sasa wenye wanarusha mdomo ati ni uongo kwani mlikua mnafanya pamoja? then wenye wanasema amefanya interview kwa sijui station ngapi kwani kuna pesa mnalipia? wakenya tupendane manze ,ni yeye anajua alipo pitia, kama uko kuzuri shukuru mungu don't think every boss nikama mwenye uko naye,,,pole sana faith
Jeremy the story of faith is so painfully....mimi niko saudi Arabia 8months now sijawai pata shida yoyote am doing very well i thank God...pia naomba ukipata good story's from Saudi pia ulete sio baya to Thenks alot God blesse you brother ❤❤
Me too nko na boss wazuri.i thanks God.na ni watu wa saudi V.nyc family aki.but kuna watu wanateseka huku sio uongo.i am a witness.kuchapwa,kufungiwa,food proble,job mob bila enough food.Maombi ndio ngao letu huku.
Lady, I feel your pain.I hope there will come a time in the future where all ladies will work peacefully and respectfully until their time is over.Anyway, I wish the agents could make new contracts so that every 3 months, there is a meeting between employer and employee to see if both still agree to be a team
The problem and mistake she made nikukubali for the first time angekata mara ya kwanza,I'm in Saudi Arabia and when umekata kitu for the first time nihivo na hapo kwa kupelekwa kwa mama ama bro alifaa aonge like me waliniabia niede nikasema no no the money you pay it only for one house ilibidi waongeze half of my salary,tell the to believe on their self and God before anything
Seems there was an opportunity to bargain for a small commission for helping the new delivered mum instead of refusing. I think when you win the house mistress you may get everyone's admiration.
I believe she went through something,She is not the first to complain about warabu,if you have not passed through what she went through just thank God but wacheni kurusha mawe woii
I feel you should love yourself, ondoa hopes za kupata a man that atakueka kwa nyumba like u want,sometimes desperate needs makes us make desperate decisions, be independent n the man meant fr you will locate you.anyway ur tomorrow will b greater than today.keep moving
About Saud, not all pple are bad,am here almost kumaliza my contract, yes it was hard at the beginning but God turned the situation around,the house am in si kubwa its just a normal house with 6 rooms,not all houses ni kubwa,it's God who sustain us,hakuna mahali hakuna risks in this world,but with God we are safe anywhere.pole fr your experience in Saudi
Pole sana fai. Eeeh iyo kazi ili kuwa ngumu😮😮😮. Watching from Saudia.I thank God my bosses are good ive finished 1yr but cjawai hata gombanishwa na waititu.
Huyu Dem siezi mublame atah coz kuna kitu hufuta mtu in life roho ya rejection hii kitu ata uoleke na wanaume wangapi unafukuzwa na hii rejection even upate job kila mahali hii kitu yakufuata so life yako itakuwa ya kuteseka na kama watu hawakuelewi na hawajui uko na rection wana ku hate mbule so ukiskiza story ya mtu don't blame that person coz haujui kenye inamukula ,wengi wao need prayers
Thanks Faith for sharing your story it is part of your healing. Don't worry about judgemental character in social media. You are blessings to your children
Hie I am guy in cape Town I try to listen to your story but I can't understand swahili can someone translate it into engrish it looks like a touching story thanks
😅😅😅😂😂Aky Mungu atusaidie huyo Dem amefanya nicheke ety mtu asikudanganye hakuna mwarabu Ako na nyumba kidogo ukweli aky ua unafika Kwa gate unauliza ni wewe Kwa hiyo nyumba yote
I have been listening to people share stories. Who has noticed like me the way problems recur in families. Her mum had problems, she has problems, her kids the same problems. Similar problems of being neglected and oppressed. It's too sad.
Sister, I’m so sorry you went through all this. Unfortunately Saudi Arabian people do NOT know what humanity is. Just leave everything with God. Right?
