NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 149

  • @bwanashamba7497
    @bwanashamba7497 4 роки тому +10

    Ndio kaka umeongea Mambo mengi Sana ya msingi watu wakizingatia lazima wafaidike

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому +3

      Kitu cha msingi ni kuweka kumbukumbu vitu vyote vya msingi ili uvifiweke kwenye matendo

  • @AbbasSaid-o3r
    @AbbasSaid-o3r 26 днів тому

    Asante nikuelewa

  • @GoodluckMwakapesa-d4f
    @GoodluckMwakapesa-d4f 2 місяці тому

    Asante bro kwa ushaur na mungu akubaliki

  • @hasnaahmed6877
    @hasnaahmed6877 3 роки тому +2

    Kaka somo zur sn hamna watalam wa ufugaj mikowan

  • @magrethkavuye
    @magrethkavuye 16 днів тому

    Mafunzo ni mazuri na yanaelimisha sana na nimefaidi sana

  • @felixyegon-gb5ri
    @felixyegon-gb5ri Рік тому

    Asante sana brother

  • @KuluthumuHamada
    @KuluthumuHamada 7 місяців тому +1

    Ahsant sana broo kwa elim unayo 2patia

  • @Rojaboy-q3e
    @Rojaboy-q3e 5 місяців тому

    ahsante bro, ntazidi kufatilia

  • @gwamakamwailunga3039
    @gwamakamwailunga3039 4 роки тому +2

    Video hii imejibu maswali nilikuwa nawaza kukuuliza,hongera sana natumaini utakuwa mentor wangu siku zijazo.

  • @fredricklukosi9224
    @fredricklukosi9224 3 роки тому +2

    Somo zuri sana 🙏🙏🙏

  • @EvanceOuma-v4y
    @EvanceOuma-v4y 4 місяці тому

    Yeah interested am in

  • @Issa.Mtigandi
    @Issa.Mtigandi Рік тому

    Uko vizuri

  • @bongoplay865
    @bongoplay865 3 роки тому +1

    Asante sana

  • @sophymussa5562
    @sophymussa5562 Рік тому

    Ahsante

  • @CharlesDaniel-d4d
    @CharlesDaniel-d4d Рік тому

    Asante ndugu Kwa ushauri

  • @pasliterwakungwi9385
    @pasliterwakungwi9385 Рік тому

    Napenda kufuga kuku Asante

  • @EllyRobinson
    @EllyRobinson 11 місяців тому

    Natamani sana nijue kutunza vifaranga bila vifo

  • @tululililomo4706
    @tululililomo4706 4 роки тому +6

    Kweli elimu haina mwisho kumbe kuna umuhimu wa kubadilisha majogoo nilikuwa napuuza sana mkuu hili jambo sasa nabadili mwelekeo ahsante sana

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Nimuhimu sana, itakusaidia kupata vifaranga wasioshambuliwa kirahisi na magonjwa

    • @Tedytadey
      @Tedytadey 5 місяців тому

      Mimi kila nikifuga wanakufa na homa nakata tamaa

  • @Jellydina
    @Jellydina 11 місяців тому

    Napendapenda kufuga ila changamoto ya magonjwa na mtaji wa kununua chakula

  • @margarethmanoni9689
    @margarethmanoni9689 7 місяців тому +1

    Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine

  • @EMMANUELKIJINZA
    @EMMANUELKIJINZA 7 місяців тому

    Nataman sana elimu hii maana naona ni Moja ya kitu Cha msingi sana😊

  • @LucyKamwela-dn1hh
    @LucyKamwela-dn1hh 9 місяців тому

    Asante nataman saana

  • @HamisJoseph-n8l
    @HamisJoseph-n8l 3 місяці тому

    Asante

  • @Judith-y6q
    @Judith-y6q 4 місяці тому +1

    Nataka kufuga kuku wa kienyeji ninalo Banda zuri.

  • @KulsumMeghji
    @KulsumMeghji 8 місяців тому

    Vizuri sana 🎉

  • @anjelistfelix1041
    @anjelistfelix1041 Рік тому

    Nimefurahua

  • @maulidmtani2399
    @maulidmtani2399 4 роки тому +1

    Nakukubali sana Kaká kwa elimu unayoitoa

  • @maimunamohamed3558
    @maimunamohamed3558 Рік тому

    Nimependa mafunzo yako kaka ubarikiwe mm ndio naanza na nimejifunza Sana

  • @مكتومالدرعي
    @مكتومالدرعي 2 роки тому

    Jamani nawapenda sana

  • @harunmwazembe9980
    @harunmwazembe9980 4 роки тому +3

    Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 4 роки тому +3

    Kwa ushauri bora nawapataje. Naomba mawasiliano

  • @AnnaMsofe-y3k
    @AnnaMsofe-y3k 5 місяців тому

    ❤aksante mwanangu
    1:

