Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine
Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!
nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.
Ndio kaka umeongea Mambo mengi Sana ya msingi watu wakizingatia lazima wafaidike
Kitu cha msingi ni kuweka kumbukumbu vitu vyote vya msingi ili uvifiweke kwenye matendo
Asante nikuelewa
Asante bro kwa ushaur na mungu akubaliki
Kaka somo zur sn hamna watalam wa ufugaj mikowan
Mafunzo ni mazuri na yanaelimisha sana na nimefaidi sana
Asante sana brother
Ahsant sana broo kwa elim unayo 2patia
ahsante bro, ntazidi kufatilia
Video hii imejibu maswali nilikuwa nawaza kukuuliza,hongera sana natumaini utakuwa mentor wangu siku zijazo.
Asante sana kwa Mrejesho wako
@@changamkiafursa baba hongera
mm nipo Znz
Somo zuri sana 🙏🙏🙏
Yeah interested am in
Uko vizuri
Asante sana
Ahsante
Asante ndugu Kwa ushauri
Napenda kufuga kuku Asante
Natamani sana nijue kutunza vifaranga bila vifo
Kweli elimu haina mwisho kumbe kuna umuhimu wa kubadilisha majogoo nilikuwa napuuza sana mkuu hili jambo sasa nabadili mwelekeo ahsante sana
Nimuhimu sana, itakusaidia kupata vifaranga wasioshambuliwa kirahisi na magonjwa
Mimi kila nikifuga wanakufa na homa nakata tamaa
Napendapenda kufuga ila changamoto ya magonjwa na mtaji wa kununua chakula
Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine
Nataman sana elimu hii maana naona ni Moja ya kitu Cha msingi sana😊
Asante nataman saana
Asante
Nataka kufuga kuku wa kienyeji ninalo Banda zuri.
Vizuri sana 🎉
Nimefurahua
Nakukubali sana Kaká kwa elimu unayoitoa
Tuko pamoja
Nimependa mafunzo yako kaka ubarikiwe mm ndio naanza na nimejifunza Sana
Jamani nawapenda sana
Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!
Hakikisha unaShauku na ufugaji wa kuku
Kwa ushauri bora nawapataje. Naomba mawasiliano
What's app 0752209073
@@changamkiafursa utaratibu wa kujiunga upoje kwa sasa
❤aksante mwanangu
1:
Naipenda uduma hii
Somo zuri,
Mim nahitaji somo zaidi
Uko vzr kaka
Naomba msaada mimi nimeanza kufug kuku na sijui jins yakufuga kuku
Napenda kujua kua chakila cha kuku wa kisasa wakienyej ninaweza kuwap
Good
🇧🇮🇧🇮asanteni Kwa mafunzo yako
Ni nzur
Nimefurah San kupat elimu kutok kwen kuhusu ufugaji napenda sana kufuga, swal lang ni je ni kwel ukiwapunguzia manyoa mkian hasa kuku jike wananenepaa
muna maelezo mazuri
asante
naomba uniweke kwenye group la wafugaji
asante mno
Alhamdulillahi
Ahsante kwa maarifa na je nitapataje logo na tetra kumcha?
Mim nataka kufuga kuku kienyeji
Mimi nnapenda sana ufigaji. Na nimepeleka D’salaam incubator , sasa naomba kupata mayai ambayo tujaribu kutotoa watoto
kukuwangu wanatotoa mayai kidogo sana nikiweka 10 _wanatotoa 5 tu
Naomba unisaidie je kuku wanaweza kulala banda moja na kuku
Ok
Nichakula gani chakuwapa kukuwanaotaga msaada
Oya fanya somo lijalo tufundishe utengenezaji wa chakula cha kuku kwanzia start mpaka kuku wanapoanza kutaga bro
Tuko pamoja
Niko Nairobi naeza pata. Wapi
ivi kuku wanawezaj kutaja mayai meng
Chakula icho kinaitwaje kaka?
