari sana😮
Wasithubutu kumrudisha Chama,atawavunja moyo wachezaji waliopo na Sprit iliyopo kwa Sasa,wasimrudishe kabisa,ataivuruga Simba,Acha ujinga wewe,
Asirudi huyo duka la wakulima,kwani wamekosekana wachezaji katukosesha ubingwa mara tatu mfululu,alisema anaenda kwenye timu inayoongoza kwa makombe. Chama usirudi tena Simba allahuma aamiin.
Oy mwanangu wamexhakubari aludi
Hafai kurudi Simba Chama aende akamalizie kwao Zambia.
Happana chama ni msaliti
NACHOFIKIRIA HUYU CHAMA ATAKUJA KUIVURUGA SIMBA KAMA ATARIDI
Yaani usenge mtupu
Chama wanini tena...Abaki Uko uko...
Sanaaa kirusi hicho
Chama wetu acheni arudi wanasimba tusisahau mchango wake wazee chama ni chama tu brother karibu tena lunyas chama wetu..🦁
Kwakweli naomba sana Chama asirudi ndani ya kikosi Cha Simba, ana kiburi na ni msaliti
Chama alikwenda yanga kubeba mataji aendelee tu kukaa benchi yanga ,mimi siafiki chama kurudi simba ,akirudi mimi nastaafu kushabikia simba
Chama akirudi simba anakuja kuwafundisha viburi wachezaji wadogo bora afie huko kenge huyu na njaa zake
Chama Afai kuludi Simba....kwani tumekwama Wapi mpaka tumuitaji Chama...Atutaki...Mkitaka kujua ili tupige kula mashabiki.
Msaliti huyo asirudi,akirudi tu simba inayumba tena
Boss mrudishe chama we msameheeee sawa.
Chama ameingizwa chaka na Ashura cheupe
Namkubali sana huyumwambaa aludishwe simba kulehakumfaii tumsamehe mwamba
Chama Chama safi sana akirudi itapendeza sana kwa vijana wale kazi itakuwa tamu sana.
Binafsi nitabaki kuheshimu kazi ya chama ndani ya Tim yetu kabla hajaasi,kwa sasa chama ni jasusi tu linalotska kutumiwa na Hersi Said ili kutuhalibu baadaye
Leo umechemka
Chama anafaa kuchezea Simba arudi tu. Tajiri amrudishe
Asirudi atatuharibia wachezaji wetu anaushawishi mbaya
Chama arudi Simba asitafie simba
Toka uko hatumtaki usimsifie ujinga
Chama safi Rudi Simba baba uweke vitu sawa.
Unaongea point Sema haiwezekani
Chama banaah vyovyote vile
Kumbe huyu msambaa mwenzangu ❤❤
Nikikumbuka mechi ya Azam,Kirumba Mwanza Kayoko kama kwaida yake,Chama akahamua mchezo uwe sare
Very true
Chama na asirudi ni duka la Utopolo
Mwacheni arudi mtoto ametambua makosa yake Wana Simba mukumbuke wema wake ,,siyo kumuhukumu
Haturudi nyuma'chama wa jana siyo wa leo'sasa ana miaka 34,tunataka vijana wa under 25'chama hana nafasi teeeeeena simba'😊😅
Hatumtakiiiiii............
INACHEKESHA SANA 😂😂😂😂❤
Mzee Chama, asije abaki huko hilo
Ndio,chama Inampasa kurudi unyamani
Gb umechemsha. Hatumtaki. Usiangalie historia angalia current performance.
Hatumtaki kaka
Borachama asirudi
Nilitamani Chama astaafu akiwa Simba na angefikiria kuanza mafunzo ya ualimu akiwa Simba..!
Chama hatumtaki kwenye timu yetu ya simba aende mwanza kwenye timu ya pamba😅😅😅
Chama hapaswi kurudi,maana tulimbembeleza akae Simba akaringa sana,tulimuhtaji akatuacha,akafie mbele kwanza atacheza nafasi ya nani?Ngoma anatosha.....!!
asirudi Simba harumtaki Hata kama alifanya mengi lakni alikuwa analipwa pia
Regarding of the great things He did for SIMBA SC not withstanding, Why should you sign back a player who betrayed you in the first place to sign for your greatest rivals , and wants to come back, at this crucial time When the league is in the final stretch, This whole situation looks suspicious.
