JOH MAKINI : NAMPA NIKKI MBISHI 0 KWENYE MISTARI YAKE/ ATAFUTE VYA KUONGEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 144

  • @abdallahmsangy9892
    @abdallahmsangy9892 3 роки тому +50

    TUNACHUKIANA KWA SABABU TUNAOGOPANA TUNAOGOPANA KWA SABABU HATUJAJUANA HATUJUANI KWA SABABU TUNATENGANA DUNIA NI NZURI WALIMWENGU HATUNA MAANA

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 3 роки тому +1

      Fid q hapa aliona mengi sana ndio maana akaandika hivyo.Yaani fid q ukimpitia amaindi wala nini ila atakachoenda kukufanya inahitaji uwe na akiri kubwa sana ili umwelewe

  • @edsonjeremiah5905
    @edsonjeremiah5905 3 роки тому +18

    Wazee wa kubebwa wamebakia nusu Lita salute Nikki mbishi

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 роки тому +5

    Joh anajua sana kuzungumza, Big up Joh.

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike8771 3 роки тому +22

    Kikosi kazi wapo vizuri saana tatizo wana approach vibaya battle za hip hop dhidi ya Weusi.

  • @juliuspoul2997
    @juliuspoul2997 3 роки тому +2

    Brother uko peace sana..niki mbishi asikusababishie kuaribu cv. Waelewa wakisikiliza ulichokizungumza na ulichokizungumza jamaa ni njaa na shibe....njaa buzimwa na shibe..jamaa ananjaa sana inaonekana anahasira kinoma..mshauri tuu afikie malengo. One love

  • @jescantigonza3315
    @jescantigonza3315 3 роки тому +14

    Wewe joh mwepesi Sana kwenye bars
    Uwawezi utamaduni rappers ata m1

  • @babiz255
    @babiz255 3 роки тому +14

    Unju next level 💥💥

  • @mohamedindumbwe1957
    @mohamedindumbwe1957 3 роки тому +19

    Ungempa alama 2 bro maana challenge kwenye mziki ni kitu cha kawaida sana

  • @samwelpaul4279
    @samwelpaul4279 3 роки тому +7

    Mimi ni mbongo Ila joh ni mkali sana zaidi ya nick mbishi fikirieni mara mbili

  • @janguboitz4316
    @janguboitz4316 3 роки тому +8

    John Makini bishoooo tu saizi,HipHop lazima challenge sio lazima wakusifie tu,Na weusi wazeee wa kubebwaaa,saizi chenga,manager wao wa pale mjengoni kashachali,joh mlegezaji tu,Na kwa battle joh kwa nikki akasomeee

  • @elisantemsumanje1381
    @elisantemsumanje1381 3 роки тому +13

    Huyu bro ni true definition ya fake artist, Kama unahtaj kujifunza msikilize Nikki mbishi kuanzia ngoma hadi interview utajifunza

    • @barakamshiu7146
      @barakamshiu7146 3 роки тому +2

      kujifunza nini kwa nikki mbishii.…???? nini ??? embu kiseme hapa tukusikie??? nyimbo zake amna chochote zaidi ya jealousy

    • @collihmushi5944
      @collihmushi5944 3 роки тому +2

      Niki Mbishi ana nn cha kufundisha sasa kama kazi ni kuongelea watu ndo avimbe,Niki ajifunze bas kwa Young Lunya na Conboi wanazo bars zenye maana kuliko ufala wake wa chuki

  • @immaboy8153
    @immaboy8153 3 роки тому +6

    Namkubali sana johnmakini

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 3 роки тому +14

    Nakubal xana joh ukaaji wako kwny game umegain hujapoteza🙌

  • @mohamedali4347
    @mohamedali4347 3 роки тому +2

    Wnafanya sisemi wanasema juu ya majukwaa nawapa tabu hizi kuandika tu copy kwenye vitabu usinitafutie sababu shika lako nishike langu nisje nikakuaribu babu pole sana kama umekushinda ustaarabu joh makini noma sana

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 3 роки тому +9

    Joh ndo ulianza kuchana watu kwenye UFALME!

  • @d76youngcruzy71
    @d76youngcruzy71 3 роки тому +3

    Safisana brother john

  • @effortmsossy4271
    @effortmsossy4271 3 роки тому +2

    Nikki mbishi yupo sawa..