Mwalimu nataka nijiunge mu groupe WhatsApp, lakini mimi Niko Congo. Nielekeze Nini yakufanya.
Naungana na Mushi, somo lijalo tufundishe kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku kwa njia za asili
Tuko pamoja
Chakula ngani tofaut na pumba
Layers Mash, chakula cha kuku wanaotaga
Please, can't you give us a teaching in English. So that all Africans can understand this very important information. It is very important
He doesn't have to. It's not his language! Just ask for subtitles
Z xko hoopi j
JIPic
Mbona na stutter tena bro...
Je kwa wale ambao tayari wamezaliwa hapo hapo kwamba wale jogoo niwauze au maana hawatakiwa wapandani na dada zao waliozaliwa pamoja
CHAKULA CHA KUTAGISHA NI KIPI
Chakula bora hicho nikipi,
Asnte kwa somo, lakini mbona kwangu magonjwa hayakatiki? Inanikatisha tamaa
Nataka namba zako ili nikuuliza nakulipia fomla
Ni vyakula vipi vya kuwapa kuku wanotaga
Habar mm natk group len whatsapp ili kupat elimu
Utajuaje sasa kama wanamafua
Mwalimu, nataka nijuwe kama kuku mtu anaweza kumpa mahindi yenyewe?
Mayai napata?
Mnapatikana wapi?
Na mafunzo haya watu wakizingatia watatajirika na kuinuka kimaisha
Tunasubiria madini
Saa mbili kamili Asubuhi
@@changamkiafursa naulizia je kuku WA 3 au 4 wanauzwa bei gani Naomba jibu lako
Vifaranga wa kuku ya mayai kutoka siku moja inafaa kukaa kwa stima mda mgani
Nichakula ngani hicho
Umejtaid xn
Kaka jambo nihalbie vyakula vyakuku ili ciselé mukiswaili
Nize na kuku ngapi
Mchanganyoko wa chakula ninchowapa kuku wangu ni pumba, dagaa, konokono ,chunvi na DCP vipo huo mchanganyiko upo je
Wewe ulianza kufuga kuku wangapi
Naweza kumnyanganya vifaranga kuku alietotoa vya siku moja?
Ndio, utawalea kwa njia ya kubuni
unawezaje kupata majogoo ?
Jamani nataka kujiunga na WhatsApp yenu
Ni mda gani inafaa kuwatenganisha vifaranga na mama Yao nikiwa Kenya
Nauliza jogoo moja inafaa kuwa kuku wa wangap
Kuku Kimu dear
jamani mbona kuku wangu hawatotoi vzr
Jina litatokea nani
nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.
Piga lafu floor then weka malanda au majan makavu kuwa makin na mlango au matundu ambayo yanaweza pitisha wadududu
Kaka nashukuru sana kwa elimu hii. Ila kaka nataka kufuga mabata mzinga. Una elimu kuhusu ilo?
Hakuna kichoshindika, elimu ninayo ila sina uzoefu 🤔
@@changamkiafursa ok sawa
Chakula hicho kinaitwaje
Naomba niulize mi ninakuku 30 nafugia kwenye Banda mambogani naitaji nizingatie?
Chakula gani?
aksanti kwa siri za ufugaji wa kuku; sasa na hitaji saana video zenu ni fanye nini
Kuku wangu ametaga yai Ila liko na Ufa hilo linaweza kutotoa kifaranga
Huuu uongo
Napend kufuga
chakula cha kuku wanaotaga ni chakula gani
Unapatikana wap?
Nikwamara ya kwanza kuona vidio hii nauliza hiyo majani naona kuku wakila ni majani ipi ambao kuku Wafaa kukula ama mti wowote
Na jogoo akimpanda jike ambae ni mwanae wa kumzaa inaweza kusababisha udhaifu wa kifaranga?
Ndio
Lakini naomba kwanza samahani , mtu akiuliza swali asijibiwe inamaanisha nini ? kama alikosea au hakukosea cha muhimu ni kumjibu