Akuna cha thaman atumtak
Jaman.mnaposema mabaya ya mtu kumbukeni na mazuri yake.hakuna mchezaji ambae ameleta mafanikio Simba kama chama.na liko wazi😢😢
Kweli kaka angu arudi simba chama kafanya mengi sana simba
Chama kurudisimba syojambolakumkataa kwaniametendamema sanasimba. Njookwenu kumenoga, hakunawakuzuiausiruditofauti nauwongoziwenyewe. Hakuna mwanadamasiekosa naakaombamsamahaa asisamehewe. Chama Karibu simba
Namkubaaari chama ,sinabaya nae,,arudi tu
Kaka GB64 Unanikosha mambo unayoyaongea namm ndo mana nampenda Chama hadi kesho
Kirusi pandikizi hicho hatutaki kwani tumepungua nini mpk apokelewe
Kibabu kinazarau mjinga yule kilisema kinaenda kutafuta furaa
Gb hapo unatudanganya chama atubu dhambi kwanza alio tufanyia Simba tulimpenda lakini yeye alitufanyia uhuni sana
Hamna huyo,alibembelezwa mno kubaki Simba lakini akadengua akitaka kuleta kombe la mabingwa kupitia Yanga.HATUMTAKI
Huyu katumwa na chama hakuna anayemtaka chama hana thamani tena
Hatumtaki tena akafie mbele kwani lazima arudi simbasc
Huyu chama msenge tu yeye ndo alitusababisha kucheza shirikisho apeleke mitamaa yanga
Hatumtaki chama acha ujinga
Mimi mwenyewe namkubali chama arudi Simba hata mtoto alikosea na ameomba samahani basi mopokeen
Chama kwa Simba Bado anahitajika anaweza kuwa na mchango tu kwenye assist
Kweli hkn binaadam asie na makosa
Waituumiza sana waliuza mechi yadabi 64 Gb hao wasaliti
Asirudi asirudi na asirudi kwani huko Yanga amekosa nn.Thamani yake haitakwaisha lkn alitamba agenda yanga kuchukua ubingwa na Yanga.mshenzi kabisa CV za magori Caf amepata akiwa simba halafu anatukimbia kisa hatujafuzu kucheza CAF anatukimbia,Asirudi tena asirudi
Kama kamuomba boss msamaha aludi amejua kosa lake msameheni wapenzi
Arudi ila mechi na Yanga asicheze kabisa maana simuamini namuona duka
Arudi
Arudi tu bado Ni mwamba kwe2
Toa Joshua rudisha Chama
Atulize mshono
Abaki huko huko alipo hatumtaki kabisa katuumiza sana alikuwa anaondoka ligi inaendelea anaenda zambia na mabegi yake tunapoteza mechi tukiwa tunamtegemea Balua na Chasambi kwa sasa abaki huko huko aliko hatumtaki tena usiseme katufanyia makubwa kwani yeye alikuwa anacheza bure si alikuwa analipwa hatumtaki kabisa tuliamua kuanza upya Mungu ametusaidia tumefika pazuri abaki huko huko
asirudi huyo atapata kiburi sana ataendelea kutudharau zaidi
Kilasiku chama anaongeza pesa.
Ww gb 64 chamu muda wake umeisha sasaivi nisimba mpya ya vijana
Sikupingiiii kaka
Chama ni msaliti...hapaswi kurud Simbasc, aende kwao Zambia hatumtak
HATUMTAKI CHAMA NI MSALITI AMEPEWA KAZI MAALUM NA ENG. HERSI.
Mimi nadhan chama angebaki tu yanga
Hivi wakat mechi inauzwa si alikuepo?
Mtawekewa mamluki kwenye timu alf mwisho mtajilaumu
Tulimwambi yanga kubaya wewe gb acha ujinga kwahiyo tuachewachezaji wetu wilotupa ashima tumludie chama hatutaki.
K2 gn mnatak kufany simba,,chama asipokelew tena apo kama mchezaji wetu wa simba
Msaliti acha kumtete
Nikwel aiseeee
Kwahiyo tuache gbrisila tumrudishe chama
Kamahivyo rudisha na manara maana hatuwaelewi
Ataziba nafasi za usajili apishe hatumtaki
Aende zake maana anayo tamaa
Tumuache arudi nyumbani
Oya gb,chama anakuja kutuharibia team
Jamani wanasimba wenzangu kama kuna mtu ajawai kukosea Ajibu koment yangu anastasia kusamehewa
Haiwezekani tena hatumtakiii
Si pesa zilikuwa zinawawasha mwacheni azichume ila roho ya muda iko Simba sports
GB kuwa seliazi bwana,chama wa nini?
Akuna acheni bamge zenu chama ni mamluki tu
Hamisa hana kosa.. bongo mmezidi kuwasifia wachezaji wa nje ambao ni wa kawaida! Alichokuwa anaweza Aziz KI ni mashuti peke yake.. ambayo hata Ali Machela alikuwa fundi wayo..! Binafsi nilikuwa sioni "exceptionalism" ya Ki na wachezaji wengine..! NI mchezaji wa kawaida sana. Hamisa mnamuonea mtoto wa kisukuma..!
Arudi atakaa zake Benchi moaka anastaafu
Chama Rudi hata sahizi
Hatumtaki abaki huko huko aliko
Ssfi sa sana gb 68 chama bado salt simba
Hata Manula kafanya makubwa, kuna makosa ya kusamehe na kurudisha mtu sio sabotage (duka)
Samaki akioza usimtupe, mtafutie viuongo umkaushe au atakuja kumuokota mwengine ulie uje ujute. Tutazame kutokana na umri na uwezo wake wa sasa Mnyama atafaidika asirejeshwe kwa kuwa ameipa Simba makubwa wengi na sasa hawapo. Chama alijaribu wengine akatambuwa kaumia na akirejea hatarejea tena makosa yake