  • @allengodfrey288
    @allengodfrey288 3 роки тому +16

    Let's music take control 🇹🇿🇹🇿

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 3 роки тому +7

    Joh anawaogopa hao machizi, Maana Nikki Mbishi Ni Muuaji kwa Mistari

    • @Majambo_Duniani_Tv
      @Majambo_Duniani_Tv 3 роки тому

      Hana lolote mbona amepwaya kwa diss ya P mawenge?? Watu wameamua kuwapuuza tu..

  • @ericklaway8890
    @ericklaway8890 3 роки тому +7

    Nikki mbishi Bado mkali wa Hip Hop we Bado sana afu uchuga ulonao hausaiidiii babuu me pia chugaa

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 3 роки тому +15

    Air weusi💪💪

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 3 роки тому +4

    Nikki Mbishi balaa juuu zaidi.

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 3 роки тому +3

    Joh bado mshamba sana

  • @herrymadini4656
    @herrymadini4656 3 роки тому +7

    Jooh ni kichwa sana... majibu ya kikubwa

  • @jonathansimba6749
    @jonathansimba6749 3 роки тому +15

    Uko.real sana 😂😂 , wish ungekuwa lecturer mzee

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 3 роки тому +3

    Safi sana Joh Makini

  • @jecoog6086
    @jecoog6086 3 роки тому +7

    Johmakini kwa hizo bars kachomoa uhakika anaogopa kusifia kitu cha uongo

  • @jongwemomumo8729
    @jongwemomumo8729 3 роки тому +3

    Maksi za Chuki baada ya mistari Risasi. Weusi Cypher iliwahusu Kikosí Kazi 100% sasa ujidai vip Unju Bin Unuki sio size yako, music na maisha CHALLENGES lazima we kubali kuna makundi ya Wasanii wakali wenye uwezo wa kuingiza hela nyingi wanabadiwa sababu ya kutokubaliana na sera za unyonyaji za wanaoitwa GODFATHERS wa music industry ya Bongô ,mmeua NAKO2NAKO kisayansi sana kisa kumentein Umwamba wa Kaskazini katika map ya Tz music wakati NAKO 2.NAKO walikuwa washafanikiwa zaid ya RiverCamp ee Lord akawa bidada Ray C, acheni Jealous.

  • @ericklaway8890
    @ericklaway8890 3 роки тому +5

    Joh Makin unazingua afu uezo wako kwa nikki mbishi Bado sanaa

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 3 роки тому +4

    Hapo ni sawa

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 роки тому +3

    Wewee majamaa yanajua kuchana sana kikosi kazi sio saizi yako

  • @funniestanimalsandfails3161
    @funniestanimalsandfails3161 3 роки тому +10

    Joh hawezi ku'battle na Nikki KOKOTE. Mdogo wako Nikki wa pili alimbwanda kwenye dk.10 za maangamizi.

    • @sebastianmpepayena7283
      @sebastianmpepayena7283 3 роки тому

      Aminiii kwambaa huo ndo ukweliii

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 3 роки тому

      Hilo liko wazi hawawezi kubattle

    • @yirgayemyirgah7820
      @yirgayemyirgah7820 3 роки тому +2

      Niki mbishi ana nn cha ajabu shoo za ovyo anazomewa kila kukicha watu wanatengeneza hela ww unakalia Ku battle izo battle zinasaidia nn

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 3 роки тому

      @@yirgayemyirgah7820 Kapitie vizuri huko duniani battle inafaida ghani kwa mwanahiphop.

    • @yirgayemyirgah7820
      @yirgayemyirgah7820 3 роки тому

      @@mugadimon3563 kwann uzungumzie uko dunian nipe mfano wa hapahapa bongo,,,battle za APA bongo zinafaida gan kwny hiphop au zimemsaidia nn Huyo mbishi,,nenda kapitie pitie izo battle za uko dunian ujue tofaut ya battle na chuki

  • @lackhson152
    @lackhson152 3 роки тому +3

    Hapo hamnA kitu namtaka nikki aje ajibu hapo

  • @mdukuzi
    @mdukuzi 3 роки тому +2

    Joh is real mazee,

  • @evaristongimba7882
    @evaristongimba7882 3 роки тому +1

    Up fine brother

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 роки тому +11

    Mwamba 🙌🏼

  • @brosataasisi3657
    @brosataasisi3657 3 роки тому +3

    Joh inaonesha hufuatilii HIPHOP pili hujui kutofautisha chuki na Challenge nyie mnaogopa kujibu challenges sababu hamna packages za mistari mnabaki kusema mnachukiwa tu

