Mungu akubariki sana Mwalimu. kupitia mafundisho yako najengeka kiimani zaidi .pia na mapenzi ya YESU ndani yangu yanazidi kuwa makubwa ubarikiwe sana ...
Mungu tusaindie Mungu nyakati za mwinzo Mungu tubinganiye nyakati inzi za mwinzo Vita vikali sana via rohoni Yesu niongoze niongohe yese nisaindie Yesu nisaindie mwokonzi niondowe Kwa shita nipe ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi Kwa jina la Yesu Kristo wanasareti
MUNGU azidi kukuinua Bishop wangu. Injili ya hivi haihubiriwi tena kwenye makanisa mengi. Hakika Bishop nakuombea Roho Mtakatifu azidi kukuongoza na kukufunulia mafundisho zaidi ya aianjili ya Yesu Kristo Mwokozi wetu. Yesu yu arudi mapema sana.
Ee MUNGU nisaidie mim mwenye dhambi uniokowe na nyakati izi ngum maana hata yamefichika Sana haya mafumbo .nawenye kuyajuwa Ni wachache ubarikiwe daima mtumishi wa yesu kristo
Alléluia Bwana Yesu kristo asifiwe saana .kwa hii mafundisho makubwa hakutumbusha kuya tayari..Bwana Yesu akubariki sana .ubarikiwe n'a Bwana Yesu kristo.
Asante sana Mungu bb kupitia nguvu ya roho mtakatifu.nimeunganishwa na hii chaneo ya mtumshi wako.Anaye nihubiria ujilio wa mwanao Yesu kristo.Niomba bb uniongeze imani sn mimi na uzao wangu tusije tukamezwa na mambo ya shetani.Tuwezeshe kushinda.
Mchungaji asante sana kwa mahubiri Mazuri .nayapenda sana mahubiri Yako Juju ahihubiriwi tena unakuwa tutabarikiwatu .lakini kutuhambiya tuhache zambi yesu anakuja akuna ni towa ubarikiwe. Naomba uniombeye nimjuwe sana yesu Kristo Na MUNGU aliye mtuma kwetu.
Mtumishi mungu akutue nguvu maana vita vikali sana juu ya wateule wa mwenyezi mungu juhudi nabidii ya kuhuzuria ibada ni nyigi ila hazina maana watu wanaenda kufanya mikesha makanisani huku wakiwaza uashelati
Ni watumishi wachache sana wanao hubiri kuhusu kurudi kwa YESU. wengi ni sadaka na mafanikio.ila kuhusu kutubu na kumrudia MUNGU aah!! Tuwe macho wanadamu Tu some neno la MUNGU litatupa mwanga na kutuonyesha kwelii
Mimi mchumba wangu kanikimbia kwakuwa anadai niko bize sana na Mungu ,kampata mwanafunzi anaejifunza urubani wa ndege na akidai yuko vizuri kwakuwa hayuko bize na Mungu ndio anapenda mtu wa aina hiyo
Baki na YESU atamleta mke sahihi kwa ajili yako wala usiumie hapo Munngu kakuepusha na mambo makubwa na Magumu uliokuwa huyajuhi kuhusu huyo mchumba katika ulimengu wa Roho japo ulimpenda.
Asante sana Mungu kwa kunipa neema ya kulisikia hili
Ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA kwa ujumbe mzuri.
Waumini tunashukuru Mungu mmoja nafsi tatu amina
Mungu akubariki sana Mwalimu. kupitia mafundisho yako najengeka kiimani zaidi .pia na mapenzi ya YESU ndani yangu yanazidi kuwa makubwa ubarikiwe sana ...
Asante Mungu akubariki kwa neno la uvuvio nakutueleza kurudi kwa Yesu Kwa kina.
Amina cg kwa mahubiri yako
ubarikiwe na mungu ariyeweka huduma hii ndani yako natamani nikuone raiv
Mungu akubariki saana baba
Mungu tusaindie Mungu nyakati za mwinzo Mungu tubinganiye nyakati inzi za mwinzo Vita vikali sana via rohoni Yesu niongoze niongohe yese nisaindie Yesu nisaindie mwokonzi niondowe Kwa shita nipe ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi Kwa jina la Yesu Kristo wanasareti
MUNGU azidi kukuinua Bishop wangu. Injili ya hivi haihubiriwi tena kwenye makanisa mengi. Hakika Bishop nakuombea Roho Mtakatifu azidi kukuongoza na kukufunulia mafundisho zaidi ya aianjili ya Yesu Kristo Mwokozi wetu. Yesu yu arudi mapema sana.
Baba karibu Sana Sana mbeya mjini, Eeeeee MUNGU wangu, Achilia Roho ya Neema na maombi juuu ya kanisa lako asiwepo wakubaki.