  • @blackboy5419
    @blackboy5419 2 роки тому

    Naipenda uduma hii

  • @alesnjeje173
    @alesnjeje173 4 роки тому +1

    Somo zuri,

  • @OscarJoshua-d4i
    @OscarJoshua-d4i 3 місяці тому

    Mim nahitaji somo zaidi

  • @jovinmark-c8n
    @jovinmark-c8n 9 місяців тому

    Uko vzr kaka

  • @RatifaJuma-cd8rh
    @RatifaJuma-cd8rh Рік тому

    Naomba msaada mimi nimeanza kufug kuku na sijui jins yakufuga kuku

  • @MashakHassan
    @MashakHassan 8 місяців тому

    Napenda kujua kua chakila cha kuku wa kisasa wakienyej ninaweza kuwap

  • @jeremiahwepukhulu3916
    @jeremiahwepukhulu3916 3 роки тому

    Good

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 роки тому

    🇧🇮🇧🇮asanteni Kwa mafunzo yako

  • @GloriaMbunda
    @GloriaMbunda 10 місяців тому

    Ni nzur

  • @JustinaJwangi-oc6vc
    @JustinaJwangi-oc6vc Рік тому

    Nimefurah San kupat elimu kutok kwen kuhusu ufugaji napenda sana kufuga, swal lang ni je ni kwel ukiwapunguzia manyoa mkian hasa kuku jike wananenepaa

  • @kishingochangawa5383
    @kishingochangawa5383 Рік тому

    muna maelezo mazuri

  • @theresiagratta5796
    @theresiagratta5796 2 роки тому

    asante
    naomba uniweke kwenye group la wafugaji
    asante mno

  • @josephmasika3854
    @josephmasika3854 2 роки тому

    Alhamdulillahi

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 3 роки тому +1

    Ahsante kwa maarifa na je nitapataje logo na tetra kumcha?

  • @kaluluthehair4400
    @kaluluthehair4400 6 місяців тому

    Mim nataka kufuga kuku kienyeji

  • @AshaAljasry
    @AshaAljasry Рік тому

    Mimi nnapenda sana ufigaji. Na nimepeleka D’salaam incubator , sasa naomba kupata mayai ambayo tujaribu kutotoa watoto

  • @BeatricePeter-zg5ee
    @BeatricePeter-zg5ee 4 місяці тому

    kukuwangu wanatotoa mayai kidogo sana nikiweka 10 _wanatotoa 5 tu

  • @mariammkono7455
    @mariammkono7455 Рік тому

    Naomba unisaidie je kuku wanaweza kulala banda moja na kuku

  • @bokasanyagali3937
    @bokasanyagali3937 2 роки тому

    Ok

  • @nadhirmushi4347
    @nadhirmushi4347 4 роки тому +1

    Oya fanya somo lijalo tufundishe utengenezaji wa chakula cha kuku kwanzia start mpaka kuku wanapoanza kutaga bro

  • @MilcahNdunge
    @MilcahNdunge 3 місяці тому

    Niko Nairobi naeza pata. Wapi

  • @IbrahimOmary-mw1dt
    @IbrahimOmary-mw1dt Рік тому

    ivi kuku wanawezaj kutaja mayai meng

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 7 місяців тому

    Chakula icho kinaitwaje kaka?

  • @lydiefaraja8425
    @lydiefaraja8425 5 місяців тому

    Mwalimu nataka nijiunge mu groupe WhatsApp, lakini mimi Niko Congo. Nielekeze Nini yakufanya.

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 4 роки тому +4

    Naungana na Mushi, somo lijalo tufundishe kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku kwa njia za asili

  • @stivinimashurubu9989
    @stivinimashurubu9989 4 роки тому +1

    Chakula ngani tofaut na pumba

  • @nkuutufred2444
    @nkuutufred2444 4 роки тому +4

    Please, can't you give us a teaching in English. So that all Africans can understand this very important information. It is very important

  • @GeofreyMtensa
    @GeofreyMtensa 4 місяці тому

    Mbona na stutter tena bro...

  • @jacksonmakombe7439
    @jacksonmakombe7439 3 місяці тому

    Je kwa wale ambao tayari wamezaliwa hapo hapo kwamba wale jogoo niwauze au maana hawatakiwa wapandani na dada zao waliozaliwa pamoja

  • @NathanielPeter-wv3wg
    @NathanielPeter-wv3wg 8 місяців тому

    CHAKULA CHA KUTAGISHA NI KIPI

  • @MariaJuma-q2k
    @MariaJuma-q2k Рік тому

    Chakula bora hicho nikipi,

  • @Irene-bz6zz
    @Irene-bz6zz 2 роки тому

    Asnte kwa somo, lakini mbona kwangu magonjwa hayakatiki? Inanikatisha tamaa

  • @AliyHamsin
    @AliyHamsin 8 місяців тому

    Nataka namba zako ili nikuuliza nakulipia fomla

  • @unisobura9677
    @unisobura9677 2 роки тому +1

    Ni vyakula vipi vya kuwapa kuku wanotaga

  • @NurdinaliOminyoovic
    @NurdinaliOminyoovic 10 місяців тому

    Habar mm natk group len whatsapp ili kupat elimu

  • @مكتومالدرعي
    @مكتومالدرعي 2 роки тому

    Utajuaje sasa kama wanamafua

  • @lydiefaraja8425
    @lydiefaraja8425 5 місяців тому

    Mwalimu, nataka nijuwe kama kuku mtu anaweza kumpa mahindi yenyewe?