    • @mudhihiri.a.hassan3413
      @mudhihiri.a.hassan3413 3 роки тому

      Umeongea point mwanangu hawa machalii hawana uwezo ni watumwa w media hiphop n challenge hawa jamaa hawapend challenge wabovu kupanga vina et naogopa kujbu on behalf k kweli huyu

    • @asante2077
      @asante2077 3 роки тому +1

      Tatizo sio challenge, tatizo kutaka kutumia watu ili uweze kusikika. Kikosi kazi wana talent lakini hawajui biashara ya mziki.. Tangu wapo tamaduni music kazi zao kudiss weusi , mara zilla , mara ROMA. It's just simple battle ni kugawana mashabiki. Huwezi kua na brand ndogo kushinda mimi afu nikujibu diss ili upate platform. Kama edo boi alivyomdiss joh. Mziki lazima uwe tu na talanta kali za nje zisizosikika kwenye mainstream, kina Conway, big krit, king los ni wakali kuliko kina Kendrick na drake ila huwasikii. Ndo kama kina niki , wapo mtaani na watabaki kwa Ujinga wa kuamini biashara ya music ni kuandika na ku battle.

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 роки тому

      Wapate mafanikio kama wao kwanza alaf ndo waje kuchallenge sio underground a challenge star ili apande chati au asikike

  • @tonnycynickimburucypher3637
    @tonnycynickimburucypher3637 3 роки тому +1

    Zeroo nyingii misingii akuna kwa swala l biashara yoo big ila kwenye makonzi joh badl nyanya

  • @cleverdaud7624
    @cleverdaud7624 3 роки тому +3

    King Joh

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 3 роки тому +4

    shoout out to joh makini.....AMBIENI HUYO MZARAMO (NIK MBISHI) ABATTLE NA PESA ACHE UJINGA. WEUSI WANABATLE NA PESAA. MUSIK NI PESA NOW.
    "if you don't make money, you don't make sense" TYGA

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg Рік тому

    Yuko sahihi sana

  • @king-size8114
    @king-size8114 3 роки тому

    Nomaa

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 Рік тому

    Joh makini ako sawa, maisha ni yake

  • @husseinmushi6423
    @husseinmushi6423 3 роки тому +2

    hahaha yy mbn kuna line yke yangoma ya bye bye inasema hz kundika hatukopi kwenye vitabu usinitafutie sababu chunga lako ntakuharibu babu hyo line ilikua inamlenga fidq

  • @dasboy1093
    @dasboy1093 3 роки тому +3

    Nikki anapenda Diss sana

  • @keithmussa9805
    @keithmussa9805 3 роки тому +3

    True

  • @nwntz
    @nwntz 3 роки тому

    Akili 100 joh

  • @ericklaway8890
    @ericklaway8890 3 роки тому +6

    umejenga chuki pia Joh ili ukatae udhaifu wa m2 jarb upande wako

  • @alikamau4690
    @alikamau4690 3 роки тому +9

    Chuki haina culture

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini 2 роки тому

    Makini mwamba

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 3 роки тому +1

    Nikki mbishi ni kisanga babu..

  • @dicksama7366
    @dicksama7366 3 роки тому +3

    Kizazi

  • @lazarokisenya5457
    @lazarokisenya5457 3 роки тому +5

    Ww joh unamuogopa mbishi wote nyie watano humumuwezi unju unaogopa ogopa wewe

  • @chandenyatto2497
    @chandenyatto2497 3 роки тому

    Dr unju

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 3 роки тому +2

    Is Real joooh!

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 3 роки тому +2

    UYU MBWIGA WA ARA MSENG SANA

  • @mankwembawemba8657
    @mankwembawemba8657 3 роки тому

    John makini Noma hata Jina lake tu linatisha bro

  • @Sashaalikuwepohapa
    @Sashaalikuwepohapa 3 роки тому +1

    Mbwa sana huyu 😂😂

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Рік тому

    Yoyo aliekuja kulifaham jiji la dsm

  • @ericklaway8890
    @ericklaway8890 3 роки тому +2

    Hizo chuki 2 Joh weusi 2naowajua wa zaman now uchaw

  • @jeromemugisha1504
    @jeromemugisha1504 3 роки тому +4

    "Hizi vitu naandika sicopy kwenye vitabu"

  • @kelvincray2345
    @kelvincray2345 3 роки тому +5

    Wewe joh wewe niki mbishi humuwezi wewe ndio sifuri kwa niki wewe mwenyewe ulikuwa unamchukia fid na humfikii