Saudi Arabia c mchezo sai nafanya Saudi k wee uko sawa.usiseme Saudi n kuzuri coz watu wanateseka pia mi nimepitia shida mpaka one month nikikosa mshahara
Mimi niko poa,na Pia ile group tulikuja nayo iko sawa,a group of 120girls only one girl but alibadilishwa na ako sawa.kama Mimi nimekuwa mgojwa in to two weeks na wanamshuglikia if need hospital wananipeleka.just thanking GOD coz kuna wenye wanateseka.
My first Job abroad was in Riyadh Saudi Arabia back in 2000.I thank God that I had a great Boss their children were very respectful .I did my research about my boss what he did for a living and who he was.I paid a higher price compared to the other jobs they had at the Agency.I believe everything that Fai said and I feel her pain .There is good and bad in all of us .Yes there are very bad Saudi bosses and that gives the country a bad reputation.I Thank God that He favored me .Most of us are poor young mothers trying to make a difference in our lives .I wish the economy and employment situations in Kenya was better .No one wants to leave their young kids behind and risk never coming back alive.
That lady is taking the reality we went through alot but people out there they take it easier they just say we are doing prostitution but let me tell me friend hapa ni kubaya ni vile tu tulikuja kutafutia watoi niombeeni badala ya matusi hawa watu they are more than monisters
Wah, hope those children are not passing the same rejection you have passed thru...Ukitoka kwa mwarabu never go back again, it's like signing an agreement with the devil.
Faith, you have given a honest testimony for Kenyans to judge. I wonder whether our country leaders see this. Are we so poor that we cannot life for these cases? UhuruRuto, its your turn
My name Germaine or Jemimah, I’m from Burundi but I live in Canada, and I have a sister her name is Fabiola Irakoze and she is 35 years old, she is in Saudi Arabia 🇸🇦, and she is been there for 6 years now, we don’t know if she still a live or she is dead, If anyone knows her or knows how we can find her, Please let us know and your support will be much appreciated
I believe in you faith..I don't know why brokers don want to expose the Saudi bosses..ama it's the money you get for the business ya wasichana..you don't care for them Bora u make money..Mungu anawaona.. that's blood money..and also wicked Ness.,faith gives the truth about the bosses..
Let's say thank to God u are bck a life ....God didn't forget u .. and his coming for u to open the new door ... Just rejoice and u will receive it... Be bless ❤️❤️❤️
Switie mbona story yako inachange tuko ni diff ntv diff na huku sasa anyways warabu c wote wabaya worked in Saudi 2½yrs but unyenyekevu muhimu team strong tuned from dubai
Nashangaa pia mimi, alafu kila station nikaa wanapenda kusikia hii story yake coz tangu ahostiwe hakuna solution yoyote nikama kuna malipo hehe khalas tafshana minaha walai 🤣
sasa wenye wanarusha mdomo ati ni uongo kwani mlikua mnafanya pamoja? then wenye wanasema amefanya interview kwa sijui station ngapi kwani kuna pesa mnalipia? wakenya tupendane manze ,ni yeye anajua alipo pitia, kama uko kuzuri shukuru mungu don't think every boss nikama mwenye uko naye,,,pole sana faith
Izo ndo tabia za wakenya hawakosangi kuongea
Kwa Nini wanyamaze, kwani mdomo ni ya Nini? Are you saying after all this mistreatment anyamaze? To whose advantage? Let people talk.
Add more volume sister👍👍👍👍
Juu we ni Muganda mbona unacomment???