Mungu tufungue macho Ya Rohoni tukuone wewe tukwamini wewe tukusikiye wewe tukupende wewe Mungu wa wabinguni tusaindiye Yesu
Mungu akubariki mtumishi njoo na mara tarime
Mungu atusaidiye sana kabisa
Mtumishi ni mshangawo kwa
Kweli
Amen.Baba Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu waneno la Mungu najengwa sana.
Mungu aendele kukupa afya na mafunuo zaidi mtumishi nabarikiwa
Bwana Yesu akubariki sana mtumishi
Nimependa Sana mafundisho yako mungu akupe ekima nyingi namaarifa
Ee MUNGU nisaidie mim mwenye dhambi uniokowe na nyakati izi ngum maana hata yamefichika Sana haya mafumbo .nawenye kuyajuwa Ni wachache ubarikiwe daima mtumishi wa yesu kristo
Mungu tuongezee Imani Yesu tuongezee Imani Yesu tusaindiye hu wakati wa mwinzo Mungu tushidanie Yesu tuongezee Imani
Napata mafundsho yako ni mazuri sana nimebarikiwa nabii wa bwana abshallom, na mungu akubariki sana mtumishi, 🙏 amen 🙏 🙌
Amen 🙏 hallelujah mungu akubariki mtumishi ABSHALLOM
Mungu ni mwema inatisha sana Mungu atusaidie
Dah E BwanaYesuKristo niokoe na kizazi changu
Yani Baba,daaah!!! Mungu anisaidie injili unayoihubilia haipo tena Endelea mbele tu baba angu
Ameen ubarikiwe mtumishi ni kwel yesu ana adaa kanisa kwel tunaishi nyakati za mwisho na za hatari
Alléluia Bwana Yesu kristo asifiwe saana .kwa hii mafundisho makubwa hakutumbusha kuya tayari..Bwana Yesu akubariki sana .ubarikiwe n'a Bwana Yesu kristo.
Ee Mungu nisaidie kwaakilizangu siwez
Barikiwa sana babaangu kwa neno la ufunuo
Mungu azidi kukuinua zaidi mafundisho yananibariki saaana unazungumza kweli tupu. Mungu atufungue macho tuzingatie. Ubarikiwe Askofu.❤
Asante sana Mungu bb kupitia nguvu ya roho mtakatifu.nimeunganishwa na hii chaneo ya mtumshi wako.Anaye nihubiria ujilio wa mwanao Yesu kristo.Niomba bb uniongeze imani sn mimi na uzao wangu tusije tukamezwa na mambo ya shetani.Tuwezeshe kushinda.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu ,ni mambo yanayotisha lkn hayakwepeki kuyasikia
Mungu wa Bwana wetu Yesu kristo Akubariki Sana,Nakumbuka ulikuja Iringa
Si mtu wa mungu ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo.kwani unatuhekimisha Sana mambo ya kiungu rohoni mwetu.na Roho wa ufunuo awe juu yako
Mungu atusaidie watoto uliyetupa wakujuhe wewe Mungu wa kweli
Hakika Kuna nabarikiwa Sana Mimi Kwa mafundisho haya Mungu akubariki sana barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
Mchungaji asante sana kwa mahubiri Mazuri .nayapenda sana mahubiri Yako Juju ahihubiriwi tena unakuwa tutabarikiwatu .lakini kutuhambiya tuhache zambi yesu anakuja akuna ni towa ubarikiwe. Naomba uniombeye nimjuwe sana yesu Kristo Na MUNGU aliye mtuma kwetu.
Jamani wakristo kuombewa tunapenda Sana tuangalie wenzetu waislam slogan yao Sali/swali km ujasaliwa so we need kumjua na kufuata mungu
Asante mtumishi wa mungu mungu azidi kukutia nguvu zakufunua mambo ya siku za mwisho
Mungu akubariki mtumishi kwa kuachilia ujumbe huu wa wakati. Mungu aturehemu!
Glory be to the Almighty God 🙏🙏. Katibu sana mbozi-mlowo kabla mwaka huu haujaisha
Mimi eliudi nakupenda sana mtumishi mungu amekuinua saa hii Kwa ajili ya kurudisha kanisa kwenye njia endelea mbele mungu akubariki sana
Neno la kristo unalolifundisha linanivusha Kwa viwango vikubwa yesu azidi kukutumia
Mtumishi mungu akutue nguvu maana vita vikali sana juu ya wateule wa mwenyezi mungu juhudi nabidii ya kuhuzuria ibada ni nyigi ila hazina maana watu wanaenda kufanya mikesha makanisani huku wakiwaza uashelati
Mungu atusaidie sn maana hii ndiyo lnjili ya kweli
Mungu akutiye nguvu tunamshukuru sana.
