Huyu MOO...DEWJ, ALLAH ambariki sana wapo matajir tz wanaona kabisa baadhi ya familia zina hali ngumu kimaisha lkn wanchykulia poa ila huyu jamaa anaguswa sna na familia nyonge. Mtu kama huyu ALLAH haachi kumpa GOD BLESS YOU BRO🙏🙏🙏
Nakuelewa sana haji manara... Mo dewiji kweli Upo ju sana Unatakiwa kuwa hivyo ili hata pepo inakusubuli siku utakapo chukuliwa na mungu.... ......simba inapaswa kuwepo milele
Binadamu ni kiumbe hatari sana, huwezi kuamini kama Manara anayoyaongea leo aliwahi kutendewa Mema na Mo, Siijui Imani yake anavyoamini lkn inatia shaka, hata hao Yanga wawe makini nae. Inaelekea ni mtu asie na aibu ktk maisha yake, Watu wa aina hii ni hatari sana
Wanaoangalia hii baada ya Manara kutoka Simba Tujuane kwa Like
Tupo
Allah awape maisha mareee team simbaa woooooote simba baba laoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤😘😘😘😘😘😘🙏🙏🙏🙏❤❤💪💪💯💯💯
Gg
Nan anaaangalia hii interview kipind hiki cha mambo kuvulugika
Hahaha binadamu sie
Haji manara mnafiki sana mssahili huyu
Mo mungu atakulipa maana unaupendo Sana pia nasi tunakupenda Sana!pia mond nampenda sana!mungu awape maisha marefu!Simba mbele daima
Mungu akuongezee zaido
Nimependa maneno ya boss no👍🏿🧠
Safi sanaaaa boss wetu mungu akupe maisha na zaidi
Ww unasema,wahindi wana,roho mbaya,ww kwenye family yako umewasaidia,akina,nani acha,uchoko ww
Mnashangaza sana kwa huyo mwehu dunia haipiti mungu akulaani sio muda mlefu mtu shoga manara
Huyu MOO...DEWJ, ALLAH ambariki sana wapo matajir tz wanaona kabisa baadhi ya familia zina hali ngumu kimaisha lkn wanchykulia poa ila huyu jamaa anaguswa sna na familia nyonge. Mtu kama huyu ALLAH haachi kumpa
GOD BLESS YOU BRO🙏🙏🙏
"Unaweza ukazaliwa mtu lakini ukawa sio binadamu "- ( Haji Manara)
Kwa hapa Haji ulimfichia MO ila juzi ndio umemwaga ugali
Hahahahaaaaa
Hahahahahahahaha watu wana vitu ndani ulimi vina hatari kweli kweli.
Mimi naona Haji Manara aje astaafu usemaji akiwa na umri wa miaka 70
Mpak afe maana akizeeka ndio maneno yanaongezeka
Mie sitaki asaa aje msemaji mwengine
Alhamdulillah kusikia uko poa ndugu,Allah akusimamie na akupe nguv zaid kuipigania brand ,nguv moja daima
Manara anasepa
Nakuelewa sana haji manara...
Mo dewiji kweli Upo ju sana Unatakiwa kuwa hivyo ili hata pepo inakusubuli siku utakapo chukuliwa na mungu....
......simba inapaswa kuwepo milele
Mo upo vizur na unahuruma Ila Imekuaje Leo manara kasepeshwa
Mo mwenyewe alikua anashangaa Haji anavyoo muongelea vizuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Honger hongereni sana , hii ndiyo Simba , Manara kazi iendelee
Umekoment ila ulikua hii vedio iliwekwa lini?
Mimi naangalia ,sasa manara kumbe uliwahi kumsifia mo kiasi hichi
Waaaaaaoooooooooooooo,Mo,wasafi juuuuuuuu
Kumbe yalikuwa maneno ya kinafiki tu , Mwamwediiiiiiiiii
Haya maneno inakuwaje sasa ????? Leo hii anamuanika MO
Mondi ajui chchote kwenye mpira anaitikia tu apo 😂😂 apo ongelea mziki atakuelewa
😁😁😁😁
Ht mm naon anaitika2
Asanteeee manara tunakupenda xana
Hapa ndio utajua binadamu ni kiumbe hatari. sana, Haji anampamba Mo kupita maelezo leo hii Haji kabadilisha maneno kwa Dewji hana utu dah.
Maisha kubadilika broo
Barbra hahahahaha
Asee Haji Mimi mwanasimba na nakukubali sana hupaswi kuacha piga kazi
Binadamu ni kiumbe hatari sana, huwezi kuamini kama Manara anayoyaongea leo aliwahi kutendewa Mema na Mo,
Siijui Imani yake anavyoamini lkn inatia shaka, hata hao Yanga wawe makini nae.