Tell them, it's good to open up'Is the wearer who knows where shoe pinches' Those who are saying ety anadanganya, please don't judge
Jeremy the story of faith is so painfully....mimi niko saudi Arabia 8months now sijawai pata shida yoyote am doing very well i thank God...pia naomba ukipata good story's from Saudi pia ulete sio baya to Thenks alot God blesse you brother ❤❤
When I heard of people's stories, I thank God because I always think my problems are too much
Pole dear,sio wwe pekeyako unapitia
Story yako iko karibu kufanana na yangu baby girl
Woi mamaa may our lord wipe your tears away. ...no one is perfect I like your openness. I salute ur braveness you are a strong woman
Me too nko na boss wazuri.i thanks God.na ni watu wa saudi
V.nyc family aki.but kuna watu wanateseka huku sio uongo.i am a witness.kuchapwa,kufungiwa,food proble,job mob bila enough food.Maombi ndio ngao letu huku.
Lady, I feel your pain.I hope there will come a time in the future where all ladies will work peacefully and respectfully until their time is over.Anyway, I wish the agents could make new contracts so that every 3 months, there is a meeting between employer and employee to see if both still agree to be a team
V
The problem and mistake she made nikukubali for the first time angekata mara ya kwanza,I'm in Saudi Arabia and when umekata kitu for the first time nihivo na hapo kwa kupelekwa kwa mama ama bro alifaa aonge like me waliniabia niede nikasema no no the money you pay it only for one house ilibidi waongeze half of my salary,tell the to believe on their self and God before anything
Seems there was an opportunity to bargain for a small commission for helping the new delivered mum instead of refusing. I think when you win the house mistress you may get everyone's admiration.
Thank to God they save you life Mami..may God open your door 🙏🙏🙏🙏🙏
Mi ningali na wao,hawa walinizuia kwenda kuburry my brother, recently n they are 10ladies sisters,ni kwao but nimebakisha 8months nimalize contract
I believe she went through something,She is not the first to complain about warabu,if you have not passed through what she went through just thank God but wacheni kurusha mawe woii
Faith ata ukai kuwa na watoto Sita unakaa young mungu amekulida
I feel you should love yourself, ondoa hopes za kupata a man that atakueka kwa nyumba like u want,sometimes desperate needs makes us make desperate decisions, be independent n the man meant fr you will locate you.anyway ur tomorrow will b greater than today.keep moving
Jamani your story is very emotional 😥mungu atujalie Sisi wenye tuko huko🙏
Jeremy Acha haraka..Pole madam. Watoto 6.. she is a very strong woman.
Waaa this people are so inhuman siz am sorry for what you go through in Saudi Arabia 🇸🇦 But thank God ur oky
Amen Amen
So painful story 😭😭😭
Unaolewaje mara nne na sisi wengine ata mmoja Bado.... 🤯🤯🤯🤯
About Saud, not all pple are bad,am here almost kumaliza my contract, yes it was hard at the beginning but God turned the situation around,the house am in si kubwa its just a normal house with 6 rooms,not all houses ni kubwa,it's God who sustain us,hakuna mahali hakuna risks in this world,but with God we are safe anywhere.pole fr your experience in Saudi
ongeza volume
na wale tunaosha 14ROOMS, na 3 phases compound tuseme aje
Its true❤️☑️
Ebu ongeza volume
Hello sasa
Jeremy thank you for hosting faith to share his inspiring message 🙏...Faith you're a strong lady keep up your great faith in God
Pole sana fai.
Eeeh iyo kazi ili kuwa ngumu😮😮😮.
Watching from Saudia.I thank God my bosses are good ive finished 1yr but cjawai hata gombanishwa na waititu.
Huyu Dem siezi mublame atah coz kuna kitu hufuta mtu in life roho ya rejection hii kitu ata uoleke na wanaume wangapi unafukuzwa na hii rejection even upate job kila mahali hii kitu yakufuata so life yako itakuwa ya kuteseka na kama watu hawakuelewi na hawajui uko na rection wana ku hate mbule so ukiskiza story ya mtu don't blame that person coz haujui kenye inamukula ,wengi wao need prayers
Very true 🙏 🙏
Ni kweli Dada,
100%
Hiyo n kwel kabisa
Very true
....
Thanks Faith for sharing your story it is part of your healing. Don't worry about judgemental character in social media.