Asante Kwa ujumbe huu dah
Amen
Amen Mungu unikumbuke katika ufalume wako
Natamani injili hii yenye uzima ifike na kwetu malinyi morogoro pia , naomba Mungu hii itokee siku moja😢😢
Mungu akubariki Mtumishi wa bwana kwa masomo mazuri.
Ameen lnjili hii ni ya kweli Mungu tusaidie sn sn
Naomba mniunge kwenye group la Abrahamu mtumishi
Nimebarikiwa sana Bishop nipo Tanga karibu sana
Nimependa sana mafundisho yako yananijenga tena
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Asante barikiwa sana Baba
Amina kubwa mtumishi wa Mungu
Amina sana
Emen mungu wa mbiguni akutunze na kukulinda
asante sana mtumshi wa mungu mungu akubaliki
Mungu tuhurumihe tusaindie iz inzi nyakati za mwinzo
Ameen baba umenijenga kwa sehem
Wanaomba mme mwenyepesa
Amina
Amina mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki rabbi abisharom amen 🇮🇱
Amen Mtumishi
Ole wangu mm
Bwana atusaidie ,nyakati hizi za hatari.
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mchungaj
Naomba uniunge na kwenye group la nyumban ya Abrahamu mtumishi
Alelluyah alelluyah blessed
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
I heard about you when i was a little girl Leo Tena nimepata video yako. Mungu akubariki sana.
YESU niokoe nyakati
Amen Amen
YESU niokoe nyakati hizi
Amina mtumishi
Uzidi kubarikiwa na MUNGU mtumishi
Nashukuru sana Mungu kwa kunifanya niijue channel yako mtumishi. Nabarikiwa sana na kujengwa zaidi kiimani
Mtumishi kanisa lako lipo Sehem Gani ? Maan nabalikiwa sna nmafundisho yako
Amen 🙏🙏
Asante Baba Mimi naitwa pst Rose Jefwa kutoka Nairobi Kenya Naomba namba Yako
Ni watumishi wachache sana wanao hubiri kuhusu kurudi kwa YESU. wengi ni sadaka na mafanikio.ila kuhusu kutubu na kumrudia MUNGU aah!! Tuwe macho wanadamu Tu some neno la MUNGU litatupa mwanga na kutuonyesha kwelii
Mimi mchumba wangu kanikimbia kwakuwa anadai niko bize sana na Mungu ,kampata mwanafunzi anaejifunza urubani wa ndege na akidai yuko vizuri kwakuwa hayuko bize na Mungu ndio anapenda mtu wa aina hiyo
Pole
Baki na YESU atamleta mke sahihi kwa ajili yako wala usiumie hapo Munngu kakuepusha na mambo makubwa na Magumu uliokuwa huyajuhi kuhusu huyo mchumba katika ulimengu wa Roho japo ulimpenda.
@@patiencekabyemera asante Sana dah japo niliumia Sana lakini Kwa SASA Mungu anaendelea kunisaulisha kabisa
Yesu ni Neno Sasa yupo kwa Mjumbe wa agano, Habakuki 2:20. Ufunuo wa Yohana 19:11-16. Acha uongo, usiendelee kupotosha watu.
Ee unayedai anapotosha watu usipotelee kwenye andiko okolewa kwa neno lililo hai
❤❤❤ amen amen amen
Naomba niingizwe kwenye group la whaatup kwenye nyumba ya Abraham
Natamani nyumba ya Ibrahim ije chanika.
Ameni wakati wa Bwana huu... unabii juu Ulimwengu na Israel unatimia tujiandae. Moja ya jambo muhimu ni kufuatilia kila kukicha nn kinatokea.
Mafundisho yako mema karibu mwanza nyamanoro hii injili tunahitaji karibu
YESU TUSAIDIE HIVI KWANINI WATUMISHI WENGINE WA MUNGU WASIYASEME HAYA JAMANII???
Waowenyewe hawapendi habari za kurudi Kwa yesu,Safari ya Mbinguni ni ya mtu binafsi.
MUNGU tusaidie mtumishi kwenye upendo umekufa hasa hawa tunao waongoza wamekuwa changamoto kabisa hawaijui kabisa thamani yawanao waongoza
Hii nyumba ya Abraham iko wapi jamani na wengine tujiunge manake tunamuelewa mtumishi huyu.
Anapatika wapi jaman huyu mtumish
Nakutowa ushuhuda ni pesa
Sema Baba tupone
Ubiriwe n'a MUNGU mucungaji
Mafundisho haha yananibariki sana ubarikkwe sana myumishi was MUNGU