Inaelekea ni mtu asie na aibu ktk maisha yake, Watu wa aina hii ni hatari sana
Mo 🔥🔥🔥
Dunia inaenda kasi mnoo,,kwa sasa hawapatani tena ni maadui haswaa kmmmkeee!!!Daahh!!🙌🙌
Kwa hisani ya Barbra Gonzalez
Kwa hisani ya Barbra Gonzalez
Nice MO
Hiyi ndo simba,kwetu upendo ndo mali.Mapenzi yangu ya simba yanazidi kuengezeka kila kukicha.Big up sana
p
pppp
Sasa unaweza kugundua manara mlia tumbo na mnafki
Huyu haji manara hajielewi
Safi Sana tajili
Mashaallah tuna wapenda
😂😂Mbona leo hutaki awe maarufuu
Tunakupendaaa
MO MO MO MO MO MO NO MORE THAN U MO. Manara oye Simba oye
Mpeninafasi yake haji manara
Nani anangalia hii baada ya manara kuondoka
Nimekuja hapa baada ya vurumati ktk mitandao jmn nani alokuja kwa ajili hiyo kam mie? Gonga like japo 10 jmn sijawahi pata hata 2 leo nawambaa
Tunamependa manara
Namuona simba
Mmmmmmmhhh nyoooo
Moo unaupendo nakila mtu mungu akubarik Boss
Moo ni mtu mmoja muelewa sn
Ikiwa tajili mkubwa anajitolea Hy yote na kujishusha Chini ili awe swwa na masikini ww masikini Nani hs HD uvimbe
Dah
Jaman mwenzenu nipo saudia hadi naona mambo yananipita
Mo Ni mtu mwenye utu
Mo tajiri wetu wa simba
Duuuuuuh haya maisha yanaend kasi sana kwakwel eti leo haji na Mo hawaendan daaah,,,,!!!!
Haji manara una shukrani tulipokuchangia hauna fedha mbona umeshasahau?
Acha unafiki
Kwa nini Manara anamuongelea Mo Kama mtu wa tatu 😁
Kwan we unataka axeamaje
Wakwanza leo😂😂😂😂😂😂
Ahaaaa, nimekuelewa MO🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaa pole sana Bosi uliia
Zilipendwa nazinakiki had leo
Mo👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
Za siku
Sasa mbona jamaa hapo hamuumpi choice na yeye aongee @diamond platinumz
Haji njaa
Vizuri MO
Simba juu 🦁
sema manara maana wengi hawajui hasa utoporo
Kumbe hili ka umaarufu lilianza zamani,
Wapiliii mwamedi kaongea pwenti sana huyu jamaa
Bado haujasema manara yaani mpaka usemeeeee😂😂😂😂
Mmmh
Safi mo
Mo longlife bro
Mooo Ni, 🔥
Nmependa iyo wana msimbazii
Tunajifunza jambo kubwa la umuhimu wa kuweka akiba ya maneno katika kuzungumza!
Tupo nyuma yako boss wetu
Safi bossi
Klipu ya zamani sana toka manara yupo simba ya zamani sana
Enzi hzo
MWANADAMU NIKIUMBE CHA AJABU SANA BORA UKUTANE NA MNYAMA NA SIYO MTU
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Daymondi unaakili nyingi hawa walikuwa na tofaut nahizi kwa akili yangu asante kwa kuondowa tofaut zao
Yazamani sana
Huyu Manara Ni mnafki Sana nyoo!Maneno yako mwenyez yatakuhukumu
Mo nimmoja tuu
Simba juu young mtakubar tu
Hatari wataendelea kusubiri
Simba sport Club baba lao
This is next level
Taiko
Taiko lukas
MANALA RUDIA HIII VIDEO ITAKUTOWA MACHOZI
Boss mswahili....mo
Haji usituzarau Sana mambo madogo tu
Babraa anaonekana nyuma as hana Raha kvilee
Du kula tapishi baba
"Heshima utu na kumthamini mtu ni muhimu sana awe maskini awe tajiri "Mo Dewji
Naona nyuma yupo mchepuko barbra
Hapo ndo ujuwe hela ni mzizi wa shetani Jana manara kasema mo anarombaya kkkkkkkkkkk
Siri ya ndoa chumbani alivujisha kwa mara ya kwanza sauti ndie msaliti.
Mo tajiri
Unajua
Kwa interview hii haji ulipaswa utunze akiba ya maneno
Sawa leo kimeumanaaa
Kwa hisan ya barbra
Naaam mwamedi
Apa alikuwa anaficha...
Najua huo ulikuwa mchezo wakumuua mtani ,,ww manala