  • @twentysevenlife6630
    @twentysevenlife6630 3 роки тому +1

    Ngoshaaaaaaaaa

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno6239 3 роки тому +1

    Kaiona hii

  • @thehoodmedia5332
    @thehoodmedia5332 3 роки тому

    Reality

  • @jumazinga941
    @jumazinga941 2 роки тому +1

    Unju mtu hatar sn

  • @officialmanuelexzaud9285
    @officialmanuelexzaud9285 3 роки тому +1

    Air weusiiiiiiiiiii Chuga Stan

  • @murifella
    @murifella 3 роки тому +3

    Uyu job makini anaongea nini sasa???? Eti joh makini is lyrically better than nicki mbishi.. the fucknoutta here😂😂😂

  • @malcolmkomba4067
    @malcolmkomba4067 3 роки тому

    Punguzeni chuki zisizo za msingi unasema sio hater? Je sifuri inatoka wapi?

  • @gseventz4663
    @gseventz4663 3 роки тому +2

    Wakwanza today

  • @rajabuomy487
    @rajabuomy487 3 роки тому +2

    joh makin kwa nikki ni chukiiii

  • @allymuhamadahmadahmad793
    @allymuhamadahmadahmad793 3 роки тому

    Mkubali mkatahe John makini hawezi kubato na unju wala na p the mc

  • @nuruumturutz5783
    @nuruumturutz5783 2 роки тому

    Tatizo uwezo wako Mdogo brother usiwe na chuki

  • @edsonjeremiah5905
    @edsonjeremiah5905 3 роки тому +1

    The guy is fake collabo na chidima,davido,na hakuna impact ni kweli.

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 роки тому +2

    Ya Azama zero sawa lakini ya Nikki mbishi Ina bars ndani

  • @nestorymapunda6239
    @nestorymapunda6239 3 роки тому

    shoo ya kibabee

  • @salimsuleiman2340
    @salimsuleiman2340 3 роки тому

    Mwamba wa kazikazini

  • @chiefmkuu1131
    @chiefmkuu1131 3 роки тому

    Ahhh hii 0 🤣🤣

  • @djtumatz2644
    @djtumatz2644 3 роки тому +1

    Mwamba

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 3 роки тому +2

    Lazima uchanwe kwnn usichanywe na umekuwa wacky skuiz

  • @iddimoshi8459
    @iddimoshi8459 3 роки тому

    Uwanja ni Mpana
    Na keki ni kubwa
    Kila mtu anaweza kufanya anachokifanya na bado akala

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 3 роки тому

    Nick mbish mshamba

  • @lazarokisenya5457
    @lazarokisenya5457 3 роки тому +1

    Acha uoga usichanwe wewe ni nani? hujui hip hop

  • @timermedia3509
    @timermedia3509 3 роки тому

    Yatambue madhara ya kubana mkojo kwa muda mrefu👇👇
    ua-cam.com/video/I2eaTVt4QYQ/v-deo.html

  • @elminofisho7675
    @elminofisho7675 3 роки тому +1

    Mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe

  • @tilaboymatata3411
    @tilaboymatata3411 3 роки тому

    0

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 3 роки тому

    MAKINI hhahah

  • @chedinathaniel942
    @chedinathaniel942 3 роки тому +3

    Nyie wachaga mnaubaguzi na uoga ndomana mnakosoa na hapo umetia aibu kwa kuonyesha chuki hadharan kiuharisia hao ulioikosoa mistar yao hakuna hata mmoja unaewezafikia hata robo ya uwezo wake ukitoa jina unalotumia

    • @nandomosha1115
      @nandomosha1115 3 роки тому

      Acha bangi, uchaga umeingiaje hapo

    • @mudhihiri.a.hassan3413
      @mudhihiri.a.hassan3413 3 роки тому +1

      Ukanda ndo unawasumbua hawana lolote km kwel yeye mwana hiphop ajibu hiphop battle ktu cha kawaida mfano NAS na JIGGA sema hawa matak weus uwezo mdg

    • @malcolmkomba4067
      @malcolmkomba4067 3 роки тому

      Joh ana kiburi cha kubebwa kwenye media

  • @lawinelson5742
    @lawinelson5742 3 роки тому

    Llllllllll

  • @timermedia3509
    @timermedia3509 3 роки тому

    Yatambue madhara ya kubana mkojo kwa muda mrefu👇👇
    ua-cam.com/video/I2eaTVt4QYQ/v-deo.html