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 Рік тому

    Mayai napata?

  • @YohanaKomba-i4o
    @YohanaKomba-i4o 9 місяців тому

    Mnapatikana wapi?

  • @magrethkavuye
    @magrethkavuye 16 днів тому

    Na mafunzo haya watu wakizingatia watatajirika na kuinuka kimaisha

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 4 роки тому +3

    Tunasubiria madini

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 роки тому

      Saa mbili kamili Asubuhi

    • @hadijamandemla7017
      @hadijamandemla7017 4 роки тому

      @@changamkiafursa naulizia je kuku WA 3 au 4 wanauzwa bei gani Naomba jibu lako

  • @estherkimani3512
    @estherkimani3512 10 місяців тому

    Vifaranga wa kuku ya mayai kutoka siku moja inafaa kukaa kwa stima mda mgani

  • @MusaJuma-f5h
    @MusaJuma-f5h Рік тому

    Nichakula ngani hicho

  • @SilasshijaMangu
    @SilasshijaMangu 11 місяців тому

    Umejtaid xn

  • @AugusteYohana
    @AugusteYohana 10 місяців тому

    Kaka jambo nihalbie vyakula vyakuku ili ciselé mukiswaili

  • @yohanaissaya4338
    @yohanaissaya4338 2 роки тому

    Nize na kuku ngapi

  • @revinabyabato1009
    @revinabyabato1009 5 місяців тому

    Mchanganyoko wa chakula ninchowapa kuku wangu ni pumba, dagaa, konokono ,chunvi na DCP vipo huo mchanganyiko upo je

  • @Barick2
    @Barick2 Рік тому

    Wewe ulianza kufuga kuku wangapi

  • @alesnjeje173
    @alesnjeje173 4 роки тому +2

    Naweza kumnyanganya vifaranga kuku alietotoa vya siku moja?

  • @calsonmbowe7669
    @calsonmbowe7669 3 роки тому

    unawezaje kupata majogoo ?

  • @Shafishukuru
    @Shafishukuru 5 місяців тому

    Jamani nataka kujiunga na WhatsApp yenu

  • @maimunamohamed3558
    @maimunamohamed3558 Рік тому

    Ni mda gani inafaa kuwatenganisha vifaranga na mama Yao nikiwa Kenya

  • @estherkimani3512
    @estherkimani3512 10 місяців тому

    Nauliza jogoo moja inafaa kuwa kuku wa wangap

  • @joycemlighite9271
    @joycemlighite9271 3 роки тому

    jamani mbona kuku wangu hawatotoi vzr

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 7 місяців тому

    Jina litatokea nani

  • @neemapetertungu677
    @neemapetertungu677 3 роки тому +1

    nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.

    • @hamisishabani4009
      @hamisishabani4009 11 місяців тому

      Piga lafu floor then weka malanda au majan makavu kuwa makin na mlango au matundu ambayo yanaweza pitisha wadududu

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 4 роки тому

    Kaka nashukuru sana kwa elimu hii. Ila kaka nataka kufuga mabata mzinga. Una elimu kuhusu ilo?

  • @victorsteven4013
    @victorsteven4013 Рік тому

    Chakula hicho kinaitwaje

  • @ManyahiAlbanusi-hf2ew
    @ManyahiAlbanusi-hf2ew Рік тому

    Naomba niulize mi ninakuku 30 nafugia kwenye Banda mambogani naitaji nizingatie?

  • @scholasticamswata3548
    @scholasticamswata3548 2 роки тому

    Chakula gani?

  • @GratienPaluku
    @GratienPaluku 6 місяців тому

    aksanti kwa siri za ufugaji wa kuku; sasa na hitaji saana video zenu ni fanye nini

  • @queenwolf2576
    @queenwolf2576 3 роки тому +3

    Kuku wangu ametaga yai Ila liko na Ufa hilo linaweza kutotoa kifaranga

  • @MashakHassan
    @MashakHassan 8 місяців тому

    Napend kufuga

  • @joycemlighite9271
    @joycemlighite9271 3 роки тому

    chakula cha kuku wanaotaga ni chakula gani

  • @analwabwela9121
    @analwabwela9121 2 роки тому

    Unapatikana wap?

  • @CatherineNyange-k2g
    @CatherineNyange-k2g 11 місяців тому

    Nikwamara ya kwanza kuona vidio hii nauliza hiyo majani naona kuku wakila ni majani ipi ambao kuku Wafaa kukula ama mti wowote

  • @paschalmagubo6337
    @paschalmagubo6337 3 роки тому

    Na jogoo akimpanda jike ambae ni mwanae wa kumzaa inaweza kusababisha udhaifu wa kifaranga?

  • @sikujuwabackari3554
    @sikujuwabackari3554 Рік тому

    Lakini naomba kwanza samahani , mtu akiuliza swali asijibiwe inamaanisha nini ? kama alikosea au hakukosea cha muhimu ni kumjibu