You are blessings to your children
Akanisho nimfanye masaj nilimkanda kama unga wa ngano🤣🤣🤣
Hie I am guy in cape Town I try to listen to your story but I can't understand swahili can someone translate it into engrish it looks like a touching story thanks
Download it
She was in Saudi but she undergo insult end all that coz she is saying life is too hard
She was house girl at Saud Arabia but she got bitten and torched by his boss for one year and half
Pole sana dadangu kwa yale uliyo yapitiya ❤ghuiuru baba Jesus alikuwa pamoja nacwewe🙏🥰🤲😇
😅😅😅😂😂Aky Mungu atusaidie huyo Dem amefanya nicheke ety mtu asikudanganye hakuna mwarabu Ako na nyumba kidogo ukweli aky ua unafika Kwa gate unauliza ni wewe Kwa hiyo nyumba yote
I have been listening to people share stories. Who has noticed like me the way problems recur in families. Her mum had problems, she has problems, her kids the same problems. Similar problems of being neglected and oppressed. It's too sad.
Generational curses, needs deliverance
Surely this lady is explaining my true life story ooh my God 😭😭😭😭
Pole
Sorry dr
@@vanesserkem9451 sorrry
God is be with you,,, don't give up
@@vanesserkem9451 5zXQ%SA
sio nyumba zote kubwa..nilikua ya 6 rooms na tena they were great people..loving and God fearing...sio wote wabaya
Sister, I’m so sorry you went through all this. Unfortunately Saudi Arabian people do NOT know what humanity is. Just leave everything with God. Right?
Watoe those people are not people toa hao watu uko jmniii,napenda Kenyan kiswahili from Tz
Saudi Arabia c mchezo sai nafanya Saudi k wee uko sawa.usiseme Saudi n kuzuri coz watu wanateseka pia mi nimepitia shida mpaka one month nikikosa mshahara
Hugs my dear thank God you came back home a live .. your story is Soo touching 😢
You are very courageous and strong.
At least you tried everything possible to help yourself
All the best
Na hawa mashetani wanasema nn hawajui kile mtu anapitia 😭😭
Waiting 4 you in baruthi wa thayu hungura show wambui wa mwangi carol kinyugo ni zingine sikubuki hakuna ata coma ama full stop anyway never jurge
Metha ya kagoni na wambui Wanjihia
Metha ya kagoni na wambui Wanjihia
Tabitha njeri jiweke kwa hicho kiatu cha faith ingelikuwa ni wewe ungefanya nini tafakari na don't judge instead pray for her and u will be blessed.
@@kingangiterry7457 too late oo
Tabitha Njeri you should be thanking God, for not going through what she has experienced.
You don't know about your tomorrow
Pole sana faith kenye umepitia mimi niko saudi an eating good sleep good I fill your pain kuna saudi bosses ni wabawa but sio wote.
The gal is talking truth.... Waarabu ni shidwe
Kenya is paying little but I don't think I will ever go outside Kenya 😢😢
umeogopa ?
Such a beautiful and honest soul....
Faith don't worry mtetezi yuko uhai
Mimi niko poa,na Pia ile group tulikuja nayo iko sawa,a group of 120girls only one girl but alibadilishwa na ako sawa.kama Mimi nimekuwa mgojwa in to two weeks na wanamshuglikia if need hospital wananipeleka.just thanking GOD coz kuna wenye wanateseka.
My first Job abroad was in Riyadh Saudi Arabia back in 2000.I thank God that I had a great Boss their children were very respectful .I did my research about my boss what he did for a living and who he was.I paid a higher price compared to the other jobs they had at the Agency.I believe everything that Fai said and I feel her pain .There is good and bad in all of us .Yes there are very bad Saudi bosses and that gives the country a bad reputation.I Thank God that He favored me .Most of us are poor young mothers trying to make a difference in our lives .I wish the economy and employment situations in Kenya was better .No one wants to leave their young kids behind and risk never coming back alive.
Vry true
True dear
Uliangukia mkono mzuri au boss mzuri ila waarabu sio watu uku Tz tu tunao sio wazuri
At frst kuna vile huact now am almost 1yr bt i thank God for changing the situation not easy without God
Very educative 👏👏. God's Name be Praised for keeping you alive 🙏🙏🙏🙏
Please faith tafuta mtumishi wa mungu akusaidie kubomoa spirt ya kukataliwa
From tuko to radio jambo to citizen tv and now here I have watched your interviews
But uyu dem nimuongo sana
That lady is taking the reality we went through alot but people out there they take it easier they just say we are doing prostitution but let me tell me friend hapa ni kubaya ni vile tu tulikuja kutafutia watoi niombeeni badala ya matusi hawa watu they are more than monisters
Pole sanaa😢😢
Wah, hope those children are not passing the same rejection you have passed thru...Ukitoka kwa mwarabu never go back again, it's like signing an agreement with the devil.
So painful walai, hopes we can raise again together and make it
True sister ata mimi nko uko bt we thank God juu si rahisi ivo inabidi kua macho na umakini
Running cold tap water on a burn helps alot.
Wooi kwaivo sio Mimi tu napitia tuko wengi
That's why wengi wanakemboi, huku hakutaki mtu mwepesi ukiambiwa every work for every body hawaniezi
Saudi nikama mtu anacheza betting either you loss or you win
Maisha iko ivo, it's all of risk taking
@@marynjiru6543 yeah
it's very painful 😭😭 for what my fellow Kenyans pass through Aboard Expect Gulf Countries, but one day we will overcome.
Faith u r a strong lady. Pole Kwa ko mwana weingo.
2002 nilikua class 3 na vile unakaa mdogo sana kwangu i love your body size❤
Pole sana dadangu Mungu akufungulie njia🙏
Ma huslers wanao enda saudi you people undergo alot
This lady touches hearts
I shade tears watching this story n uchungu sana may God open your ways Faithfully
In Arab countries you have to be prayerful dear
Exactly
True
So she was no a prayerful?
Faith, you have given a honest testimony for Kenyans to judge. I wonder whether our country leaders see this. Are we so poor that we cannot life for these cases? UhuruRuto, its your turn
Hey Ety nyumba ndogo ni kumi, kumi na mbili faith you exgulate things nyumba ndogo ni room tano, Sita
Unamuweka hawezi jiweka pia sisi hujiletea tuu shida fanya na uombe Mungu akupe nguvu IPO siku itaisha
Jeremy congrats.
You're doing great job.
God bless you so much
Si warabu wote wabaya..faith aliangukia boss mbaya ..Niko Saudi pia na Niko na mabeshte wengine pia na wote tuko sawa hakuna mtu anateswa..
Weee. huku kunamambo 😂😂😂
My name Germaine or Jemimah,
I’m from Burundi but I live in Canada, and I have a sister her name is Fabiola Irakoze and she is 35 years old, she is in Saudi Arabia 🇸🇦, and she is been there for 6 years now, we don’t know if she still a live or she is dead, If anyone knows her or knows how we can find her,
Please let us know and your support will be much appreciated
We hope and pray that she is well 🙏.
I thank God cx cjawai pitia mateso lkn hao ilikuwa 7 rooms plus watoi 6 .maisha ya warabu mm apana na kufanya kazi pia Kwa majirani iyo nilikata
Me pia Niko huko,lakini niliangukia bahati Niko sawa nimemaliza na nimerenew tena.
"Na wote ni wajaluo tu ? "
I could smell the tribalism in the interviewers question . 🗑 🚮
Thanks for sharing your story
.even for the ppl who are willing to go there...to decide. Bt ungemwekea tu dawa..time yako ikifika ujiondikee.
Na kupigwa je
Na kupigwa je
Eti room kumi 😂😂uyu dem ni muongo
I believe in you faith..I don't know why brokers don want to expose the Saudi bosses..ama it's the money you get for the business ya wasichana..you don't care for them Bora u make money..Mungu anawaona.. that's blood money..and also wicked Ness.,faith gives the truth about the bosses..
This soudi boses are very protective even in between themselves also the government does not expose them
Back in 2020 i came here nkakuta watu wazuri.Shida ilitokea after kumaliza contract wueh
Pole faith but ungeskia watu vnye walikwambia
It's painful bt we thank God you are back home glory to Him 🙏🙏🙏🙏
God bless and protect you Faith 🙏 Amen.
Wow nice Saudi Arabia of six years ago but niko Kenya sasa
Let's say thank to God u are bck a life ....God didn't forget u .. and his coming for u to open the new door ... Just rejoice and u will receive it... Be bless ❤️❤️❤️
Pia mm nilikywa na weka mamaa dawa kwa tanyee
Weee iyo dawa yake ilikuwa ya muharoo😢😢
Wee l know wat you are saying
Ukipata boss anakupiga usijaribu kuishi hapo,,
Wacha kunipiga hata kunishautia sikai
Kweli wah tuliambiwa mshahara 30 k little do we know ni 24 job ka y punda wah nauliza nimalize contract nirudi home
Woooi ,,pole sana,,,its not over until God says 🙏,,good days are still ahead
Faii God is fixing things out for you inauzunisha sana.jipeane Kwa Yesu tu inawezekana ukiamini
Pole sana Faith I believe you have a bright future I have saved your no,hope iko na WhatsApp,
Faith my name sake sorry for what you had passed through uko very courageous may Almighty God bless you and open your doors.
God is able iam in saudi arabia i start feeling on that girl i wish God can protect us in his blood
Fai congratulations, tumikia huyo God alikuokoa aki hii life ya huku siyo rahisi
Waaa aki watu hupitia
Amen insaudi arabia pliz Jeremy search for me vacant there or help me how l can apply green card am charity mburu thanks or help me with NGo
Mm niko na hao ni 3bedroom so kunazo ndogo dear
Africa ndio the richest continent lakini watu wanaenda kwa maadui. The Real fight should be at home watu wajikomboe
Your very true sis love from Uganda
A wise man learns by hearing but a foolish man learns by experience. Kenyan women open your eyes.
May God see you thru Faith. I know us women can do any job for the sake of our kids.
Sio boss wote wabaya nilikua nafanya job uko I finish 2yr and 2month. May you leave long my boss 🙏
Si you connect me with your Agent please...I'd love to go there 🙏🙏🙏🙏
Strong woman may god continue to bless you..
God
God is great I'm in Saudi Arabia working for a humble Boss .. you're strong lady may God bless you for the sake of your children
Strong woman my foot. Strong woman gani anazaa ka mbwa bila kujua atalea aje watoto wake
Kinara be careful of your words
Ungelipua gesi ufenae,ungempa ukatili usio wa dunia hii
Switie mbona story yako inachange tuko ni diff ntv diff na huku sasa anyways warabu c wote wabaya worked in Saudi 2½yrs but unyenyekevu muhimu team strong tuned from dubai
True kunyenyekea mhimu
Nashangaa pia mimi, alafu kila station nikaa wanapenda kusikia hii story yake coz tangu ahostiwe hakuna solution yoyote nikama kuna malipo hehe khalas tafshana minaha walai 🤣
@@lavishvish2173 Eeeh umeongea kiarabu vizuri 😁👏👏 check my comment under the video
@@artisthusnatalal3099 😂😂😂mi mwaarabu bana eee 5rys si mchezo lazima niwe naikoroga
@@lavishvish2173 kuddoss 👏👏
omba mungu hukuuwawa saudi ukitoka kwa nyumba huezi rudi